Тёмный

KIMEWAKA TLS, MADUDU YAANIKWA SAKATA LA MWABUKUSI, NI AIBU, MAWAKILI KUKIWASHA KUTETEA TASNIA YAO 

Mwanzo TV Plus
Подписаться 162 тыс.
Просмотров 10 тыс.
50% 1

#TANZANIA: Kimewaka chama cha Mawakili TLS, madudu yaanikwa sakata la kumng'oa Mwabukusi kgombea Urasi wa chama hicho, Mawakili waungana kutetea tasnia yao.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RU-vid Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Опубликовано:

 

11 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 23   
@HassanSaburi-ge6ej
@HassanSaburi-ge6ej 27 дней назад
Ninyi ndiyo watetezi wa nchi hii msikubari watu wafanye wanavyotaka kwenye mambo ya msingi yanayoumiza wananchi waajiliwa wa wananchi wamejisahau muda mrefu sana wanahisi wao ndiyo waajiri wanafanya wanavyotaka wanatumia Kodi na rasilimali zetu za nchi kibinafsi zaidi
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 7 дней назад
Mungu Yuko na mwabukusi atamulinda waliomupiga vita mungu atawa futiliya mbali
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 26 дней назад
Kwa kweli TLS wametia aibu wanasheria hawafuati sheria sasa watu wasio wanasheria watafanya nini? Ndiyo sababu Inchi inajiendea ovyo ovyo tu.
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 26 дней назад
Kabisa Inchi inakwenda hovyo sana ni aibu tupu
@sammykateregga6238
@sammykateregga6238 26 дней назад
Viongozi wa TLS Make sure mnalinda USOMI wenu. This is the correct time.
@robertzingu9889
@robertzingu9889 26 дней назад
Yaani siasa za majitaka za CCM za watu kujipa uongozi bila kuwa na sifa na kuwakata watu wazuri wenye sifa zimeingia hadi kwa TLS, wanasheria na hivyo kunajisi kabisa tasnia yote ya sheria. TLS rudini mstarini, acheni kujinajisi!
@allyfutto8763
@allyfutto8763 22 дня назад
Mwabukusi atapigwa vita sababu yeye ni muwazi japo anafaa sana watamtupilia mbali ogopa TZ
@alphoncehanura3255
@alphoncehanura3255 26 дней назад
The learned fellows when they undress themsleves to show the world how the system have changed the Learned fellows....in TZA. How on Earthy from one party state to Multiparty state ,using same constitution.....??? Halafu useme tuna Law school of Tanganyika au TLS.... where were they, to let that blunder happen......???
@othannmpoli9896
@othannmpoli9896 26 дней назад
Wasomi sio jamii ya kujadiliana mambo yaliyowazi inatia shaka kubwa sana kwa jamii inayowategemea!!!!!
@aloycemruma6552
@aloycemruma6552 26 дней назад
Jamani Kila Mzalendo niwakati wakubafilisha mambo.yote ya kihuni. Hinizambi inafanyika kuharibiu Taifa eawatu waanabu wanalete shida Kila sehem u inaumiza unafikiri ni Akina mabutu wanaongoza. Nnchi. Nilikuwa kwa umakini.wa Mwabukusi machawa watafanya mambo ya ajabu sana
@mburuumbe5659
@mburuumbe5659 27 дней назад
IF JUSTICE FORUM IS INJUSTICE WHO IS SAFE?
@brightontibenda2346
@brightontibenda2346 26 дней назад
Nobody!
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 26 дней назад
It is unprecedented 😮
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 26 дней назад
None
@ChristerKoku
@ChristerKoku 26 дней назад
Hivi hata huko kwa magwiji wa sheria kuna figisu figisu aibu kubwa yusio ojua sheria tutakimbilia wapi.
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 26 дней назад
Wanasheria kuwa machawa kunahatarisha nchi nzima sababu ni kitengo kikubwa sana nchini kwenye kudai haki. Sasa ikiwa imekuwa compromized haki haitatendeka kwani watashindwa kutetea nchi na wananchi na maslahi ya Taifa vipasavyo.
@francissimwinga-gb2vd
@francissimwinga-gb2vd 26 дней назад
Ni aibu. Kubwa watu tunao waita wasomi kugeuka kama wanasiasa
@user-lw3tg3yg5b
@user-lw3tg3yg5b 26 дней назад
Siyo wanasiasa ni mazumbukuku ni chi gani isiyo na sheria
@MusaOgwoko
@MusaOgwoko 26 дней назад
Ichi. Ya hajabu
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 27 дней назад
On that case open mwabukusi Consern tls tanzania low sosayart will be difficulty them to win such case because ccm have plans on that
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 26 дней назад
Nyinyi endeleeni na sarakasi zenu sisi ccm ikiongozwa mama samia tunaendelea kuiongoza nchi mkimaliza kuhusu uchaguzi wa TLS andamaneni tutawapa maaskari wawalinde.. Samia 5 tena
@user-pd5hl9di2q
@user-pd5hl9di2q 26 дней назад
😂😂
Далее
Замедление отменяется?
00:29
Просмотров 229 тыс.
🤯️ Vini Jr. ✖️ Brahim 🤯
00:13
Просмотров 4,8 млн
Замедление отменяется?
00:29
Просмотров 229 тыс.