MashaAllah dada napenda nyimbo zako hasa ni mpe nana na uliyoimba na thabit my dear u sing so nice u hv vry good voice Allah akukinge na husda maana husda hatari leave long i love u
MashaAllah ina sura nzuri, sauti nzuri lakini unene wako umekufanya uwe shapeless na unakuwa hupendezi unapokuwa jukwaani. Juitahidi ufanye diet na mazoezi uwe na mvuto zaidi
Namkubali sana Esha hizi ndio burudani sio upuzi unawo imbwa sasa na interview yake nzuri sana ni mwanamke mzuri yuko straight forward hana short cut na mengine inshallah with time yata ongoka ❤️❤️
Aisha,musique ao kuimba mimi nazani ni ku transmetre messages (ujumbe)sasa,vipi, unataka kiingilio hata kwenye interview?Usinifanye nibadilike nikuogope,jaribu kutafakari tena,MAMA NIPE RADHI!!!!??