Тёмный

Maisha Ya Zuchu Kabla Ya WCB : "Nilitaka Kuwa Mwanasheria" | SALAMA NA ZUCHU PART 1 

YahStoneTown
Подписаться 395 тыс.
Просмотров 273 тыс.
50% 1

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Kuna usemi mmoja unaenda kama hivi, kulea mimba si kazi ila kazi ni kulea mtoto, tafsiri yangu naamini mhenga hapo alikua anatuambia kazi pengine inaanza baada ya kupata kazi, tunaelewa jinsi gani ambavyo kupata kazi huwa ni kazi. Tena kazi yoyote, haijalishi kama ni ya upishi au ulinzi au ufundi au hata u daktari, mi nawajua madaktari kadhaa ambao nao pia wanapata shida kupata hizo kazi. Na baada ya kupata shida zote hizo wakati wa kutafuta kazi basi kazi halisi huanza pale unapoipata sasa hiyo kazi yenyewe.
Kazi ya Zuchu ilianza kabla hajaipata hiyo kazi yenyewe na ilikua kazi haswa kuipata na Mama yake Bi Khadija Kopa ndo alikua kinara kwenye hiyo connection ambayo Binti yake alikua anaitaka ili aweze kuwa msanii wa Diamond, na hayo ndo yalikua maneno yake hasa, toka alivyorudi kutoka Nigeria kwenye mashindano ya kusaka vipaji na alikua hajielewi elewi kwa kiasi flani ni kitu gani alikua anataka kufanya na kama basi kutakua na la kufanya inabidi liwe kutoka WCB na sio sehemu nyengine yoyote na agulia nini kilitokea? WCB aliipata na kilichokua kinatakiwa baada ya hapo ni UVUMILIVU wa HALI YA JUU.
Kwenye vitabu vyangu vyote Bi Zuhura Othman Soud ndo muandishi wangu BORA wa KIKE kuwahi kutokea katika kizazi chetu hiki cha Bongo Flava, na naweza sema hivyo wakati wowote iwe usiku au mchana, kipaji hicho ndicho kilichonifanya mimi nistaajabu sana na kutaka kuongea nae na kumuuliza yote yale ambayo nilikua nataka kumuuliza, ingawa humo humo nilikua nishajijibu kutoka kwenye historia ya familia atokayo ingawa hiyo haikutakiwa ndo iwe lazima, lazima mtoto wa Khadija Kopa na Othman Soud awe muandishi mzuri maana wazazi wake wamejaa vipaji tena na Baba yake ndo muandishi mkubwa wa nyimbo nyingi za Mama yake zilizowahi kuvuma.
Kwa umri wake wakati mwengine hujiuliza kajuaje haya maneno yote, anajua maana yake hii? Kasikia wapi hili neno au pengine je huwa anamfikiria Mama yake (ambaye ndo kipenzi chake na ndo amemlea) wakati anaandika hii? Anaona aibu? Je huwa wanaongelea hayo mashairi wanapokua wawili tu? Mazungumzo huendaje?
Sasa turudi kwenye kazi hiyo ya kuanza kuifanya baada ya kuipata sasa WCB, ukiachana na msoto mrefu alopitia, WCB wenyewe walikua waangalifu sana kwenye mipango ambayo ilikua ikiandaliwa kwaajili yake, yeye ndo msanii wa KWANZA wa KIKE kuwahi kutokea kwenye label kwahiyo ukichana na kipaji pia uwekezaji wa hali ya juu ulitakiwa ufanyike and boy they did that. Toka single yake ya kwanza mpaka wakati naandika hii Zuchu hakuwahi kuwa na kazi chafu, album yake ya kwanza alotoka nayo ya I am Zuchu ilikua na nyimbo 7 ambazo zote zilienda kufanya vizuri, na mpaka leo kila wimbo ambao anaachia ni wa moto, tukisema namba moja nadhani namba zake pia zinasema hivyo za kila sehemu, hakuna chumvi yoyote ndani yake.
Vipi sasa anaweza ku maintain hii schedule yake ilojaa mambo kuanzia asubuhi mpaka usiku? Kutoka Jumatatu mpaka Jumapili? Je ana muda kwaajili yake? Ana mpenzi? Mipango yake je? Endelevu? Vipi hizi title ambazo tunampa anazichukuliaje? Kuna pressure yoyote? Na kuhusu familia je? Kuna pressure yoyote kwenye baadhi ya mambo na maamuzi? Na kwenye label nako? Watu na furaha na kazi yake?
Kwa kuanzia msimu wetu wa TANO nadhani introduction ya Ms Zuchu inatufaa sana na yangu matumaini uta enjoy pia.
Asante kwa support ya toka siku ya kwanza ulipoanza kutupa macho na masikio yako.
You’re the best, nakukumbusha tu kwamba mengi yajayo yatakufurahisha In Shaa Allah maana kazi ndo kwaanza imeanza.
Love,
Salama

Развлечения

Опубликовано:

 

16 окт 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 239   
@kanyamaladembelesacko2812
@kanyamaladembelesacko2812 Год назад
Zuchu kuolewa na Simba ni inshu Kali Sana kwasababu zuchu anaakili kdg, anaweza kuongea anaweza kuelezea in shot anajitaidi Sana anafaa kuwa mke wa boss, blessed.
@salajohn6633
@salajohn6633 Год назад
Amazing interview..Zuchu anaongea vzur sana n yuko real yaan
@yakobomsafiri692
@yakobomsafiri692 Год назад
Salama mungu akubariki na akutie nguvu katika kazi yako bado uturetee daimond platnumz
@janethmihayo6337
@janethmihayo6337 Год назад
Nimekupendq zuchu wew mara ya kwanza leo❤️❤️❤️❤️Nakupenda
@catenzeki678
@catenzeki678 Год назад
Mimi nakupa SHADA LA MAUA na pongezi nyingi ukiwa hai kwa kazi nzuri.Naomba umlete Harmonize,Roma na Stamina
@charliestyles5535
@charliestyles5535 Год назад
Bonge la interview! Please we also need interview ya salama na sky tanzania,itakuwa balaa 🙌
@yustayusuph9101
@yustayusuph9101 Год назад
Daaa! hadi mimi nimelia story ya omari 😭😭
@AfiSoul103
@AfiSoul103 Год назад
Nampenda Salama jamani.. she's natural
@sarahlondo7597
@sarahlondo7597 Год назад
Was really waiting for this one😂😂❤️‍🔥❤️‍🔥
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Год назад
Huyu mtoto namkumbuka toka akiwa mdogo anakuja na MAMA yake Ushirika Club Mtwara 93.Zuchu anaimba vibaya sana.👍👍👍😁😁😁
@diva_20162
@diva_20162 2 месяца назад
I like her voice jaman Mungu fundi asee ❤❤
@victoriamkumbo5866
@victoriamkumbo5866 Год назад
Zuchu nakupenda sana kwani uko lmakini hakiwewe mtotowa mtani usiyumbishwe nakupenda asante mwanangu
@niyonkurufadhoulillah4916
@niyonkurufadhoulillah4916 Год назад
You know what ? Mimi nazani wawekezaji wawekeze kwenye club ya ma star iwe VIP yani isiw fasi ya show no iwe fasi yao ya ku enjoy tu afu kingilia kiwe ju sana kwa watu wasio kuwa marufu so then wa sani munaweza kua muna enjoy maisha yale munayo ya miss kama watu wangine wote sababu sizani kama msani kama msani ni rahisi kutoka kwenda club ao kwenye migahawa
@sporttv9449
@sporttv9449 Год назад
Hapo pa "aaaahaa mimba".hiyo nimeipenda ha ha ha
@athumanahmadramadhan9220
@athumanahmadramadhan9220 Год назад
Natamani napenda na nataka sana siku moja umlete Alhaji Dr Sule kwenye interview hii nzuri inayonipa elimu pia ktk maisha haya
@sifasiraji2903
@sifasiraji2903 Год назад
Zuchu kama Zuchu❤️
@fathiyaomar9009
@fathiyaomar9009 Год назад
Omar aliumwa sana na alikuwa rafikiyangu sana na mara ya mwisho aliimba gofu lakini alikuwa tayari anaumwa mwenyezi mungu amsameh makosa yake na sisi pia amin
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 Год назад
Marehemu anasamehewaje jamani kama hakutubu angali hai ndiyo basi tena ila sisi tulio hai ndio twapaswa kutubu makosa yetu na Mungu mwenye rehema atatusamehe🤲
@ukhtyzainab7254
@ukhtyzainab7254 Год назад
Aamiin
@alwatansharyf9294
@alwatansharyf9294 Год назад
@@rosemahenge9071 sisi waislamu tunayo nafasi ya kuwaombea dua watu wetu waliokwishaondoka duniani ni zawadi pekee Mola wetu alotujaalia kuwatunuku watu wetu
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 Год назад
@@alwatansharyf9294 Kumbe!!
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Год назад
@@alwatansharyf9294 kabisaa na ndiyo maana uwa wanasomewa dua marehemu
@jamaalsaleem2926
@jamaalsaleem2926 Год назад
Wakwanza kucoment🔥🔥
@wakisawakisa5455
@wakisawakisa5455 Год назад
ckutegemea kama Zuchu angezungumza vzr namna hii, kuna vitu vya msingi ktk tasnia yetu ya muziki na maisha kwa ujumla amevizungumza cjui kama watu wamevinote...anyways, asilimia kubwa ya wanaokuja hapo huwa wanafanya hvyo ila kuna muda hutegemei sana kwa mtu huyo but hii imenifurahisha coz ckutegemea, it's good...Love u Zuu
@kantai737
@kantai737 Год назад
Zuchu is very intelligent na mature, listen to all her interviews and u will be impressed, it’s only that she has a bubbly personality and petite body so ppl think she is childish.
@somaliandnorway
@somaliandnorway Год назад
Zuchu i understand your pain my grand ma dies and i was not told and i was also in bording school..it hapoened the same to me and now i lost my mum 4 months ago …death is painful😢😢😢
@mrishojumaamrisho3212
@mrishojumaamrisho3212 Год назад
S0 sorry brother its god way
@ibrahimhumanamicroscopic6515
First time to listen zuchu voice 🥰🥰 that's was nice
@sistersade9039
@sistersade9039 Год назад
Lovely interview and it's wonderful to get to know zuchu closer. Salama wewe ni bigwa wa watangazaji unajua ivyo sio? All the best 🥰
@theodoreconstantine2565
@theodoreconstantine2565 Год назад
Huyo ndo salama banna lazima akulize alaf akuchekeshe you are the best salamaa I appreciate your work .
@samilaamlli3474
@samilaamlli3474 Год назад
ilove you zuchu
@princessiyalicious4185
@princessiyalicious4185 Год назад
Salama unafnya kaz nzur sna....
@melangachikubati9253
@melangachikubati9253 Год назад
Salama please, if posible find time for sky worker a real jita man with wonderful voice ever, i am watching all the way from Ukerewe the sunshine ground.
@kantai737
@kantai737 Год назад
Finally was really waiting for this
@edgardevis8152
@edgardevis8152 Год назад
🙌🙌🙌👌👌👌👌🙏 aunt salama respect Sana naomba umlete na marioo plz
@hamedabashir9
@hamedabashir9 Год назад
Niliisumbilia sana 💋🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿♦️❤️😍
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 Год назад
Big up salama. Nime enjoy interview mzuri kiswahili safi. Safi zuchu.
@eliassanga6907
@eliassanga6907 Год назад
Joelnanauka na MaxRioba fanya ivi vichwa vidondoke studio vina madini
@msafirimbeya3329
@msafirimbeya3329 Год назад
Umetisha
@irenevicky4656
@irenevicky4656 Год назад
Zuchu you are 👌👍a star lots of love❤❤❤💖💖
@supertal2943
@supertal2943 Год назад
Awesome interview ever👌
@emanuelkiwanuka578
@emanuelkiwanuka578 Год назад
Asanteni nimeisubili kwa Hamu sana hii
@joysarah
@joysarah Год назад
You can't get tired listening to her interviews..our smart queen 🔥🔥
@productivityprogressprince5156
She’s soo smart and soo real.
@queenlinda255
@queenlinda255 Год назад
Amevaa viatu gani jamani huyu binti 😂😂😂
@fortunatemushi4943
@fortunatemushi4943 Год назад
Yaani mpaka nimecheka! Hayo maviatu hapana hata kama fashion mmh mi hapana
@remybuyenzi1856
@remybuyenzi1856 Год назад
❤❤❤❤❤❤ nimekua naisubiri kwa ham kubwa
@shuu62
@shuu62 Год назад
Finally, it's here‼️ Keep up the great work girls 😊
@mwasitihamisi8421
@mwasitihamisi8421 Год назад
Ur my best interviewer ❤
@SultanDean
@SultanDean Год назад
I love your interviews. They are so deep and informational
@browngennestone5979
@browngennestone5979 Год назад
GOOD WORK
@paulonjozi1638
@paulonjozi1638 Год назад
Naitaman nakuisubr salama na young killer msodok
@mwabiawahadi6247
@mwabiawahadi6247 Год назад
Nakukubali Sana Zuch
@maliamjuma9376
@maliamjuma9376 8 месяцев назад
nawapenda sana munguawabariki lnshallah
@jamilamasoud3800
@jamilamasoud3800 Год назад
Baada yakuisubiri kwa muda mrefu
@hildahwangari4337
@hildahwangari4337 Год назад
She is doing good congrats
@radjabreezy5564
@radjabreezy5564 Год назад
🇷🇼🇷🇼🇷🇼Salama asante kwaku tuletea Mzee wetu 🇷🇼Sheikh Kipozeo Asante kwa elimu 😊😊😊 ila sijapenda huja mkirimu Sheikh sijapenda lol tumependa kipindi next Time tutapenda kumuona Sheikh Mazinge mbele ya camera love from Rwanda🇷🇼
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Tuli kata tamaaa kabisa eeh🙄🙄🙄😢😢
@isharsalim454
@isharsalim454 Год назад
😆
@aishambise6529
@aishambise6529 Год назад
Nawapenda sanaas ❤❤❤❤🙏🏻
@yasintadavid1296
@yasintadavid1296 Год назад
Thanks
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 Год назад
Nimefurahi sana aisee!!🔥❤👊
@saudahassan6667
@saudahassan6667 Год назад
Nakupenda sana salama na zuchu
@mochakeno9123
@mochakeno9123 Год назад
My own girl
@vanessakiwia7890
@vanessakiwia7890 Год назад
Zuchu we comedian ila ujijui wallay 🤣🤣🤣 yani mwanzo mwisho nacheka wallay
@lulu-xd7to
@lulu-xd7to Год назад
Na story ya Omar umecheka
@florencekaranja8736
@florencekaranja8736 Год назад
Everyday I was checking on this interview en now here it is
@keyla3641
@keyla3641 Год назад
Interview nzuri sana
@piusphilip307
@piusphilip307 Год назад
You are really cofident, yaani huigizi, I like you
@modysaid8439
@modysaid8439 Год назад
Hy zuu Mimi ni fan wako but kuna kitu naomba urekebishe,ukiwa Kwa interview usionge wakati unaulizwa swali just wait untill swali liishe ulielewe coz sio Kila interviewer ni anakupenda so anaweza kutumia weakness yako ya ku interrupt swali na ku kufanya ujibu kitu ambacho sio sawa so jaribu kuwa calm coz your a superstar my dear
@anthonym2542
@anthonym2542 Год назад
Sijaskiza interview lakini Akili Yako IPO sawa kaka
@hawasaid7151
@hawasaid7151 Год назад
Good 👏👏
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 6 месяцев назад
Ni kweli umesema👍
@marymsaid3540
@marymsaid3540 Год назад
Nampenda sana zuchu ❤❤
@foodbasiccourt2028
@foodbasiccourt2028 Год назад
Hata mimi ila kuwa na mahusiano na kiruka njia diamond i am worried for her career
@jokhaaliy3720
@jokhaaliy3720 Год назад
Music na law bora dhambi kubwa ipi
@lareineminah1353
@lareineminah1353 Год назад
Tuulisubiriii sana😍😘
@samtelah7578
@samtelah7578 Год назад
Mlete Diamond
@wardatkhamis3703
@wardatkhamis3703 Год назад
Mtihani eti mungu jaman kweny balaa hili pia mung anashirikishwa??? Au ni bilisi ndio mwenyw jmn
@chaneldici4083
@chaneldici4083 Год назад
My salama jabir❤❤ from🇧🇮
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 Год назад
Hahaha ila Zuchu na ucomedian anao🤣🤣
@mahfoudh.official7318
@mahfoudh.official7318 Год назад
Wa zanzibar 2 🎤🌍
@rogersodero3897
@rogersodero3897 Год назад
Pls bring Esha Buheti
@SAVPTVOnline
@SAVPTVOnline Год назад
good girl
@stellah3844
@stellah3844 Год назад
Zuchu💓💓💓💓
@stevennyondo2215
@stevennyondo2215 Год назад
Kweli mlikuwa closer hadi unamwambia kaka nimevunja ungo!!😂
@siaammo1104
@siaammo1104 Год назад
Haswaaa duh
@conaddaud9502
@conaddaud9502 Год назад
🔥🔥
@stevewanga957
@stevewanga957 Год назад
Si aongee kiswahili tu..
@evanathings9554
@evanathings9554 Год назад
I love Zuchu ❤
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Au bi kikalala au mzeee kikalala tuomba
@winfridangoloke1916
@winfridangoloke1916 Год назад
Hatimaeeeeee
@RuzoOwzy
@RuzoOwzy Год назад
00:50 Subira yavuta kheri. Haraka haraka haina baraka. Hizi si zinashabihiana, ziko fresh tu. Au kachanganya na Ngoja ngoja huumiza matumbo!!!
@zizahissa8642
@zizahissa8642 Год назад
I was really waiting for loooooog 🙌🙌🙌🙌❤️❤️❤️
@hamisamsimbe4613
@hamisamsimbe4613 Год назад
Mm mwenyewe nilimpenda sana omary kopo mungu amsamehe dhambi zake
@zaynabmwanjovu8277
@zaynabmwanjovu8277 Год назад
Omary Kopa,,not Kopo
@japhtv9858
@japhtv9858 Год назад
Oya kingereza kingi bhana
@mammymammy997
@mammymammy997 Месяц назад
Zuchu Allah amubariki nampenda sana
@jennytugara9470
@jennytugara9470 Год назад
Go for it girl. elimu haikomi hata kina Kardashian wanafanya urembo na kasoma Sheria juu yake. Music ni era inafika mahali inaisha.
@loganpoul
@loganpoul Год назад
Salama lakini wajua nakupenda Sana?mamangu pia anaitwa salama so nikikuona naburudika Sana kama namuona mamangu,
@shaluuanthony1836
@shaluuanthony1836 Год назад
Our zuchu
@user-ki9le1jy8e
@user-ki9le1jy8e 2 дня назад
Wanao uliza kuhusu uvaaj miwan sjui nguo sjui viatu jmn hili swal muwaulize mafundi huko viwandan najua wanajua walichokifanya mpk kutengez nasisi kukubali jmn wat mjaj maisha yenu mkuta wengin mnataman kupat alivyo navyo lkn ndo hivyo 😅😅
@isihaqkerdehaqker1403
@isihaqkerdehaqker1403 Год назад
Sauti km mama yake
@esthermusanga8118
@esthermusanga8118 Год назад
Hongera zuchu kazi smart
@iradukundalvs4423
@iradukundalvs4423 Год назад
Vma sana
@yusraramadhan8203
@yusraramadhan8203 Год назад
😍👏🏿👏🏿
@chimamyatu4124
@chimamyatu4124 Год назад
♥️♥️♥️♥️
@mwanatumusalim1558
@mwanatumusalim1558 Год назад
Kiatu sasa zuchu 😁😁😁
@mwasity2348
@mwasity2348 Год назад
💕♥️💕💕♥️
@judithjulius5993
@judithjulius5993 Год назад
Hivi watu wanaosemaga zuchu ana sura mbaya Wana Nini! Mbona Binti mrembo hivi
@EugeneUroki
@EugeneUroki 9 дней назад
Kwasababu anamakali😅
@JumaKasikile
@JumaKasikile 28 дней назад
Hello zuchu❤❤❤❤❤
@EugeneUroki
@EugeneUroki 9 дней назад
🎉🎉🎉
@iddmohammed1086
@iddmohammed1086 Год назад
Lafudh tamu mno ya kizanzibari baina ya wazanzibari hawa wawili.
@farajavilla2379
@farajavilla2379 Год назад
Mziki sio masiharaaa na hanstone kapewa uo mtihani wa kustahmili lkn umemshinda
@aishadotto3640
@aishadotto3640 Год назад
Pole Zuchu
@kelvinshoo132
@kelvinshoo132 Год назад
Salama mlete chibu
@christinashaban7262
@christinashaban7262 Год назад
I was ,lwas lwas lwas lwas to much
@mwanahawamohammed8540
@mwanahawamohammed8540 Год назад
Mmh. Hivo viatu tunavaa kwenye mazingira ya baridi, lakini kwenye joto jamani 🤣🤣
@jescakweka7355
@jescakweka7355 Год назад
Kuna baridi hapo si unajua 😂 kiyoyozi
@mwanahawamohammed8540
@mwanahawamohammed8540 Год назад
@@jescakweka7355 🤣🤣🤣
@eddyempire9797
@eddyempire9797 Год назад
Interview ilipotea hii asee
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
Ilikuwa inakuja alafu inapotea 🤣🤣
@basilmwalongo6149
@basilmwalongo6149 Год назад
Zuchu♥️♥️♥️
Далее
Salama Na Shikana Ep 17 | DYNAMITE Part 1
29:48
Просмотров 338 тыс.
Salama Na Gigy Money Ep 12 | ZILE KHADITHI Part 1
25:27
Salama Na NANDY Ep 53 | MNOGESHAJI PART 1
35:35
Просмотров 313 тыс.
BSS 2022 SE13EP03 SALAMA JABIR FULL SHOW
1:32:37
Просмотров 27 тыс.
Не поймаю говоришь? ;)
0:55
Просмотров 6 млн