Тёмный

Waziri AWESO AMTUMBUA ELIZA bila huruma, wananchi walipuka kwa shangwe 

Habari Digital
Подписаться 1,2 млн
Просмотров 32 тыс.
50% 1

Развлечения

Опубликовано:

 

1 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 98   
@emilianchibinda82
@emilianchibinda82 3 дня назад
Wizara ya Maji acheni masiala jamani!! Eti hadi aje Waziri! Wengine mpo wapi? Aibu!! Serikali ajirini watu wengine!! Mambo haya hayana afya kwa Watamzania.
@hashimmawazo5503
@hashimmawazo5503 4 дня назад
Njoo kibiti mh,waziri kuna mengi uku miradi yote imekwama na pesa wamezitafuna
@msafiriomary893
@msafiriomary893 3 дня назад
Vibaka WA Kodi zetu hao
@festohaule9716
@festohaule9716 3 дня назад
Kwanini Watumishi wengi sana hawatimizi wajibu wao..kwanini Hatuwezi kujenga Nchi yetu pasipo dosari!!!!!
@user-tu9ps9kr2o
@user-tu9ps9kr2o 3 дня назад
Mhe waziri kwanza hongera.kwa msukumo wako wa nguvu hizo watabadirika Sasa watumishi .mhe makinda umetoa fundisho kwa wateule wa Mhe Raisi
@husseinamassanza50
@husseinamassanza50 3 дня назад
Kero za wananchi zinasababishwa na nyie nyie serekali msione watu wapo kimya ipo siku haina jina.
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 3 дня назад
Njoo arusha Waziri tunabambikiwa bill za majani
@user-oy2gp3nq4j
@user-oy2gp3nq4j 3 дня назад
Wanauza Maji wanamagari yao waziri wanakudanganya Hata huku makabe
@user-nm2jq7xo5f
@user-nm2jq7xo5f 4 дня назад
Tusilee uzembe mheshimiwa waziri wengine wajifunze
@albtstanislaus4319
@albtstanislaus4319 4 дня назад
Masikini hua tunafulaiya mwenzetu anapo pata shida
@deozomboko8949
@deozomboko8949 4 дня назад
Huyo ameshindwa kutumia cheo chake kwa hiyo anaenda kushushwa kwa lugha nyingine
@mahijayusuph8186
@mahijayusuph8186 4 дня назад
Tenganisheni siasa na kazi
@mahijayusuph8186
@mahijayusuph8186 4 дня назад
Nyie mnaoshangilia hamjitambui
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 4 дня назад
​@@mahijayusuph8186inawezekana Wakawa Hawajitambui Lakini Katikati Kuna Uzembe Na Dhuruma Kubwa Inayowapa Au Kutupa Chuki.
@godfreylyimo4177
@godfreylyimo4177 3 дня назад
Elizabeth ni mtendaji mzuri!!
@stevensteve7519
@stevensteve7519 4 дня назад
Watumishi wa serikali ni kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya nchi kutokana na kutofanya kazi kwa ufanisi na kutotambua kuwa wao waajiri wao niwananchi. Hili hawalijui kabisaa, wanadhani kuwa wao wako juu ya wananchi.
@ChristianSebastian-rh2fq
@ChristianSebastian-rh2fq 3 дня назад
MH, njoo na kisesa Magu Mwanza ni taaabu tupu
@George-jz3jg
@George-jz3jg 4 дня назад
Aweso huo ni ujinga tu kuondoka naye huyo Eliza ndo umeleta maji hapo?
@MnubiMm
@MnubiMm 3 дня назад
Huo ujinga sawa Wewe ungefanyaje?mwenye akili
@MOHAMEDSALEH-fl7kb
@MOHAMEDSALEH-fl7kb 4 дня назад
Mama Huyo. Tanzania ya Maendeleo Tunaitaka
@nelsongodfrey9952
@nelsongodfrey9952 3 дня назад
Msumi hatuna maji, lakini mbopo wana maji. 3km difference but dawasa wapo
@ProsistaTarimo
@ProsistaTarimo День назад
Jana nimelipa bill ya elfu 40 nalalamika kwa mwezi maji yanatoka mara moja kwa masaa matatu tu. Leo mnanihesabia kuwa mwezi mzima sijalipa. Nilipe 40 Tena wanaweka mfukoni. Fukuza wote mheshimiwa Aweso.
@Kalunirashidi
@Kalunirashidi 4 дня назад
Uweso nimekusoma ukichekano utavuna mabuwa alafu wakika pembeni wanasema Sisi mbaya
@lukumanisharifu
@lukumanisharifu 3 дня назад
Uweso njoo masasi mtwara hufiki kabisa Kuna madudu sana
@user-oy2gp3nq4j
@user-oy2gp3nq4j 3 дня назад
TUNAKUOMBA SASA MTUPUNGUZIE MALIPO YA KUWEKA MAJI MAJI YANAPITA MLANGONI UKIULIZA KUWEKA MAJI SH 270,000/=
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 4 дня назад
Hiyo Nifuraha. Lakini Kiakili Nifuraha Iliyochanganyika Nahasira.
@jtheophil5499
@jtheophil5499 3 дня назад
Sijui watu wana matatizo gani.Alafu kupata maji shida kweli kweli ukiritimba.
@AminaAmina-cr8jq
@AminaAmina-cr8jq 3 дня назад
Wazir njoo arusha mateves tunateseka na idara,ya,maji bil laki 3 kwa,mwenx na,barabara,vumb tynashidw,hata,kuuza yaya
@LovelyOmbreSky-pu4jt
@LovelyOmbreSky-pu4jt 3 дня назад
Naona sasa kakayangu umeamka sasa ila ujachelewa nilijuwa kasiyako imeisha ilanakujuwa Utendajiwako sinamashaka nawewe
@user-ow7pl6tz2c
@user-ow7pl6tz2c 4 дня назад
Mh waziri dawasa nitatizo niwazembe sana
@gililwise
@gililwise 4 дня назад
Mh njoo Morogoro Morowasa utalia maji tunapata mara moja kwa wiki kwa mwezi mara 4 bili inakuja 40,000/= Bhopal kata us bigwa
@user-oy2gp3nq4j
@user-oy2gp3nq4j 3 дня назад
Wanajifanya Miungu watu watumishi hawa sana ata ukipiga awapokei
@user-kv8sq6qz7g
@user-kv8sq6qz7g 2 дня назад
Moja Kati ya hazina kubwa ktika Taifa letu Ndugu aweso mzalendo wa kweli
@sadathboutique6253
@sadathboutique6253 Час назад
Nilichogundua binadamu wanafrahia mtu anapopatwa na matatizo nikiangalia wananchi wanavyoshangilia eliza anavyopata kibano nasikitika sna😢
@salummhina4857
@salummhina4857 10 часов назад
Uwezo huyo Mkurugenzi pia ungeondoka naye
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 4 дня назад
Poleni, ujinga uliopitiliza. Vitu vingine haviitaji waziri
@giftkalenge418
@giftkalenge418 3 дня назад
Utashitaliwa waziri Sasa huyu dada anakosa Gani wakati mkurugenzi wako ndo tatizo
@monicamaganga8681
@monicamaganga8681 4 дня назад
Waziri njoo kinodoni tunateseka sana
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 3 дня назад
Ni actual au sinema
@eddytheophil7626
@eddytheophil7626 2 дня назад
Safi sana❤❤
@nahlaaasidee1848
@nahlaaasidee1848 3 дня назад
Waziri Njoo Masasi-Mtwara kuna shida
@monicachacha455
@monicachacha455 2 дня назад
awesoooooo safiiiiii
@user-ch2it3qt5z
@user-ch2it3qt5z 4 дня назад
Hiii 😂nchi inakiki 😂
@ProsistaTarimo
@ProsistaTarimo День назад
mheshimiwa zunguka nchi nzima shida ni hiyohiyo. Utadhani wanaambiana. Ni kudai bill tu na maji hakuna.
@mamakayla6697
@mamakayla6697 4 дня назад
Kwa kweli waziri umefanya kazi vizuri ya kuchukua hatua ya kuja wilaya hii ya Kibamba, njoo na wilaya ya Ubungo. Ni shidaaaaa,njoo Kimara Bucha.
@FarajaLusuka
@FarajaLusuka 2 дня назад
Shida nini viongozi wetu jamani kwanini mnatufanyie hivyo maji hamna hata kwetu makurunge kigamboni hatuna maji wala umeme
@ahmedronga7583
@ahmedronga7583 3 дня назад
Ila wanawake dah!😅
@HamadaZubeirTahir
@HamadaZubeirTahir 3 дня назад
Musichikijuwaaa...mmmmmh..mpaka nawaonea hurumaaa
@serafinamalecela4728
@serafinamalecela4728 День назад
Eliza kiherehere kimemponza angekaaa kimyaaaa maskini
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 2 дня назад
Wanawake bado sana
@piusmapunda4255
@piusmapunda4255 2 дня назад
Mkuu njoo nahuku tanganyika dc kata ya ikola maji hayatoki nimwezi wa 3 sasa!,
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 День назад
Wamezoea kukaa ofcn piga na chin wote
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 2 дня назад
Tunamuona mhshmw Makonda group kazini.
@HamadaZubeirTahir
@HamadaZubeirTahir 3 дня назад
Anaweza akafukuzwa mbele ya Wananchi baada ya masaa akaitwa Ofisini akaambiwa endelea na kazi
@napoleonmutungi6866
@napoleonmutungi6866 День назад
Waziri kapiga simu kwa mkurugenzi wa miradi vifaa havijaletwa dada amefanya kazi yake waziri anafanya siasa ya kumtoa kafara Eliza na watanzania bila kutumia busara mnashangilia kwa roho mbaya tu
@HamadaZubeirTahir
@HamadaZubeirTahir 3 дня назад
Eti Wazili..wazili...wazili...sioWazilii...ni Waziri ndio kiswahili sanifu
@bahatielias6443
@bahatielias6443 4 дня назад
Ila kunawakati mwingine inakela
@reubenalfred9707
@reubenalfred9707 3 дня назад
Chanika Nzasa mradi wa maji ulifunguliwa na mwenge lakini mpaka sasa hatuoni hata tone la maji..!
@user-xm9xr5db1j
@user-xm9xr5db1j День назад
Kweli kabisa kaka..
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd 15 часов назад
SINA UHAKIKA KAMA NI TATIZO NI WATUMISHI WA CHINI (KINA ELIZA) WASI WASI WANGU TATIZO LIKO WIZARANI) ELIZA NI KAFARA TU!!! POLE ELZA
@KilonzoGodson
@KilonzoGodson 3 дня назад
Hivi Tanzania tukoje?
@josemalley1691
@josemalley1691 4 дня назад
Arusha mtaa x ndo balaa
@hamredhamis-cz6qc
@hamredhamis-cz6qc 3 дня назад
😊
@Bifa_2024
@Bifa_2024 3 дня назад
Wananchi wachonganishi ipo siku mwanao dadako Ndio atakuwa huyo Eliza alafu wamama wana midomo adui wa mwanamke ni mwanamke
@wamburasungura6812
@wamburasungura6812 День назад
Je maji yapo ? Au hayapo? Kama hayapo maji sawa waondoke tu maana wanachezea kazi sana
@ProsistaTarimo
@ProsistaTarimo День назад
Wanakuangusha mheshimiwa fukuza wote weka wapya waliotoka shuleni Hawa wameshalewa rushwa na uvivu. Wanapokea mshahara na kazi hawafanyi. Wanakera
@user-si4fu9dw8n
@user-si4fu9dw8n 10 часов назад
Wàtumbuwe mpaka wakaye sawa wasenge hawo wanakupa. Lushwa tu
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 3 дня назад
Mweshimiwa Aweso ww chukua mfumo wa makonda kusikiliza kero nakufatilia utendaji utakusaidia kisiasa na kujenga imani kubwa kwa wananchi
@juliusmbuya3814
@juliusmbuya3814 День назад
Uchaguzi umekaribia
@sharafisaidi7999
@sharafisaidi7999 3 дня назад
Njoo na mbagala mheshimiwa maji tunayaonaga kwenye video tu kibondemaja mtaa wa kimbangulile
@PatrickSepetu
@PatrickSepetu День назад
Wanalinga mno wakiwa ofcn hao
@monicachacha455
@monicachacha455 2 дня назад
timua haoooo
@florencekyande4443
@florencekyande4443 2 дня назад
mbona Eliza tu,huyo kaka aliyekosa mafaili ,yaoo wattsap je?mkurugenzi aliyeookea maelekezo kwa waziri asiyafanyie Kazi je?
@user-qy7he6cl8w
@user-qy7he6cl8w День назад
Makonda kaanza kupata mapacha
@jescajohn6619
@jescajohn6619 День назад
Eliza atapangiwa kazi sehemu nyingine ,na maisha yataendelea kama kawaida, hao wapiga kura wajinga acha waendelee kushangilia
@masalidorice3402
@masalidorice3402 4 дня назад
wanawake jamani wanashabikia mwanamke mwenzao afukuzwe
@bahatielias6443
@bahatielias6443 4 дня назад
Ila tujifunze ukipewa nafasi watumikie wananchi,ukipewa maelekezo na mkuu wako tafadhali fuatilia ,hapo unakuta gari ya usafili kapewa lakin mtu anaagiza tu yeye yupo ofsini, ama fungu lapesa linatolewa halafu hizo pesa wanaingiza kwenye biashara zao kwanza mpaka mda unaeenda wee Ndio wanakuja kufanya ,Sasa wananchi inakuwa ni mateso
@FilbertKalembe-fy4oq
@FilbertKalembe-fy4oq 4 дня назад
Safi kabisa mumelea ujinga mda mrefu tusaidieni halmashauri zote ziko hivyo
@petersagilo187
@petersagilo187 День назад
Mi sijaona kosa la Eliza apo mi nadhani udili na mkurugenzi wako ambaye anafuta maerekezo kutoka kwako na hatelekezi
@LaizerSaitoty
@LaizerSaitoty 3 дня назад
if huu ugonjwa dawa yake nn
@DandasiKundi
@DandasiKundi 3 дня назад
Waziri njoo mkoa wa pwani usikilize vioja vya dawasa eneo la lukuruti, mihande karibi na shule ya skondari wanasema vifaa hamna na hata hivyo wengine wanafungiwa sijaelewa wziri hapo kuna nino happ
@SultanaShaban
@SultanaShaban 3 дня назад
Njoo bonyokwaa mkuu
@YusuphMwangobola
@YusuphMwangobola 3 дня назад
Wananchi wamesha mchoka hyo dada
@danielelikana2615
@danielelikana2615 3 дня назад
Mfumo wa kuajiri unatakiwa kufumuliwa upya kabisa!! Wanaajiriwa watu wasiokuwa na uwezo wa kufanya kazi, wenye uwezo wanaachwa!!
@rahelmponda
@rahelmponda 2 дня назад
Kumbe unambadilisha kituo ila kazi yake Bado ipo, ujinga tupu na wanaokushangilia😅😅😅
@venancemwarabu7168
@venancemwarabu7168 2 дня назад
Ulitaka afukuzwe kazi? Kosa lake ni lipi? Matatizo ya kimfumo hata ukiwekwa wewe hapo utakutana na huo ukakasi
@thomastemu3332
@thomastemu3332 4 дня назад
Mtumbue huyo hawafai
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni 3 дня назад
Fukuzaaaa
@user-nm2jq7xo5f
@user-nm2jq7xo5f 4 дня назад
Awesu fukuza kazi wazembe hao
@Mumewangu
@Mumewangu 3 дня назад
Kama umesikiwa mwananchi anauza bangi. Nipe like zangu
@wisemaliva5376
@wisemaliva5376 3 дня назад
Wamesema anauza maji
@fatmaathumani7116
@fatmaathumani7116 3 дня назад
Watu tunahangaika kuzitafuta hizo kazi nyie mazwazwa mnanenepeana tu km mafurushi 😢😢😢
@user-MIO5pu1iv7o
@user-MIO5pu1iv7o 13 часов назад
😂😂😂😂😂
@monicamaganga8681
@monicamaganga8681 4 дня назад
😂 7:28
@KhalidAlly-je8ky
@KhalidAlly-je8ky 3 дня назад
Ujinga mtupu
@hashimmawazo5503
@hashimmawazo5503 4 дня назад
Njoo kibiti mh,waziri kuna mengi uku miradi yote imekwama na pesa wamezitafuna
@Kalunirashidi
@Kalunirashidi 4 дня назад
kweli uweso ndio mnatakiwa kufanya kazi siokupigiwa makofi wannachi wanaomie
Далее
Magician turns his Hair into Animal 😳
0:37
Просмотров 20 млн