Тёмный

#kivumbi 

Yuhai media
Подписаться 16 тыс.
Просмотров 120 тыс.
50% 1

LEMA AANGUA KILIO WANAICHI WAMEWACHOSHA BOLA WAHAMIE CCM WOTE HAYO AMEYASEMA AKIWA KATIKA MKUTANO ALIPOKUA AKIZUNGUMZA NA WANA NCHI AKIYASEMA KWA UCHUNGU MKUBWA

Опубликовано:

 

8 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 163   
@MichaelMatiku-v7o
@MichaelMatiku-v7o 5 дней назад
Rema ni mwanasiasa wa karine yetu ni mwanasiasa ambae kila mtz mwenye akiri timamu anapaswa kujivunia yeye hana tamaa wala uchu wa madaraka ni mkweli binafs najivunia yeye mwenyez mungu akuongoze kaka watanzania tunatambua mchango wako katika taifa hili
@mackrankagenzi5236
@mackrankagenzi5236 28 дней назад
Mwenyezi Mungu Tunakuomba Ibariki CHADEMA na Mwenyekiti Mbowe kwa jinsi anavyojitolea kwa hali na mali kuwezesha viongozi wake kuelimisha wananchi kuhusu mambo mengi ya Nchi hii ,Hakika najifunza mengi kupitia siasa za CHADEMA .#M4C #CDM .❤
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 27 дней назад
Mungu hawezi kukibariki chama cha wahuni
@graysonpastory1918
@graysonpastory1918 27 дней назад
Wapenda uhuru wa ushoga hawa, labda sera zao wazibadili upya ,uhuru uwe na mipaka,.​@@ndogoroedson199
@nyerere1259
@nyerere1259 27 дней назад
Anajitolea vp na chama ni mali ya familiar
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 27 дней назад
​@@ndogoroedson199Wahuni ni Ccm wanao hujum wananchi wao nakufundisha watoto wetu idadi ya miguu ya panzi wakati Hio idadi ya miguu ya Panzi haiwasaidii ktk maisha
@damianmcba9525
@damianmcba9525 27 дней назад
Ccm au walimu wanaofundisha miguu ya panzi?​@@TegemeaFutemakatifu
@allyalijai7143
@allyalijai7143 15 дней назад
Hamna kitu hapoo, utawadanganya wasiojitambuaa.
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 28 дней назад
Point god bless lema
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 28 дней назад
Mashaaalah lema,huna baya,
@Anordgration
@Anordgration 27 дней назад
Mzee democrasia ipi mnaongelea jamanii? Tengeneza kwanza democrasia ya chama chenu ndo muongelee hiyo democrasia
@shikuhata
@shikuhata 24 дня назад
Nakukubali tuu kwa kuishauri ccm kuboresha huduma kwa njia tofauti tofauti
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 26 дней назад
#TUNAIMANI NA SAMIA MITANO TENA,MAMA SAMIA OYEE, MAKONDA OYEEE, PITER MSIGWA OYEEE, BASHE OYEEE, CCM OYEEE.
@olivermwakikuti
@olivermwakikuti 25 дней назад
Oyeeeeeeeeeeeeeeee
@halimamasai2234
@halimamasai2234 22 дня назад
Oyeeeee CCM oyeee Msigwa oyeeee mama Samia oyeee Makonda oyeee ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@sammykateregga6238
@sammykateregga6238 28 дней назад
Hoaja zako zinaeleweka Mhe Lema nadhani Mungu ni mwaminifu naye atafanya kwa wakati wake. Watanganyika kama hatuelewi tupo tu kufikiria betting na michezo ya timu za nje tunazojua majina ya wachezaji wote ambayo haina faida kabisa katika ustawi wetu, lakni hatuna habari na jinsi gani mali zetu zinavyotumiwa. Laiti watu wangejifunza kutoka kwa Gen Z ya jirani. Mungu atuhurumie
@malikeyndotopopote
@malikeyndotopopote 27 дней назад
Salute bro
@estachengula3902
@estachengula3902 5 дней назад
Msingwa kuhamia ccmu kama anaroho wa mungu atajihikumu mwenyewe ametukosea watanzania sanaaa tulimpenda Sasa mmmmm
@tibbsminja2575
@tibbsminja2575 28 дней назад
Lema hebu acha story njooni kwenye Mada ya chaguzi zijazo na jinsi gani tunaleta mabadiliko.!!
@ShamteMaganga
@ShamteMaganga 28 дней назад
Subiri kampeni zianze
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 28 дней назад
Hii ndiyo hoja ndugu ambayo itakutia wewe uchungu uiondoe ccm Kisha ndo tuje tutengeneze katiba. Ccm hawataki kabisa kusikia hiyo kitu
@MnyamaTolu-kd5ct
@MnyamaTolu-kd5ct 28 дней назад
Nakukubali Mwamba
@thomasrobert-bf1mf
@thomasrobert-bf1mf 27 дней назад
mbona kipindi ukiwa ukiwa mubunge mbona hujawai kusikika
@JoshuaSabu-r2p
@JoshuaSabu-r2p 23 дня назад
Unamfaham vzr alipokuwa bungeni
@JamesMatondo-fk4bh
@JamesMatondo-fk4bh 28 дней назад
Hongera kwa mawazo mazur
@user-vb8ki3jo9t
@user-vb8ki3jo9t 25 дней назад
Ulipo kuwa mbunge ulishindwaje kufanya hayo muzeeee acha uongo watanzania wanaakili
@talentshow2024
@talentshow2024 24 дня назад
Mh
@user-vr1ly3rw4h
@user-vr1ly3rw4h 23 дня назад
Mbunge kazi yake ni kuishauri serikali wewe
@JeremiaholendikaMakeseni
@JeremiaholendikaMakeseni 28 дней назад
Hogera sana kiongozi makini
@Flaviosafari
@Flaviosafari 28 дней назад
Wanataka Mungu ashuke labda aongee mwenyewe ? Wakati unakuja.
@stanastana3199
@stanastana3199 28 дней назад
Nenda ccm lema,chadema utafulia sana
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 28 дней назад
Hakuzaliwa hivo
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 28 дней назад
Akili zako na kufikiri kwako ndiyo kumeishia hapo! Lema siyo type yako kununuliwa kwa tamaa kama mnavyonunua wengine! Hovyoooo kabisa!
@stanastana3199
@stanastana3199 28 дней назад
@@usembiphonedar5632 hii komment naitunza,ni swala la mda tu
@halimamasai2234
@halimamasai2234 22 дня назад
Anakaribishwa hata Msigwa mlisema hataenda CCM yako wapi na Lema ajee tu chadema wamekwisha ki siyasa wanaimba taarbu tu sasa 🤣🤣🤣🤣
@user-kc6hg1se7b
@user-kc6hg1se7b 26 дней назад
Mungu atusaidie WA Tanzania ambao hatuna uelewa, pipooooosss
@foibennjeje7730
@foibennjeje7730 28 дней назад
Mbalikiwe Mungu ndugu zangu
@user-od1pl6ox5m
@user-od1pl6ox5m 26 дней назад
Mungu awenawe mwambaaa 🙏🙏
@carloschikawe3244
@carloschikawe3244 27 дней назад
Aisee Mungu atusaidie
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 28 дней назад
Kama Lema ni mwongo basi mkweli atashuka kutoka juu
@abubakarimchani8362
@abubakarimchani8362 26 дней назад
Iko sawa mkuu wangu
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 28 дней назад
ila hawa wapinzani wameteseka kweli
@user-qh5lq7gx2b
@user-qh5lq7gx2b 26 дней назад
Hongera sana kamanda lema
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 28 дней назад
Leo wanasema Tanzania ya viwanda
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 28 дней назад
Lema umeongea jambo sahihi sana
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 28 дней назад
Kapunga wameiua wenyewe, halafu wanaagiza mchele kutoka
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 28 дней назад
Na mashamba ya Basuto enzi hizi😮😮
@MnubiMm
@MnubiMm 28 дней назад
Lema mnalipwa pesa za Wabunge Wabunge VT Maalum mmelipa pesa za Ruzuku ya chama zaidi ya bilioni 2 useme na hayo Kama kweli wewe na chama chako ni wakweli chama chenu lema sio chama Cha kutawala nchi ni kwa sbb sio chama Maamuzi yote yako kwa Mtu mmoja ni hatali hataki kupingwa ww lema na ubabe wako wote ww unamuogopa Mbowe kazi yenu kudumisha fikra za MWENYEKITI hayo unayosema aliyasema Ruto siku mia moja Leo kafeli Kila kitu Kodi mmpaka kwenye mkate kusema kitu kingine kutenda kingine lema nchi sio Jimbo usirahisishe Kila kitu wenye Akili wanaelewa hiyo katiba mpya tume huru ndio iliyomuweka Dr Ruto Madarakani Kama ndio hoja Leo Kenya ingekuwa Paradiso lakini Kenya hapakaliki kisa Kodi Matunda ya katiba mpya na tume huru katiba mpya tume huru sio dawa Dawa Nani Mtawala ingekuwa dawa tungeona Kenya
@edgeredson9691
@edgeredson9691 25 дней назад
Chama hiki kinazungumzia wabunge kukamatwa mara lema kuwa na kesi mara risasi,, sasa hik chama kitazungumzia matatzo ya wananchi? Hiki chama kila mtu ni selfish
@barakamanga5502
@barakamanga5502 27 дней назад
Upo sawa
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 28 дней назад
Nabii wa Mungu piga kazi Ikulu safari hii ni yenu
@DanisNwita-il8zg
@DanisNwita-il8zg 28 дней назад
Kaka ikilu ipi ,kwa katiba gani?
@ngwandukadama4229
@ngwandukadama4229 28 дней назад
Kwa hiyo
@TarimoMangi
@TarimoMangi 28 дней назад
Nabii ikulu ni yenu #CHADEMA# WANAMAPINDUZI.
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 28 дней назад
Thubutuu kwa huyo mkimbizi wa saccos ya mfalme mbowe makengeza?
@pennymahombo9528
@pennymahombo9528 28 дней назад
Great visionary
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 28 дней назад
Kweli tunaongozwa na watu wasio na uwezo
@heriethmsambili5711
@heriethmsambili5711 25 дней назад
😂😂😂hapo kwenye tunaongozwa na machiziiiii😅😅😅
@rehemakarafuu-xi1py
@rehemakarafuu-xi1py 28 дней назад
kichwa san mwamba
@godhelpmassam3480
@godhelpmassam3480 25 дней назад
Ee Mwenyenzi Mungu tusaidie.
@edsonmoris
@edsonmoris 28 дней назад
Nimekuelewa lema
@MohamedHamsini
@MohamedHamsini 27 дней назад
LEMA MUONGO SANA WEWE ULIKUWA MBUNGE ULIFANYA NINI?
@ericlowasa3097
@ericlowasa3097 24 дня назад
Ulitegemea atafanya nini na bajeti ya utekelezaji wa maendeleo kwenye majimbo wanatoa ccm kunachakufanya happ
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 28 дней назад
Mungu akubariki Lema. Kweli tupuu unayoiongea.
@UmmyDaud
@UmmyDaud 24 дня назад
Sema lema inatakiwa tushikamane hakuna kujali kitu😂
@eliasnshashi3196
@eliasnshashi3196 28 дней назад
Upon sawa
@emmanuelmashishanga7141
@emmanuelmashishanga7141 28 дней назад
Nisuala la muda tu
@sadicksingogo260
@sadicksingogo260 27 дней назад
Unasikika mwanaume
@HashimuAbubakar-ej8gc
@HashimuAbubakar-ej8gc 28 дней назад
Wananchi siku wakiweelewa hoja zenu amtatumia nguvu kushawshi watu
@user-rk9gr9yf3i
@user-rk9gr9yf3i 28 дней назад
Huna mpango kilichobaki kakojoe ukalale unataka siasa ndo hiyo
@dianamakyara4210
@dianamakyara4210 28 дней назад
✌️✌️✌️
@AbdallahBabu-jl8ld
@AbdallahBabu-jl8ld 28 дней назад
Mngefanya hata moja lamaana sio kusambaza maneno hata kwenye kanga yapo
@azizimangara9024
@azizimangara9024 28 дней назад
Watanzania wapo Timamu. Tofauti na mnavyo wafikiria., Bora kibaya ulichonacho, kuliko kibaya zaidi, ambacho Aupo nacho. Wa Tz tunawafahamu vizuri saana, walio madarakani na nyinyi msio kuwa madarakani. Toa sera safisha Kwanza kwako ndo umwambie jirani uchafu wake, unamsema mwenzio ajaoga siku mbili wakati wewe mwenyewe ujaoga mwezi!!!!
@user-lw3tg3yg5b
@user-lw3tg3yg5b 28 дней назад
Viongozi
@noelyhaule5695
@noelyhaule5695 28 дней назад
wew n hasara kwa taifa
@erickmsigala138
@erickmsigala138 28 дней назад
Ulipatikana Guest akili mgando ndiyo maana mnajiita Chawa wachafu wakubwa nyie miccm
@pennymahombo9528
@pennymahombo9528 28 дней назад
Huwezi misquote ukimya,bora ukae kimya kuliko kuzungumza ujinga wenye akili watakudharau,
@mwaramimbuya5443
@mwaramimbuya5443 20 дней назад
amina ccm mwamba
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 28 дней назад
Kwa hiyo tukudaidie.nini
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 28 дней назад
kweli chadema mnazidiwa na mwamposa
@davidmalisa8043
@davidmalisa8043 26 дней назад
Hamna mtu hapo lema ni hewa nenda machame
@samwelsimon7392
@samwelsimon7392 28 дней назад
umesahau na kesi ya mkeo
@daudibukuku6490
@daudibukuku6490 28 дней назад
Hao watu au mchanga???? People's!!!!!!!!!!!!!!!
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 28 дней назад
PAMBANENI. KARIBU KUNAKUCHA
@KaburuKimath-eu5nf
@KaburuKimath-eu5nf 28 дней назад
Cha msingi watu wajiandikishe tukutane kw sanduku la a kura
@sarahdeograthias9097
@sarahdeograthias9097 28 дней назад
Mungu mbariki Makonda
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 27 дней назад
Makonda Kwa nafasi yake si haba Lakini Hawa jamaa wanafanya Kazi kubwa sana kutufungua faham zetu, vinginevo Ccm watatuumiza sana
@RwegoshoraPatt-os2ik
@RwegoshoraPatt-os2ik 27 дней назад
Lema zuri gani umewafanyia watanzani?
@AnaniaBulaya-rc3jv
@AnaniaBulaya-rc3jv 28 дней назад
Kama hampati Hela yoyote.Hela ya ruzuku imetoka juzi imeenda wapi?
@frankjoely3313
@frankjoely3313 26 дней назад
We ni mpuuzi tu
@molenicharles9107
@molenicharles9107 28 дней назад
Napita tu...ila njaa mbaya
@thomasrobert-bf1mf
@thomasrobert-bf1mf 27 дней назад
mbona ujawai kuongelea bungeni
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 28 дней назад
Sasa wewe unawatetea wanyonge yajaze hayo maji acha ngonjera zako
@mbikamtanganaki
@mbikamtanganaki 27 дней назад
Tulikupa ubunge ukaenda bungen kupinga kilsa kitu tuambie kipindi chako ulifanya nini
@MeshackKaboja
@MeshackKaboja 28 дней назад
Hamna lolote mjingatuu ndo atakuerewa
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 28 дней назад
Zero brain ww
@user-mo3ik6go6r
@user-mo3ik6go6r 27 дней назад
Kuwa na hakili kidog
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 28 дней назад
Fisiyemu ni korona ya taifa la tanganyika
@samwelsimon7392
@samwelsimon7392 28 дней назад
chadema bado sana nyie pigeni kelele tu mtimize wajibu wenu wa kupayuka mchoke mpate usingizi vizuri
@emmanuelkyandochali990
@emmanuelkyandochali990 27 дней назад
Mnatoa wap pesa
@reginaldmapunda6702
@reginaldmapunda6702 10 дней назад
Water table yake ni maji.
@MajaliwaTalali
@MajaliwaTalali 27 дней назад
❤⁹ooo😊
@user-px1tc1nj1w
@user-px1tc1nj1w 28 дней назад
Unachongea tu
@davidchihimba9489
@davidchihimba9489 28 дней назад
Asee mungu anaona yote haya hao mambwa wachache kwa nini tusiwauwe tu mizoga hao wanatesa watu kwa faida gani
@ProsperMsemwa-g8n
@ProsperMsemwa-g8n 6 дней назад
Chadema ndio chama sahihi kinaonekana
@sarikielimbise447
@sarikielimbise447 27 дней назад
Peleka huko,wewe hata familia inakulalamikia, licha ya Nchi,mkimbizi
@user-md7sd3hk6l
@user-md7sd3hk6l 28 дней назад
nai penda chadema sana wa sema kweli siyo wale uki sema ukweli una tolewa bungeni muongo ana pigiwa makofi
@gracemairusya2950
@gracemairusya2950 28 дней назад
Hiyo kauli ya magufuli umeiba
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 27 дней назад
Kauli Gani? Au Kauli zikigongana ni kosa? Acheni Ushamba nyie ma Ccm
@hamiltonmzee6120
@hamiltonmzee6120 28 дней назад
😢😢😢😢😢😢😢
@user-bj9nb1yh3o
@user-bj9nb1yh3o 24 дня назад
Luzuku mnapeleka wapi wacheni usani
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 28 дней назад
Kateshi ulikuwa na ngano saafi,wengi hamjui lkn sisi tunaona ulikuwa ni kama ulaya
@DanielManumbo
@DanielManumbo 24 дня назад
😅😅
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 28 дней назад
Kenya demokrasia sasa inawatesa.
@athumanmtunguja4412
@athumanmtunguja4412 27 дней назад
tatizo hapo kunawapiga hela kila mtu anatetea tumbo lake
@dunstankihaa2383
@dunstankihaa2383 27 дней назад
Majitu ya Tanzania hayaelew kabsa
@KudraWanguvu-em1xw
@KudraWanguvu-em1xw 28 дней назад
Huyu huwa hamna kitu ungekuwa mkweli mngelekebisha chama cha cdm
@hanujoseph8809
@hanujoseph8809 27 дней назад
We ndo hamna k2
@Flaviosafari
@Flaviosafari 26 дней назад
@@KudraWanguvu-em1xw wewe ndio zaidi
@nabimanyafesto5014
@nabimanyafesto5014 28 дней назад
Tunawaomba Karagwe jamani
@NusraMwalyawa
@NusraMwalyawa 24 дня назад
Wachane hao
@ibrahimgwasma1223
@ibrahimgwasma1223 26 дней назад
Lema lkn ulikuwa Mbunge hapa Arusha miaka 10 je huduma inayopatikana Arusha ni tofauti na majimbo ambayo ni ccm ?. Au ndo kusema mpaka serikali
@ombenipenieli1432
@ombenipenieli1432 26 дней назад
Hakuna anaelipwa mshahara ila nyie mnapiga hela milioni hizo mnatoa wapi?acheni kutudanganya lema hiyo hela mngefanyia maendeleo madarasa zahanati mimi ningewaelewa acheni porojo
@ZakayoYohana
@ZakayoYohana 26 дней назад
Yani Kodi akusanye mwigulu harafu zahanati ajenge lema huna Akiri
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 28 дней назад
Yeye amepata wapi?
@MusaOgwoko
@MusaOgwoko 28 дней назад
Chadema mna Kura nyingi
@TonyTrans-xw3bb
@TonyTrans-xw3bb 28 дней назад
Hapa wapi?
@nasibuabasi4701
@nasibuabasi4701 27 дней назад
Ruzuku ya chama inatumika kwenye nini?
@lorubaadvocates
@lorubaadvocates 28 дней назад
Business
@jumashimba9620
@jumashimba9620 28 дней назад
Lema wewe ni mzalendo
@kiyabolnjemu9646
@kiyabolnjemu9646 28 дней назад
Mzalendo kwenye nn? Halopwi mshahara na hayo matumizi anapata wapi?
@YassinRajabu
@YassinRajabu 28 дней назад
😂😂😂😂😂​@@kiyabolnjemu9646
@ShamteMohmed-ed2kk
@ShamteMohmed-ed2kk 28 дней назад
Ruzuku kazi yake nini?
@philemonsnyanda9450
@philemonsnyanda9450 28 дней назад
Haitoshi ndugu
@abuuawalina2625
@abuuawalina2625 26 дней назад
Chama ni CCM tu. Nchi hii, tunajuwa baadhi ya makabila yenye ukabila. Tunajuwa watu wa kaskazini asili yao wanaukabila sana, huo ndio ukweli. Haito tokea nchi kuchukuwa Chadema, labda chama kingine
@olivermwakikuti
@olivermwakikuti 25 дней назад
Hakika ccm ni chama dume chama imara kigum kutoka madarakan
@samsongazika8908
@samsongazika8908 26 дней назад
Unatembea faida yako nn
@user-px1tc1nj1w
@user-px1tc1nj1w 28 дней назад
Sasa hapo kuna sera gani
@NDEWARA
@NDEWARA 28 дней назад
CHADOMOOOO 😂😂
@MichaelEliasmwampamba
@MichaelEliasmwampamba 25 дней назад
Wakati wewe ni mbunge mbona hayo haukufanya nakwenye jimbo lako ulifanya nini wewe
@MenelusCzar
@MenelusCzar 28 дней назад
🥹
Далее
Это iPhone 16
00:52
Просмотров 924 тыс.