Mche mola wako kwa wewe unapotosha watu harafu naomba ujibu kaongeze elimu na mungu ni nani / kama tumia neno allah harafu hayo matumbo yenu na uchu wa madaraka arfa siku ya tisa katika mwez wa zur,hija makwata allah aongoze viongoz wake
Hapo kweli umechanganya mambo kwasabu haziwezi kufanana arafaya kukusanywaloro na arafa ya kisimamo cha mahujaji nakukumbusha arafaya sasa ni ileya kusimama mahujaji sioya kukusanywa roho hataukizunguuka ukatoa mifano ya china hainamaanayoyote
Mnatuumiza vichwa kuwaeleza, kaeni chini msome kwanza kabla ya kuhoji au kujibu, unazungumza halafu hueleweki unazungumza nini. Sheikh anatoa mazungumzo ya Siku ya arafa maana yake nini wewe unazungumza mambo unayo yajuwa wewe. Unaambiwa funga imeanza kabla ya hijja bado huelewi. Kasome kwanza.
Unaweza kuwa sawa na unachokiona... Lakin hoja ya msingi ni kupishana kwa siku mbili tofauti... Ikiwa Mungu aliewaambia wafunge kwa kuuona na wafungue kwa kuuona ni waislam waliopewa quran na kuipokea na ni walimwengu mzima siyo wa location fulan kwann unapoandama mwez dunia popote pele tusiufuate ikiwa wale ni waislam na wameuona mana Mungu aliposema fungeni kwa kuuona hakuweka matabaka ya kusema kwa sehem flan ila wangine wasubiri mpaka wauone au watimize maana yake hii sunna kuna baaz itawakosa I kwa wote wa dunia nzima atashindwa kufungua et mpaka uone...... Sawa tuachane na ayo kama hatutaki kuifanya maka iwe uongozi wa dunia kuandamisha mwez ili tufuate... Mbona kibla tunafuata... Na mbona hijja tunaenda hiji kule
@@saidilikananowe1446 ww ubongo wako umeganda... Walioambiwa apa ni waislam.. Wote.. Quran haikulenga location... Inaposema yaaayuha nnasu au yaaayuha nlazina amanu ni kwa wote maana yake unapisikia sehem flan umeandama wote sisi ni waislam tunatakiwa tuabalishane
Sheikh walidi hapo umekoea kdg hija na arafa zilikuwepo, kwani muanzilishi ni Ibrahim baba wa mitume na wewe mwenyewe umesema hapo punde kua mambo ya kuchinja na hijja yameanza zama za nabii Ibrahim , na ndiomaana kabla ya mtume Muhammed watu walikua wafanya ibada ya hija ila kufaradhishwa hijja ni zama za mtume Muhammed swallahu alyhi wasallam. Ila arafa imebaki kua ni sunnah
SUBHANALLAH! MADAARAKA HAYA NI MTIHANI KWELI! HIVI MIAKA MICHACHE ILIYOPITA WAKATI UNASEMA ARAFA INAENDANA NA KISIMAMO CHA ARAFA ULIKUWA UNA CHANGAMOTO GANI???MUOGOPENI ALLAH NYIE BAKWATA!!
Shekhe walikid muogope mungu wako kwa fatwah unazozitoa kwa waisilamu wa tanzania hakuna tarehe 2tofauti kati ya saudia na Tanzania ingia kwenye word krock tunajua kinacho waangaisha maslahi ya dunia hakuna Asiye jua kuwa BAKWATA.Aliiasisi Raisi Nyerere huko Iringa mwaka 1968
UMESOMA WAPI ? MBONA MASHEKHE WA SAUDIA NDIYO FATUWA YAO HIYO MAWAHABI WA TZ HAMWISHI KUJIPENDEZA KWA WASAUDIA WAKATI WASAUDI HAWANA HABARI NA UPOTEVU WENU MAWAHABI ALLAH AKUONGOZENI NYINYI PAMOJA NA SISI AMIN
UPO VIZURI SHEKHE MWEZI NDO UNAFATWA.ANAGALIA ULIPO.WANASIMAMA ARAFA WE SOMA DUWA ZAKO KAMA KAWAIDA NA SIKU YAPILI ENDELEA MUHIM ANGALIA MWEZI NA TRH ULIPP
Hebu jiulize nafsi yako je Ile siku ambayo watu wote duniani pamoja na ndugu zetu watanzania pia wanaposimama arafa makka sio yaumu arafa ?na hii siku yetu ya kitanzania Tu ndio siku ya arafa?tusiburutweee ndugu zangu na watu wasio na elmu Bali tuwasikilize watu wenye ilmu ahlulilmu.tuitukuze ibada ya hijja tusije tukapinga nguzo ya kiislam.unajifananiza na watu wa marekani na China wakati wewe uko karibu na Makkah umepishana nao Makkah Kwa dakika Kumu na tano tu.waangalieni hao mashehe zenu hao ubwabwa wanatoa mawaiza ya Stori za paukwa pakawa kisha wanakushanya hela hapo halo mbele yenu , ndugu yangu amkaaa!
Jibu la kua hakukueko simu wala tv wala radio,hao walikua na udhur na ajabu unae jigamba msomi kama wewe, ukaiponza hii kaida " ما جاز لعذر بطل بزواله.Lenye kuruhusiwa kwa udhuru, ruhusa inabatilika kwa kuondoka udhuru. Imam suyuti katika kitabu chake, Al ashbah wannadhaair
ALAFU MBONA NYIE HUWA MNAPENDA KUTOA MFANO WA CHINA AU AUSTRALIA? KWANI TANZANIA AMBAYO MNAISHI INATOFAUTIANA NA SUUDIA MASAA 6??? WEWE TNZANIA UNAPASWA KUZUNGUMZIA MACHWEO YA TANZANIA NA SI CHINA MAANA SISI SIO WACHINA!
Wanazungumzia china maana tumeambia ndani ya quraan itafutieni elmu japo china Mfano mwengine tu suudia ni arafa uk australia canada na nchi nyengine bado haijafika hiyo siku upo ndugu yangu
@@shamzone388 Sasa yeye aache kupotosha umma kwa kutetea maslahi yao aizungumzie Tanzania na Suudia kwmba je tuna tofauti ya maasaa 6 kiasi kwaba tuwe na trh mbili tofauti??
Hivi unajuwa saudia wanaswali alfajir saa tisa kama nusu hivi je tz wanaswali alfajir saa ngapi kwa hiyo hata kama masaa yako sawa ila kwa Saudi jua liko mbele sana
@@makenaOG kutofautiana masaa na mawio na machweo co hoja. Mtume allaah amfikishie rehema na amani ametufahamisha tufunge cku ya arafa. Hvy alie mbele au nyuma ya saudia (TUKIO LA ARAFA) ataanza swaumu kwa mujibu wa alfajiri ya mahali alipo lkn siku ni hii hii jumamosi kwa maana hakuna nchi iliozidi masaa 8. Kwa sbb huko china saa hii saa kumi na nusu hvy yumo ndani ya siku ya Arafa (JUMAMOSI) na huko canada saa hii ni saa kumi na nusu Alfajiri wanakula daku kwa ajili ya swaumu ya arafa ndani ya jumamosi hii hii. HVY TOFAUTI YA MASAA, MAWIO NA MACHWEO C O HOJA Y MSINGI Kw nn tuwe na siku 1(JUMAMOSI) lkn tarehe zitofautiane? Tafakari
Mtume alisema"HIJA NI ARAFA"sasa hizo porojo za nini?au hii hakuipata?hapa sio pahala pa vichekesho ni pa kutoa hoja za kielimu!huyu kweli ni kiongozi wa waislamu?
Hatutaki manrno kujifanya unahua kuongea et kuchanganua Ni kinachotakiwa ushahid na wa qur'an na hadith Sio mabeno utoe kichwan Huyo unae mtaja nurdin humuwez Ubishi tu lkn nafsi inakusuta
Sasa kama hiyo siku ya arafa ndiyo siku zilizoumbwa roho zote.Jee hizo roho za Wanzibari wa Oman wa Saudia wa Tanganyika ziliumbwa siku tofauti na hii Iddi tunayosali mwezi kumi haihusiani na hijah ya huko Makka?
Matumbo yatawapeleka Mashekhe Pabaya... Hayo ni kwa wale mapoyoyo.. Illa kwa watu wenye akili sawasawa na kuchanganua haqiqa ya dini hamuwezi kuwapoteza kizembe haiwezekani. Saudia na Tanzania....swasawa tuu.. Tuliopita ktk darasa la Geografia...tunawaona mnapiga tiktaka tuu illa mwajua ukweli..
Hakukuwai kuwa na hoja suudia na tz bali duniani na ikiwa dunia wakat suydia saa12 kwengin saa9 usiku awajapat taraweh awajatia nia awa watafung sawa na saudia
Mbona hutuambii Tanzania watwambia chaina? Alafu hujambiwa swamu ya siku ya arafa, hivyo hata tukitafautiana masaa 10 ikabaki masaa2 tu bado yupo ndani ya siku ya arafa. Haya ww hapo na maka mnatafutiana matlai?
PIA HAIINGII AKILINI ETI TANZANIA NA SUUDIA ZINAPISHANA TOFAUTI YA DK.CHACHE ZIPISHANE TAREHE YAANI NA TRH MBILI TOFAUTI!!! NYIE ENDELEENI KUTETEA MASILAHI YENU KWA GIA YA DINI
Baada ya kuteuliw aumebadili msimamo ? We si ulisema tuende sawa na arafa ? Wape wafuasi wako hadisi za mitaani uongo ukiwakolea wacheke Wakishacheka watakuona ww bonge la shehe Kumbe hamna kitu ni ilmu l falaq tu
Waislamu wote nindugu sasa unapungukiwa Nini ww muislamu watanzania Ambae masaa,siku zinaendasawa namji mtukufuwa maka ambako ndipo inapotekelezwa ibadatukufu ya hija ambayo ndaniyake inapatikana kisimamocha arafa unakossnini ukifuata tareheya mahujaji unakossnini na tangazo la Allah tushikamane kwenyekambamoja sasa ipi mnang,ang,ANIA tarehezenu tuwekeni wazi mnapata faidagani mkitengeneza hitilafu sahemu ambayo ipowazi sana?
Shida yenu mkishindwa hoja mnatia huruma na kusoma Aya nyengine 😂😂jibun hoja kwenye sunna na hadith uislamu sio WA Tanzania peke yake na Wala wacha Mungu hawako hapa peke yake
@@braqutourssafaris4672saa wakati makka wanaon mwezi kuna nchi huko saa9 usiku awajapata taraweh atania awakupat je dunia nzima twende sawa . Kwasab atasaa za kizungu akuna anaengalia kwa mwenzie anaangalia masaa na dkk zake zitimie cku ibadilike
kwan Tanzania na kenya si nichi tafauti kabla palpokua hapana mawasliano kila nchi ilikua inafunga peke yake nn kilchowafanya sasa hv kufunga pamoja kama si mawasliano
Na ndio siku Mtume swa alishukishuwa Aya alyawma akmaltu lakum diynamum akiwa katika Kisimamo cha arafa,waambie nahilo. Hadithi ndani ya bukhari na muslím