#sirizabongo Kutana na Askari mwenye Mbwembwe balaa Barabarani akiwa kazini, Ni vituko Mwanzo Mwisho, Utampenda! Askari huyu mara nyingi anakuepo maeneo ya Mbezi shule, Mwenge
Namkubali sana huyu jamaa,hata ukiwa na hasira ukimwona tu zinapotea.kama matraffic wengine wangekuwa hivi,tanzania tungekua mbali sana,mungu ampe maisha marefu.
Yaan hata mda wa Kuwaza rushwa hana hata kidgo yaan nampenda sana na alivyokijana anapendeza sana na Mungu kampa mwili mwepesi furahia tu kazi yako kijana ❤❤❤❤
@@alexymdee pesa siyo kitu bro. apandishwe cheo kwa ufanisi wake maana anaweza kuwahimiza wenzake kujitoa kazini Kama yeye na yeye akiwa role model wao. vile vile cheo kikipanda sidhani kama mshahara wake utabakia pale pale
Napenda Askari Wote Wange kuwa kama Huyu! Maana pia anaondoa pia hata stress za madereva.Hongera Zake Kipenzi cha Madreva.Mungu Amwongezee Umri na Afya njema.
Kwa mm binafsi kwakweli nimejifunza kitu huyu askari anaipenda sana kazi yake wala hajalazimishwa piya inatakiwa awe mfano kwa wengine utakuta trafiki anasababisha foreni bila sabbu za msingi ila huyu dah!!! aiseee big up sana bro God bless you
Mungu amlinde katika kazi yake, wangepatikana Askari wengi kama huyo katika majiji makubwa hapa nchini foreni zingetoweka na maendeleo yangekua kwa kasi, maana watu watafika kwa wakati katika kazi zao.
Mm namkubali sana tena sana na ni shauri mzuri kwa madereva kama kuna mapungufu katika gari hatoi adhabu atakupa onyo , kwa mdomo, ilikaidi unapigwa faini Mungu mtie nguvu
This man must be promoted binafsi nilishawahi kumzawadiya 20,000. Akiwepo hapo makutano ya fire. Good guy serikali impromote itakuwa motisha kwa wengine. Japo I will stay missing him
Asanteee sana yupo vizuri sana Lakn pia hicho ni kipaji.kuroka kwa Mungu.kweli hasa Maana sis tunaona kwa macho yetu. Wenyewe kuna matrafk wana upendeleo kabsa hawamuogop mungu. Ukfka matumbi unakaa masaa ma2 Mpaka uvuke tazara hv ni kweli
Yaani Ningekua Dereva Ningempa Hata Lako Moja Maana Kanivutia Sana Wengine Wamebakia Rushwa Tyu Buku Buku zetu Wana Chukua Watakufa na Laana za Rushwa na Watakufa Vibaya
Good Job,siyo rahisi kuiga kitu ambacho hakiko kwenye damu,huyu askari anaipenda kazi yake na hivyo ni vizuri serikali imuangalie. Muda wote anasmile,hata akikamata mtu huwa anaelimisha na hapendagi rushwa.Mungu ambariki
Safi sana kwakweli inafurahisha inaonyesha jinsi gani anavyo ipenda kazi yake namuombea kwa MUNGU YESU AMLINDE NA MABAYA YOTE YASIMPATE DAMU YA YESU IWE JUU YAKE POPOTE ATAKAPO KUA
Jamaaa anafanya kazi vizuri sana inafaa aongezwe cheo Ila hata akipewa cheo zaidi ,asiache kuongoza magari barabarani . Kulikuwa na mtu akiitwa mayenu pia vizuri sana.
Hakuna jambo zuri kama mtu kupenda kazi yake MUNGU AKUBARI Traffic officer asipandishwe Cheo ili azidi kuonyesha mfano mzuri wa kazi lkn aongezewe mshahara
Nimependa pia nafikiri ni askari kijana ndo maana. Askari ambao umri umeenda pia na walionenepa wanaona tabu kusogea sogea haraka kwa kuchangamka wanasimama sehemu moja, japo wapo vijana ambao hawajitumi hii inakuwa nitabia ya mtu pia.
Mm mwenyewe nimempenda Sana tena Sana kweli anaipenda kazi yake wengine niwakorofi Sana huyo anavyoonekana hataukikosea hawezikukuazibu Bali atakuonya tu
Dah! Huyu me hua namkubali sana ni mtu flan wa kipekee sana kwanza hajisikii hana malingo ni kipenzi cha watu na ndo zao la Marehemu linabaki kiasi😭😭😭😭 yuko poa sana
Huku kutesana tena karne hii ya technology Msiweke traffic lights kwa nini Hongera kwa kujitoa askari wetu ila afya yako ni muhimu pia ili ulitumikie taifa na familia yako kwa umri mrefu zaidi
@@jemawiliam9075 kweli anasaidia unakuta taa zinaruhusu upande ambao magari hamna au machache, so anasaidia sana nimependa ubunifu sio kila saa stooop! Lete kadi lesenia mara bima mara fire extinguisher
Huyu jamaa ktk kazi yake anapata faida nyingi sana 1)Mshahara 2)Umaarufu. 3)Mahusiano mazur na watu 4)Uchapakazi nzur kazini/kwa ofisi 5)Mazoezi. Yaan huyu haitaji gym hata akiondoka hapo basi kila kitu kipo sawa ktk mwili wake. Kwa kifupi yupo vzur sana ktk majukumu yake.
Mwenyezi mungu akulinde akupe maisha marefu, lkn pia uwe makini na vyombo barabarani maana break hua zinafeli wasije kukuumiza bure traffic wetu. Siku nikija TZ ntakutafuta
Kazi na burudani na Raha jipe mwenyewe. Hapa jua wala mvua itapita pembeni kumpisha afanye kazi yake. Vijana kuweni wabunifu vinginevyo mtabaki kulalamikia mishahara. Nina Imani huyu jamaa baada ya kazi huwa haitafuti jioni yake bali inamtafuta. Umeelewa! Ushauri ni kuwa asisahau kuanza na maombi ya ulinzi wa Mungu maana mashetani wenye wivu ni wengi wasimponde Bure.🙋🙋🤓🤓