Тёмный
No video :(

LEMA AMVAA MAKONDA MKUTANONI, ATANGAZA KUTOKUOGOPA TENA "ANASUMBUA WATU" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 29 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 231   
@user-ev5xw1ev6f
@user-ev5xw1ev6f Месяц назад
Rema hapo kwa makonda mtakaa chini tu kushindana na makonda ni sawa na kujilisha upepo hamumuwezi ni mtu mwenye kipaji na karama ya ajabu kutoka kwa MUNGU❤❤❤❤ makonda
@irenemollel4363
@irenemollel4363 Месяц назад
Makonda ana karama gani😂 mpuuzi sana wewe. Akili huna wewe
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 Месяц назад
Anasema kwamba et vijana wanakuwa wezi kutokana na maisha magumu kwani marekani wezi hawapo na marekani ni nchi tajiri?? Tabia ya wizi ni moyo wa mtu sio umaskini.
@ayoubsanga315
@ayoubsanga315 Месяц назад
Kuna tamaa na Njaaa. Wezi wengi wa kitanzania wezi wa njaaa na sio tamaa
@ConfusedFrog-lc9db
@ConfusedFrog-lc9db 27 дней назад
Usiupalilie unafki
@elviswebbo1164
@elviswebbo1164 Месяц назад
Bahati mbaya umekuwa mbunge wetu Kwa miaka 10 lakini hakuna Cha maana ulichofanya mzee Lema....hawa wanasiasa ifike mahali mjue tunajua mnawatafutia watoto wenu chakula.
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi Месяц назад
Wewe jitambue at kifanyaa nn wakati yeye akiomba bajetii kwa ccm awa toi ela Kila ukiomba Wana toa haadii Sasa ata uwe mbunge Ina saidia nn sio lawama zakee izooo vip uliona mpina walicho mfanyia au uwangaaliii
@user-le1gv4wb1n
@user-le1gv4wb1n Месяц назад
amnaa kitu hapaa huyuu ni siasaa za njaaa tu
@markoshem-ij6cf
@markoshem-ij6cf Месяц назад
Mujinga ni Gabo hakuna mbunge yure, rema piga misumari
@ayoubsanga315
@ayoubsanga315 Месяц назад
Akili yako imeganda yy ilikua kusimamia serikali itoe hela ambayo ni mapato ya kodi za wananchi yafanye utekelezaji wa miundombinu na serikali haitaki inapeleka kwenye misafara ya kichama na kiserikali iliyopo madarakani , mwananchiii amka utajikojoleaaa🎉
@isaacmwaseba9972
@isaacmwaseba9972 Месяц назад
Kumbe basi bora apewe mbunge wa ccm ambaye atasikilizwa kwa maneno yako uliyoandika​@@RomanMwinyi
@Lushinge27
@Lushinge27 Месяц назад
Maneno mengi hamna hata Cha maana ww si ulikuwa mbunge hapo Arusha ?, umefanya nini Cha maana Cha kutushawishi
@emmapaul1766
@emmapaul1766 Месяц назад
@@Lushinge27 chamaana kamuulize mamako
@markoshem-ij6cf
@markoshem-ij6cf Месяц назад
Kamuurize mtoto wako mubwa wewe
@Kalunirashidi
@Kalunirashidi Месяц назад
uyujama anawasaidi sana wakinamama mtaji wabisha
@JacksonTemba
@JacksonTemba Месяц назад
Makonda mtu na nusu ❤❤
@ayoubsanga315
@ayoubsanga315 Месяц назад
Huo umtu unaouona wew ni kwa sababu ya umaskini anaousema Lema , unayaona mamb kwa udogo kwa sababu unaangalia kushiba tuu
@JacksonTemba
@JacksonTemba Месяц назад
@@ayoubsanga315 unataka nani akuletee utajiri baba, piga kazi kama unaona boda sio kazi ni umasikini, jikwamue huko ufanye kazi zingine, hata kufuga, kulima pia ni kazi mkuuu
@JacksonTemba
@JacksonTemba Месяц назад
@@ayoubsanga315 jitahidi sana mtu asikufunze kuzarau kazi yako mwamba,
@emmapaul1766
@emmapaul1766 Месяц назад
@@JacksonTemba mtu na nusu nyumbani kwenu
@mussakiligaliga4348
@mussakiligaliga4348 Месяц назад
Wewe muongo na ni mnafiki mvunjifu wa amani kazi zipo watu asie na kaz mvivu wewe unahamasisha vijana wasifanye kaz
@hawakazimoto2949
@hawakazimoto2949 Месяц назад
We pumbavu sana achana na Makonda WETU pumbavu
@emmapaul1766
@emmapaul1766 Месяц назад
@@hawakazimoto2949 mpumbavu ni wewe na huyo mfoji vyeti bashite
@elimishanyamoga6797
@elimishanyamoga6797 Месяц назад
Makonda na ww wote wangese
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in Месяц назад
Yan hili lijamaaa kila cku sera yake n boda boda😂😂
@Sisopotashiumz
@Sisopotashiumz Месяц назад
@@Ibrahim-ne3in lema mahubiri yake ni usenge tu haji na chakufanya anakuja na malalamiko tu?
@mlayson5281
@mlayson5281 Месяц назад
@@Sisopotashiumz -wanakufa sana hawa boda tunapoteza nguvu kazi ya kesho-nyie hamjui mnafurahia watu kufa wanaacha familia zinateseka..why serikali isitafute vuwanda vya kutosha waka ajiri vijana wetu -acha ung* wewe.
@Sisopotashiumz
@Sisopotashiumz Месяц назад
Unaonekana ww hicho kichwa ni cha kukausha na mafuta ya moto saana,alikuja magufuli kaanza kutafuta umeme wa kutosha kufungua viwanda wakaponda sasa unaweza kuwa ma viwanda bila umeme???? Acha ulimbukeni wa kisikiliza na kubeba kila unachoambiwa mbwa wee
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in Месяц назад
@@Sisopotashiumz panya kweli wewe
@Sisopotashiumz
@Sisopotashiumz Месяц назад
@@Ibrahim-ne3in njoo na sera alf niambie umepata nini au kimefanywa kipi na wabunge wa upinzani,alf nipe maana ya kua mbunge?? Malaya mjane ww
@frankndendu2570
@frankndendu2570 Месяц назад
Pigeni porojo mtuachie Makonda wetu
@KingiMakesen-ju9ot
@KingiMakesen-ju9ot Месяц назад
Nchi ambayo CCM ndio maendeleo sasa Kuna haja gani ya uchanguzi
@emmapaul1766
@emmapaul1766 Месяц назад
Machoko ya ccm
@michaelaloyce2072
@michaelaloyce2072 Месяц назад
Mgonjwa wa akili ww​@@emmapaul1766
@ayoubsanga315
@ayoubsanga315 Месяц назад
Machawa
@samwellwiza1098
@samwellwiza1098 Месяц назад
Lema hakikisha unasoma hizi comment za wenye nchi
@user-lr6qx9df4z
@user-lr6qx9df4z Месяц назад
Sasa ww ulifanya nini wakati ukiwa mbunge mbona muongo sana ww
@officialkinghimself2637
@officialkinghimself2637 28 дней назад
Alichangia kutengeneza sheria zinazo kusaidia wewe mpuuzi
@Sisopotashiumz
@Sisopotashiumz Месяц назад
Huyuu anaongeaga tu halete tufanyeje? Anaangalia makosa tu! Nilionaga anaongea point kumbe ni ufala tu,nchi hii upinzani mtaisikia tu nchi.
@ayoubsanga315
@ayoubsanga315 Месяц назад
Akili yako imeganda na aliyegandisha ni umaskini anaouongelea Lema ndo maana mtazamo wako umekua mdogo
@Sisopotashiumz
@Sisopotashiumz Месяц назад
@@ayoubsanga315 wee unauonaje mtizamo Wang? Wakati mwisho wa mawazo yako ni ilipoishia chupi yako.
@jerominalfonce
@jerominalfonce Месяц назад
​@@Sisopotashiumz umasikin huo ulio nao mpaka unatukana
@user-lr6qx9df4z
@user-lr6qx9df4z Месяц назад
Sasa ww umefanya nini hebu sema na ww ulisho kifanya wakati mbunge mbona unaongea pumba
@fidahusseinkassim9778
@fidahusseinkassim9778 Месяц назад
Lema magufuli huyo kimbia
@knight6757
@knight6757 Месяц назад
😂
@adammbuba7230
@adammbuba7230 Месяц назад
Makonda oyeeeee
@mohamedslh5478
@mohamedslh5478 Месяц назад
😂
@AzizMangara
@AzizMangara Месяц назад
Bora Lema uungane na makonda tu😂😂
@macksonimwandemele42
@macksonimwandemele42 Месяц назад
wakati wako ulisha pita waachie na wenzako
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi Месяц назад
Co wakati wao ume pita ayo wanaongea Kwa Wana mnchiinmaisha magu eti au we ume pewa kiajila una pagawa
@emmapaul1766
@emmapaul1766 Месяц назад
Machoko ya ccm
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Месяц назад
Hahahaha kimeo kingine hiki zile zama za kuleta taharuki zimeisha, ulikuwa Mbunge hapo nini umefanya Zaid ya mapishano na marumbano, Lema kaaa kimyaaa tena utulie, hivi familia imerudi tokea Canada?
@amonalexander1513
@amonalexander1513 Месяц назад
Wape suluhu Cha kufanya sio kupiga porojo zako,watu wanataka suluhisho sio kulalamika kiongozi gan wewe?
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru Месяц назад
Hujamsikia akisema tuondoe umaskini au unataka aseme nini
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 Месяц назад
​@@Kwelihukuwekahuru mavi yakuondoa umasikini.anayo?
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 Месяц назад
​@@Kwelihukuwekahuru eti kuondoa umasikini.nitajie nchi moja duniani watuwake wanasema wao matajili kwasababu ya mtawala alie madarakani.
@ifmknowledgepower7333
@ifmknowledgepower7333 Месяц назад
Ni nchi gani ambayo haina maskini Duniani? Hata marekani kwenyewe kuna maskini tena umaskini uliokithiri, wanaitwa homeless, wanalala mabarabarani tu.
@allymusira2153
@allymusira2153 Месяц назад
Hakika kabisa tatizo wanasiasa wanatuona wananchi wote ni wajinga pumbavu sana
@yusuphalinani5432
@yusuphalinani5432 Месяц назад
Mutuache na makonda wetu
@user-qi7px6nb8r
@user-qi7px6nb8r Месяц назад
Uhuni mwingi sana.
@emmapaul1766
@emmapaul1766 Месяц назад
@@user-qi7px6nb8r machoko ya ccm
@yohanajackson4160
@yohanajackson4160 Месяц назад
Lema 😂😂😂 comedian
@emmapaul1766
@emmapaul1766 Месяц назад
@@yohanajackson4160 choko
@neemanziku5403
@neemanziku5403 Месяц назад
Kweli kabisa mheshimiwa lema sukar imepanda sh 4000 kilo moja, afu pombe Lita sh, 1000 Bora ninywe pombe
@perpetuamlula8567
@perpetuamlula8567 Месяц назад
LEMA IMEKUWA MBUNGE ARUSHA UMEFANYA NINI ACHENI MAKELELE MAKONDA YUPO POA SANA IMEKULA KWENU
@SimuliziDhahiri
@SimuliziDhahiri Месяц назад
Kwa mara ya kwanza millard kuposti upinzani😂😂😂😂
@MichaelKilinga
@MichaelKilinga Месяц назад
Lema ,Lema,lema ulitawala miaka 10 ulifanya nini,Mimi ni Chadema Lakin mnazingua,Mnaongea mengi Lakin hamtoi ufumbuzi,Shenzi na Nusu
@user-lr6qx9df4z
@user-lr6qx9df4z Месяц назад
Ww lema nchi gani haina wizi mbona unapotosha watu walio kuwa hawajawahi kusafiri nje ya nchi wakajionea wizi huku wanapiga bunduki ijekua huko wacha kupotosha watu ww wacha upuuzi huo
@user-lr6qx9df4z
@user-lr6qx9df4z Месяц назад
Ww lema usidanganye watu sisi tupo nchi za watu huku ndio hayo hayo tu wacha uwongo
@allymusira2153
@allymusira2153 Месяц назад
Liongo sana hili jamaa wanasiasa wanatuona watu wote wajinga maskini wapo kila nchi hata marekani wanalala nje homeless
@elimishanyamoga6797
@elimishanyamoga6797 Месяц назад
Una akili sana MUNGU akuweke achana na hao mashoga
@venaritovenance9468
@venaritovenance9468 Месяц назад
Uyu ana jipya anaongea utumbo ,tafuta sere zingine
@BarakaKihongosi
@BarakaKihongosi Месяц назад
Huyu atakuwa alilewa maana ameongea utumbo
@hansbukuku762
@hansbukuku762 Месяц назад
Wajumbe ni noma sana aiseee, yaani wale wanaojaa kwenye mikutano ya Mkuu wa Mkoa na wanashangilia kwa kusema “SEMA BABA” na ndo hawa hawa wanaoitikia “PEOPLE’s, POWEEER.” Ukiwategemea wajumbe kuanzisha “VAGI” haki ya mama ndo utayastaajabu ya walimwengu utakapojikuta uko pekee yako eneo la tukio 😄😄😄
@ziddyziddy2524
@ziddyziddy2524 Месяц назад
Umeona eeee 😅😅😅😅😅 yaani akili mkichwa
@eliudramale5075
@eliudramale5075 Месяц назад
Arusha kaisaidia nn huyu falaa amwachee mtetes wetu makonda kaishiwa sera boyaa huyooo
@HarunaDanielmbanzeofficial
@HarunaDanielmbanzeofficial Месяц назад
Wew kama unasoma sms hii acha kusema mambo ya utoto kama hayo njaa nikwamtu na iko kila mahari duniani vitu vilipanda bei kote so acha kujichosha tafuta kura kwanjia nyingine mi nakuona uko nanjaa sasa ukipewa chakwanza sikujijenga nawako acha hio siansa niya kitoto
@jacksonsulle6673
@jacksonsulle6673 Месяц назад
Unampigania nani Lema ,acha hizo blablaa.
@BennihinnyHerman
@BennihinnyHerman Месяц назад
Jamaaa umechelewa sana, tatizo wakati umepita na ushawishi umepotea!!!! Wanasema kila jambo na wakati wake kama mlitumia wakati wenu kujitaftia basi kwa sasa ni Makonda time.
@allyhasani3750
@allyhasani3750 Месяц назад
Watanzania wengi walinyimwa elimu ya uzalendo ,wengi awaelew maskin awajui wajibu wa selikali
@musamusa6213
@musamusa6213 Месяц назад
Makonda kaja mda mfupi kwetu kafanya Mambo makubwa arusha wewe ulipo kuwa mbunge ulifanya nn huna jipya kwa makonda.
@balljmushi9599
@balljmushi9599 Месяц назад
Huna loloteee,,,wanaojiuza wapo dunia nzimaaa
@danielmakelemo2395
@danielmakelemo2395 Месяц назад
Lema umepoteza radha umepwaya
@bushbabytz
@bushbabytz Месяц назад
Lema ndio Rais wa Arusha
@bonifacemeela5247
@bonifacemeela5247 Месяц назад
Ila lema Mtata sana Aisee
@mwasavevo
@mwasavevo Месяц назад
UTATUMIA NJIA GANI KUWAPA WATU AJIRA
@magdalenampanda1426
@magdalenampanda1426 Месяц назад
Acha mambo muda wote mkoa una watu wenye roho mbaya ulikuwa unaangalia tu, . Sema ukweli acha siasa Maya. Mmeshindwaaaaa
@user-xc7qj7ze7m
@user-xc7qj7ze7m Месяц назад
Wakati ww ni mbunge arusha hakukua na bodaboda
@geey7893
@geey7893 Месяц назад
Humjui mtu unayemuita Boya wewe😂😂umeyanyaga. Makonda ni chizi kuliko wewe, utajamba Moshi kumaninaa...unafkiri Mchaga mwenzio Yule😂
@user-hh4us7kb5q
@user-hh4us7kb5q Месяц назад
tnataka makonda awe rais, ukitaka kujua tnampenda Makonda, gombea naye uone moto
@user-qi7px6nb8r
@user-qi7px6nb8r Месяц назад
Lema hakuna kitu.
@emmapaul1766
@emmapaul1766 Месяц назад
@@user-qi7px6nb8r kitu anacho mamako
@Sisopotashiumz
@Sisopotashiumz Месяц назад
@@emmapaul1766 hata mama hakosi ukikiona kwa wazazi wawenzako.
@emmapaul1766
@emmapaul1766 Месяц назад
@@Sisopotashiumz kitu anacho mamako choko la Samia wewe
@Sisopotashiumz
@Sisopotashiumz Месяц назад
@@emmapaul1766 umehamia kwa samia sababu ww ndio unamshukuru samia badala ya mungu,choko ni yule baba ako ambae kashindwa kumtomba mama ako kama zamani
@emmapaul1766
@emmapaul1766 Месяц назад
@@Sisopotashiumz choko wewe utandelea kuliwa huko ccm huku ukihongwa buku kwaajiri ya bando wakati wenzio wanakula matrillion ya Dpworld jinga wewe
@habaccucisrael5328
@habaccucisrael5328 Месяц назад
Viwanda 🏭 kwa vijana 2025-2050
@user-es4uf6gj7u
@user-es4uf6gj7u Месяц назад
Watu sasa hivi hawa angalii unatoka chama gani wana angalia jnafanya nn magufuli amebadilisha fikra za watu wengi
@MarckyCholla
@MarckyCholla Месяц назад
Milard ayo huyu fala msomee coment zetu maana akili yake imefyatuka
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 Месяц назад
HUYU JAMAA NIMEMSIKILIZA VIZURI SANA KAONGEA VITU VYOTE PAFECT UBALIKIWE KIONGOZI KWA MANENO MAZURI ❤❤❤❤❤😢😢😢😢
@user-fl3fb5gh6b
@user-fl3fb5gh6b Месяц назад
Wewe ulitaka wafanye nini
@hawakassimu6120
@hawakassimu6120 Месяц назад
Hamna sera kwani wanao uza michicha hawana miili ya kuuza ?"eti boda boda wanaua watu watu wanakufa kwa ahadi ya Mungu ama kweli mmekosa sera Wamekosa ajira kuendesha boda boda ulitaka wakaibe ?ulitaka waje kuomba kwako ?
@hawakassimu6120
@hawakassimu6120 Месяц назад
Eti nawapiganieni mnanikatisha tamaa nooo thank u unapigania tumbo lako na watoto wako posho yako ya ukimbizi unayopewa huko canada unakula na mtu?si unakula na familia yako na watu wako wa karibu makonda kawashika pabaya
@Kalunirashidi
@Kalunirashidi Месяц назад
kweli mmekwisha akuna jipya
@eliezamashimba4062
@eliezamashimba4062 Месяц назад
Kwa keel siasa ya tz bhana Huyu mwamba si alisha wahi kuwa mbuge huko je wananchi aliwapea nn hebu waache watu na ubinifu wao wafanye kazi basi mbona huhu jamaa mtukutu sasa
@jackxonmollel7984
@jackxonmollel7984 Месяц назад
Mpeni lema arudi aliko toka amwache makonda wa mungu
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 Месяц назад
Rema kweli Ccm wanazngua ila makonda usimguse utatoka maana
@user-kd3mk4to2h
@user-kd3mk4to2h Месяц назад
Kiukweli nchi hii inatakiwa watu shupavu ilintupate mabadiliko ya kweli. Tuwaombee Mungu sanasana
@user-fl3fb5gh6b
@user-fl3fb5gh6b Месяц назад
Faraa moja huyu
@emmapaul1766
@emmapaul1766 Месяц назад
@@user-fl3fb5gh6b kafilwe na bashite choko wewe
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 Месяц назад
Kenya imemshinda Ruto wewe Tz utaiweza.,...kwetu smani ni bora kuliko ajira....chakula tumezoea kutafuta wenyewe
@Kalunirashidi
@Kalunirashidi Месяц назад
Kweli mnakosa lakuonge amna oja zamsingi kwann ata izonchizawazungu kama ufanyi kazi uli
@selemanisalum7283
@selemanisalum7283 Месяц назад
Hapo kwa wanao jiuza mh umebugi ni tamaa zao Tu wala siyo kwa sababu ya maisha magumu
@ElishaKasambo-yu5jt
@ElishaKasambo-yu5jt Месяц назад
Makonda ana karama
@AdamuJuma-tp1xr
@AdamuJuma-tp1xr Месяц назад
Yani wewe huna jipiy mropokajitu
@WazirJuma-gd5oo
@WazirJuma-gd5oo Месяц назад
Kwa hyo tufanyeje brother
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi Месяц назад
We ujui chakufanya nenda shule ujitambuee
@stevenjackson4985
@stevenjackson4985 Месяц назад
Ndiyo mnavyowajibu wananchi ​@@RomanMwinyi
@user-gy5en6cy8o
@user-gy5en6cy8o Месяц назад
Sasa lema sera ya chadema? Ebu tuambieni utafanya nn mbona naona una lalamika sana. 😢
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf Месяц назад
Huna hoja wewe shoga, Mama Samia ndio chaguo letu wa Tz 2025 - 2530 pamoja na viongozi wasaidizi wake wenye kututatulia matatizo yetu kwa vitendo sio porojo. Umaskini ni wakujitakiamwenyewe kwa kutojiengeza. Arzi kupwa tonayo serikali haiwezi kuajiri raia wote milioni (67) serikali imewapa wakulima mbolea bure kwanini wasiende kulima na kuwapandishia bei mazao yao ?...
@bilid4128
@bilid4128 Месяц назад
Toa kelele hapa tunajua wewe mwenyewe unatafuta ugali kupitia matatizo ya watu kwa ahadi za uwongo kuwa utayatatua
@AgnessNesphory
@AgnessNesphory Месяц назад
Kwaiyo bodaboda siyo kazi kila nchi duniai kuna bodaboda mamantilie kila seem wapo akuna nchi dunian akuna masikini wala watu wa hali ya chini ujatembea dunian kumbe 😂😂
@patricknewguy8189
@patricknewguy8189 Месяц назад
Hivi huyu yupogo
@gracemwakibolwa7910
@gracemwakibolwa7910 Месяц назад
Lema soma huku kwanza ndio utajua watu wanakuonaje.
@jomba6514
@jomba6514 Месяц назад
Acha kutupigia kelele na chama chenu cha upatu.Muulize mwenye kiti wenu lini atapisha na wengine ukipata ilo jibu endelea kupiga kelele
@MarioNdanzi-kp9hp
@MarioNdanzi-kp9hp Месяц назад
Uhuni mtupu
@personpeter2221
@personpeter2221 Месяц назад
Ww acha uongo kwan ww ukiwa rais utawapa ajila ote ulipokwa mbunge nn ulifanya ???
@boboonesmo5431
@boboonesmo5431 Месяц назад
Umeferi kk 😂😂
@kostajoseph5811
@kostajoseph5811 Месяц назад
TUNAMSHUKURU RAIS SAMIA , SHULE KILA KATA, HOSPITALI KILA KATA, MAJI YAPO YAKUTISHA, BARABARA ZIMEBORESHWA, AJIRA ZINATOLEWA KILA SIKU, DARAJA LA KIGONGO BUSISI LIMEKAMILIKA, SGR INAFANYA KAZI BWAWA LA UMEME LIMEKAMILIKA NK, NK
@allyhasani3750
@allyhasani3750 Месяц назад
Tembea uone acha uchawa
@mohamedimuhinga9064
@mohamedimuhinga9064 Месяц назад
Leo ndio nimegundua kumbe Lema nae yupo kwenye kundi la waduduu
@DeodatuslivingKessy
@DeodatuslivingKessy Месяц назад
Bodaboda nikazi kama kazi nyingine achana na bodaboda tafuta sera nyingine mzee umefeli uongozi sio siasa uongozi ni vitendo na utekelezaji wa majukumu chakwanza ni tutambua matatizo ya wananchi na sio kuwaubiria watu bakonda kaja arusha kangundua matatizi mengi ameyajua na kuyatatua
@user-ei6mm3go8w
@user-ei6mm3go8w Месяц назад
iiiiiiiiiii MAKONDA MWACHE KAMA ALIVYO TENA UKOME
@joojombi2341
@joojombi2341 Месяц назад
Muongo mkubwa hayo ndo maisha fatani mkubwa huyo
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 Месяц назад
Chefuuu
@MohamedRashid-py7ro
@MohamedRashid-py7ro Месяц назад
Huyo Lema anacho sema ni pumba tupu
@user-mn2et2pf6z
@user-mn2et2pf6z Месяц назад
Kuhusu swala la mlo ukiona nigarama nenda shambani ukalime ili uondokane na garama za kupima robo ya Michele.
@user-es4uf6gj7u
@user-es4uf6gj7u Месяц назад
Binafsi sipendi ccm sijawahi kuipenda lakini namkubali makonda kwa kile ninacho kiona siwezi kukizungumzia nisicho kiona lakini huyu leme ni zaidi ya mbwa mnafki kumatu huyu alipata nafasi hata kama nindogo lakini alikuwa ana nafasi yakuonyesha mfano lakini huyu nimbwa
@jomba6514
@jomba6514 Месяц назад
Lema acha wivu wewe uliisha kua mbunge apo ulifanya nini?muache makonda ahudumie watanzaniana.na ujifunze kusifia pia sio kulia lia tu
@MalamboSelijusi
@MalamboSelijusi Месяц назад
Vikoba oyeeeee
@Eliaskasanya-hm5yk
@Eliaskasanya-hm5yk Месяц назад
Wewe utawapa hizo ajira? Acha kudanganya watu wewe
@user-ux3jl9cl4w
@user-ux3jl9cl4w Месяц назад
Uku liware korosho akuna bei t
@hawakazimoto2949
@hawakazimoto2949 Месяц назад
9:
@user-wy4fv9vd7w
@user-wy4fv9vd7w Месяц назад
achana na makonda boya wewe huna sera kalime kahawa
@mashimbazephania3511
@mashimbazephania3511 Месяц назад
Wala hata haeleweki anachongea, yaani unatetea wezi au unatetea fani yako?
@user-qg1iy5ov3u
@user-qg1iy5ov3u Месяц назад
Lema ongea Tena mikopo ya mitandaoni tunadhalilishwa sana kisa benki Wana mashariti ya ubepari tusaidie
@MarckyCholla
@MarckyCholla Месяц назад
Lema hatukuelewi tena maana tumegundua wewe siasa zako ni kutafutia tumbo lako tuu tuache na makonda wetu
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 Месяц назад
CHADEMA CHAMA CHA MATOKEO. HAMNA CHOCHOTE
@seneu.2128
@seneu.2128 Месяц назад
Lema na mwenzako Gambo wote hamtakiwi tena ubunge Arusha mjini nendeni mkagombee mlipotoka maana nikama mnabeba watu ufala, hamna uchungu wowote na jimbo na mkoa kwa ujumla. Unamuwaza Makonda maana unajua anapata ushawishi kwa wananchi wengi maana ni mtu mwenye msaada kwa wengi.
@adudeswalehe8724
@adudeswalehe8724 Месяц назад
Unamuita Makonda boya ?? Wewe tunaanzaje kukuelewa sasa.
@user-yg6wv4cp8q
@user-yg6wv4cp8q Месяц назад
Kwamakonda mkalaletu ukitaka uhalibu chama chako mzungumzie makonda minipo kagera Ila ikitokea makonda au majaliwa wanagombea urais miwakwanza kupiga kurayao
@user-lr6qx9df4z
@user-lr6qx9df4z Месяц назад
Huyu msanii sana
@AgnesKaswahili
@AgnesKaswahili Месяц назад
Mwaga sera zako tu usimuguse makonda. Makonda ni tumaini la wanyonge..lema kaa mbali na makonda kabisaaaa
Далее