Zembwela anajiona yeye ni legendary kwamba Hakuna jipya kwake huu ni unafik wa Hali ya juu kifupi ni kwamba Dogo anajua zaid yake tena sana, kanuna Kama bundiii
Kiukweli Nashidwa Kujua Kwa nn Sijawahi Ona Comedian Anaeweza Nikuta kuchekesha. Naombeni Siku Moja Tanzania itakwe nda kunitambua na Mm nitaipeperusha Bendera kote mbali
Blo wewe ni fundi nakubali lakini Nina option Moja utunge Story "make msomi na Mme ambae hajasoma Kwamba sasa ikatakiwa wote wawepo kwenye mkutano make na Mme sa mkutano huo unfanyika Kwa kingereza mume hajasoma sasa itakuaje Ili wasiumbuke wakakubaliana Kwamba ikitokea habali yakucheka make atashika pua Ili mMewe nae acheke asije kuonekana tofauti sasa make kasahau Yale makubaliano kashikwa namafua kashika pua Mme kama sikacheka watu wakaandamana wakasema jamaa chi bonge lastory wewe fundiutajua unafanyaje
Dogo Leonard upo vzr mie kaka yko npo kama shabiki wko geita karibu my name peter or raster upo vzr nakufatilia toka final yko na eliud upo njema Sana..
Bana kunA story fulani hiv mke na mme mke msomi mme hajasoma sasa yule mke akawa nimwajiliwa kwenye kampuni ikatokea mkutano kila mtu aende namwenzake sasa mkutano unafanyika kwa kingereza mme hajasoma wakakubaliana ili wasiumbuke kwamba ikitokea story ya kuchekesha mke kwakua yeye atakua ameelewa atashika pua ili mmewe acheke wakaingia mkutanoni story ya kwanza ikawa inachekesha akshika pua wakacheka jamaa alikuwa makini ili asimuaibishe mkewe sas mke kashikwa namafua gafla sunajua chafya mala pu kasahau makubaliano akashika pua mume wacha aangushekicheko wakamtimua