mr joel ninashukuru kwa mafundisho yako nimeweza kupiga hatua na kuwa wa tofauti kwenye seemu niliyopo hasa kitabu kilichonifunga na kuniweka katika barabara ya kujitambua ni kile cha timiza malengo nashukuru kwani sikuwai kuamini katika ndoto zangu lakini niliposoma kitabu chako nimeweza kuanza safari ya kuelekea kwenye mafanikio mungu akulinde tuendelee kupata mazuri kutoka kwako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Thamani yako haipungui Kwa sababu watu hawathamini au hawakubali unachofanya,,,,,Bali hupungua pale unapoacha kufanya kitu unajua NI muhimu/sahihi kisa Tu hawakukithamini✊
Nimesikia uchungu na maumivu sana moyoni ila sihitaji niteseke sababu yake nahitaji kufurahia maisha na mwanangu bila uwepo wako Nina kitabu cha nguvu ya mwanamke nimesoma sana sehemu ya jins ya kupona ila Bado moyo una maumivu naomba msaada wako niweze kutoka kwenye hii hali
Hakuna anachoweza kufanya kuhusu mtoto hataki kuwajibika sasa huwezi kumbadilisha mtu asiyekiri amekosea na haoni kutuhodumia mtoto kwa miaka 7 kama ni tatizo kwake ni sawa tu
In My age 24 nimejipa thaman na kwa hilo nimeweza in my cycle sizarauliki na na nime take distance na watu kwasababa mazoea huleta zarau amini nawambia wakali wangu📍📍📍
Kumbe wakati mwingine mtu anakudharau kweny jamii, kwa sababu tu hawajaijua thamani yako wacha niongeze bidi kwa kila ninalofanya siku moja wataijua thaman yangu..
@joelnanauka naomba msaada wako nimesikiliza video zako nyingi sana kuhusu kusamehe ila nimekwama nilikuwa kwenye mahusiano mpk tukapata mtoto sasa ana miaka 7 ila kwa miaka yote 7 baba wa mtoto hajawahi kuhudumia kwa chochote kuhusu mtoto wala kumuona sura mtoto hajawahi niliamua kumsamehe kwa kumpigia cm na kumwambia nimekusamehe na sikutaka Mawasiliano niliamua kupambana kumlea mwanangu nashukuru Mungu ananibariki,wiki iliyopita alinitafuta kuomba msamaha kwa dharau Fulani wala hakujutia aliyotenda kwa mtoto wala kwangu Bali alitaka mahusiano tena nimemkatalia wala simuhitaji ila uchungu ninaousikja moyoni mwangu mpk sasa ndiyo sababu ya kuomba msaada nifanye nini kuondokana na hii hali
Uchungu huwa unaisha kwa muda, wewe uhisi uchungu lia sana tu lkn baada ya muda utaisha wenyewe yaani utapona huo uchungu, hakuna short cut wala numbing, zipo pia video za jinsi ya kupona maumivu ya moyo/uchungu by Joel nanauka