I do love Lil Ommy, mambo ambayo watu wanachukulia negative huwa anajutahidi kuyachimba ili tujue ukweli, firstly watu walikuwa wanachukulia huyu binti kama vile ni katoto kadogo, pili walikuwa wanamchukulia kama vile ni muhuni tu na hana elimu yoyote, now tumejua kuwa kwanza sio mtoto, maana kama kasoma miaka mitatu chuo kikukuu na akamaliza 2017 maana yake sio mtoto mdogo, but also ni msomi, ana akili, from now on mpeni heshima yake