Simba walikuwa wanatengeneza team kumzunguka Chama. Hili ndo lilikuwa tatizo kubwa na lilikuwa linaathiri sana saikolojia ya wachezaji wengine. Team kama Yanga zimefanikiwa zaidi kwa sababu wanacheza ki team zaidi. Kumruhusu Chama kuondoka ni moja ya Gharama tulizoingia kwa manufaa mazuri zaidi ya Simba siku za usoni
Kaka kuanzaa leo mm ni jean charse bonge la fund hh-h- ushasikia wap mtu anaitwa jean alaf anakuwa mbovuu we tafuta mtu yoyote anae itwaa jean anakuwa mbovu