Тёмный

#LIVE 

HABARIMPYA TV
Подписаться 612 тыс.
Просмотров 2,9 тыс.
50% 1

#habari

Опубликовано:

 

4 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 9   
@CharlesElias-zh5hz
@CharlesElias-zh5hz 3 дня назад
Sukari Bado Bei kubwa mzee Mangy baba tunakukumbuka sana ila ulisema
@ostenmwakasita6960
@ostenmwakasita6960 3 дня назад
Makampuni hambayo yarishindwa kuchukua vibali mliwachukulia hatua Gani na makampuni yalioshindwa kuagiza sukuri mliwachukulia hatua Gani
@CharlesElias-zh5hz
@CharlesElias-zh5hz 3 дня назад
Bod ya sukari mnafel wap.kuna kapun serkal kuna ubia halafu hawakuchukua vibali na selkal mmo. Hamuon kama hata kampun zingine zitaona ni hiar ama zisichukue kabisa. Chukuen hatua kama Sheria za kuajibisha.
@pueblo148
@pueblo148 3 дня назад
Nawasililiza vizuri nikiwa Simiyu nataka kuelewa vizuri tatizo liko wapi?
@SaimoniAnatory-zk8eo
@SaimoniAnatory-zk8eo 3 дня назад
Hata kapun za serikari hawakuchukuwa kibari ,hauoni kuwa kunatatizo
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 3 дня назад
Wananchii Tushaelewa Mbivu na Mbichi hukuna haja ya kulizungumzia ...Pia Sukali Ishuke Bei ndo hayo yatakua Na Tija.
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 3 дня назад
Amani haichungiki bila ya haki. Nchi nyingi za kiafrika zinakosa amani kwaajiri ya dhuluma za wengi. Wabunge wa Tanzania badała ya kutetea haki ya waliowaweka bungeni wanatetea interests za wachache wanao wadhulumu wengi. Usiposema ndiyo bungeni unakuwa Aduwi wa serikali na unashutumiwa na wote. Ukweli unakuwa uwongo. Demokrasia gani hii? Mbunge ana haki ya kutetea wananchi na sio kuiunga mkono serikali na sifa nyingi kwa Rais bila ya kuwajali wananchi. Tanzania ni masikini kwa wizi na ufisadi wa watu wachache kujilimbikizia mali za watanzania. Hawakamatwi, wala kusemwa. Ukiwasema bungeni yanakupata yaliyompata Mpina
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 3 дня назад
ACHENI kudanganya wananchi kwa kuwafanya wajinga. Muuza mobile anawezaje kupewa tenda ya kuingiza sukari za mabilioni? Viongozi karibu wote mumekuwa machawa.
Далее
Frank Now VS Then Edit 🥵| #brawlstars #shorts
00:18
Luiza Rasulova #luizarasulova
00:37
Просмотров 1,1 млн
Վարդավառը Գյումրիում
00:15
Просмотров 141 тыс.
Редакция. News: 124-я неделя
52:01
Просмотров 1,8 млн
Patience runs thin on President Ruto reform pledges
56:30
Frank Now VS Then Edit 🥵| #brawlstars #shorts
00:18