I think this guy ego inamsumbua...ego yake inamfanya aonekane anakiburi. He should stop talking too much, bado ni mchanga kwenye mziki. Kujisifu sana kunaweza sababisha hata wasanii wakubwa kutotoa ushirikiano kwake.. my opinion.
hawa wasanii kinachowasumbua ego. We unafanya video na Harmonize yupo kwenye pick then unaanza usumbufu wa verse sijui🤔. Ile video ingekuingizia hela na nyimbo inge trend vilevile na sio verse yako hiyo