Тёмный

Lulu Diva: Mama alifariki nikiwa nimelala naye, walinicheka mtandaoni sijajenga, mjomba aliumia sana 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 45 тыс.
50% 1

Lulu Diva anafunguka kuhusu kifo cha mama yake, aliyoyapitia baada ya msiba huo mkubwa na kusemwa mtandaoni kuwa hajajenga nyumbani kwao
#ChillnaSky

Развлечения

Опубликовано:

 

1 июл 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 53   
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 2 года назад
Mbona nyumban kwake pazuri tu watu wanahomcheka huyu dada awajawahi kuuguza hivi mama yko mgonjwa unapata wapi nguvu zakujenga nyumba bili za kulipa kila mahali hospital nk sio pesa ndogo ,ndugu wanakuangalia yan ukipata pesa yte inaishia kwenye kuuguza namwelewa sana huyu dada sio kaz ndogo na kam mama yke ananyumba why hapoteze pesa kujenga wakati anahuguza
@sharifaabdullah6825
@sharifaabdullah6825 2 года назад
Kuondokewa na mzazi yanahitaji' subra mungu awafanyie wepesi wazazi wetu waliotangulia mbele za haki Amiin
@fidia3824
@fidia3824 2 года назад
Amiin
@vickydan2869
@vickydan2869 2 года назад
Amina
@dinatalib2703
@dinatalib2703 2 года назад
Amin angalau umepata upendo mwenzio ndonilitengwa haswa na familia na mbaya mama angu kazaliwa peke yake mtihan
@husnahlaazizmohammed7397
@husnahlaazizmohammed7397 2 года назад
@@dinatalib2703 pole sana
@kaihulazahara8555
@kaihulazahara8555 Год назад
Allahumaah Aaaamiiin
@njeringugi7939
@njeringugi7939 2 года назад
Lulu ukivaa official unapendeza sana kushinda zile zakutafutia ugali🥰🥰🥰🥰
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 2 года назад
🤣🤣🤣
@tecratzmwakyambomwakyambo7243
@tecratzmwakyambomwakyambo7243 2 года назад
Umefanyaa nicheke
@jojo-ne3oy
@jojo-ne3oy 2 года назад
🤣🤣
@njeringugi7939
@njeringugi7939 2 года назад
Nampenda sana lulu 🥰🥰🥰🥰
@aishun0014
@aishun0014 2 года назад
Nice interview mashaa Allah
@zulfaissa7814
@zulfaissa7814 2 года назад
Pole sn ndugu yangu mwenyezi mungu akujalie subra yadhati moyon mwako pia endelea kumuombea dua sn kwaallah ampe hatima njema pepon naamuondoshee naadhabu ya kabrii
@elizabethhonere2931
@elizabethhonere2931 2 года назад
😭😭😭😭😭pole sana nayajua haya maumivu mama yangu pia kafua amemaliza anataka kuanika akakosa nguvu akaanguka ijumaa kesho yake akafariki hata sikumuuguza. Naumiaaaaa ndio kamaliza mwezi na siku kudhas tu kaburini. Pole sana
@lucianagodson437
@lucianagodson437 2 года назад
Daaaah pole sana mungu ampunzishe mama
@laidayassmine319
@laidayassmine319 2 года назад
Pole sn😔
@sharon6674
@sharon6674 2 года назад
Pole sana Lulu❤. May God comfort you.
@abbyhabiba8062
@abbyhabiba8062 2 года назад
May Allah keep strong my darling lulu...kupoteza mzazi yeyeto siyo rahisi kabisa..
@ashurakiswamba7085
@ashurakiswamba7085 2 года назад
Mashaallah ❤️ umependeza
@junelatifa2618
@junelatifa2618 2 года назад
Pole sana diva
@juliaayieta2578
@juliaayieta2578 2 года назад
Mungu akutie nguvu 🙏🏾
@user-ty6lr1zq7j
@user-ty6lr1zq7j Год назад
Pole sana Lulu Mungu akuimarishe maana wewe ni bint wa mfano wa kuigwa nakupenda sana Lulu wangu
@zabibumwilelo853
@zabibumwilelo853 2 года назад
Yani mm nampendaga sana lulu cause she’s very positive as young lady
@joycekalago532
@joycekalago532 2 года назад
Connection yake umeiona?
@angelageofrey9756
@angelageofrey9756 2 года назад
Jamani Lulu pole❤️ubarikiwe
@fatumamahoiga3978
@fatumamahoiga3978 Год назад
Pole lulu
@zaudatmakula3454
@zaudatmakula3454 2 года назад
😍😍😍😍Lulu
@saimonmaiko679
@saimonmaiko679 2 года назад
noma xna brod
@stellamwitta8119
@stellamwitta8119 Год назад
Pole kipenz
@violetoloo445
@violetoloo445 2 года назад
Acceptance heals every wound that time can't.....All the wounds will eventually heal and will only leave some patches of fading scars.
@falsafatv7789
@falsafatv7789 2 года назад
First to comment
@hawashamasi9115
@hawashamasi9115 2 года назад
Interview nzure
@jamilarashidrashid5418
@jamilarashidrashid5418 2 года назад
Pole sana lulu unanikumbusha siku nikiondoka wanangu watakuwa hali kama hii Pole sana umepata radhi za mamako shukuru una radhi ya mamako
@batulimabewa6953
@batulimabewa6953 Год назад
Acha dada mimi mwenyewe nakaaga nawaza cku nikifa watoto wangu watakavyokuwa wanyonge
@barakahamisi574
@barakahamisi574 11 месяцев назад
Jamani kiukwel maumivi yakuondokewa na Mama Rest in peace My Hero ni miaka 7 lakini nimeshindwa kuamini mpk leo
@lucymathias9045
@lucymathias9045 Год назад
💔💔
@kebibasherry3117
@kebibasherry3117 2 года назад
Nampenda sana lulu mrembo❤️😘😘👋
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 года назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 года назад
Lulu vipi hapo kwa mtangazaji hata juice inakuwaje hapo.
@blueberrypotatogames7950
@blueberrypotatogames7950 Год назад
Mngu atakusaidia upate unacho itaji kama sip wewe njo umepana mama yako kama wanafa massa wengine
@gresitimoth1099
@gresitimoth1099 2 года назад
Mgeni apewe maji
@mwajabually5321
@mwajabually5321 7 месяцев назад
yaan ata soda
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 2 года назад
Jamaa hata maji ya kunywa pia hapewi?
@twentyacresfarms3464
@twentyacresfarms3464 2 года назад
Haha 🤣😆
@silyadamian5708
@silyadamian5708 2 года назад
😂😂😂🙌
@mvugwamanajeem5109
@mvugwamanajeem5109 2 года назад
Hahahahahaha
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Год назад
Sasa kwanini hukujenga kwenu wakati una pesa
@ziadaarthasan6575
@ziadaarthasan6575 Год назад
Wewe umejenga kwenu
@edinaegidius6357
@edinaegidius6357 9 месяцев назад
​@@ziadaarthasan6575😂😂😂😂😂😂
@edinaegidius6357
@edinaegidius6357 9 месяцев назад
​@@ziadaarthasan6575kuna watu wanajikuta hiii dunia😂😂😂😂😂
Далее
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
Просмотров 18 млн
Почему худеют от Оземпик?
00:37
Просмотров 263 тыс.
HII NDIO SABABU YA SHILOLE KUMUACHA ROMY
5:03
Просмотров 1,2 тыс.
Luludiva - Mama (Official Video)
3:09
Просмотров 1,1 млн
NAPENDA KUWA NA MKE MWENZA / ATANIKOMA - MAMA KIMBO
6:33
Будни в пекарне. Часть 2
0:59
Просмотров 5 млн