Mbona nyumban kwake pazuri tu watu wanahomcheka huyu dada awajawahi kuuguza hivi mama yko mgonjwa unapata wapi nguvu zakujenga nyumba bili za kulipa kila mahali hospital nk sio pesa ndogo ,ndugu wanakuangalia yan ukipata pesa yte inaishia kwenye kuuguza namwelewa sana huyu dada sio kaz ndogo na kam mama yke ananyumba why hapoteze pesa kujenga wakati anahuguza
Pole sn ndugu yangu mwenyezi mungu akujalie subra yadhati moyon mwako pia endelea kumuombea dua sn kwaallah ampe hatima njema pepon naamuondoshee naadhabu ya kabrii
😭😭😭😭😭pole sana nayajua haya maumivu mama yangu pia kafua amemaliza anataka kuanika akakosa nguvu akaanguka ijumaa kesho yake akafariki hata sikumuuguza. Naumiaaaaa ndio kamaliza mwezi na siku kudhas tu kaburini. Pole sana