Pole saana luludiva allah akupe subra katika kipindi hiki kigumu🙏🥰🥰 wangapi wamefurahi kuona interview ya kijanjanja ya mirad ayo ♥ twakupenda kaka uyu ndiyo King 🤴 of interviews ♥ 👌 🇴🇲 🇹🇿
Kwenye comments wengi wanalaumu Lulu kujibizana na hao waliomsimanga kuwa hajajenga kwao....lakini kiuhalisia hii story kwa upande wangu iko kifasihi Sana. Na ni story ya kitaaluma zaidi na Millard Ayo umeiendesha vizuri Sana. Kweli wewe umeiva kuinterview watu wa kila carrier. Kwa ujumla ukiisikiliza hii story Ina vitu vingi mno vya kujifunza. Mimi ninayependa fasihi nashauri Lulu kwa kushirikiana na Millard Ayo iwekeni kwenye kitabu ili jamii ijifumze zaidi. Nakupongeza Sana Lulu kwa kuamua kuleta hii story juu ya marehemu Mama yako. Inatufundisha mengi hata maisha yako ulimopita pia ni funzo tosha. Na yule atakayekuoa atakuwa amepata donge nono. Wewe ni malkia wa nguvu na ni wa mfano.
Napenda sana Diva akitabasamu anakua mzuri sana na anaongea vzr sana in short nampenda sana na Mungu amjalie maisha marefu na mazuri pia kajitoa sana kwa mamake
Take a heart Lulu, it's really painful and heartbreaking I feel your pain let's her soul rest in internal peace Pole Sana You're a strong woman according to what you passed through.
Ila binadamu tunajua kuongeaga sana na kutoa maneno mabaya bila kujua ni mangapi mtu kapitia na ni changamoto gani mtu alikua nazo , hakuna binadamu ambae anapenda shida au anapenda apitie mateso ! Dah pole sana Dada angu pole sana sana sana Nakupenda sana Lulu D
Watu Wanazungumza Tuu Coz Midomo Hailipiwi Vat Hawatizami Hata Age Ya Mtu Wanatiririka Tuu Sasa Umri Wa Lulu Ni Wakujenga Kwao Amepambana Lini Na Ajenge Lini Jamani Tuwe Na Kiac👐👐👐
Pole mwanangu M/Mungu akupe Subra. Hio njia ni yetu soote. Kwake tumetoka na kwake ni marejeo. Kila nafsi itaonja mauti. M/Mungu akujaalie mume mwema wa dunia yako na akhera yako na pia akujaalie kizazi chema cha kike na kiume chenye kheri na wewe.
Pole sana wajna Lulu! Umeniliza wallah! Allah Amrehemu, Amsamehe Alipokosea na Amjaaliye jannat firdaus mama yako ameen. Nawe Allah Akuzidishie wepesi ameen
Lulu katika umri mdogo miaka 27 ila umepitia mengi Mungu ampumzishe pema peponi mama lulu Umempambania sana mzazi wako ila Mungu kampenda zaidi😭😭😭😭ila interview yako imeniliza sana
Kumuuguza mama nakuindoka mikononi mwako huku ukimpambania hd mwisho niviwanja namajumba tisha. Hongera diva nakupenda sana natamani nikuone nikukumbatie tulieeee 😢😢😢😢
Mamako alifariki siku moja na mamangu mzazi na pia wametoshana umri na waliuguwa kwa miaka sawa😢😢😢😢inauma sana Mungu awampumzishe marehemu wote kwa amani
Kuna vitu vingi Sana nimejifunza kutoka kwako dada Lulu,umenifanya nimekuwa na nguvu ya kutokata tamaa, nimekupenda Sana na pole kwa matatizo kipenz🙏🙏🙏😓
Kuna watangazaji alafu kuna "MILLARDAYO"... interview ni ndefu but unatamani isifike mwsho, kama ilivyo siku zote..hongera sana mtu wetu wa nguvu Millard, Mungu azidi kukupa nguvu. Kuhusu Lulu, pole sana sana kwa kumpoteza mama yetu hyo ni mipango ya Mungu ata ungefanya nn bado ingefika mda, so pole sana. Kuhusu wewe ni shujaa na malkia wa nguvu wala hahitaji kutumia nguvu nyng sana kuwaonyesha/kuwaelekeza watu ulichokifanya kwenye maisha yako na kwa mama kiujumla..ata ungefanya kipi sisi wanadamu hatujawahi kukosa la kusema..so..usikate tamaa endelea kupambana utafika unapopataka Kwa uwezo wa wake Mola. Jinsi unavyojieleza inatosha sana kuonyesha uwezo wako mkubwa wa kujitambua km kuna mapungufu hyo ni kawaida Kwa ss binadamu, hakuna aliyekamilka.
Pole Sanaa dadangu Lulu .... Allah atakulipa ujra wako na mamako Insha Allah huko kuugua kwake iwe ndoo msamaha wake kwa Allah na ndoo njia yake ya peponi ... Allah awasamehe wazazi wetu .. Allahuma Ameen
Pole Sana Lulu Allah amlaze mahala pema insha allah napia Allah akupatie Afya njema naww napia umepata Baraka zote za mama amini utaishi Maisha Mazuri Sana hapa Duniani lolote utakalo kulifanya litakua bila kipingamizi kwa uwezo Wa Allah ila umenitoa machozi lulu 😭😭😭
Millard ye so professional🙏I love yur sense of humor🙏Lulu may God bless ye ❤️I started following ye th day I spotted yur video n yur mom 👏I loved ye from that day 🙏❤️sending ye enough love from Zambia 🇿🇲
😭😭😭😭😭pole lulu .insh mungu atakupa mume mwenye kheri na ww..🙏💟.dah umejua kumpambania mama ako.uko na pepo yko kesho insh.insh mungu atakupa mume bora .
Daah pole sana luludiva umepitia wakati mgumu sanaa sio kazi rahisi MWENYEZI MUNGu atakufuta machozi na atakupa furaha ya moyoni MUNGu ampunguzie adhabu ya kaburi 🙏🏼❤️
Kufiwa kufiwa kufiwa aisee hili neno lione na ulisikie kwa mwenzio omba yasikukute tena kufiwa na mama jamani nyie mama anauma 😭😭😭 niliuguza mama yangu hadi nikafikia hatua ya kukufuru naona bora afe apumzike mateso ya dunia ila leo hii natamani hata angekuwepo niwe namuona tu... Pumzikeni salama mama zetu😭😭😭😭
Pole sana mrembo wetu ❤usijali mama amepumzika ameteseka sana mahali yuko hateseki tena.wewe pambana na maisha dadangu mwenyezi Mungu atazidi kukupa nguvu.
Watoto wakike wanakumbukwa tu wakifanikiwa ili wapeleke maendeleo kwenye miji ambayo wala siyo yao. Urithi hawapewi lakini wanangojewa wajenge ili wataifishwe. Big up Diva usijenge kijijini kama hujapewa eneo lako hapo.
Hiki kitu sio kizuri, kama unapenda mtoto wako wakike akifanikiwa asaidie nyumbani muwape pia sehemu ya urithi. Kama ww ni wakike hujapewa urithi kwa vile ni wakike usipojenga kwenu na una uwezo hakuna laana. Wasaidie mambo mengine kama chakula, matibabu n.k. kujenga watajenga wanaume wao walioona wanapaswa kupewa urithi
Maskin inahuzunisha 😭 Allah akuzidishie subra na akupe faraja baada ya mtihani na allah akujaalie upate mume mwenye kheri na wewe naamini ukishazaa na ukawa na familia watoto wako ndo watakuwa wanakufariji,najua kusahau ni vigumu sana Allah akutie nguvu maskini 😭 Allah ampe kauli thabiti mama 😭 Allahumma ighfirlaha warhamhaa waskanhaa fii janna yaa kareem 😭👏
Chozi uliolimwaga mungu atakufuta kwa namna yake na hongera Sana umekuwa mdada jasiri na mwenye upendo na ninaimani upambanaji wako utakufisha mbali Sana pia unabaraka za mama hatuna cha kusema zaidi ya pole mungu akutie nguvu usimame imara kazi iendelee
O Allah, forgive Mwanaidi Ramadhan and elevate her station among those who are guided. Send her along the path of those who came before, and forgive us and her, O Lord of the worlds. Enlarge for her her grave and shed light upon her in it. ... Amin, Pole Sana dia Lulu
😭😭😭😭💔💔Pole sana diva 😭Hakika mungu ni mwema wa kila jambo Allah amrehemu 😭hii ni safari ya kila mmoja kila nafsi itaonja umauti Allah atujalie mwisho 🙏🙏💔💔Allah awarehemu wazazi waliotangulia 😭 😭😭😭😭😭😭💔💔💔
Jaman me nakupenda sana kaka angu #Millard unamfariji mwenzio na kujitahidi kumuelewesha😊 na penda pia kazi zako and pole sana #Lulu kwa msiba wa Mama ww nimfano wakuiga japo kuna wazazi wengine sijui wapije unawafanyia wema hawaoni but Mungu atakulipa na nzuri zaidi ulikua unaelewana sana na Mama❤
Lulu diva pole kwa Yote uliopitiaaa ila upendo wako kwa mama sasa uliobakiaa ata dunia nzima ijuwe unampndaa ni kuacha haYo maisha ya kufanya mijimbo na kuvaa mavaz yasiohitajikaa..na mama ajuwe kaacha mtt mwema bassi uswali swala5 na kila mdaa uwe unamuombeaa duaa...ndo upendo uliobaki dua...ukifa vitu vyote vimekufa ila mambo 3 moja wapo mtt mwema atakaekuombeaa duaa
Pole Sana Lulu kwa yote uliyopitia hongera kwakua jasili😘 hapo kwenye gari sio kwa ubaya hata ningekua mimi nisinge pokea wabongo sio watu wazur watamchamba balaa
Yeyote anae muuliza au msema hakujenga,kwanza huyo hajawahi uguliwa au fiwa na mama,uguliwa na mama miaka 7 sidhani hata kama waeza kua na wazo lakujenge ,ambe ana mkejeli lulu naye mzazi wake na augue tuje tumuone akisimamia mafundi wajenge.hebu kueni na utu. Kufiwa na mama siyo mchezo,mimi nilifiwa na mama najua uchungu wa mama,siwezi msema lulu zaidi ya kumuhurumia yatakauo mkuta akiwa hana mama,maisha si rahisi.🇰🇪
Pole sana umemuuguza mama yako mpaka mwisho sahii ilio baki nikumuombea mama duaa Allah amsamhe makosa yake amuepushe na adhabu ya Kabir ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia
very touching story..safi sana lulu..pole sana kwa kufiwa na mama..Mungu ampumzishe kwa amani🙏..u are so courageous na umempigania mama sana..Mungu akupe nguvu dear its not easy🙏💪