Тёмный
No video :(

EXCLUSIVE: MACHOZI YA LULUDIVA KUFIWA NA MAMA, AWAJIBU WALIOSEMA HAJAJENGA KWAO, KUNYANG'ANYWA GARI 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 342 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

15 фев 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 725   
@salhamrisho8138
@salhamrisho8138 2 года назад
Pole saana luludiva allah akupe subra katika kipindi hiki kigumu🙏🥰🥰 wangapi wamefurahi kuona interview ya kijanjanja ya mirad ayo ♥ twakupenda kaka uyu ndiyo King 🤴 of interviews ♥ 👌 🇴🇲 🇹🇿
@theresiafrancis1343
@theresiafrancis1343 2 года назад
Pole lulu wewe Ni shujaa sana una baraka zote za mama yako …. Mungu amlaze mahala pema peponi amina Amina
@husnashindano1192
@husnashindano1192 2 года назад
Allaahuma Ameeeeeeeeeeeen 🤲 😭 😭 😭
@petronchalangi1033
@petronchalangi1033 2 года назад
Kwenye comments wengi wanalaumu Lulu kujibizana na hao waliomsimanga kuwa hajajenga kwao....lakini kiuhalisia hii story kwa upande wangu iko kifasihi Sana. Na ni story ya kitaaluma zaidi na Millard Ayo umeiendesha vizuri Sana. Kweli wewe umeiva kuinterview watu wa kila carrier. Kwa ujumla ukiisikiliza hii story Ina vitu vingi mno vya kujifunza. Mimi ninayependa fasihi nashauri Lulu kwa kushirikiana na Millard Ayo iwekeni kwenye kitabu ili jamii ijifumze zaidi. Nakupongeza Sana Lulu kwa kuamua kuleta hii story juu ya marehemu Mama yako. Inatufundisha mengi hata maisha yako ulimopita pia ni funzo tosha. Na yule atakayekuoa atakuwa amepata donge nono. Wewe ni malkia wa nguvu na ni wa mfano.
@chikurashidi7085
@chikurashidi7085 2 года назад
Kweli pole Lulu
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 2 года назад
Sana
@ngache46
@ngache46 2 года назад
Abdul atafaidi eeeh
@rahmaabdallah5821
@rahmaabdallah5821 2 года назад
😍👏
@wejja423
@wejja423 2 года назад
Mwalimu wangu
@winfridapeter9455
@winfridapeter9455 2 года назад
Pole Sana 😭😭,tuliofiwa na mama tunaumia na mengi tukiyaelezea yao,pumzikeni mama zetu wote mliotangulia mbele ya haki na marehemu wote🙏🏽
@lydiamutunga7538
@lydiamutunga7538 2 года назад
Aisee inauma sana miaka 20 sasa tangu kuondekewa na mama ni mambo mengi tu magumu lakini mungu yupo pamoja nasi🙏🏻
@husnashindano1192
@husnashindano1192 2 года назад
Allaahuma Ameeeeeeeeeeeen 🤲
@husnashindano1192
@husnashindano1192 2 года назад
😭😭😭😭😭😭
@mwahijalukali2387
@mwahijalukali2387 2 года назад
Amiin thuma amiin
@aliburhan3015
@aliburhan3015 2 года назад
ALLAAHUMMA AAAMIIN YAA RABBI 🤲
@rachelgeofrey1500
@rachelgeofrey1500 2 года назад
Napenda sana Diva akitabasamu anakua mzuri sana na anaongea vzr sana in short nampenda sana na Mungu amjalie maisha marefu na mazuri pia kajitoa sana kwa mamake
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 года назад
Nimekupenda kwakweli,sio kutamani kuzaa tu , Mungu akupe ndoa ktk jina la Yesu, mpate watt wazuri!
@beshuuambarali4960
@beshuuambarali4960 2 года назад
Kwani UYo christu
@mozam4496
@mozam4496 2 года назад
Pole sana Lulu wang Mungu akupe maisha marefu 🙏i love you 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@suzymakwawa5408
@suzymakwawa5408 2 года назад
Ata Sielewi Ni Andike Nini Lulu Ume jua Kuniliza Mdogo Wang 😭😭😭😭😭Mungu Afanyike Faraja Kwako Ww Ni Shujaa Sana Nakupenda Sana 💕💕💕💕
@carolineotieno8154
@carolineotieno8154 2 года назад
Take a heart Lulu, it's really painful and heartbreaking I feel your pain let's her soul rest in internal peace Pole Sana You're a strong woman according to what you passed through.
@gradnessshitindi3694
@gradnessshitindi3694 2 года назад
Duuuuh pole sana dada Diva, umemfanyia sana Wema mama ako malipo utayakuta mbinguni🙏
@sabrinahm5651
@sabrinahm5651 2 года назад
God will see you through Lulu . My prayers 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@azizymachadeson3577
@azizymachadeson3577 2 года назад
Ila binadamu tunajua kuongeaga sana na kutoa maneno mabaya bila kujua ni mangapi mtu kapitia na ni changamoto gani mtu alikua nazo , hakuna binadamu ambae anapenda shida au anapenda apitie mateso ! Dah pole sana Dada angu pole sana sana sana Nakupenda sana Lulu D
@enterenter1921
@enterenter1921 2 года назад
Mirlad nakupenda saan kwaajili ya ALLAH 🥰 🥰 na Lulu umependeza mashaa Allah pole na 🤲🤲nakuombea
@joycemlwale5422
@joycemlwale5422 2 года назад
Weww ni shujaa wangu wa 2021 ulinipa hisia sana ktk kumuuguza mpk kufariki kwa mama yako.Mungu aendelee kumpa pumziko la milele.
@sophialaurent2406
@sophialaurent2406 2 года назад
Pole sana dada Lulu, najua jinsi gan umeumia, umenitoa machozi 😭😭😭😭
@sintaibra355
@sintaibra355 2 года назад
Watu Wanazungumza Tuu Coz Midomo Hailipiwi Vat Hawatizami Hata Age Ya Mtu Wanatiririka Tuu Sasa Umri Wa Lulu Ni Wakujenga Kwao Amepambana Lini Na Ajenge Lini Jamani Tuwe Na Kiac👐👐👐
@salmahalfani6307
@salmahalfani6307 2 года назад
Pole mwanangu M/Mungu akupe Subra. Hio njia ni yetu soote. Kwake tumetoka na kwake ni marejeo. Kila nafsi itaonja mauti. M/Mungu akujaalie mume mwema wa dunia yako na akhera yako na pia akujaalie kizazi chema cha kike na kiume chenye kheri na wewe.
@shadrackvicent3711
@shadrackvicent3711 2 года назад
Usiombe yakukute,hapa utaona kawaida but ni hali ngumu,ngumu zaidi MUNGU AMSAIDIE SANA LULU DIVA NA ALLAH AMPOKEE MAMA YETU
@luluukwaju8051
@luluukwaju8051 2 года назад
Pole sana wajna Lulu! Umeniliza wallah! Allah Amrehemu, Amsamehe Alipokosea na Amjaaliye jannat firdaus mama yako ameen. Nawe Allah Akuzidishie wepesi ameen
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 2 года назад
Amen
@pinahoscar6735
@pinahoscar6735 2 года назад
Lulu katika umri mdogo miaka 27 ila umepitia mengi Mungu ampumzishe pema peponi mama lulu Umempambania sana mzazi wako ila Mungu kampenda zaidi😭😭😭😭ila interview yako imeniliza sana
@josendaki2321
@josendaki2321 2 года назад
Pole lulu Mungu awe nawe akupe neema ya moyo
@josendaki2321
@josendaki2321 2 года назад
Wewe safi sana
@josendaki2321
@josendaki2321 2 года назад
Wema safi sana😍😍
@ChristinaAloyce-pp6vj
@ChristinaAloyce-pp6vj 3 месяца назад
Kumuuguza mama nakuindoka mikononi mwako huku ukimpambania hd mwisho niviwanja namajumba tisha. Hongera diva nakupenda sana natamani nikuone nikukumbatie tulieeee 😢😢😢😢
@marlenezaina2196
@marlenezaina2196 2 года назад
Mamako alifariki siku moja na mamangu mzazi na pia wametoshana umri na waliuguwa kwa miaka sawa😢😢😢😢inauma sana Mungu awampumzishe marehemu wote kwa amani
@farikkaqueen2367
@farikkaqueen2367 2 года назад
amina sorry for your loss
@zuenampandeni3347
@zuenampandeni3347 2 года назад
lulu wewe ni jasiri hongera, pia pole Allah atakupa mume mwema na watoto wema
@dalhiyarashid2572
@dalhiyarashid2572 2 года назад
Kuna vitu vingi Sana nimejifunza kutoka kwako dada Lulu,umenifanya nimekuwa na nguvu ya kutokata tamaa, nimekupenda Sana na pole kwa matatizo kipenz🙏🙏🙏😓
@adolpheaoci5706
@adolpheaoci5706 2 года назад
Pole sana dada, Nina kumbuka shida nilio pitia kwaku mchunga Baba yangu alipo vunjika hip. Machozi ime toka sana. Jipe moyo dada
@justinejackson1731
@justinejackson1731 2 года назад
Kuna watangazaji alafu kuna "MILLARDAYO"... interview ni ndefu but unatamani isifike mwsho, kama ilivyo siku zote..hongera sana mtu wetu wa nguvu Millard, Mungu azidi kukupa nguvu. Kuhusu Lulu, pole sana sana kwa kumpoteza mama yetu hyo ni mipango ya Mungu ata ungefanya nn bado ingefika mda, so pole sana. Kuhusu wewe ni shujaa na malkia wa nguvu wala hahitaji kutumia nguvu nyng sana kuwaonyesha/kuwaelekeza watu ulichokifanya kwenye maisha yako na kwa mama kiujumla..ata ungefanya kipi sisi wanadamu hatujawahi kukosa la kusema..so..usikate tamaa endelea kupambana utafika unapopataka Kwa uwezo wa wake Mola. Jinsi unavyojieleza inatosha sana kuonyesha uwezo wako mkubwa wa kujitambua km kuna mapungufu hyo ni kawaida Kwa ss binadamu, hakuna aliyekamilka.
@millardayoTZA
@millardayoTZA 2 года назад
Muchlove Justine
@aminaomy8139
@aminaomy8139 2 года назад
Pole Sanaa dadangu Lulu .... Allah atakulipa ujra wako na mamako Insha Allah huko kuugua kwake iwe ndoo msamaha wake kwa Allah na ndoo njia yake ya peponi ... Allah awasamehe wazazi wetu .. Allahuma Ameen
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 2 года назад
Amen
@mohammedkombo3727
@mohammedkombo3727 2 года назад
Pole Sana Lulu Allah amlaze mahala pema insha allah napia Allah akupatie Afya njema naww napia umepata Baraka zote za mama amini utaishi Maisha Mazuri Sana hapa Duniani lolote utakalo kulifanya litakua bila kipingamizi kwa uwezo Wa Allah ila umenitoa machozi lulu 😭😭😭
@helgaaporinaly2811
@helgaaporinaly2811 2 года назад
Hongera dada kwa kumpambania mama. Mwenyezi Mungu akupe ujasiri wa kulikubali hili. Wewe ni mama jasiri na mbeba majukumu.
@mwabakabwe9733
@mwabakabwe9733 2 года назад
Millard ye so professional🙏I love yur sense of humor🙏Lulu may God bless ye ❤️I started following ye th day I spotted yur video n yur mom 👏I loved ye from that day 🙏❤️sending ye enough love from Zambia 🇿🇲
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 2 года назад
😭😭😭😭😭pole lulu .insh mungu atakupa mume mwenye kheri na ww..🙏💟.dah umejua kumpambania mama ako.uko na pepo yko kesho insh.insh mungu atakupa mume bora .
@tildahongkong6086
@tildahongkong6086 2 года назад
Daah pole sana luludiva umepitia wakati mgumu sanaa sio kazi rahisi MWENYEZI MUNGu atakufuta machozi na atakupa furaha ya moyoni MUNGu ampunguzie adhabu ya kaburi 🙏🏼❤️
@mariamlymo6548
@mariamlymo6548 2 года назад
Kufiwa kufiwa kufiwa aisee hili neno lione na ulisikie kwa mwenzio omba yasikukute tena kufiwa na mama jamani nyie mama anauma 😭😭😭 niliuguza mama yangu hadi nikafikia hatua ya kukufuru naona bora afe apumzike mateso ya dunia ila leo hii natamani hata angekuwepo niwe namuona tu... Pumzikeni salama mama zetu😭😭😭😭
@chocolatedrop3968
@chocolatedrop3968 2 года назад
Pole sana Lulu 😢 Mungu yuko nawe na mama amekuachia baraka zake nyingi
@nasrimohamed7556
@nasrimohamed7556 2 года назад
Lulu haustahili kulaumiwa kwa kweli pole sn Allah akupe nguvu kpnd kgumu unachoptia
@subirachuta8169
@subirachuta8169 2 года назад
Lulu umeniliza sana coz nilipoteza mama kwa kushindwa kumudu matibabu, Hii ya kwako imenikimbusha mbali sana😭😭
@coletashirima2193
@coletashirima2193 2 года назад
Congratulation Lulu ..... Mama apumzike kwa amani ,,,,big up sana Millard nampenda one day ntafanyiwag interview na ww tu
@marthadeogratius7913
@marthadeogratius7913 2 года назад
Pole sana Lulu Wewe ni shujaaa! Umepambana sana Mungu aendelee kukusimamia siku zote akupe mume mwema akujalie watoto♥️♥️♥️
@janetmwangombe6267
@janetmwangombe6267 7 месяцев назад
Pole sana mrembo wetu ❤usijali mama amepumzika ameteseka sana mahali yuko hateseki tena.wewe pambana na maisha dadangu mwenyezi Mungu atazidi kukupa nguvu.
@prettyh7509
@prettyh7509 2 года назад
😭😭😭😭story inaumiza jamani hakika umepambana Mdg Wang Mungu awapumzishe mama zetu kwa amani
@deborahrehema5819
@deborahrehema5819 2 года назад
This is really heartbreaking and ☹️ sad and painful to loss someone you love 💔 Pole da Diva
@sirahchocolate8508
@sirahchocolate8508 2 года назад
Lulu wangu Allah akupe afya njema na Umri mrefu InshaAllah ♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏🙏
@RajatSharma-uq7pz
@RajatSharma-uq7pz 2 года назад
Mambo Uliyapitia na umri wako ni makubwa mno, Mwenye Ezi Mungu ajalie mema ya dhunia na akhera
@sharmelasaif47
@sharmelasaif47 2 года назад
Pole sana lulu ukilia namimi nalia nalia kwauchungu umasikini mbaya mbele zao nyuma yetu sote tusio na mama au tusio na wazazi
@casablancastudioarusha775
@casablancastudioarusha775 2 года назад
Pole sana kwa jaribu ulilopangiwa kukutana nalo Duniani Mungu akubariki kwa yote uliyomtendea Mama yako.
@mwanaishamande8880
@mwanaishamande8880 2 года назад
Malaika walikutoa nje uingie ndani kumuwekea mama Yasin akiwa kwenye sakaratulmait jazakallah kher
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 года назад
Watoto wakike wanakumbukwa tu wakifanikiwa ili wapeleke maendeleo kwenye miji ambayo wala siyo yao. Urithi hawapewi lakini wanangojewa wajenge ili wataifishwe. Big up Diva usijenge kijijini kama hujapewa eneo lako hapo.
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 2 года назад
Huyu msichana ni mwema na mtiifu lkn wapo wasichana wengine wabaya na urithi kwa dini y kiislamu wanapata hata kama umri wake ni dakika moja
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 года назад
@@shifaaal-baity4503 Kuna mila hawazingatii dini.,mila nyingi za Kiafrica unakuta watoto wa kiume wanapewa, wakike wanaachwa
@trayfosaharrison9199
@trayfosaharrison9199 2 года назад
Hiki kitu sio kizuri, kama unapenda mtoto wako wakike akifanikiwa asaidie nyumbani muwape pia sehemu ya urithi. Kama ww ni wakike hujapewa urithi kwa vile ni wakike usipojenga kwenu na una uwezo hakuna laana. Wasaidie mambo mengine kama chakula, matibabu n.k. kujenga watajenga wanaume wao walioona wanapaswa kupewa urithi
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 года назад
@@trayfosaharrison9199 💯
@CertifiedGavin
@CertifiedGavin 2 года назад
The voice of truth says do not be afraid, u gonna be alright I promise ❤️
@lydiamvungi9989
@lydiamvungi9989 2 года назад
Mungu wa mbinguni pekee ndiye faraja yetu, mungu mpe faraja sana Lulu Diva
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 года назад
AMIIIN
@neemajulius6249
@neemajulius6249 2 года назад
Ni maombi yang kwa Mungu ampe kila mwanamke mtoto wake hii interview imenigusa sana
@lizzygabriel9601
@lizzygabriel9601 2 года назад
Daaah Pole sana lulu 😢, umepambana sana , Mungu akupe faraja kwa kweli
@mohameddara1502
@mohameddara1502 2 года назад
Your strong woman lulu Mey Allah grant her in jannah
@zamzamzamzam4898
@zamzamzamzam4898 2 года назад
Mungu atakuwezesha inshallah lulu inauma xnaa muombe Dua mama ilo ndo la muhimu
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 2 года назад
Maskin inahuzunisha 😭 Allah akuzidishie subra na akupe faraja baada ya mtihani na allah akujaalie upate mume mwenye kheri na wewe naamini ukishazaa na ukawa na familia watoto wako ndo watakuwa wanakufariji,najua kusahau ni vigumu sana Allah akutie nguvu maskini 😭 Allah ampe kauli thabiti mama 😭 Allahumma ighfirlaha warhamhaa waskanhaa fii janna yaa kareem 😭👏
@semenimohamed8156
@semenimohamed8156 2 года назад
Pole sana lulu kufiwa na mzazi alafu ukiangalia U mezaliwa pekeako ni machungu sana wenye hali hii tunaijua vizuri ila nikumuombea kwa mungu
@lydiahbhoke2284
@lydiahbhoke2284 2 года назад
Lulu natamani nikukumbatie kwa nguvu yu are so special lady Lulu
@mercypeledawson1622
@mercypeledawson1622 2 года назад
I love you Lulu, no matter what they say nakuombea mamy
@sintaibra355
@sintaibra355 2 года назад
Pole Saana Kwa Yote Lulu M/MUNGU Aendelee Kukufunga Mkanda Ktk Nyakati Hizi Ngumu Kumpoteza Mzazi Mama Kwa Kweli Ni Zaidi Ya Maumivu
@mimamum6506
@mimamum6506 2 года назад
lulu allah akupe subra dadangu nasi sote tuliopoteza wazazi wetu allah awarahamu wazazi wote waliotagulia najikuta2 nalia wallah kuondokewa nikuzito
@theresehakizimana6345
@theresehakizimana6345 2 года назад
She’s a Super woman 💪❤️
@silviaantony677
@silviaantony677 2 года назад
Pole lulu diva nakupenda kweli mdada unayejielewa mungu akutangulie katika shughuli zako upate watoto waige tabia yako
@zabronmadano9053
@zabronmadano9053 2 года назад
Exactly
@hashkhantantrasiraji118
@hashkhantantrasiraji118 2 года назад
Pole sana Lulu Diva hakika Allah atakulipa kheri Inshallah 🙏🙏🙏
@awadhkhamis2592
@awadhkhamis2592 2 года назад
Mwamamke kama huyuu ukimpta rahaa kwasababu keshamaliza kila kitu na hana kigeni tena huyuu mke washoka lulu WEEE ntafutee 😂😂😂😂
@saidybhokey5744
@saidybhokey5744 2 года назад
dada kwa dini yetu umefanya kazi kubwa sana kwa mama yetu mzazi ni mfano wa kuigwa sana
@mariammsolini7287
@mariammsolini7287 2 года назад
Pole sana lulu, Mungu atakulipa mema kupitia mazuri uliyomtendea Mama
@Polly-uj3ky
@Polly-uj3ky 2 года назад
The interviewer, what a beautiful man and a great listener. Lulu is gorgeous. My deepest love and comfort sis. ❤️
@rahimarahima7465
@rahimarahima7465 Год назад
Pole sana DaDiva mungu ailaze roho y mama mahali pema
@khadijajuma7142
@khadijajuma7142 2 года назад
😭😭😭😭😭Pole sanaa mamy, Allah akufanyie wepesi kwenye kipindi hiki kigumu.
@agnessnkana8079
@agnessnkana8079 2 года назад
Chozi uliolimwaga mungu atakufuta kwa namna yake na hongera Sana umekuwa mdada jasiri na mwenye upendo na ninaimani upambanaji wako utakufisha mbali Sana pia unabaraka za mama hatuna cha kusema zaidi ya pole mungu akutie nguvu usimame imara kazi iendelee
@princeommy5793
@princeommy5793 2 года назад
O Allah, forgive Mwanaidi Ramadhan and elevate her station among those who are guided. Send her along the path of those who came before, and forgive us and her, O Lord of the worlds. Enlarge for her her grave and shed light upon her in it. ... Amin, Pole Sana dia Lulu
@zahrayusuf5985
@zahrayusuf5985 2 года назад
Allahuma Amiin
@marymakame241
@marymakame241 2 года назад
Pole umefanya bidii sana hiyo ndio ibada yako muombee mungu apumzike kwa amani wewe ni jasiri.sana wewe ninshujaa mdogo
@jerushaachieng1725
@jerushaachieng1725 2 года назад
Amin
@SululuZungu-kx8ws
@SululuZungu-kx8ws 10 месяцев назад
Bless nyng mrembo wetu yamungu mengi Allah akupenda muombee inxhaallah huko aliko😢
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 года назад
Polesana kwauliyoyafanya Allah atakulipa lnshallah Sasa ukae uswali umuombe Dua Allah. Amsamee amuingize peponi lnshallah
@rahabmwaura3105
@rahabmwaura3105 2 года назад
Lost my dad 12/9/21 due to pneumonia, i know what Lulu is feeling... Ain't easy at all.. Mungu atupe nguvu sote jemeni
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 2 года назад
Amen !!
@chocolatedrop3968
@chocolatedrop3968 2 года назад
Pole sana
@rodapaulo2090
@rodapaulo2090 2 года назад
Pole mamii.....Mungu alikupatia usingiz mzito....ili2 usishuhudie mama akikata roho pole sana
@lucybenjamin7205
@lucybenjamin7205 2 года назад
Pole sana mamy, Mungu akutie nguvu kwa kipindi hiki kigumu🙏
@khadijashabaninimba7890
@khadijashabaninimba7890 2 года назад
😭😭😭😭💔💔Pole sana diva 😭Hakika mungu ni mwema wa kila jambo Allah amrehemu 😭hii ni safari ya kila mmoja kila nafsi itaonja umauti Allah atujalie mwisho 🙏🙏💔💔Allah awarehemu wazazi waliotangulia 😭 😭😭😭😭😭😭💔💔💔
@vumiliahamisi7046
@vumiliahamisi7046 2 года назад
Allah amrahamu mama na hakika unaradhi zake mutakutana kiyama
@mwemajuma1431
@mwemajuma1431 2 года назад
Masha llah Lulu mdogo wangu umeongea vzr sana raha ya watt uwepo kwenye ndoa
@msasenathpotiphar1732
@msasenathpotiphar1732 2 года назад
Machozi yamenimwagika Lulu umenitonesha maumivu ya Mama hayaelezeki 😭, MUNGU akutie NGUVU kama alivofanya kwangu 💔😭 wapumzike salama Mama zetu 😭🙏
@adelinasanga6710
@adelinasanga6710 2 года назад
Dada lulu pole sana! Mwenyezi Mungu akutie nguvu!! Apumzike kwa Amani!!!
@florencekaranja8736
@florencekaranja8736 2 года назад
Pole sana lulu may God give u strength you are a strong woman
@sifamugwaneza8774
@sifamugwaneza8774 2 года назад
Jaman me nakupenda sana kaka angu #Millard unamfariji mwenzio na kujitahidi kumuelewesha😊 na penda pia kazi zako and pole sana #Lulu kwa msiba wa Mama ww nimfano wakuiga japo kuna wazazi wengine sijui wapije unawafanyia wema hawaoni but Mungu atakulipa na nzuri zaidi ulikua unaelewana sana na Mama❤
@nannakhamis5350
@nannakhamis5350 2 года назад
Huyu msichana anapepo ya mama ake utaokuta Kesho Kwa allah my
@bellahappy2119
@bellahappy2119 2 года назад
Lulu pole sana ulilopitia nakijua wanaosema awajui uchungu wa kufiwa na mama
@elizabethmwalo8424
@elizabethmwalo8424 2 года назад
God will reward u Lulu. You did your part as a human, but God saw it good for her to rest.
@beshuuambarali4960
@beshuuambarali4960 2 года назад
Lulu diva pole kwa Yote uliopitiaaa ila upendo wako kwa mama sasa uliobakiaa ata dunia nzima ijuwe unampndaa ni kuacha haYo maisha ya kufanya mijimbo na kuvaa mavaz yasiohitajikaa..na mama ajuwe kaacha mtt mwema bassi uswali swala5 na kila mdaa uwe unamuombeaa duaa...ndo upendo uliobaki dua...ukifa vitu vyote vimekufa ila mambo 3 moja wapo mtt mwema atakaekuombeaa duaa
@sharonnemartins2798
@sharonnemartins2798 2 года назад
Dah! Pole Lulu. Mama is in a better place and free from pain🙏🙏
@silverman6930
@silverman6930 2 года назад
This is so touching I’m so sorry LUlu May Lord gives you strength and rest your Mama in heaven Amen , I’m so sorry my dear 🙏❤️🙏🇬🇧
@user-gi1ez6fc1y
@user-gi1ez6fc1y 2 года назад
Pole Sana Lulu kwa yote uliyopitia hongera kwakua jasili😘 hapo kwenye gari sio kwa ubaya hata ningekua mimi nisinge pokea wabongo sio watu wazur watamchamba balaa
@upendomasai331
@upendomasai331 2 года назад
Shida zote ambazo amepitia lulu Kuna mbwa ya mtu inakuja kuhoji et kwann hakujenga kwao asee nimejikuta nalia asee Poole lulu mungu akupe nguvu
@maimunaabdalla7146
@maimunaabdalla7146 2 года назад
Yeyote anae muuliza au msema hakujenga,kwanza huyo hajawahi uguliwa au fiwa na mama,uguliwa na mama miaka 7 sidhani hata kama waeza kua na wazo lakujenge ,ambe ana mkejeli lulu naye mzazi wake na augue tuje tumuone akisimamia mafundi wajenge.hebu kueni na utu. Kufiwa na mama siyo mchezo,mimi nilifiwa na mama najua uchungu wa mama,siwezi msema lulu zaidi ya kumuhurumia yatakauo mkuta akiwa hana mama,maisha si rahisi.🇰🇪
@zaiiomary8970
@zaiiomary8970 2 года назад
tuloondokewa na mama ndo tunao jua chungu na mamumivu pole mamy hat mim imenigusa
@consolatamaunde8967
@consolatamaunde8967 2 года назад
Pole sana lulu na mshukuru Mungu umemuuguza Mama yako
@alvinmbugua9830
@alvinmbugua9830 2 года назад
May lulu mum soul rest in peace...we love you so much our sister lulu.nairobi kenya tuko na wewe kwa prayers
@richardfilibert5411
@richardfilibert5411 2 года назад
Umepambna Sana Lulu mungu niwawote kilam2 anachance yake kwenye maisha🙏
@noorissa6036
@noorissa6036 2 года назад
Pole sana umemuuguza mama yako mpaka mwisho sahii ilio baki nikumuombea mama duaa Allah amsamhe makosa yake amuepushe na adhabu ya Kabir ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia
@carolinaadolf6955
@carolinaadolf6955 2 года назад
Strong woman Luludiva ❤
@mariamkadio8402
@mariamkadio8402 2 года назад
Lulu Mungu ni mkubwa ,atakulipa fadhila Kwa juhudi za kuokoa maisha ya mama,yani Una malipo yako Kwa Mungu kipenzi,Allah akupe faraja kipenzi.
@luifdls6217
@luifdls6217 2 года назад
very touching story..safi sana lulu..pole sana kwa kufiwa na mama..Mungu ampumzishe kwa amani🙏..u are so courageous na umempigania mama sana..Mungu akupe nguvu dear its not easy🙏💪
@naymadaniel3361
@naymadaniel3361 2 года назад
Lulu you make me cry😭 allah amlaze mama lulu mahala pema peponi inshallah 🙏🙏🙏
@shabanijohn7755
@shabanijohn7755 2 года назад
Pol sana Sana mamy 😭😭😭😭 MUNGU akupe moyo waimani na alaze mahapema pepuni 🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@devothastive8007
@devothastive8007 2 года назад
Daaaaah Mungu amtie nguvu huyu dada😭😭
Далее
Tusubscribe please 🙏🙏
3:05
Просмотров 391
LULU DIVA ALIVYOVAMIWA NYUMBANI KWAKE
6:03
Просмотров 272 тыс.
H BABA AMTONGOZA LULU DIVA KWENYE HELLO MR RIGHT SHOW
4:47
Jackline Wolper asimulia alivyonyang'anywa gari
35:25
Просмотров 229 тыс.