alafu chonde chonde nyie wabunge tunaomba mtoe hizo sheria sijui ni taratibu , kuwa eti ajira zikitoka mahali wanasema kuwa muombaji asiwe na umri uliozidi miaka 26 au zaidi, kweli inauma sana kwetu sisi tuliomaliza chuo kikuu tumeishia kubaki nyumbani na hatuoni hata umuhimu wa kusoma kwetu. kama hata ajira zinatolewa tena kwa kubagua umri. inauma sana kwakweli. au unasikia eti awe na uzoefu wa miaka 3, sasa kama kila sekta wanasema hivyo huyo mtu anatoa wapi huo uzoefu kama kila mahali wanambagua kwa staili zao.
Nampongeza mh mbunge mtoa hoja hili swala ni la kibaguzi kabisa yaaani kupata tu hiyo nafasi ya JKT ni ngumu na kujuana kwingi kila chombo kina chuo chake cha mafunzo na mh Rais hutoa pesa za mafunzo ko kiondolewe tu then wataenda kupata mafunzo kwenye vyombo vyao vya ajira
Ni ajabu kuona mawaziri na wabunge ku support uonevu kwenye kwenye ajiri za jeshi. Jeshi alijengwi na JKT, jeshi zuri linajekwa na nchi inayo toa fursa kwa watu wote wenye vigezo ili kupata best candidates. Leo jeshi la Uingereza na marekani wana ajiri waafrika kutumikia majeshi yao, wanacho jali ni umri wa mwombajo, tabia yake na afya yake na sio vinginevyo.
HII NIAJABU SANA, KUNAWANAJESHI WENGI MNO AMBAO NINAWAFAHAMU HAWAKUPITA JKT NA AMBAO WAMEPITA JKT WAKO MTAANI BILA AJILA WANATAABIKA (SHIDA KUNA KUNDI LA WATU WAMEFANYA JESHI KUWA KAZI ZA WATOTO WAO) MWIGULU NA WENZAKE TUNAJUA MNATAKA WATOTO WENU TUU... NCHII DUU!! NIHUZUNI
Nakubaliana na Mh Muigulu 12:55-13:28 kigezo cha jeshi kisiwe cha lazima kiwekwe kama requirment. maana itamfanya muombaji kutosita kuomba kazi. kama hitakuwepo italeta utata kwa muombaji kuwa sasa kama ni jeshi inamaana lazima niwe nimepitia jeshi? Mh Muigulu nakubaliana nae
Aibu kweli, double standard employment hata kwenye critical positions or organs kama AG (Mwanasheria mkuu wa Serikali)...PAMOJA na Elimu yake kisheria, academic confidence ni muhimu sana, sasa AG anatetemeka, anababaika, je ataweza kuitetea NCHI katika masuala muhimu? Kweli hakuna wanasheria mahili kwelikweli nchi hii? Tunaleta uhuni na ushabiki hata kwenye critical positions kama AG.
Kigezo hicho kiwepo kama added advantage ila kisiwe cha lazima kuwazuia vijana wengine wenye sifa kupata nafasi. Kwa kuwa wanaenda kupata mafunzo upya.
Itafika wakati hata mtu kuwa karani awe ametoka jkt pia. Polisi na mwanajeshi yeyote anapikwa toka mwanzo kutoka raia kuwa askari. Hiyo ya kutegemea jkt kuwa askari wa aina yoyote ile haina maana. Waende wakafundishwe kuanzia mwanzo. Waende fresh watoke askari. Added advvantage ndio hiyo imekosesha watu ajira kwa vile sio wanawake pale tangazo linaposema kuwa mwanamke ni sifa ya ziada
kusema neno Mh Mwigulu ni janga lingine la taifa ni kutotutendea haki, kwani kwa msimamo yake isiyojinasibisha na uhalisia wa maslahi yetu a taifa aitwe tu Mwigulu na si (MH)
Kiti lazima kiongee kisheria na sio ubabaishaji wa kitz.Kina kazi ya kusimamia maamuzi magumu inayoyapitisha sio kututungia sheria kila uchao vyombo vyote vya umma viwajibike.Usisahau kitengo cha ujasusi kile kinachoua wasomi na wanasiasa wanaotaka kuleta mageuzi yenye tija ndani ya nchi yetu.
Yaap user, tatizo ni USIMAMIZI WA UTEKELEZAJI WA MAAMUZI MAZURI YANAYOPITISHWA. RIPOTI ZA CAG huwa zinaishia wapi zaidi ya kumaliza fedha za ukaguzi za watanzania? Let's keep serious please.
Wewe tulia 2030 utkuwa mgombea mwenza wa makonda hiyo haipingwi popote chukua hii msg kaa nayo kwanza picha yko ilobaki ni uhai kuomba uwepo kipndi 2030 bc.
Mbali na yote ifike hatua Tanzania irekebishe changamoto za Muungano kupitia Katiba Mpya. Huu mjadala umeonesha waziwazi changamoto za kiutendaji linapokuja suala la Muungano katika kufanya maamuzi.
Mimi naliona hili Kwa jicho la mbali sana! Hili jambo Mh. Tulia ametumwa, na hii ni mhsusi sana Kwa ajili ya watu flani wapo upande X Kwa Sheria ya ajira iliyopo hawawezi kupata nafasi, ila Kwa mfumo huu ukipita wateletwa kama Mvua Ili waliopo JKT waendelee kusubiri. Anyway! Ngoja tuone mpaka mwisho.
mchakato wenyewe wa jkt haunauwazi,ndiyo unakuwa mwanzo wa mazingira magumu kwa usawa wa fursa ya ajira kwa kila mtu mwenye sifa za msingi, kwa vizuri kigezo hicho cha jkt kitupiliwe mbali
NAKUUNGA MKONO KISINZA, WAJINGA NDIO WALIWAO. Hii imepangwa ili nchi turubuniwe na kuona serikali imeamua kizalendo ili ipate political legitimacy kumbe utekelezaji ni uleule, kwani hakuna wa kufuatilia michakato ya ajira, wanajikosha, hawaaminiki. Hii imeletwa kimkakati ili itumike kama propaganda ya kizalendo aheading elections. Let's wake up please.
Mimi napata shida sana kuelewa kwamba unaweka masharti ya kibaguzi juu ajira na hasa unamlenga nani?, watanzania ni sisi wote why tubaguane, ndiyo shida ya watue kuteuliwa Kwa nafasi ambazo hawakuzitaka, wanasheria wengi tz vilaza
Mwiguru kuna kikaango chako hapo ukisema kweli ni uongo ukisema uwongo ni uwongo pia hivi mtawezaje kuajiri mwanajeshi asiyepitia jeshini hapana ndugu zangu wabunge someni alama na nyakati tutakufa kama nzi acheni uvivu wa kufikiri wapo wenye sifa na wasio na sifa