Тёмный

Kauli kali za SPIKA mwanzo mwisho "Mama hatabiriki" || Pambana na kitu kingine sio Ndugai 

Mwananchi Digital
Подписаться 986 тыс.
Просмотров 555 тыс.
50% 1

Job Ndugai amejiuzulu nafasi yake ya Uspika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na kubaki kuwa Mbunge wa Jimbo la Kongwa. Katika kipindi chake cha Uspika tunakuletea kauli mbalimbali alizowahi kuzitoa ndani na nje ya Bunge hadi alipofikia kumwomba radhi Rais Samia Suluhu Hassan na baadaye kujiuzulu nafasi yake ya Uspika.

Опубликовано:

 

6 янв 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 350   
@abelsonmakabala6090
@abelsonmakabala6090 2 года назад
Appreciate this Man....hata kuiongoza familia kunahitaji msimamo na jeuri....huyu ndo kiongozi tumtakaye....2025 niko upande wako mzee wangu........
@salmawatuta6468
@salmawatuta6468 2 года назад
Msimamo unaomba radhi?
@robbiejerrson7437
@robbiejerrson7437 11 месяцев назад
Si Kila msimamo ni hekima. Misimamo mingine ni ujinga na upumbavu mtupu. Huyu ndivyo alivyokuwa na nduguye mwendazake!!
@walterbhoke7935
@walterbhoke7935 2 года назад
Ndugai haya ni maisha tu anaeyaweza.ni mungu tu nilijua utamaliza vibaya na bado hiyo ni trela
@mokhimji
@mokhimji 2 года назад
tumshukuru mungu kamaliza kazi bila kumjeruhi mbunge ata mmoja... ameena..
@israelifadhili9744
@israelifadhili9744 2 года назад
Bila msimamo wa namna hiyo, huwezi kusimamia bunge. Bungeni kuna kanuni, ASA kama mbunge hafat kanuni unataka afanyeje. Alifanya vizur sana, kasoro yake ni kumsalit magufuli bandari ya bagamoyo bas. Alaf ninyi mliotengeneza hii, mnapenda kuponda sana wengine wakt ninyi wenyewe ni makaburi yaliojaa kila aina ya uchafu. Jiangalien na ninyi matendo yenu, yeye ametubu na mungu amemsamehe
@jaysullman3697
@jaysullman3697 2 года назад
Usimtetee Msaliti!
@tumlakimwaitumule
@tumlakimwaitumule 2 года назад
Huo si misimamo,unazuia mishahara ya watu unasema.huo msimamo?
@thomasmerinyomollel3544
@thomasmerinyomollel3544 2 года назад
Mungu ni mungu na ni mwenye wifu hawezi kukubali miungu watu ndani ya dunia akiwaacha watambe basi itakua kakosea kumtoa mwanae wa pekee kuchukua ufalme duniani na mbinguni nenda wewe mungu mtu wa ----
@gabrielaniseti1537
@gabrielaniseti1537 2 года назад
TAARIFA IMEEGEMEA UPANDE.MMOJA. SAWA SISI NI WA TAMZANIA MWISHO WA SIKU.AMANI UPENDO NA UMOJA WA KITAIFA UTAWALE
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 2 года назад
Na watanzania walivyokuwa na uelewa mdogo wanaacha kujadili deni kubwa sana na mfumuko wa bei wanahangaika na ndugai
@younginspired3899
@younginspired3899 2 года назад
Mnaanza kumtetea baada ya kujiuzulu, acheni unafki
@sifamushi1747
@sifamushi1747 2 года назад
I just love vichapo vyako. Kwa upole na taratibuuu na kiboko kinakupata...
@zubeiramlanzi2480
@zubeiramlanzi2480 2 года назад
Ata asingejiuzulu angeezuliwa tu kama mzee six ..aliambiwa safari hii tunataka spika m-mama
@israelifadhili9744
@israelifadhili9744 2 года назад
Nakubali msimamo wako. Achana na wajinga wasio kuelewa
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 2 года назад
Hongera sana Ndugai Unavuna ulichopanda yote mabaya uliyowafanyia wenzio yanakurudia. ✔️
@kamanapomo7029
@kamanapomo7029 Год назад
✔️✔️
@rahelimuhehe7068
@rahelimuhehe7068 2 года назад
Yaani alijiona kama Bunge kama la babaake vile na kusahau kuwa cheo ni dhamana😏
@platnumzkawiche1861
@platnumzkawiche1861 2 года назад
naweza kukupiga marufuku kuongea huku ndani hakuna cha swali wala nyongeza na hunishtaki popote😂😂😂
@azizawadh5973
@azizawadh5973 2 года назад
Kaoigwa stop yeye
@kinkybanjukome217
@kinkybanjukome217 2 года назад
Wewe ndugai utakula jeuri yako na hao wanaoshangiria nyote ni dhaifu na mazuzu kweli yaani wewe babu jeuri kweli sijui hilo juso lako na upara wako utauweka wapi ulifikiria utakaa hapo milele m.mungu anakuhukumu na kiburi chako kitakurudia
@mosessamwel1179
@mosessamwel1179 2 года назад
Kiburi cha uzima kimemponza, ndio ajue kuwa Dunia ni ya Mungu sio ya wanadamu. Aliwaona wenzake hawana thamani isipokuwa yeye sasa kafika wapi?
@jaysullman3697
@jaysullman3697 2 года назад
Sana tu hakuna kitu kibaya km ukijiona Mungu mtu Kiburi chake kimemrudia mwenyewe!
@furahambughi4977
@furahambughi4977 2 года назад
Sentensi ya mwisho ni tamu sana!
@kimweritz6364
@kimweritz6364 2 года назад
Urudi kumuomba radhi professor Asad kweli bunge dhaifu
@rasurmasoud5762
@rasurmasoud5762 2 года назад
Nimemkubali Sana jeneral ulimwengu
@faustinemavere1450
@faustinemavere1450 2 года назад
Hivi bila kuwa na msimamo utaendeshaje kundi ulilonalo acheni kumsema ndugai kauli za watu fulani zilikuwa za ajabu ndugai ni jembe mkatae mkubali aliwaweza sana wenye vimidomo sijaona ubaya wake
@rehematawalani733
@rehematawalani733 2 года назад
Ama kweli kabla hujafa hujaumbika binaadam tumekuwa waungu tunalaani ovyo ovyo
@raphamahengo5480
@raphamahengo5480 2 года назад
Damu ya wengi itawarudia wenyewe twende sasa
@lucasmogoile7097
@lucasmogoile7097 2 года назад
Wanna kama Hawa ndo walikiwa wa kuijenga Tanzania unyama unyama🔥
@saitotimariba2209
@saitotimariba2209 2 года назад
Kuna mda utafika mtamuona ndugae kuwa alikuwa sahihi nyie endeleeni kupiga midmo
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 года назад
Na mazuri yake wekeni. Tanzania ifike mahali tuwaheshimu watu kwa mema yao na si kwa kutafuta mabaya tu. Hastahili dhihaka hizi alifanya kwa nafasi yake pia jamani. Huu ndio uhuru wa habari tunaouliliaga?!Muacheni mzee wa watu jamani.
@davegervas4707
@davegervas4707 2 года назад
weka wewe kama unayajua
@madetetv6576
@madetetv6576 2 года назад
Yaweke ww hayo mazuri acha kupangia watu cha kuposti
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 года назад
@@davegervas4707 fedheha ikupate
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 года назад
@@madetetv6576 ww ndio unataka kunipangia cha kupost ndio maana ume reply kwangu. Kumbe hata hujielewi!!Ss unatokwa poovu. Huna hata cha kusema bendera tu wewe .
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 2 года назад
@@davegervas4707 bendera fuata upepo tu wewe
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 2 года назад
kwenda uko Ndugai huna kauli nzuri kwa watu wazima wenzako sasa utapiga makofi mezani km wenzako dadadekiii zako muliona Samia mwanamke wa mchezo mchezo Mama Samia kenda labour hawaogopi nyote na magenge yenu
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 2 года назад
Pambana na kitu Ingine sio Ndugai. Mmmmmmmmh ulitumia nafasi yako vibaya. Yalitunzwa Sasa wanakuonyeshea, yamekugeuka.
@lucyngoo6309
@lucyngoo6309 2 года назад
Tena yeye yamemgeuka kwelikweli bila ya yeye kutarajia
@tbsgenterprises.hongera4631
@tbsgenterprises.hongera4631 2 года назад
Ndugai Lisilowezekana kwa binaadamu kwa Mwenyezimungu litawezekana.leo umeuona mkono wa Mungu usioshindwa na mamlaka yoyote.Unayoyapitia sasa ni matokeo ya kiongozi au kutumia mamlaka uliyonayo pasipo hofu ya Mungu.Spika sio Mungu Spika ni mtumishi wa watu.anapaswa kuwaheshimu ili kulipa heshima mamlaka anayoiongoza.
@anordkyelula6266
@anordkyelula6266 2 года назад
Ilove tanzania ilove my nation
@silvangabriel3592
@silvangabriel3592 2 года назад
Nimeipenda hio ya mirembe apelekwe nayeye mirembe
@salehkioza-xo8ti
@salehkioza-xo8ti 10 дней назад
Huyu hayuko sawa na wala hastahili hata kuongoza shuĺle ya chekechea kwanza anazarau sana na kibri sana ila mungu mkubwa kuliko chochote kile,mwisho kaangukia puwa
@kamishina7853
@kamishina7853 2 года назад
Huu mhimili umejiuzulu lakini una jambo kubwa sana unalificha Ndugai tuambie Watanzania tujue kinachoendelea
@marywakesho4887
@marywakesho4887 2 года назад
Uongozi hautaki nguvu na majigambo.... Wacha watu wakukubali kwa ubora wa uongozi wako...
@innocentlethisia416
@innocentlethisia416 2 года назад
Ndugui ww ni dhaifu xnaa, alaf kama una matatizo ya sasa unamwandikia mwenyekiti wa ccm ndio aliyekuchagua?mgogooooo
@joune8260
@joune8260 2 года назад
Haya Sasa kinyozi umejinyoa! Ulikuwa unajiona nusu mungu kwa kauli zako za vijembe! Na hiyo Covid ulivyochanjwa mbona bado uliendelea kuugua tu. Nimependa ulivyotoka kwenye hiyo nafasi maana inahitaji mtu mzalendo zaidi na powerful brains!
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 2 года назад
Tuliwahi kua na spika moja mbovu sana😂😂😂😂😂😂
@saramichael1632
@saramichael1632 2 года назад
Jamaa Kweli Alitenda Apendavyo
@allannelson1908
@allannelson1908 2 года назад
Serikali aitakikuambiwa ukweli...tutafika safari ya baba wa taifa
@januaryjohn4771
@januaryjohn4771 2 года назад
Hakuna kitu hapo ccm mmewaibia kura wananchi hamjachaguliwa zaidi ubepari tu,hicho ndio kinachowatafuna
@jeromendetaulwa3466
@jeromendetaulwa3466 2 года назад
Mzuka wa lisu utakumaliza tubu toa ufafanuzi stahiki zake ulimfuta ubunge
@johnnnko5814
@johnnnko5814 Год назад
Kweli Mungu wee ni Mungu....kuheshimu mamlaka ni muhimu kwa woteee..
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 2 года назад
Jifunze quran kusom kuandik gusa pich yang hapo kama hautojl
@hamiduchingi2672
@hamiduchingi2672 4 месяца назад
Ndugai mimi ninakuelewa sana tazo watanzania tumezoa kuombwa ombwa tu atakama tunakosea au tunapokiuka maadili
@user-zl3le1wz2u
@user-zl3le1wz2u 4 месяца назад
Aliongeza bunge kwa manufaa ya taifa lakini kujiudhuru kwake si kwa manufaa ya taifa ila alifurahisha nafsi yake, sababu tumepoteza bandari.
@hassanmkotya4136
@hassanmkotya4136 2 года назад
Mema yake yakowapi Yarrabi huyo ni mwanadamu kupatia na kukosea ni sehemu ya maisha yake hakika Mungu nipe jicho la tatu linijaze ufahamu binaadamu siyo watu nimeshindwa Sina hamu. Jobu Yustin Ndugai kila la kheri huko uliko.
@josephmwinuka3982
@josephmwinuka3982 2 года назад
Wema wake ni ubabe na kukandamiza demokrasia
@tumlakimwaitumule
@tumlakimwaitumule 2 года назад
Dah yan kuna watu vyeo viliwalevya🤣🤣 leo chaliii..cheo dhamana ndugu zangu
@ciarmnyone738
@ciarmnyone738 2 года назад
Jidanganyee TU........
@davidjohn5977
@davidjohn5977 10 месяцев назад
Au kwa sababu ni omba omba,haya kati ya majizi na Ombamba unachagua nini?.Mimi ni Mgogo acheni dharau za Makabira.
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 2 года назад
We will miss you!!!
@NancyMatuli-fb5jp
@NancyMatuli-fb5jp Год назад
Viongozi muwe mnachunga sana ndimi zenu ona sasa ulijifanya Mungu mtu kikowapi sasa ukiziona kauli ulizokuwa unalopo sijui unajionaje na unajisikiaje
@hassanimgongola
@hassanimgongola Год назад
Inabid tujue tunakosea wap
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 2 года назад
Yaani huyu pwagu huyu hata atubu VP hawezi enda peponi kirahisi rahisi,natamani nimtie chupa ya Mirinda huyu,mxhiuuuu..
@clarawilliam9959
@clarawilliam9959 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@abubakarikisuju80
@abubakarikisuju80 2 года назад
Nimegundua huyu ndugai ni mnafiki"hajampenda samia"mbona kipindi cha magufuli ameikubali mikopo?
@bennyjohn1412
@bennyjohn1412 2 года назад
Kazi kweli kweli wewe Ni mkweli ndiyo maana
@solomoneglesius9448
@solomoneglesius9448 2 года назад
Kweli ndege mjanja hunasa kwa tundu bovu😂😂😂 laana ya kumsingizia Yesu na muke yake😆😆😆
@naimamunishi1241
@naimamunishi1241 2 года назад
KILA BINADAM ANAMAKOSA YAKE ss ndugai kukosea ni ajabu???ipo siku tutamkumbuka maana wabongo hukumbuka shuka pakiwa pamekucha😥
@faumamakwaia5095
@faumamakwaia5095 2 года назад
Kweli Ana mazuri mengi tu lkn wanaona mabaya tu,hakuna atakayekuwa mkamilifu duniani!
@saidal-rawahi4564
@saidal-rawahi4564 2 года назад
😂 😂 😂 Kapatikana vibaya sana.
@chomasongidion6047
@chomasongidion6047 2 года назад
Muwe na akiba ya maneno tu.jakaya alitukanwa weeee hakumjibu mtu.dugai nae pia ameshatukamwa Sana.lakini yote yatapita
@luganomwaisumo1938
@luganomwaisumo1938 2 года назад
Huyu na bashite akili zao sawa
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Yuko sahihi ila, alinikera alipomsaliti Maguful.
@dostovan5142
@dostovan5142 2 года назад
La proff Assad ndo lilinichukiza kama mtanzania
@davidmwandiga3465
@davidmwandiga3465 11 месяцев назад
Hamkuchaguliwa na wananchi mnaimba kura kwakutumi vyombo vya dola mungu atatoa hukumu ya haki
@nenolako8522
@nenolako8522 2 года назад
Huwa nikisikiliza dua ya kuliombea Bunge, na baadae kidogo tu nikiangalia jinsi mijadala inavyoendeshwa. Nabaki nikisema moyoni ACHA MUNGU AITWE MUNGU tu.
@josephyasata9017
@josephyasata9017 2 года назад
Naona mnamponda utafikir mnajua Sana kuliko aliokuwa anakaa nao, vi clip vya mkato ndo mnakoment ujinga
@ReactorsWatcher
@ReactorsWatcher 2 года назад
Huyu Jamaa alikua Jeuri Aisee dah, What goes around comes around
@wallesmdoe9164
@wallesmdoe9164 2 года назад
Da ndugai uko vzur sana 🪴 2025
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Год назад
Hakuna aliyechaguliwa hata mmoja .Hawa ndiyo aina ya maspika tulionao Tanzania yaani wakanyaga katiba
@verrynicemushi2563
@verrynicemushi2563 2 года назад
Kweli bunge la Ndugai ni dhaifu😅
@MwemaMichael-ge6np
@MwemaMichael-ge6np Год назад
Dugai ipo siku wanakuona huelewek ipo siku watakwelew me nakukubal sana ndo mana ulijiuzur mapem ulijua
@canoksancomprehensivelearn7182
@canoksancomprehensivelearn7182 2 года назад
RIP Ndugai, utangulie mapumzikoni huko
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
Mmm kwani Uspika ndo Maisha tu??
@jaysullman3697
@jaysullman3697 2 года назад
Kwani ivyo ndio kashakufa km hajakufa maneno yanaeeza kumuua akapata maradhi ata mapesa yake akakosa kuyatumia na kuinjoi nayo!
@scholaredwardo6383
@scholaredwardo6383 2 года назад
Jaman msinichekeshe
@neemajackson9876
@neemajackson9876 2 года назад
Kwan ndugai hajawahi Fanya jema mbona watu wanamsema sana🤔
@caesarmtebe544
@caesarmtebe544 2 года назад
Mbona wewe hujaweka hayo mema maana yake si na wewe hujaona mema?
@doralupenza3363
@doralupenza3363 2 года назад
Nampenda Mungu wangu amenipa kitu ninacho mikononi mwangu
@mshumikivaria544
@mshumikivaria544 Год назад
Amekupa kitu gani?
@festomartin6170
@festomartin6170 Год назад
Hakufaa kuwa spika huyu jamaa ni kenge kuliko kenge wenyewe
@nassirmohd6850
@nassirmohd6850 2 года назад
Daaah, dunia hii
@simonsadala2386
@simonsadala2386 Год назад
Kumbe tabia ya Zitto inajulikana hahahahaha mh speaker ni hatariiiiiii
@aloycesiaitys607
@aloycesiaitys607 2 года назад
Wala Ndugai hajakosea ametoa vidole vyake mapema. Tunakokwenda siko. Iko siku mtaamini.
@jaysullman3697
@jaysullman3697 2 года назад
Hizo zitakua ndoto zako tu nnachokiona apo mmmh!
@rahmarajab3688
@rahmarajab3688 2 года назад
Wewe pia Ni mtabiri!?
@rehematawalani733
@rehematawalani733 2 года назад
Badala ya kukaa na kumuomba muumba wetu awajaalie viongozi wetu waoo gone nchi kwa huruma na upendo
@erastobartalome2709
@erastobartalome2709 2 года назад
Wala huna bays ni vitu vya kawaida kabisaa walianza na magu wakaja na wengine list inaendelea wakimaliza tu tunakinukisha
@user-rs4vz2vt9z
@user-rs4vz2vt9z Год назад
We ulisema nchi itauzwa wakakutoa, shimo ulilochimba umefukiwa mwenyewe.ukowapi?.
@rasurmasoud5762
@rasurmasoud5762 2 года назад
Uliamua kubeba yote ,maana Kuna ulio wabebea ndo maana ukaomba msamaa ukiwa umeyabeba yote
@JackSolomon-oy7kb
@JackSolomon-oy7kb 4 месяца назад
Jamani uchaguzi uwe wa amani kwani mungu apendi fujo
@josephmwinuka3982
@josephmwinuka3982 2 года назад
Hahaha pambana na mtu mwingine siyo ndugai
@FromenaWilly
@FromenaWilly 24 дня назад
Shida ni nchi kuegemea chama kimoja jamani
@jamilahabdallah8397
@jamilahabdallah8397 2 года назад
Kweliiii upo vizuri
@eliamwasomola578
@eliamwasomola578 2 года назад
Ni kweli bunge ni dhaifu sana
@kkkbrotherskahixe6818
@kkkbrotherskahixe6818 2 года назад
Iyo ya profesa Asad...
@happinessmwenda2773
@happinessmwenda2773 2 года назад
MILEMBE INAKUHUSU.BUNGE DESERVE BETTER SPIKA
@erickthom6308
@erickthom6308 2 года назад
mimi nakuunga mkono kwa kila jambo
@user-jn4zq3zm5o
@user-jn4zq3zm5o 4 месяца назад
Nikweli kabisa usidharau usiye mjua
@kamotembaryo2283
@kamotembaryo2283 2 года назад
Pole ndugai matamanio yagoma kuliongoza taifa
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 2 года назад
Kwann watu hua mnaonaga mabaya tu? mazuri hayapo au
@OscarBethel
@OscarBethel Год назад
Ndugai alijiona mungu mtu kuwanyanyasa wabunge waupinzani sasa yuko wapi?
@nikundiweamosi5087
@nikundiweamosi5087 13 дней назад
G z ya tz itakuja maana wako wengi mtaan bila ajira
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
Kumbe ni Uspika tu??Safi saana
@kassimmurji2872
@kassimmurji2872 2 года назад
Spika ngugai tutakukumbuka kwa kuendesha bunge kwa staily yako ww mwenyewe uliwahi kusema unafaili mirembe
@alexmachare6495
@alexmachare6495 5 месяцев назад
Hata kama hutaki nchi iuzwe kuna namna ya ku present hoja yako.
@ommysidiq9038
@ommysidiq9038 2 года назад
Maneno yanaishi
@kulwamabula4983
@kulwamabula4983 2 года назад
Malipo ni hapa hapa dunian, nakushangaa sana kulopokalopoka kwko umesaau ww kpnd ch magu aliekua analopoka bungen c ulikua unamfukuza
@user-jc8vt7ct9t
@user-jc8vt7ct9t Месяц назад
Hajakosea ni kweli ni dhaifu
@Toysstoretz
@Toysstoretz 2 года назад
Me wabunge kiujumla sijawah kuwaelewa wakiwa bungeni sijuagi wanakua wameshapiga bangi
@fakizotz1727
@fakizotz1727 2 года назад
Nulichogundua ndugai alimtaja zaid Zitto Kabwe kuliko mtu yeyote
@TAMBIMEGELI
@TAMBIMEGELI 2 месяца назад
Mtu wa maana sana job ndugai
@eleonorabokewarioba4420
@eleonorabokewarioba4420 Год назад
Kukonga meza za bungeni sheria??
Далее
Ndugai: Kuna siku nchi itapigwa mnada
3:11
Просмотров 473 тыс.
вернуть Врискаса 📗 | WICSUR #shorts
00:54