Тёмный
No video :(

"MADAKTARI na WAGONJWA Mnawaleta Hapa WAJISAIDIE WAPI?" - WAZIRI MKUU Amgombeza MKURUGENZI 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 109 тыс.
50% 1

"MADAKTARI na WAGONJWA Mnawaleta Hapa WAJISAIDIE WAPI?" - WAZIRI MKUU Amgombeza MKURUGENZI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

15 дек 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 264   
@lucasmlowezi9214
@lucasmlowezi9214 Год назад
Mkuu tunakuombea sana, kwakweli unafanya kazi nzuri na unamsaidia Mh Rais vizuri. Mungu awape maisha marefu
@elizalutiga6287
@elizalutiga6287 Год назад
Kwa kweli
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 Год назад
Anawasadia wananchi rais wako Hana muda yeye kashaota mabawa muda wowote ni kupaa2
@simonandrew1489
@simonandrew1489 Год назад
Kabisa
@robertedward1992
@robertedward1992 Год назад
Huyu ndie rais wa baadae,baada ya mama Samia,piga kz mh.
@immaculatacornel2783
@immaculatacornel2783 Год назад
Mungu akubariki mheshimiwa, Majaliwa, Nchi imeoza ni upigaji mtupu! Pumzika kwa amani Magufuli, baba tunakukumbuka sana!
@zalfahashimu9393
@zalfahashimu9393 Год назад
Tunakuombea baba chapa kazi ,hapo nimekuja 💯 pacernt
@massjmalulu3862
@massjmalulu3862 Год назад
Anakuribia wewe tu kwakazi nzuri unayo fanya lakini kuna wengine wanaona tu poa mungu akupe maisha mema uwe raisi majaliwa
@francismlembwa2733
@francismlembwa2733 Год назад
Kwa kweli Ni kazi kubwa Sana mnayo viongozi weledi, asilimia kubwa viongozi Ni wapiga dili tu, hongera mh waziri kwa kazi kubwaunayoifanya
@kombedavis4056
@kombedavis4056 Год назад
R.I.P JOHN JOSEPH MAGUFULI....Majaliwa Kasim ni kama ana nafc yako ndani yake anastahili kuwa rais wa Taifa hili. ni mzalendo mkwel na muwaz pia!
@ramadhanhassan5285
@ramadhanhassan5285 Год назад
Huyu mzee majaliwa nampongeza sana jinsi anavyopambana anastahili kuwa kiongozi bora mana kiongozi bora lazima awajue watu wake wanaishije na wanaendeleaje mungu akuzidishie. allahuma amiin
@phillephillip6091
@phillephillip6091 Год назад
Mkuu, Allah Akuhifadhi, piga kazi, kazi iendelee... Heshima itachukua mkondo wake🙏
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 Год назад
Pole.sana Mh. Hali.ni. mbaya sana nchi nzima. Samia kaamia kushika tama
@martinemasaga7255
@martinemasaga7255 Год назад
Polesana PM
@rosiemary7788
@rosiemary7788 Год назад
pole sana waziri mkuu hii nchi ni pasua kichwa
@saudahassan6667
@saudahassan6667 Год назад
Rais wetu wa badae chukua kura yangu baba 🙌🙏
@mengiiblahim4215
@mengiiblahim4215 Год назад
Majariwa mungu akuzidishie maisha marefu
@mwanakhatib5825
@mwanakhatib5825 Год назад
Mh angalia Kaka Tanzania mchi ndo go lakini uchawi ni mwigi sana hawapendagi kukosorewaga hao
@mwanakhatib5825
@mwanakhatib5825 Год назад
Huyo was mwisho Ana tumbo Kama njipu bivu
@charlesnjau5039
@charlesnjau5039 Год назад
Udanganyifu ni mwingi kuliko kweli Chapa kazi mkuu
@alphadreammedia
@alphadreammedia Год назад
Huyu ndugu yetu majaliwa tumuombeee sana tena sana maana hii vita ni ngumu.
@jumaamartin7929
@jumaamartin7929 Год назад
MWENYEZ MUNGU JALIA WEPESI KWANAMNA UNAYO IJUWA ALLAH HUYU MJA WAKO MHS MAJALIWA AWE RAIS WA JAHURI YA TANZANIA
@mzalendowaasili1727
@mzalendowaasili1727 Год назад
MAJAALIWA MBELE KWA MBELE , RIP MAGUFULI
@prettymasha2430
@prettymasha2430 Год назад
Hawatomwacha salama
@eliudijustinyindi5939
@eliudijustinyindi5939 Год назад
Hakyamungu nchi hiii kwanini asichukue kijiti majaliwa jamani🇹🇿😳😳😳🤭😢
@ndayishimiyeelias9692
@ndayishimiyeelias9692 Год назад
Rais hawez kuhangaikia nchi Kisha aje kufwatilia miradi, ndo maana kunawasaidizi wake, hata Majaliwa akiwa Rais huwezi kumwona kila mahali
@adamhashim3352
@adamhashim3352 Год назад
@@ndayishimiyeelias9692 angalau atatumbua kama magu
@ejulaizerjulaizer128
@ejulaizerjulaizer128 Год назад
Watanzania huyu baba tumuombee sana nafikiri kila mmoja anaona nyendo zake ana uongozi uliotukuka
@elizabetmbilinyi2387
@elizabetmbilinyi2387 Год назад
Baba upo vizuli sana mungu akuweketu wasije kufanyia kama mjomba magufuli duuuuu mh hiiii nimeipenda sana Leo ndonaiona baba duuuuuuuu mh
@vickystephano224
@vickystephano224 10 месяцев назад
Me Namwombea majaliwa miaka migi Sanaa Anasaidia sana ni kama magufulu
@geofreybukwali9611
@geofreybukwali9611 Год назад
Waziri mkuu Mungu akusaidie
@samejaataratibu5164
@samejaataratibu5164 9 месяцев назад
Daaaaaa Inasikitisha Sana
@flova7022
@flova7022 Год назад
Waziri kullllaaaaaaaa gwalaaaaaaa
@mudnhogengester
@mudnhogengester Год назад
Baba tunakuomba uwe Rais wetu
@josegambi7149
@josegambi7149 Год назад
Majaliwa piga kazi mzee watanzania tunaimani na mwenyezi mungu akujalie afya njema
@kurumwagodfrey7052
@kurumwagodfrey7052 Год назад
Magufuri alikua anaakili hakukosea kukuteua unajuaaaaa mkuu next presdent
@mwajumabakari3730
@mwajumabakari3730 Год назад
Mama yupo kimya tuu anawaona watumishi wake kalipia hao tena kukuza kabisa asante waziri mkuu
@nassorkhalfani1467
@nassorkhalfani1467 Год назад
Kama kila kitu afanye raisi hao mawaziri waliochaguliwa wafanye kazi gani au wabunge wafanye kazi gani
@edithajoseph7675
@edithajoseph7675 Год назад
Nacho sikitika na hao wahalifu kuendelea na kazi kama kawaida. Mungu aingilie kati.
@erastokihwili4915
@erastokihwili4915 Год назад
Baba waziri mkuu Hali ndio hiyoo hakuna Tena kujali Mali za umma watu wanawaza kupiga tuu basi kwanza heshima ya watumishi imepotea Tena sio kama kipindi Cha JPM watu walikuwa watiifu Sanaa saizi mmmh Mungu atusaidie
@hajially4527
@hajially4527 Год назад
Sukuma ndani
@ericksamwel4814
@ericksamwel4814 Год назад
Yaaan hapo haki za binadamu wako kimya lakin hatua zikichukuliwa dhidi yao wanaibuka eti haki za binadamu Kwa ujinga huu kweli ni nan ataweza kuvumilia.
@peterkihongosipeterkihongo1154
Majaliwa nimiongoni mawaziri wakuu bora afrika
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs 10 месяцев назад
Tumbua awo matako😂😂😂😂😂
@mauricempinga935
@mauricempinga935 Год назад
Unatukumbusha mbali sana 😢🙏
@deusdebitkowa9657
@deusdebitkowa9657 Год назад
Mungu akulinde Mh. Kasimu. Mungu akujalie maisha marefu,Taifa letu linakuhitaji sana.
@johnnjenga5969
@johnnjenga5969 Год назад
Next president
@user-fc1im3uf8i
@user-fc1im3uf8i 10 месяцев назад
Ubarikiwe saana Kwa kuyakemea hayo madudu
@mwlpierre
@mwlpierre Год назад
Hapo tatizo atatembelea hospitali ngapi Nchi kubwa hii, sasa hivi hakuna wasaidizi wakuaminiwa miaka yote
@charesslutandula2459
@charesslutandula2459 Год назад
Baba nishida serikali inajitahidi sana watendaji ndiyo shidaaaa
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 Год назад
Na hapo tu Waziri umeingia bahati mbaya je ungeamua utembehee nchi nzima siungelia machozi na ungejiuzulu kufanya kazi na WA uhujumu Kodi za wananchi
@waziriomar1414
@waziriomar1414 Год назад
Kimsingi huyu mzee mi namuelewa Sana utendaji wake
@marymuna5810
@marymuna5810 Год назад
Mama anaupiga mwingi sana
@sophiamvungi1425
@sophiamvungi1425 Год назад
Waziri mkuu mungu akulinde na mahasidi maana kazi unaifanya mh
@eladiurassa123
@eladiurassa123 Год назад
Mheshimiwa upo vizuri.
@christophermwandemange796
@christophermwandemange796 Год назад
Nchi hii haaa shida sana, Kila mtu akipata kaz anawaza kuiibia serikali yan R.I.P Magufuli
@mweyoms5548
@mweyoms5548 Год назад
Bila shaka PM wetu huwa anameza Hedex kabla ya kulala maana kwa hali hii kichwa lazima kiume.Kila anapokwenda anakuta WIZI,UTENDAJI DUNI na UZEMBE.Nchi hii inaumizwa na hayo mambo matatu.
@mayungaagnes5660
@mayungaagnes5660 Год назад
Wapi hiyo jmn.hospitali gani hii.maana inasikitisha sana duuu.Majaliwa ondoka na mkurugenzi akajibu kwa nni hajamaliza ujenzi
@josephmurimi5244
@josephmurimi5244 Год назад
Wish you're Kenyan sir
@innocentkagashe3657
@innocentkagashe3657 Год назад
Mungu tuhurumie, yaani izo tiles box 1 ni 22000
@alphadreammedia
@alphadreammedia Год назад
16,000 bana
@yasinisagogo5787
@yasinisagogo5787 Год назад
Huyu Mzee ndo mris wamagu jaman
@jumannekamota4870
@jumannekamota4870 Год назад
Yani tembelea hospital zote watu wanaoana Bora akatibiwe hospital binafsi kwa gharama kubwa kuliko za selikakari duuh safi sana
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 Год назад
Pole.sana
@manmgomi3042
@manmgomi3042 Год назад
MAJALIWA naomba nafasi ya kunyonga wazembe wazembe kama ao Yani dar roho inaniuma sana
@enjoysoccer1
@enjoysoccer1 Год назад
Siku moja Kasim Majaliwa ukichaguliwa kuwa Rais nitafurahi. 2030 ni zam yako na Mungu akubariki
@festogeorgekwakala4146
@festogeorgekwakala4146 Год назад
😃😃😃😃😃😃 hii nchi inavituko kwakweli
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Год назад
Naogopa Majaliwa asije kufukuzwa kazi kwa kutowa siri zao 😢😢 maana huyu mtandao wa majizi ni mkubwa sana na una nguvu hatare.
@prettymasha2430
@prettymasha2430 Год назад
Kumuua kabisa 😢
@messiasulleydidy2585
@messiasulleydidy2585 Год назад
Huyu yuko pamoja na Mama
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Год назад
@@messiasulleydidy2585 Mama sijawahi kumuona akifanya izi action ao labda sababu ni mzazi ndio maana anawahurumiya.
@messiasulleydidy2585
@messiasulleydidy2585 Год назад
@@sonnyr1899 mi nakuambia wako wote kabs
@lama6310
@lama6310 Год назад
Sikuiz Naona Millard ayo na Wasafi news wameanza Kuweka Clip Nyingi ZA Mheshimiwa Majaliwa😌 au Usikute CCM wanamuandaa Kuingia Urais Mama Akimaliza Awamu Hii ya Magufuli😌 .Na Upande Mwingine Chadema Wanamuweka Sana John Heche.😂😂😂.
@rahmahersi6584
@rahmahersi6584 Год назад
PM..pole sana..kwa kazi Ngumu...mbona watakufanya Update mvi haraka. Pole ndugu yangu. Mungu Akupe afya..umri..na imani.. Inshaallah!!
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Год назад
Fanya kazi Mzee,,,,wapo wengi
@mathewmathayo212
@mathewmathayo212 Год назад
Yaani kuna hospitali zingine unaenda kutibiwa malaria na unarudi na uti tena
@welcometoeat165
@welcometoeat165 Год назад
Toka mwaka 2021 daaaaah it so sad jamn😭😭😭😭😭usiongee nalo litimue tuuu mana halina faida
@hamadsaburi3569
@hamadsaburi3569 Год назад
Tanzania imeoza rushwa
@nasrafadhili7408
@nasrafadhili7408 Год назад
Nakuona mbali baba pambana
@emilianchibinda82
@emilianchibinda82 Год назад
Jamani tuwe wakweli tuu:Kuongoza watu na taasisi kama hizi kuna hitaji uzoefu jamani ': Ili kuondoa maswali ambayo wahusika wanashindwa kutoa majibu ya waziri mkuu hapa teueni wenye uzoefu waokoe taifahili na muda ndio huu:Si kwamba wanadharau wanayoelekezwa;'hawa hawaelewi:Vinginevyo wana agenda zao zenye lengo kukwamisha juhudi za serikali: Kamahuko ni hivi jee kule kijijini!!
@stevenmichael9264
@stevenmichael9264 Год назад
Duuh ila huyo mpambe nae mmbeya hiko kiti si angeachana nacho2🤣🤣🤣🤣🤣 ,et wameficha ili tusione🤣😂😂😂
@roselugendo6943
@roselugendo6943 Год назад
Dah
@mwembambamatelephone3394
@mwembambamatelephone3394 Год назад
Atalii snaa
@mohdnasser894
@mohdnasser894 Год назад
Hapo hakuna usimamizi mzuri wote niwezi
@mussamalogo5640
@mussamalogo5640 Год назад
Huyu ndoalifaa kuwa Raisi Mambo yangeenda sawa sawia kwautemdaji kazi wake
@abdullyamiry160
@abdullyamiry160 Год назад
Pole Sana waziri pole Sana 😭😭😭😭😭😭😭
@edwardmagige3187
@edwardmagige3187 10 месяцев назад
Kwa kweli kuna mambo mengine ukiyaona unaweza ukampasua huyo mkrugenzi makofi!!
@philiplenardsylvester6063
@philiplenardsylvester6063 Год назад
Kazi iendelee ,🤣🤣🤣 RIP magufuli daima tutakukumbuka
@StephanoCharles-nq8tf
@StephanoCharles-nq8tf 5 месяцев назад
Hyu mzee ankosa nguvu kulingana mfumo wa serkli😢😢
@juliusmlula1658
@juliusmlula1658 Год назад
Majaliwa ni Rais 2025
@rosechuma9873
@rosechuma9873 Год назад
ASILIMIA 91🙌
@rosemarynkwera8695
@rosemarynkwera8695 Год назад
Nakupenda bureau we baba
@safhe-mpungi6075
@safhe-mpungi6075 Год назад
Waziri mkuu yeye mwenyewe hataweza, kila aendako ni SHIDA. WASAIDIZI WAKE AMKENI JAMANI.
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Год назад
Hizi ndio kazi tulitegemeya Chadema kukosowa serekali kwa wizi unaofanywa na baadhi Ya wafanyakazi ila akaaaaa Wapo bize na mambo yao. Ongera Majaliwa unafanya kazi Nzuri
@kingdomnjimbi6725
@kingdomnjimbi6725 Год назад
Unaelewe ulichokiandika? Wewe unaweza kwenda ofisi yoyote ya umma au taasisi ukahoji ishu kama hizi na matumizi ya fedha za serikali? Hii ni kazi ya watendaji wa serikali wakiongozwa na waziri mkuu ambaye ndiye mtendaji mkuu wa serikali. Ni vile watendaji wa ngazi za chini wanamuangusha kwa kukosa uwajibikaji na kushia kujilimbikizia malundo huku utekelezaji wa ya serikali ukiwa na hali duni. Waziri mkuu pekee hawezi zungukia nchi nzima kuvumbua madudu kama haya, haya ni machche kati ya mengi ambayo hayajafahamika. Mwenyezi Mungu ampe nguvu ya kupambana na haya.
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Год назад
@@kingdomnjimbi6725 Kaka kwanza nikubaliane na maoni kwa moyo mmoja. Ila platform Za kujieleza zipo nyingi ila upinzani wetu hata kwenye tozo wameshindwa kututetea hio ndio hoja yangu ndugu yangu.
@geofrey4403
@geofrey4403 Год назад
Waachen chadema wanapunguza miiba waliyowekewa. Mliowapitisha bila kupingwa ndo walaumiwe
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 Год назад
@@geofrey4403 Endeleeni kuwatetea...Ikulu wataichora chini kwenye vumbi😃😃
@hamisishamte2236
@hamisishamte2236 Год назад
Kama Mimi ningekuwa mwenyekiti wa ccm nikikupa kipaumbele kikubwa kuwa rais
@shedrackmtekwa2287
@shedrackmtekwa2287 Год назад
Balikiwa nakazi wazili
@MohamedAli-rl8cl
@MohamedAli-rl8cl Год назад
Mkuu wa mkoa, wilaya na mkurugenzi wote wafukuzwe.
@joctalembao572
@joctalembao572 Год назад
Mungu tusaidie huyu ndo awe rais 2025
@abelsabibi8836
@abelsabibi8836 Год назад
Hivi katiba ya nchi na chama,haviruhusu tukampa huyu mwamba nchii hii 2025?,maana hiyo hali anayopambana nayo ipo maeneo mengi ya nchi hii.Matatizo ya wa Tz kwa watu wengine ni fursa,kwa kweli mapinduzi ni muhimu,huyu PM wetu ni mtu sahihi kuwa mkuu wa nchi.
@bwagizoselemani8434
@bwagizoselemani8434 Год назад
Daah jmn kweli hii nnchi itafikia lengo jaman
@nyasiopascal1867
@nyasiopascal1867 Год назад
Fanya kazi mkuu hawa jamaa wanawaangusha fukuza wote
@dicksonkwesigabo7813
@dicksonkwesigabo7813 Год назад
Hv watumish wezi wezi mbona wanaleta ujinga bado.....mh safisha madudu ayo sukuma ndan wezi aoooo
@alfredmhagama-oj1mv
@alfredmhagama-oj1mv Год назад
Daaaa jamani kwani mheshimiwa unakwama wapi kwanini jamani nchi isiwe mikononi mwakooooi????
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 Год назад
Mungu tupe huyu jamaa awe Rais 2025
@edwardkimathi1861
@edwardkimathi1861 Год назад
Duu kweli watu wanajua kuzipiga pesa hta hawogopi jamani.waziro mkuu anajitahidi lakin ttizo yuko peke yake
@kostamhogofela6335
@kostamhogofela6335 Год назад
Ukisikia Tz elimu tunayopewa ni kwa ajili ya kufaulu mitihani2 unabisha Kuna haja serikali kuanzisha SoMo la uzalendo wa Nchi Yetu toka awali Mpaka chuo kikuu Wenda kidogo tukaeleweka .
@rahmahersi6584
@rahmahersi6584 Год назад
PM hawana motisha Ya kazi...wanataka pesa Za haraka Wape kazi vijana wanatoka Chuo..wanaosubiri ajira. Wao wastaafu kwa manufaa Ya uma.
@jumashekiyao9753
@jumashekiyao9753 Год назад
Waziri wetu kasim majaliwa anafaa kugombania urais anafanya kazi kwa vitendo
@saadashim6180
@saadashim6180 Год назад
Sasa Waziri mkuu sasa ndio kazi yako unaifanya barabaraa
@erodeshayo123
@erodeshayo123 Год назад
Tembea na Bakora Mpaka wakimbie kaz Dadeq zao hawana hata Aibu pesa ushatoka yote lakini bado nchi Ngumu sana hii
@samirymmenjuka901
@samirymmenjuka901 Год назад
🤣🤣🤣
@mohammedkhimji7505
@mohammedkhimji7505 Год назад
RIP JPM
@yusuphchankwa4759
@yusuphchankwa4759 Год назад
Baba wewe tunakuelewa hatahivyo mama anakubanabana natamani uwe Raisi
@mohddelo411
@mohddelo411 Год назад
Safi
@texasfakii3221
@texasfakii3221 Год назад
🙏🙏🙏
@mudhihirugara8845
@mudhihirugara8845 Год назад
Waziri watumbuwe mama hawajuwi hao anaupigamwingi kwenda kutukopea ulaya
@africanman8679
@africanman8679 Год назад
Wote wanaosema mama anaupiga mwingi akili hazimo,
@victoriabayo7704
@victoriabayo7704 Год назад
Mh Majaliwa nenda Maganjwa secondari uone wazazi wanavyochangishwa hovyo ipo ktk wilaya babati vijijini
Далее
Mohammad bin Salman: Prince With Two Faces
54:00
Просмотров 2,5 млн
Редакция. News: 129-я неделя
49:53
Просмотров 2 млн
VITUKO VYA MUGABE NI AIBU NA USHUJAA !!!
15:21
Просмотров 801 тыс.
MAOMBI YA ASUBUHI by Innocent Morris
16:53
Просмотров 724 тыс.