Тёмный
No video :(

MAKONDA AMTAJA ALIYEMDHULUMU NYUMBA - ''ANA PESA - WAKANIAMBIA NIENDE MAHAKAMANI''... 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 112 тыс.
50% 1

MAKONDA AMTAJA ALIYEMDHULUMU NYUMBA - ''ANA PESA - WAKANIAMBIA NIENDE MAHAKAMANI''...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 122   
@globaltv_online
@globaltv_online 6 месяцев назад
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@SamsonLubeleje
@SamsonLubeleje 5 месяцев назад
Samsoni tanasio Lubeleje
@neemamasudi7988
@neemamasudi7988 6 месяцев назад
Kaka Makonda nakupenda naroho moja, kabi hadi namkumbuka Baba yetu Magufuli. From Congo to Sweden.
@KelvinMtavangu-ow8yo
@KelvinMtavangu-ow8yo 6 месяцев назад
MHESHIMIWA MAKONDA HUU UTARATIBU UFANYIKE WALAU MARA MBILI KWA MWAKA KWA NCHI NZIMA. ILI SERIKALI IWAJIBIKE IPASAVYO KWA WANANCHI. OMBI MAALUMU PIA KWAKO MH. RAIS DR SAMIA SULUHU HASANI.HUU NI UTARATIBU MZURI SANA. MUNGU IJALIE TANZANIA.
@amedeuskimario8895
@amedeuskimario8895 6 месяцев назад
Mara tatu ndo mambo yatanyooka
@eligiuselias4469
@eligiuselias4469 6 месяцев назад
​@@amedeuskimario8895😂🎉
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 6 месяцев назад
No iwe rotation akishamaliza mikoa yote apumzike miezi 2 amze kule alikoanzia ili ajue maagizo yametekelezwa kwakweli nchi itakuwa mchakamchaka
@anselmimarandu2293
@anselmimarandu2293 6 месяцев назад
Mungu akulinde daimaaaaaaaa
@hamishassan6784
@hamishassan6784 6 месяцев назад
Mh. Makonda kutokana na ubora wa kazi unayoifanya naona kama unge mshauri Mh. Mwenyekiti wa chama kiwepo kitengo maalumu ndani ya chama ambacho kitambulike ndani ya katiba ya chama na kiwezeshwe ili kiwe endelevu kwenye kuendelea kuifanya kazi hii kwa kweli aliyoinzisha Rais/Mwenyekiti wa chama nawe ukawa mtekelezaji wakwanza mwenye ubunifu mkubwa mno katika kuendea CHANGAMOTO mbalimbali za wanannchi, maana nachelea kama yeye akiondoka na wewe ukiondoka bado watanzania watarudi kulekule na hivyo kuiono haki yao kama ihsani kutoka kwa viongozi kwani kila mtu huwa na utashi wake. Hongera sana Mama Samia Hongera sana Makonda Hakika huwa unanipa tumaini jipya kila mara nikusikiapo
@KabwikaIbrahim-ld8vf
@KabwikaIbrahim-ld8vf 6 месяцев назад
Unaendelea kufanya vizuri Mr.Makonda Mola akubariki,pia Rais wetu Mama Samia Hasan Suluhu
@TuzoTuzo-xi9xm
@TuzoTuzo-xi9xm 3 месяца назад
Mungu Akubaliki mama yetu laisi mungu akutuze na akupe balaka na Avya njema
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v 6 месяцев назад
MAKONDA ANGEKUWA HAKIMU AU JAJI KILA MTU ANGEPATA HAKI YAKE,EXCELLENT
@happynesbaemuhappynes8813
@happynesbaemuhappynes8813 6 месяцев назад
Kabisa
@steveprosper4084
@steveprosper4084 6 месяцев назад
Hakuna judgment public tena mbaya zaidi siasa
@ebeni_mitimingi
@ebeni_mitimingi 6 месяцев назад
Angekuwa kama Judge Frank Caprio
@domymerinyo8165
@domymerinyo8165 6 месяцев назад
Hizo ni siasa wala hakuna kitu,angetoa maelezo kwa wakuu wa mikoa na wilaya kufuatilia
@Azikiwe-qi6jd
@Azikiwe-qi6jd 6 месяцев назад
Jamani watanzania wenzangu, kwa huuu utaratibu hatutafika popote, hiii ni dalili, mbaya kwa ustawi wa nchi yetu, hili ni dhihirisho kuwa taasisi, za nchi hususan zinazohusika kutoa haki zimefeli kabisa, au hazipo kabisa, haiwezekani, mtu mmoja ndie awe anatatua matatizo ya wananchi wote milioni 65, haiwezekani. Atachoka tuuu. Tunataka taasisi zinazohusika kutoa haki, zifanye kazi yake, kwa maaana Kuna watu wameajiriwa huko, wanakula mishahara alafu haki hazitendeki. kwa mtindo huuu hatufiki ndugu zangu. There is a serious systemic failure. Watanzania tunahitaji mifumo inayojiendesha sio kwa mtindo huuu
@taseleli9181
@taseleli9181 6 месяцев назад
Tunaanzia hapo huko kwingine tutafika,kwanza tujue yaliyomo ili wanaofanya wajisikie vibaya
@faumahona5769
@faumahona5769 6 месяцев назад
Kama siyo makonda hayo madudu tungeyajulia wap ?
@Azikiwe-qi6jd
@Azikiwe-qi6jd 6 месяцев назад
@@faumahona5769 duuu, kazi ipo, ndugu yangu, mtanzania mwenzangu, sidhani kama umeelewa nilichokiandika, iko hivi, naomba nikueleweshe hii nchi ina watu zaidi ya milioni 65, hawa ni watu wengi sana hatuwezi kumtegemea mtu mmoja atatue changamoto za watu milioni 65, haiwezekani. Ndio maana Kuna umuhimu wakujenga mifumo na taasisi zinazojiendesha sio kumtegemea mtu mmoja, binadamu maisha yake ni ya kitambo tuu hayana Diamante yana pita kwa haraka sana, sasa kwa mfano ikitokea makonda akatoweka ghafla tunafanyaje sasa, muwe mnaangalia mbele kidogo
@justinekyando9558
@justinekyando9558 6 месяцев назад
Wewe fara
@Azikiwe-qi6jd
@Azikiwe-qi6jd 6 месяцев назад
@@justinekyando9558 lugha ya kiswahili hakuna neno "fara" unatakiwa kusema "fala" sio fara. Unaweza kufanya marekebisho, utasikilizwa
@salcle9702
@salcle9702 6 месяцев назад
Hao jamaa wa aridhii wahuni sana tanzania nzima
@moxasaidi3398
@moxasaidi3398 6 месяцев назад
Kuna yule aliekuwa mkuu wakati wa magufuli alidhulumu sana
@abcxyz3740
@abcxyz3740 6 месяцев назад
GSM walitaka kumdhulumu nyumba Makonda🎉🎉🎉🎉
@AllyGibu-cz2vo
@AllyGibu-cz2vo 6 месяцев назад
Uje unipe story hiyo ndugu kumbe gsm walitaka kumdhulumu Makonda
@maimunakassim8413
@maimunakassim8413 5 месяцев назад
Hongera mdogo wangu poul makonda
@johnchungwa-ei7xj
@johnchungwa-ei7xj 6 месяцев назад
Watumishi wa selikali wanakitesa chama
@selebitende3162
@selebitende3162 6 месяцев назад
Mhe Rais tunakupongeza sana Kwa kunteua makonda kwa nafasi hii ombi letu wanyonge aongezewe ulinzi na tunajua atapigwa fitina sana ila ikumbukwe yupo na sisi wanyonge na Mungu atakulinda ww mhe Rais na Makonda
@KaburuKimath-eu5nf
@KaburuKimath-eu5nf 6 месяцев назад
Mimi nahamiya c c m
@elizalutiga6287
@elizalutiga6287 6 месяцев назад
Hawa watu ni Wahuni sana Aridhi kumeoza.Hongera Makonda
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 6 месяцев назад
Makonda nakupenda unatetea wa tanzania Mungu akuhifadh usiwape fursa kwa kudhulumu wanyonge
@user-is4jg9gr1p
@user-is4jg9gr1p 6 месяцев назад
Mungu akulinde Kwa kuwatetea wanyonge
@ramadhanzenj9111
@ramadhanzenj9111 6 месяцев назад
MAKONDA MDOGO WANGU UISHI MAISHA MAREFU PIGA KAZI
@ullujaffariyohani1186
@ullujaffariyohani1186 5 месяцев назад
Kwa kweli na albu kubwa Sana hawa viongozi wengine kazi Yao ni nn mpk matatizo ya wananchi wananchi yanakuwa mingi kiasi hiki wavivu wa kufanya kazi lkn wana nguvu ya kula pesa za Miradi 😢
@user-mg9fg6vc9w
@user-mg9fg6vc9w 6 месяцев назад
Dah! Nakwenda kuchukua card yangu ya chama CCM oyeee
@suleimansultan3333
@suleimansultan3333 6 месяцев назад
Safi sana makonda
@user-lp8in3ou7r
@user-lp8in3ou7r 6 месяцев назад
Makonda mdogowangu umevaa viatu vya mjomba Magu....hongera
@SamsonLubeleje
@SamsonLubeleje 5 месяцев назад
Mungu akujalie maisha mema uzid kusaidia tz
@user-jr9jj7yj8j
@user-jr9jj7yj8j 6 месяцев назад
Makonda unafaa sana Tena sana
@moiseszachariasmoisesmoises
@moiseszachariasmoisesmoises 5 месяцев назад
ningekuwa mtanzania,ningependekeza,mh makonda angepata kira ya uraisi toka kwangu😅
@mataypanga5262
@mataypanga5262 6 месяцев назад
Makonda hoyeeee
@user-qg1iy5ov3u
@user-qg1iy5ov3u 6 месяцев назад
Sawa mheshimiwa Makonda uko vizuri kwakuwasaidia watu kupata haki Yao na sisi 77 hotel tunaomba tulipwe jameni Makonda utukumbuke 77 hotel arusha
@user-rs9nb1ez3r
@user-rs9nb1ez3r 6 месяцев назад
Piga kazi mzeeee
@DuduMagau-sm3pd
@DuduMagau-sm3pd 6 месяцев назад
MAKONDA ULIYOSEMA HAKIKA YANATOKA MOYON KWAKO MUNGU AKUBALIKI SANA, HAKUNA KIONGOZI MWENYE MOYO KAMA WAKO WAKUSHAURI WANANCHI USHAURI MZIRI, UBALIKIWE SANA
@masamakijames7837
@masamakijames7837 6 месяцев назад
Hivi ndani ya ccm watakatifu ni Samia na Makonda tu?Viongozi wengine mko kundi gani?Mbona kila mkoa aendako Makonda ni shida ambazo hata shetani anaona aibu kutendea wanadamu ilihali viongozi wengine mpo!
@hashimishengoma4675
@hashimishengoma4675 Месяц назад
❤❤❤❤❤❤❤
@kyaro5945
@kyaro5945 6 месяцев назад
Makonda sema ukweli. Wew ulienda kujenga kwenye kiwanja cha Mwarabu wakakuonyesha ujeuri. Hati uliitoa feki na waarabu wakajaa na hati safi..
@brunidamadege3747
@brunidamadege3747 6 месяцев назад
Tunataka hakiyetu,tunataka haki yetu,tunataka haki yetu.
@brunidamadege3747
@brunidamadege3747 6 месяцев назад
Tanzania, Tanzania Tanzania. Nchi yangu nakupenda maana Mungu amesaza watu wakusaidiana naye Mungu.
@brunidamadege3747
@brunidamadege3747 6 месяцев назад
Ccm hoyeeee sijawahi kuwa mkereketwa nikiwa na kiongozi kama huyu nitajikuta tu nimevaa nembo🎉🎉🎉🎉🎉
@innocentlegos4530
@innocentlegos4530 5 месяцев назад
Matatizo mengi yameletwa na hao hao viongozi wa ccm,Unafanya kazi nzuri ila umekosa nguvu yakutoa suluhisho hapo kwa hapo,Mama anajua Magufuli kila alichokuwa akitutendea sisi wananchi,Mama ajitokeze,tumuone akitoa maamuzi ya kututetea sisi wananchi,mtu akiwa na hatia ya kupora ama kutumia pesa ya serekali vibaya atumbuliwe na pesa zirudi,Hii ya makonda ni kutuziba macho tu maana mshajua uchaguzi uko karibu,Makonda kaa hivo hivo ikikaribia wagombea kujiandikisha,chomoka ccm,jiunge na chama chochote,ikulu moja kwa moja.
@AminaRamadhani-gx8yr
@AminaRamadhani-gx8yr 6 месяцев назад
Jamani hii nchi ni uonevu, makonda atasisi ni wahanga tupo moshi umasikini ndio unatunyamazisha,
@user-qg1iy5ov3u
@user-qg1iy5ov3u 6 месяцев назад
Mheshimiwa Makonda 77 hotel arusha tunateseka kwakudai haki yetu ya madai yetu Makonda njoo Arusha jameni we twafa njaa mafao 77 hatujalipwa Mungu
@plumbingtanzaniaplumber7570
@plumbingtanzaniaplumber7570 5 месяцев назад
Yani serikari inawauzia wananch maeneo ambayo sio wanawatapeli wana nch kumbe wao serikari ndio wanaosababish migogoro
@Ericzdeking24
@Ericzdeking24 6 месяцев назад
YAANI NI AIBU KUBWA MADUDU YANAYOENDELEA NCHINI.
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 5 месяцев назад
Kwa nchi ilipofikia sahiz inahitaji rais km makonda kabisa hata akiwa atalipa visasi atalipa kwa wakubwa huko huko ila wanyonge tutakuwa salama haiwezekan nchi imekosa mwelekeo kabisa sahiz
@user-fq7sy4lo9d
@user-fq7sy4lo9d 6 месяцев назад
Viongoz wa halmashaur mjitahid kufany kazi kwa haki jaman mnampashida mama samia jaman kuwen na uwelewa
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 6 месяцев назад
Tunashkur Mhe Rais kwkumteuwa huyu Mwenez
@user-ex9sd8wm4l
@user-ex9sd8wm4l 6 месяцев назад
Piga kaz mkuu 🎉🎉🎉chukuwa na maua yako
@wilbatnyato4679
@wilbatnyato4679 4 месяца назад
Kweli nenda mahakamani km walivyokwambia
@ramazanisongolo7258
@ramazanisongolo7258 6 месяцев назад
Nikushukuru mh. Makonda kwa yote unayo yazungumza kila kukicha mimi nafatilia ziyara zako una stahili kuhitwa MTETEZI kwa maana hiyo MAHAKAMANI akuna haki ni kweli kabisa
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 6 месяцев назад
Ss kwnn mlimpa na akajenga alafu mbakuna kubomowa na hamtaki kuwalipa mmeona ipo ktm barabara bc mngewalipa iki wawapishe lkn si kublmowa tu alafu mnawaacha wna angaika mnasumbuwa sn wnanchi nyie nakuonea hy ni makosa yenu inabidi muawalipe
@sesilianjala3306
@sesilianjala3306 6 месяцев назад
Jamani namimi ninataka haki yangu makonda nitakutafuta aki
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 6 месяцев назад
Hapa kuna tatizo la mawasiliano baina ya Ardhi na TANROADS. Ardhi na TANROADS wana sheria zao.
@AminaRamadhani-gx8yr
@AminaRamadhani-gx8yr 6 месяцев назад
Makonda simamia hilo mpaka haki itoke, wezi wakubwa hao
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 6 месяцев назад
MTANZANIA HUYO mlipeni
@janetymatola6639
@janetymatola6639 6 месяцев назад
Sauti ya Makufuli inasikika pia nami nahitaji unisaidie
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 6 месяцев назад
Wanaichi mnashangiria matatizo waliyo tengeneza haohao CCM kweli tunawajinga wengi,
@user-os6sc7is5h
@user-os6sc7is5h 5 месяцев назад
Wafukonyoe hao wapumbavu kisomo Awana kichwani Alafu wanawekwa katika viti vya huongozi😂😂😂
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 6 месяцев назад
Ujue ni jinsi gani CCM haistaili kuendelea kuwa nadarakani shida zote hizi ni zao la serikali ya CCM.
@smallscaleminingsupplies9670
@smallscaleminingsupplies9670 6 месяцев назад
Sasa kama ye analalamika mwananchi wa kawaida itakuaje, mahakama ajui ilipo
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 6 месяцев назад
12:45 Kwahiyo ishu ya mbowe ilikua hakuna kesi 😅
@domymerinyo8165
@domymerinyo8165 6 месяцев назад
Kipindi hicho tanroad walikua hawajapima hiyo barabara sehemu nyingine wanaonea watu
@hailinhelen4675
@hailinhelen4675 6 месяцев назад
niki9na hivi naweza sema wenye haki hawqpewi na wasio na haki wanapewa mzigo wa dhambi kubeba kesho siku ya hisabu kunakazi ninavohisi washika bedera za motoni ni wengi
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 6 месяцев назад
Kwa mantiki hiyo mheshimiwa makonda mahakama zetu hazitendi haki
@user-wj6zj1ly4e
@user-wj6zj1ly4e 6 месяцев назад
Kwahyo G.S.M atapata cha moto et? Au tayari ameshairudisha nyumba ya makonda
@AminaRamadhani-gx8yr
@AminaRamadhani-gx8yr 6 месяцев назад
Ataizi mahakama nizakuchuzwa azitendi haki
@user-vy8tb2hq9w
@user-vy8tb2hq9w 6 месяцев назад
Hayo unayo sema ofisini wanarindana hawa tendi haki kama hio
@user-cz3gk2op9r
@user-cz3gk2op9r 4 месяца назад
Unajikuta raisi kumbe ni maenge tu
@user-ig4in5ut9k
@user-ig4in5ut9k 6 месяцев назад
Hiyo ndio tabia ya ardhi hivyo ndivyo wanafanyia wananchi
@noelbryson7840
@noelbryson7840 6 месяцев назад
MRUFISHIE GSM NYUMBA YAKE..
@MasterRegan
@MasterRegan 6 месяцев назад
Simchezo
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 6 месяцев назад
Nachofrahi nikwamba madai ya wananchi yote ni halali naniyakweli
@user-mg9fg6vc9w
@user-mg9fg6vc9w 6 месяцев назад
Anasema alimilikishwa kipindi hiko kwani haikua Serikali??
@AbrahamSekuza
@AbrahamSekuza 6 месяцев назад
Haya unayo fanya Makonda unaivua nguo CCM na serikali yako kwa ushauri wangu fupisha hii mihadhara yako
@damagambiti8292
@damagambiti8292 6 месяцев назад
We mjinga kweli! Hivi ungekuwa wewe umetendewa dhuruma usingeongea upumbavu huo! We kama unaona nongwa kaa kimya!
@MubinaRoshan
@MubinaRoshan 6 месяцев назад
Wewe kaa kimya hayakuhusu
@AllyGibu-cz2vo
@AllyGibu-cz2vo 6 месяцев назад
Wewe ni mjinga kumbe nilijua una akili
@samwelsimon7392
@samwelsimon7392 6 месяцев назад
wewe kaa tayali zamu yako kama na wewe ni miongoni mwao
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi 6 месяцев назад
Mbona kujiaibisha hvo😂😂
@salmaabdu5011
@salmaabdu5011 6 месяцев назад
Huku unguja tuko wengi tunozulumiwa na mahakama inakula rushwa tupu
@chai_r
@chai_r 6 месяцев назад
Nini anfanya hapo? Hiyo ni kazi yake? Sheria ne katibu inampa mamlaka ya kwenda barabarni kidifanya judge? Kupoteza muda mtupu
@elizalutiga6287
@elizalutiga6287 6 месяцев назад
Daaaaaaaaah
@user-if9gi2rx8f
@user-if9gi2rx8f 6 месяцев назад
Komed komed
@AlbatSimon-yq5ro
@AlbatSimon-yq5ro 6 месяцев назад
Huyu jamaaa kaja kuvizima vyama pinzani
@marylukas6832
@marylukas6832 6 месяцев назад
Rais wangu kipenzi
@Mundi-oz7os
@Mundi-oz7os 6 месяцев назад
Muwe na uhakika kuwa hawajawatalipwa
@user-cz3gk2op9r
@user-cz3gk2op9r 4 месяца назад
Makonda wewe ni fala tu
@anselemmasirikali6384
@anselemmasirikali6384 6 месяцев назад
Wewe mwenyewe dhuluma ulitaka kuwadhulumu nyumba Gsm
@kiwangodaniel1302
@kiwangodaniel1302 6 месяцев назад
Makonda kumbe hii imeandaliwa. Upuuzi mtupu!
@user-zs2dc3kq8g
@user-zs2dc3kq8g 6 месяцев назад
Watu wanakiu na wewe
@samwelnaal7952
@samwelnaal7952 6 месяцев назад
GSM kimekuramba😂😂😂
@khadijabuberwa3362
@khadijabuberwa3362 6 месяцев назад
We
@robertphilip385
@robertphilip385 6 месяцев назад
Ccm wanacheza na akili za watu ccm nikama shetani leo anakujahuyu anasema lake kesho mingine nakuja na utapeli wake watanzani msiposanuka na hi janja ya ccm utaisha kama wafuasi wa Kibwetere
@marymanoni5536
@marymanoni5536 6 месяцев назад
Hachezi hata 😂😂😂 ww ndo unsjidangamya
@UfahamuwaKristo
@UfahamuwaKristo 6 месяцев назад
Hapana Leo ndo nimegundua shida sio ccm shida ni watendaji tu sio waaminifu na sio wachapakazi
@hurumamsuya7122
@hurumamsuya7122 6 месяцев назад
Kwamba watu hawasaidiwi?!!
@barackawithokiswaga2686
@barackawithokiswaga2686 6 месяцев назад
Na wewe hebu peleka Upumbavu wako huko, kwahiyo unachotaka wewe ni kipi? Au wewe una uwezo wa kutatua hizo kero, basi tatua wewe tukuone! Kazi kujifanya wewe ndio mjuaji unataka nini wewe??
@Ernestlaiza
@Ernestlaiza 6 месяцев назад
​@@barackawithokiswaga2686wacha ufala tunataka katiba mpya
@faridahalwaily85
@faridahalwaily85 6 месяцев назад
Jamani mshukuruni mwenyezimngu na rais na makonda kusimamiya haki za wanyongee…kuweni na dhanaa njemaaa wachanenii kulaumiyaaaanaa…duniya mapitoo.
Далее
HOW DID SHE DECIDE TO DO THIS?!
00:27
Просмотров 8 млн
HOW DID SHE DECIDE TO DO THIS?!
00:27
Просмотров 8 млн