Mafanikio ya GPSA katika kipindi cha mwaka mmoja cha Serikali ya awamu ya sita ya Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan katika sekta ya Ununuzi.
Washiriki ni Bwana Mwakiselu Mwambange (Mkurugenzi wa Uendeshaji-GPSA), Bwana Erasto Raphael (Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA na Takwimu-GPSA) na Bi. Rustica Sanga (Meneja Maghala na Udhibiti Vifaa-GPSA) ambapo mtangazaji alikuwa Bi. Asha Haji kutoka TBC.
GPSA imefanya mapinduzi makubwa katika sekta ya Ununuzi kwa kuanza kutoa huduma zake kidijitali kupitia mfumo wa kielektroniki wa "GPSA Integrated Management Information System (GIMIS).
GPSA tunasema, "Pata huduma za Wakala kidijitali kupitia kiganjani mwako".
13 мар 2022