@jackwausa ameeleza safari yake ya maisha kutoka Tanzania mpaka China kimasomo na kwasasa yupo USA- LA kwa masomo na kutafuta maisha.
Ndoto yake ya kua muigizaji mkubwa na kuingia Hollywood.. Changamoto za kazi yake na namna anapambania ndoto zake.
Rejection imekua ni changamoto kubwa kwenye kazi yake lakini hakati tamaa.
Please subscribe to his RU-vid channel @jackwausa
Thank you Jack for allowing this to be online
www.oda.international
25 окт 2024