Тёмный

MAISHA YALIKUA MAGUMU NILIPOFIKA USA | NASOMEA UIGIZAJI | CHANGAMOTO KUBWA NI KUKATALIWA 

Official Dating Assistance
Подписаться 45 тыс.
Просмотров 21 тыс.
50% 1

‪@jackwausa‬ ameeleza safari yake ya maisha kutoka Tanzania mpaka China kimasomo na kwasasa yupo USA- LA kwa masomo na kutafuta maisha.
Ndoto yake ya kua muigizaji mkubwa na kuingia Hollywood.. Changamoto za kazi yake na namna anapambania ndoto zake.
Rejection imekua ni changamoto kubwa kwenye kazi yake lakini hakati tamaa.
Please subscribe to his RU-vid channel ‪@jackwausa‬
Thank you Jack for allowing this to be online
www.oda.international

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 81   
@Jeff_Tz
@Jeff_Tz 7 месяцев назад
Da Shenna Upewe Mauwa Yako Jaman🎉🎉🎉🎉, Asante Kwa Kutuletea Jack
@GetrudaMamiro
@GetrudaMamiro 7 месяцев назад
Huwa nafuatilia channel ya Jack yuko vizuri sana. Hongereni sana kwa kazi zenu nzuri.
@Jeff_Tz
@Jeff_Tz 6 месяцев назад
Culture shock umesahau chakula jack😅😅😅😅😅, Allah akusaidie ufike mbali Hollywood. Kama Lupita kafika na ww Utafika tu In Shaa Allah
@ngwakamongateko8696
@ngwakamongateko8696 Месяц назад
Umejibu vizuri sana . Kila mtu ana- mtazamo wake. Huwezi kuzuia mawazo ya binadamu. You are so positive
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 7 месяцев назад
The guy is very smart. Keep going kijana.
@PureSoul-rf4xd
@PureSoul-rf4xd 6 месяцев назад
Kweli channel yake nzuri sana,usikate tamaa,mpaka ufikie ndoto yako ya kuwa mwingizaji wakimataifa tena mtanzania.
@happinessclement6066
@happinessclement6066 7 месяцев назад
Msukuma wa kahama all the best my home boy
@giboncebarnabas9667
@giboncebarnabas9667 7 месяцев назад
Nice to have Jack from US here
@MadinaMalk-yd6kp
@MadinaMalk-yd6kp 7 месяцев назад
Nice interview da shena na kaka jack💐
@joycebenjamin6017
@joycebenjamin6017 7 месяцев назад
Namfuatilia huyu msukuma wa kahama yupo vizuri.
@sekikigosi8265
@sekikigosi8265 7 месяцев назад
Jmn Shena ushungi unakupendeza balaa😂🎉
@tinnermosha6980
@tinnermosha6980 7 месяцев назад
Huyu Dogo atafika mbali yuko smart sana🎉🎉
@williampaul8756
@williampaul8756 6 месяцев назад
Kahama to the top
@ayoubjosephat723
@ayoubjosephat723 7 месяцев назад
JACK NIMEMFATILIA KWA MUDA SANAA KANIINSIPIRE SANA
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 6 месяцев назад
Uko date ipi mwamba
@Lizzyktd
@Lizzyktd 6 месяцев назад
Safi kabisa 🎉🎉🎉🎉
@meshackchubwa
@meshackchubwa 7 месяцев назад
naitwa meshack niko kahama nyasubi nakukubali sana kwaunachokifanya
@ManyotaSaidi-lg1um
@ManyotaSaidi-lg1um 4 месяца назад
Jac namfatilia mda sana
@mpingasaidi4493
@mpingasaidi4493 7 месяцев назад
Uko vizuri
@sekikigosi8265
@sekikigosi8265 7 месяцев назад
Dogo utafika mbali unapambana🎉
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ 6 месяцев назад
Jack yuko vizuri sana
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 6 месяцев назад
Usikate tamaa kijana bcs life is not easily and is not like u want..so unaongeza experience yamaisha kwamana ndo unakuwa kwenye maisha utafika mbali kikubwa kupambana na ndoto zako
@sekikigosi8265
@sekikigosi8265 7 месяцев назад
Shena niko online dating napambana pia nakutana na watu mbalimbali na wengine ni matapeli ila wengine wamenipa ahadi ya kuja tz.nasubiria ila pia naona naitaji kupiga picha nzuri😂😂😂😂
@ayoubjosephat723
@ayoubjosephat723 7 месяцев назад
Dar na mimi nilimpata mmoja nishamaliza kila kitu anasema anakuja mwezi fulani mwaka huu sijui kwel😂 from uk
@sekikigosi8265
@sekikigosi8265 7 месяцев назад
Tuendelee kusubiri.
@tatumzelela5515
@tatumzelela5515 7 месяцев назад
Mimi naona wazungu wengi wanazarau sana yaani najalibu kuchati nao naenda location napiga picha nzuri lkn hawana ushirikiano kabisa alafu wengi wanakuja wazee kuanzia miaka 55-78 lakini vijana kuanzia miaka 25-35 hawana ata mpango yaani watakagua profile mbaka so poa mm nimeenda mbaka kwenye daring ya Muslim wao hawana shida wanakuja lakini mimi kinachonishinda kuoa wake wengi kila nae chati nae ananiambia nikawe mke wa pili au watatu icho kitu sikiwezi lakini naomba Mungu niendelee kujitafuta naamini nikikosa ndoa naamini mm majuu ntaenda tuu yaani iwe mvua au jua kikubwa uzima naamini majuu ntaenda tuu naenda kuwa na Subra naamini kunanchi naweza kwenda nikiwa na passport ila ukishafika huko hapo unaweza gongewa viza ukifika airport mfano wa izo nchi kama Malaysia,singerpore n.k naamini ntafika inshallah 🤲
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 6 месяцев назад
In Shaa Allah kuwa na subira utampata tu
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 6 месяцев назад
@Ayoub atakuja tu pray more
@aloycemabula8649
@aloycemabula8649 5 месяцев назад
Very good interview
@ImeldaIsdory
@ImeldaIsdory 7 месяцев назад
Watu wengine siyo wakweli kwa hiyo hawaamini kama hakuna waliyo wakweli! Wanadhani maelezo yanayopatikana online yanakuwa siyo ya kuaminika! Tubadilike na kujifunza kuwa waaminifu na kuweka taarifa sahihi kwenye profile kusudi kupata mwenza atakayekubaliana na hizo taarifa.
@dn.n4983
@dn.n4983 7 месяцев назад
Ulaya pa ngumu watu wasikiria hela ni upepo ni kutoa jasho kweli kweli
@aajabbinmagosh5509
@aajabbinmagosh5509 7 месяцев назад
Shehna ❤❤
@jessicamwasandube944
@jessicamwasandube944 7 месяцев назад
Kijana mdogo akili kubwa, keep it up utafika mbali
@juliethkatabwa5306
@juliethkatabwa5306 7 месяцев назад
Beatrice kila MTU Ana passion yake. Niffer sio jack
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 7 месяцев назад
Maneno mazuri 📌😍
@sekikigosi8265
@sekikigosi8265 7 месяцев назад
Nimelike tyr..😊
@abdullahaljabri110
@abdullahaljabri110 7 месяцев назад
Na ndio tatizo kubwà wanawake wa Tanzania kwenye kujitambua kama tabyaa kwenye mahusiano na mwanaume kutoka njee kufikiria tabiya zitakuwa sawa natabiya zakibongo lazimaa ubadilike ,usiweke mawazo kudhani Dunia inafanana tabyaa kutakaa kuladhimiza afatee tabiya ya kkoo au manzesee mkawezanaa ,
@zainab8251
@zainab8251 7 месяцев назад
Mimi leo wakwanza au
@kevinmary7129
@kevinmary7129 7 месяцев назад
Best interview of all the time @shena @jackwaUSA❤❤❤❤❤❤❤
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 7 месяцев назад
Jacky unatakiwa uanze kuwatafuta wasanii wakubwa utengeneze connection nao kwanza,hasa African American,kama wakina Will Smith,Joe Hatt nakadhalika
@veronicankhwazi7954
@veronicankhwazi7954 6 месяцев назад
Mmmmmm
@fj8317
@fj8317 2 месяца назад
Unafikiri ni rahisi kama kukutana na bambo na kingwendu 😊😅
@revocatusMagesa-f2z
@revocatusMagesa-f2z 3 дня назад
🤝
@adammjomba5814
@adammjomba5814 5 месяцев назад
Kuhusu hao matapeli ktk dating matapeli WaPo kibao WaPo wana Nigeria hao ndio Matapeli wa mapenzi linaweka likaweka kichwa cha mwanamke kumbe janaume linakuambia nitumie kitu KIDOGO nikanunue labda nguo au nikasuke nywele nk nk kumbe NI jizi tu
@anisiamchembe6552
@anisiamchembe6552 7 месяцев назад
❤❤ Shena
@PureSoul-rf4xd
@PureSoul-rf4xd 6 месяцев назад
❤❤❤
@mohamedihakimu-st9tw
@mohamedihakimu-st9tw Месяц назад
naijua saaaana inanipa faraja inanipunguzia mawazo saana
@Maishacanada
@Maishacanada 7 месяцев назад
Wabongo kwa kutuambia nitafutie mzungu
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 7 месяцев назад
😁😁 hatari
@Laizer3
@Laizer3 5 месяцев назад
Jack pambana bro ukiskiliza watu hutoboi
@HappyBeetle-eu5kv
@HappyBeetle-eu5kv 6 месяцев назад
Ninamkubali kweli hasa anavyotuonyesha USA ilivyo
@olivernyange2349
@olivernyange2349 7 месяцев назад
Hii wherever nini?
@HappyBeetle-eu5kv
@HappyBeetle-eu5kv 6 месяцев назад
Binafsi nilikuwa sijui kama Kuna homeless wengi kushinda afrika
@ChefJuma
@ChefJuma 3 месяца назад
nimejifunza
@fadhilmneka4341
@fadhilmneka4341 2 месяца назад
nakupendenisana wadogozangu tunaitaji kuwasiliana nanyinyi
@ChrestinaTina-jl9cs
@ChrestinaTina-jl9cs 6 месяцев назад
Kwani unafanyaje ili kujiunga? Maana Mimi nimeingia sehemu nyingine ila nime ambiwq nitumie elfu 20000
@MubaMgoto-e6q
@MubaMgoto-e6q 9 дней назад
🇹🇿👋👋👋👋
@ayoubjosephat723
@ayoubjosephat723 7 месяцев назад
Naomba kuuliza shena vp ukioa pia mtu kutoka England unapata uraia moja kwa moja au kuna vigezo vingine tofauti
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 7 месяцев назад
Uraia baada ya miaka 10
@atislady3400
@atislady3400 7 месяцев назад
Germany je?
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 6 месяцев назад
Mwana umeopoa nini tayari unasikilizia
@AnordJoseph-e2e
@AnordJoseph-e2e Месяц назад
Jack alafa nataka nikuulize wewe na jux nindugu mbona mnafanana
@mohrecaps
@mohrecaps 6 месяцев назад
Dogo wakishua huyu
@kevinmary7129
@kevinmary7129 7 месяцев назад
Nadhan usingekutumia brandname mfano "My swahili world" iwe ndio brand yako badala personal name
@enemtatuka5863
@enemtatuka5863 7 месяцев назад
Nani jack simela
@Vanesa-c6k
@Vanesa-c6k 7 месяцев назад
😂😂
@kevinmary7129
@kevinmary7129 7 месяцев назад
Amen not inshlah wewe n mtoto wa Yesu
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 7 месяцев назад
Kumekucha 😁🤦🏾‍♀️
@MadinaMalk-yd6kp
@MadinaMalk-yd6kp 7 месяцев назад
😂😂😂
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 6 месяцев назад
@kevinmary Nabii Issa (as) Yesu hana mtoto katika ulimwengu
@valentinoraymond7659
@valentinoraymond7659 6 месяцев назад
Huyu dogo wa kishua huyu
@veronicankhwazi7954
@veronicankhwazi7954 6 месяцев назад
Sana hajakulia kwenye shida tz
@betricemainoya4176
@betricemainoya4176 7 месяцев назад
Ulienda china na kurudi Bora ungefanya tuu biashara saa hii ungekuwa bilionea Fulani kama kina niffer
@nicedavid8536
@nicedavid8536 7 месяцев назад
Mhhh
@chengeson
@chengeson 7 месяцев назад
Acha ujinga na akili finyu sasa niffer ndio unamtolea mfano kweli bongo bado sana
@MadinaAbduKyabazinga
@MadinaAbduKyabazinga 7 месяцев назад
Kwaiyo niffer n billionaire ??
@talentshow2024
@talentshow2024 7 месяцев назад
Hatuwezi kuwa wafanyabiashara wote lazima tufuate ndoto zetu
@sekikigosi8265
@sekikigosi8265 7 месяцев назад
Kweli kabisa niffer hawezi kuwa mfano huyu nae kachelewa
Далее
Китайка и Пчелке Холодно😂😆
00:21
JAMES AELEZEA NANNA ALIVYOPATA VISA YA CANADA
34:06
Просмотров 4,5 тыс.
Caregiving Jobs In The US!
27:13
Просмотров 29 тыс.