🙏👍Hongereni sana Makamanda wetu kwa kujitoa kwa kulinda usalama wetu kiaminifu. Mungu awalinde na maadui na awabariki sn🙏🙏 tunawaombea usalama wa maisha yenu
Pongezi kubwa kwa askari wetu kwa ujasiri,uzalendo,ukakamavu wote mlio uonyesha kwa pamoja.tupo tayari kufa kwa ajili ya taifa letu....🤝🏿💪🏿🙏🏿⭐⭐⭐hakika nyie ni wazalendo wa kweli..pongezi kwenu na mungu awalinde pia awajaalie ufaham mkubwa wenye maarifa na hisia kali za kumtambua adui.....never give up
Hongera sanaaaan makamanda kazi nzuri watu tupo kwenye kwenye maombi ya kuomba toba kwa Mwenyezi Mungu wengine ndiyo kwanza wanazidi kumchafua Mungu tutaponaje jamani charaza bakora za kutosha huyo mganga maana hawa ndiyo wale waganga wakuuwa maalibino pumbavu kabisa 👏👏
Hongereni sana, big up👊🏾 polisi Arusha,Ila Mh mkuu wa mkoa,sio arusha tu ndio iwe salama zaidi kuliko mikoa yote,kila mkoa tuna haki ya kua na usalama wa hali ya juu kwa usawa,big up once again Polisi Arusha.
Tanzania hoooyeee nawapenda Sana kutoka serikali hadi ulinzi wataifa angalao Kenya ingeiga wangekua mbali Sana lakini wao wanajaza mmatumbo tu kutoka serikali hadi ulinzi ovyo kabisa Kenya I'm from South Africa more love tz
Natoa pongezi kwa jeshi la polisi tz hongera jesh la polis kwa kzi nzur mungu awajalie afya na uzima mzid kufanya kazi hongereni sana hongera IGP SIRO hongera na rais wet
Waarabu ndio watu pekee wanalaza gar nje na hakunaga kitu mwiz wala jambaz, walala mageti waz wala mshipa hauwadundi Ila Tz bora mtu uwe maskn tyu mpk siku yako ifike ufe kifo ulichoandikiwa 😩
Daah hiyo chainiz mwisho wa ck itakuwa spinachi 😂hongeren sn jeshi la police mungu ibarik tz mungu ibariki Africa hiyo barakoa mkuu wa mkoa ni kibakuli au plastiki 😂