Тёмный

MAJAMBAZI WANNE WAKAMATWA ARUSHA, WAKUTWA NA DAWA WALIZOPEWA NA MGANGA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 244 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 389   
@dianafyondi9048
@dianafyondi9048 4 года назад
Hongereni jeshi la polisi kwa kazi mnazofanya. Mungu azidi kuwalinda kwa kazi mnazofanya.🙏🙏🙏🙏
@clememallya4257
@clememallya4257 4 года назад
🙏👍Hongereni sana Makamanda wetu kwa kujitoa kwa kulinda usalama wetu kiaminifu. Mungu awalinde na maadui na awabariki sn🙏🙏 tunawaombea usalama wa maisha yenu
@abdikadirmohamed968
@abdikadirmohamed968 4 года назад
Hongera kwa kazi mliafanya kuwa kukamata wezi hawa bila shida "MUNGU awabariki kwa umri na afya wapolisi wetu". Asanteni sana.
@frankenock3651
@frankenock3651 4 года назад
Hahaaaa afande umenifurahisha eti " shikamo mzee na chuma kinaitika" umetisha ,,hongereni sana jeshi la polisi
@shaabaniali9816
@shaabaniali9816 4 года назад
Pongezi kubwa kwa askari wetu kwa ujasiri,uzalendo,ukakamavu wote mlio uonyesha kwa pamoja.tupo tayari kufa kwa ajili ya taifa letu....🤝🏿💪🏿🙏🏿⭐⭐⭐hakika nyie ni wazalendo wa kweli..pongezi kwenu na mungu awalinde pia awajaalie ufaham mkubwa wenye maarifa na hisia kali za kumtambua adui.....never give up
@josephmadobho302
@josephmadobho302 4 года назад
Hawa jamaa noma had nimempenda rpc bigup police
@dissartv4806
@dissartv4806 4 года назад
Hongera kwa majambazi..wanajitafutia..kazi ni kazi bhana.Majambazi ya kalamu hamuyaoni..wapo ofisin wanaibia raia kwa vyeo zao
@happysindani6708
@happysindani6708 4 года назад
Kazi nzur sana police wetu👏🏽mganga kawaingiza town
@mrtoshtosh4714
@mrtoshtosh4714 4 года назад
Happy sindani... Naomba kuzungumza nawe👋
@mungamichael9354
@mungamichael9354 4 года назад
@@mrtoshtosh4714 😂😂
@oscarjoachim2889
@oscarjoachim2889 4 года назад
Diamondback
@belindasteve4749
@belindasteve4749 4 года назад
Piga kelele kwa Arusha ake weeeweee!!!!Hongera sana kwa Askari wa A.town.
@linamacha7686
@linamacha7686 4 года назад
Hongera sanaaaan makamanda kazi nzuri watu tupo kwenye kwenye maombi ya kuomba toba kwa Mwenyezi Mungu wengine ndiyo kwanza wanazidi kumchafua Mungu tutaponaje jamani charaza bakora za kutosha huyo mganga maana hawa ndiyo wale waganga wakuuwa maalibino pumbavu kabisa 👏👏
@joyceraphael2586
@joyceraphael2586 2 месяца назад
Hongereni sana sana jeshi letu mko vzr sana c kazi mdogo hiyo, Mungu awatunze
@martinemazoya5700
@martinemazoya5700 4 года назад
Mshana hongera kwa kazi yako unayoifanya Arusha tunakukumbuka mwanza
@elmasroj9712
@elmasroj9712 4 года назад
Asanteni sana kwa kazi nzuri
@jtheophil5499
@jtheophil5499 4 года назад
Mnafanya kazi nzuri sana,ongereni sana jamani
@emmanuelangoi6973
@emmanuelangoi6973 4 года назад
Hongereni sana kwa kazi mliyofanya,majambazi hayo yabaki jivu
@stephanojackson8280
@stephanojackson8280 4 года назад
Barakoa ya mheshimiwa nimeipenda.
@upendoamani5054
@upendoamani5054 4 года назад
Stephano Jackson hunishindi Mimi nilivyoipenda
@pericykiko6198
@pericykiko6198 4 года назад
Sana yani nzuri sana
@bjzee1981
@bjzee1981 4 года назад
Ya RC au
@stephanojackson8280
@stephanojackson8280 4 года назад
@@bjzee1981 ya kamanda
@bizuwena623
@bizuwena623 4 года назад
Shukran kwa kazi nzuri jeshi la Polisi
@gladistaemanueliy6336
@gladistaemanueliy6336 2 месяца назад
Asante mh wetu
@vickykwimbere9904
@vickykwimbere9904 4 года назад
Hongera sana jeshi la Polisi kwa kazi nzuri. Mungu awalinde.
@dn.n4983
@dn.n4983 4 года назад
Polisi kweli mnafanya kazi hongera kazi si rahisi mungu hawalinde
@ababuumwanazanzibar4908
@ababuumwanazanzibar4908 4 года назад
Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1
@fetychina3273
@fetychina3273 4 года назад
😀😀
@abubakaryomary3985
@abubakaryomary3985 4 года назад
Big up"saluti kwa kazi nzuri sana mliyo ifanya jeshi la polis namiombea kila la kheli
@immawachambuso6772
@immawachambuso6772 4 года назад
Hongereni sana, big up👊🏾 polisi Arusha,Ila Mh mkuu wa mkoa,sio arusha tu ndio iwe salama zaidi kuliko mikoa yote,kila mkoa tuna haki ya kua na usalama wa hali ya juu kwa usawa,big up once again Polisi Arusha.
@WitnessMwanga
@WitnessMwanga 5 месяцев назад
Jamn tunaomba wafungwe maisha yao yot, hongeren kwa kaz nzur
@marrynyagawa6997
@marrynyagawa6997 4 года назад
Hongereni sana jeshi la police kwa kazi kubwa mliyoifanya
@dismassmariki6985
@dismassmariki6985 4 года назад
Hongereni sana hiyo ndio maana ya Ulinzi wa raia na Mali zao, Asanteni sana
@bjzee1981
@bjzee1981 4 года назад
Safi sana. Ninge waona hao askari ninge wanunulia chai . Ila wange wa rarua rarua badala ya ku wa acha wanapumua
@khatwabmpinga8602
@khatwabmpinga8602 4 года назад
Safi Sana'a vijana kazi nzuri
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 года назад
Ooh hongereni sana kwa hili 🙌 Nimeipenda Pigeni kazi
@dizzboss7526
@dizzboss7526 4 года назад
Munira mamb vp
@RajabuAbdi-rs7sp
@RajabuAbdi-rs7sp 2 месяца назад
Asante Mungu
@ashulamusin9811
@ashulamusin9811 4 года назад
Nawapenda sn polic wetu kwa kazi nzuri
@orestpaul4273
@orestpaul4273 4 года назад
Congratulations makamanda!
@issangyabertha5741
@issangyabertha5741 4 года назад
Gari liliwapita kama mshale,,,, ongeren polisi wetu
@pericykiko6198
@pericykiko6198 4 года назад
Issangya hahaaaa
@hongeramgaya714
@hongeramgaya714 4 года назад
🤣🤣 kwa msisitizo
@mwanalikhamis9875
@mwanalikhamis9875 4 года назад
hongereni jeshi lpolisi poleni nakazi nnzito mungu atwasaidia
@diltondilunga9915
@diltondilunga9915 4 года назад
Hongera sana jeshi la polisi Mkoa Arusha,na ni bidii za rais wetu mpendwa ,ktk kuimarisha uzalendo na uwajibikaji ktk kazi
@ruthleonard2958
@ruthleonard2958 4 года назад
Shkamoo Mzee chuma kinaitika Marahaba....hakika Hongera jeshi la Polisi...
@مارثاتنزانيا
@مارثاتنزانيا 4 года назад
Asanteni polisi kwa kazi zuri
@josephinekwaselema5566
@josephinekwaselema5566 4 года назад
Hiyo ni sanitizer yao 😁😁 Big up sana maaskari👏👏👏👏
@sadadololi4545
@sadadololi4545 4 года назад
Mungu mkubwa 👏👏🙏🙏🙏
@upendovitarlees8140
@upendovitarlees8140 4 года назад
Hongereni polisi kwa kazi nzuri
@hopekingoftz8208
@hopekingoftz8208 4 года назад
Pongezi kubwa kwa askari shupavu. Majambazi noma hao wana mkasi unaitwa shikamoo mzee,
@respiciuskaijage205
@respiciuskaijage205 4 года назад
😂😂
@pericykiko6198
@pericykiko6198 4 года назад
Hahaaaaa
@isdorimadoshi28
@isdorimadoshi28 4 года назад
Kazi nzur mungu aendelee kuwapa nguvu
@ellysilwani9287
@ellysilwani9287 4 года назад
Hongereni vyombo vya usalama,wanarudisha maendeleo ya watu nyuma majambazi hao..adhabu kubwa inawapasa,..
@majaliwamsigwa3974
@majaliwamsigwa3974 4 года назад
Hawafai kwenye Nchi yetu ya Tz,hongereni jeshi letu
@jeremiadaudi5780
@jeremiadaudi5780 4 года назад
Mungu awalinde polis wetu na ujasiri huo natamani niwe nanyi ila nafasi sina
@romanafrancis4870
@romanafrancis4870 4 года назад
Hongereni Ila pia mpitie na huku mitaani vibaka wamezidi kwa wizi
@lucyathumani3247
@lucyathumani3247 4 года назад
Hongereni sana jeshi la police mungu awalinde sana
@joycesagga8131
@joycesagga8131 4 года назад
Nmeipenda barakoa ya kamanda
@DoricasJeremia
@DoricasJeremia 2 месяца назад
Hongera sana porisi wote hii nikazi kubwa
@meshacktimoth1370
@meshacktimoth1370 4 года назад
Kazi njema nchi yetu tunailinda wenyewe . Hongera sana Askari wetu
@TheRock-wo6mx
@TheRock-wo6mx 4 года назад
Tanzania hoooyeee nawapenda Sana kutoka serikali hadi ulinzi wataifa angalao Kenya ingeiga wangekua mbali Sana lakini wao wanajaza mmatumbo tu kutoka serikali hadi ulinzi ovyo kabisa Kenya I'm from South Africa more love tz
@tausilazaro2989
@tausilazaro2989 4 года назад
Mungu awakumbuke maaskali wetu kwakukamata waaarifu
@attusanga8210
@attusanga8210 4 года назад
hongereni kwa kazi nzuriiii
@esterjackson4387
@esterjackson4387 4 года назад
Hongeren sana jesh LA polis
@seddamwaipungu6566
@seddamwaipungu6566 4 года назад
Mungu ibariki Tanzania
@lilianwilfred3271
@lilianwilfred3271 4 года назад
Thank you Jesus kwa kuwasaidia polisi kumkamata shetani akiwa kazini na watenda kazi wake
@mmjmmjbunju4626
@mmjmmjbunju4626 4 года назад
ELIMOZE FT ABDUKIBA-MGENI WA NANI inaendelea kufanya vizuri ......
@JoyceRichard-qo4gn
@JoyceRichard-qo4gn 3 месяца назад
Ongereni sana mapolisi kwakazi zuli ila wanatakiwa kuwawa kwasababu iwefuzo kwa wezi wengine
@shabansamwi9891
@shabansamwi9891 4 года назад
mnajitahidi sana ck hiz arusha arusha ilikuwa mbay sana hap nyuma walisha fanya ni kichaka chao cha kujificha
@neemasanga3283
@neemasanga3283 4 года назад
Hawatakiwi kutoka hao, wapotelee huko, hongereni sana jeshi la police kwa Kazi nzuri
@marymlelwa8471
@marymlelwa8471 4 года назад
Shikamoo Mzee na marahaba ni balaaaa😂😂😂😂
@youngyayoo2805
@youngyayoo2805 4 года назад
😂😂😂
@niaanthony9588
@niaanthony9588 4 года назад
😂😂😂
@filbertmushi548
@filbertmushi548 4 года назад
Hongereni makamanda
@benjamadongo
@benjamadongo 4 года назад
Safi sana JESHI LA POLIS
@aludomakori4230
@aludomakori4230 4 года назад
Hongereni maaskari wetu, MUNGU awalinde
@rshidmwasa8493
@rshidmwasa8493 4 года назад
Safi saaaana wazee,,tumewasoma maana hao washenzi wanaturudisha nyuma sana
@ednajeremiah8671
@ednajeremiah8671 4 года назад
Hongera asikari wetu
@joycedarabe6312
@joycedarabe6312 4 года назад
Mungu awape ujasiri na ulinzi jeshi la Tanzania
@mussaabissallamy994
@mussaabissallamy994 4 года назад
Natoa pongezi kwa jeshi la polisi tz hongera jesh la polis kwa kzi nzur mungu awajalie afya na uzima mzid kufanya kazi hongereni sana hongera IGP SIRO hongera na rais wet
@RichardRichardAlfredynombo
@RichardRichardAlfredynombo 3 месяца назад
Kunawatu natakakunihu Julie na angel na alfredy nombo na matrin ni watu baya wanasheliki kunitoa huwahiwangu Richard Alfred ynombo
@frolamazimba465
@frolamazimba465 4 года назад
Police fanyeni Kazi vizuri sana
@kenybenjiz7850
@kenybenjiz7850 4 года назад
Kamanda Shana umetisha na mask hyo hahaha
@tausilazaro2989
@tausilazaro2989 4 года назад
Mungu awakumbuke maaskari wetu
@leonards7746
@leonards7746 4 года назад
Hongereni jeshi letu
@mtaalamshekidele1661
@mtaalamshekidele1661 4 года назад
Kazi nzuri makamanda
@fredytarimo9107
@fredytarimo9107 4 года назад
Hongereni sana police wauweni tu hao
@shailashaila6913
@shailashaila6913 4 года назад
Waarabu ndio watu pekee wanalaza gar nje na hakunaga kitu mwiz wala jambaz, walala mageti waz wala mshipa hauwadundi Ila Tz bora mtu uwe maskn tyu mpk siku yako ifike ufe kifo ulichoandikiwa 😩
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc 4 года назад
Sanaaa ndo mana hatufanikiw awaafica
@maryamabdallah3140
@maryamabdallah3140 4 года назад
Mh. Mkuu wa mkoa...barakoa yako...mmmh
@mwaswa1899
@mwaswa1899 4 года назад
Hongereni askali wetu ,tunaomba serikali iwapatie siraha za kisasa
@gapserminja5215
@gapserminja5215 2 месяца назад
Yaaani mungu awatunze hawa polisi🙏🏽🙏🏽
@maryamm7765
@maryamm7765 4 года назад
Amepata sababu hizo barakoa kuziba uso 🤭😷😄
@oswardosward2019
@oswardosward2019 4 года назад
Safi sana Askari
@huseinmkindi9779
@huseinmkindi9779 4 года назад
Hongera Kamanda
@SamJux1
@SamJux1 4 года назад
Kazi nzuri
@surusuru1994
@surusuru1994 2 года назад
Saluti police arusha bgup
@lemakhalfan8564
@lemakhalfan8564 4 года назад
Safi sana kamanda wetu
@tausilazaro2989
@tausilazaro2989 4 года назад
Afande mungu akupe miaka 200000
@rithaurassa
@rithaurassa 2 месяца назад
Mwukob vizur police wa Arusha Mungu awape uendelev pia awape afya njema mwuwez kulimwudu hili.
@grandmaempiresecret
@grandmaempiresecret 4 года назад
Hongereni Sana ,jeshi la police📢📢📢
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 4 года назад
Mungu Awalinde kwa kila Jambo.
@rozinageorge1812
@rozinageorge1812 4 года назад
Nakukubali kamanda
@policejamiimkumbwa9405
@policejamiimkumbwa9405 4 года назад
Kazi nzuri sahihi
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 4 года назад
SAFI SANA MAKAMANDA KAZI NZURI BIG UP
@pascalmstaarabu4372
@pascalmstaarabu4372 4 года назад
Safi kamandaaaa
@RonnieBertin-f7f
@RonnieBertin-f7f 5 месяцев назад
shikamoo mzee hiyo ni noma
@KIREDIOO
@KIREDIOO 4 года назад
kazi njema polis
@hongeramgaya714
@hongeramgaya714 4 года назад
Mbona uyu babu kajiprotect sana kuliko hata wahudumu Wa afya.😂🤣
@ichukagaum9732
@ichukagaum9732 4 года назад
😂😂😂
@asiaokelay8421
@asiaokelay8421 4 года назад
😂😂😂😂
@eliaskayegezi3585
@eliaskayegezi3585 4 года назад
Kama kikato cha helmeti
@saidmo8392
@saidmo8392 4 года назад
Woga wa maisha huo
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 4 года назад
🤣🤣🤣ana jijali angalia Afande Masoud Mohamed alivyo tutoka ghafla
@bjzee1981
@bjzee1981 4 года назад
Ila mkuu unatoa details sana za mapambano
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 4 года назад
By the way ni nzuri coz huenda wangeua huko waendako
@rukiamohammed5031
@rukiamohammed5031 4 года назад
Daah hiyo chainiz mwisho wa ck itakuwa spinachi 😂hongeren sn jeshi la police mungu ibarik tz mungu ibariki Africa hiyo barakoa mkuu wa mkoa ni kibakuli au plastiki 😂
@twitikemwamundela2393
@twitikemwamundela2393 4 года назад
Hongera sana jeshi la Polisi
@alextercisio
@alextercisio 2 года назад
🤣🤣🤣eti Mgaga aliwaeleza hawawezi kamatwa duuh ...ujinga ngani huo
@stephanojackson8280
@stephanojackson8280 4 года назад
Serikali makini
Далее
UTASHANGAA MISUKULE 100 YAFUNGULIWA NA MGANGA INATISHA
11:49
Ong Bak | Fight Club Scene
15:05
Просмотров 76 млн
MRI of Truamatic Brain Injury by Dr.  David J  Mikulis
31:27