She one of my favorite African Presidents. ❤❤ She cares about the people and follow up to know what's going on! She always won my heart. I think women are better than us cause they don't waste cash in buying guns to fight others, look around the world. All wars are wagged by men!
Jameni tz mumebarikiwa namwenyesi mungu kupeo viongosi kama wenu hapa kwetu jirani ata raia wengi ata hawajui mkuu wa mukoa wake aitwa na ns haendagi mahali kusaindia mwananchi wa kawainda makonda ungekua kenya ungefuto kitabu ingereto siasa ati washindana na rais
Serikali yenye uwazi na upendo kwa kufanyia watu wake Kazi bora hongera Tanzania mimi ni mkenya I wish viongozi wetu Hapa kenya wangekuwa kama vionzi wa Tanzania naomba tuwaige Rais ruto visit Tanzania to get good education about leadership skill.
Wakuu wa mikoa mingine pia wanachapa kazi ipasavyo. Tofauti ni kwamba wanafuata taratibu mbalimbali na sheria za nafasi zao. Na kwamba hawafanyi kazi kwa kutafuta sifa bali kwa kutimiza wajibu wao. Ingekuwa hawafanyi kazi zao ipasavyo nchi isingekuwa hivi ilivyo. Wakuu wa mikoa chapeni kazi msisikilize minongono
Tunabeza tu nchi yetu ila ukitaka kuamini kwetu pazuri tembea kidogo hata nchi jirani kama kenya,congo,burundi na n.k ukirudi utaiheshimu Tanzania mimi naipenda nchi yangu
Wewe ndie una usanii ulipokuwa ukivuta bangi shule na kutukana waalimu ulifikiri Tanzania inakusubilia wewe endelea kulewa bangi na kukashifu juhudi za viongozi utashitukia kumekucha.utaambulia patupu
Tumia akilii watu wanahudumiwaaa buree apoo it means viongoz hao unaowaona wasanii ndio walioplan icho kitu so haipendez kutokuunga mkono juhudi za viongoz wachapakazi all in all ACHA USANIII WEW UNAECOMENT VITU VYA AJABU, THAMINI MCHANGO WA MAKONDA NA MAMA SAMIA KWA WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA NASYOMKUKOMENT UPUUZI.....
@@innocentinyasi9198 kwa hiyo hapo Kuna matajiri wako hapo uwanjani wanatibiwa buree. Kwani wangetibiwa huko mahospitalini Kuna shida gani? Mmepofushwa akili na kupumbazwa unaona hakiyako ni msaada? Hili rundo la watu linaonyesha kuwa watu ni masikini,hawana kazi na wengine Wana magonjwa ya sunona yaani msongo wa mawazo kutokana na Hali ngumu ya maisha. Hapa wanatumika kisiasa na mbaya zaidi wanatangazwa mitandaoni. Hii ni aibu sana
Hivi wakuu wa Mikoa mingine wapo? Ni nini kinawafanya wasiweze kuendesha mikoa yao Makonda style? Huyu afadhali arudishwe Dar es Salaam na aanze kazi na ulaji rushwa kwenye kutoa huduma!
Makonda nawe usijikoshe kwa mama enzi za mwenda zake ulikuwa muwaji damu za watu zinakulilia bado,hivyo wewe unazogeza cku brother off u go mama pamoja na mapungufu yako live long!
Katiba mpya muhimu sana, kipindi Cha u chaguzi Kuna Kila aina ya usanii. Watu mjiongeze. Bima ya afya hakuna Matibabu hospital ni mbovu. Huu ni mwaka wa uchaguzi
Kwani ukisema ni mwaka wa uchaguz ndo useme et wanafanya usanii....em jiulize kwanza Kiongoz kutenda majukumu yake ni usanii au nn so ulitakaa mambo mazur kama haya kwa wananchi yatendekee mda gan au ultaka watulie tu ofisini????
@@innocentinyasi9198 ndugu ukitaka kuisaidia mtu ni mpaka umtangaze? Kama hospital zipo Kuna haja gani kuwakusanya watu sehemu moja Tena wagonjwa halafu unaanza kuwahutubia?? Kwani jukumu la serikali siku zote ni lipi mpaka ukawatoe watu mahospitali na uwapeleke uwanjani halafu uwatangaze? Huoni hii ni aibu? Huoni kuwa watu wanavhezewa akili tuu? Huoni kuwa wanatumika kisiasa? Kwanini waitwe ni masikini? Je huoni mtani wa ccm ni kuwa na watu masikini ili WATUMIE umasikini wao kuwatawala? Ndugu katikati Dunia ya watu wenye akili na ufahamu huwezi kukuta jambo kama hili ambalo Mimi naliona ni la kisiasa tuu. Kama huduma za afya zingekuwa ni Bora haya yasingeonekana. Na mwisho hii ni kuionyesha Dunia kuwa Kuna nchi masikini ambayo raia wake hawana la kufanya zaidi ya kuomba misaada. Nikuhakikishie kwa Hali hii hii nchi ni masikini mno?
Katiba mpya ni muhimu na raia walio wengi tunahitaji, ila Kwa hili linalofanywa na makonda ni jambo jema na la Kheri na sioni point yakuandika katiba hapo alafu ujue mkuu wa mkoa hapigiwi kula bali huteuliwa, ungepongeza kwanza Kwa hili afu ukatoa ushauri ungeeleweka sana bila kubeza
Kenya wanakatiba mpya ila tujiulize maisha yao yamebadilika?au unafikili kubadili uongozi ndio maendeleo si KWELI maendeleo ni kuwa na viongozi bora tuwaombee viongozi wetu siyo kuwachukia CCM daima maana upinzani njaa tu hawana hoja wao wanashauli fujo zikitokea wanakimbilia ulaya