''MAKONDA usiogope, tunakuelewa sana, Mishale mingi inaenda pale patakatifu" Naibu Waziri Dr. Mollel
Naibu Waziri wa afya Dkt. Godwin Molle amesema hayo leo tarehe 29 Juni 2024 baada ya kutembelea kambi maalum ya matibabu bure inayoendelea kufanyika katika viwanja vya Sheik Amri Abed Arusha.
Kambi hiyo iliyoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda hadi kufikia leo imehudumia zaidi ya wagonjwa 25,000 ikiwa ni siku ya sita tangu imeanza
28 июн 2024