Juzi Jumapili nilialikwa shughuli kwa Mwanahamisi Kigamboni shughuli ya Dua maalum kwa ajili ya kumkaribisha Mama yao mzazi ambae walipotezana nae ndani ya miaka 43 Tizama hapa mambo yalivyokuwa #geahhabibu #GeahTv #Matukioyageah
Ameen,amen,Allah huma ameen🙏mashaallah mama ni pepo mwanahamisi,Allah akupe yenye kheri,umefanya jambo kubwa sana kumsilimisha mama,una pepo yako Aakhera,mtunze mama sasa asahau maumivu yake,utaipata pepo yako dadangu😍
Mashallah wap mzee taji na kanzu yake ya blue 🤗🤗mzee mwenye pepo yake kesho akhera inshallah aliamua kumuacha mke mwenye roho mbaya km izirael ili aoe mke mwenye roho nzr kidogo ili amlelee watt wa Kaka yake maisha mrefu kwake mzee taji 💋💋
Dada Gea Habibu umefanya moja ya Ibada Jazaa yko utaipata kesho kwa Mwenyezi kwa kuikutanisha hyo Family Maashaallah Maashaallah Maashaallah Maashaallah.
MashaAllah mashaAllah Allah barik. Kila nikitzama machozi yananitoka kwa furaha. Nafuraha imezidi mama pia kuingia ktk nuru ya uislam mashaAllah mashaAllah 👌👌😘😘😘❤❤❤
Nimejikuta nafurah kama vile nimemuona mama anguu 😭😭 mlio na wazaz mumshukuru mungu wakat wote kwa wengine twataman kumuona mama hata sekunde moja lakn ndio haiwezekana teena 🤔🤔
Mashaallh hata mm namtafuta baba Wa mtot wangu ni miaka 41 Sasa sijui alipo Jina laje ni jamali nilikutanaga nae kibaha alikua anaishi na mzee Haji jiraniake alikua ni mama pii sijui nampataje hadi Leo nasikia tuu kwa ni katoro na sijui katoro ni wa
Jamani nililia sana siku ile mama amekutana na watoto wake?ba mdogo Allah akupe maisha marefu jinsi uli vyolea hao watoto,mama pia ongera kukutana na watoto wake lngawa Aisha alifariki basi ni mapenzi ya mungu.
Nimependa . Walivyo msilimisha ni jambo adheem hili hawakutaka Mama apotee 😍mashaallah mfunze na ibada amjue zaid allah na amshukuru sana kwa hili maana ni miujiza ya al jabari.
Ooh mungu ni mwema jamani inshallah mungu awajalie mema hii familia inshallah geah na yule msichana aliye enda na mamake akiwa tumboni alikuja kweli? Its amazing.
Mashallah maboorkin mama mtamu jamanini mama pepo mama ndiyo kila kitu katika duniya hakuna mama wakusikiziwa daima mama yako ni mama yako hakiwa hai muonyeshe upendo wallah raha nawapenda hakina mama wote😍😍😍❤
Mashaallah tabaraka Allah mama kaslim thakbr, Allah awarehem sie ambao wetu wametangulia mbele za hakii Ameen Ameen, na walo nao wazazi Allah awape afya njema na maskizano mama ni kila kitu katika dunia
Wew mwanamis wew mungu akupe maish maref jaman nimejikuta machoz yananitoka jaman mmh mungu awape maish maref na mama yenu kah yaan mama wawatu analia kwa furaha jaman mungu kamkutanisha na watot wake
Ama kwa hakika pia ashukuriwe na baba yenu kwa kuwalea kidini na leo mmeslimisha mama yenu kiukweli nimependa sana , mwanaamisi na nduguzo mmefanya Jambo na uishi vyema na mumeo mungu ni muweza
Masha Allah,bismillahi TABARAKA ALLAH ,ALLAH AZIDI KUIBARIKI HII FAMILIA NA DAA GEAH ALLAH AKUFUNGULIE MIANGAZA NA BARAKA KATIKA FAMILIA YAKO MASHA ALLAH JICHO LA HASADI LISIWAONE
Mama mwema na wtt wema mashaallah Allah awazidishie mapenzi baina yenu muendelee kumtunza mama yenu..kwani wengi wanalia na kutamani kuona mama zao angalau kwa dakika tu. Poleni na hongereni sana.
Mama nikitu ingine .Mimi mama yangu mzazi kaniacha namiaka mbili,nikaishi kwaa mama yangu mlezi,nae ameniacha nyie inauma mnoo.hongereni kwakumpata mama
Kwahiyo huko Kenya miaka yote hakuwa na dini huyo mama? Alitafutaje wanawe bila maombi na kama aliomba aliomba kwa dini ipi? Mm muislam na mtu kusilim ni jambo zuri lakini kusiwe na shinikizo jmn.