Kupitia kipindi cha Leotena Cloudsfm kila mwaka ikifika mwezi wa tano tunatoa nafasi kwa wale wote wanaotafuta Mama na akina Mama wanaotafuta Watoto wao,Na mwaka huu tumekutanisha watoto na mama takribani watano mmoja wapo ni huyu Mama tuliomkutanisha na Watoto waliopotezana zaidi ya miaka 53..!
Wamekytana vipi tizama hapa ujionee mwanzo mwisho
#geahhabibu #GeahTv #MatukioyaGeah
11 июл 2021