Тёмный

MAMA ALITAFUTA WANAE KWA ZAIDI YA MIAKA 40/ALIPOKONYWA NA BABA/MAISHA YAO MAPYA BAADA YA KUKUTANA 

Geah Habibu
Подписаться 369 тыс.
Просмотров 131 тыс.
50% 1

Mama huyu ametoka NchiNI Kenya kuja kutafuta Watoto wake watatu ambao aliwaacha miaka 43 iliyopita ambapo kwa mujibu wa Mama anasema alipokonywa watoto na baba yao kisha akafukuzwa.Mama anasema alifanya jitihada mbalimbali kipindi hiko ili kuwapata watoto wake lakini hakufanikiwa.Ndipo juzi alipoamua kuja tena Tanzania na kuja katika radio clouds kunitafuta ili niweze kumsaidia kutangaza aone kama ataweza kuwapata wanae.
Kwa bahati nzuri baada ya kipindi kuruka kuna watu walisikia na walikuwa wakiwajua watoto hao pamoja na baba yao ndipo walipowaarifu kuweza kufika waje wamuone mama yao...!
Fwatilia tukio hili la kusisimua kisha ujionee maisha yao wanayoishi sasa hivi baada ya mama huyu kujuana na wanae aliopotezana nao kwa miaka 43.
#geahhabibu #GeahTv #MatukioyaGeah

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 427   
@neydenyo6786
@neydenyo6786 3 года назад
Mzee taji namfananisha na mama yangu mdogo, aliachiwa watoto watano Mimi nikiwa na miaka2 leo hii nina miaka 25 , baba yangu mzazi nasikia yupo sijawahi muona ila mama mdogo hajawahi kutuchoka watoto wote watano. Mungu ana malaika wake duniani
@hildantandu5909
@hildantandu5909 3 года назад
Ney Denyo ,Shukuru Mungu,na muombee
@maryamhaidar931
@maryamhaidar931 3 года назад
Poleni sana
@neydenyo6786
@neydenyo6786 3 года назад
@@hildantandu5909 hakika, namuombea mama mdogo kila siku yani nikisikia, msiba huwa nawaza itakuwaje akinitangulia.
@neydenyo6786
@neydenyo6786 3 года назад
@@maryamhaidar931 asante mammy
@faridanurdin4910
@faridanurdin4910 3 года назад
Mungu awalindie mama enu
@mariamfataki8025
@mariamfataki8025 3 года назад
Hii story ilinisisimua sanaaa...! Mzee Taji daaah 😭😭 Mungu ambariki sana 🙏
@margaretwambete1228
@margaretwambete1228 3 года назад
Hongera clouds.mzee Taji wewe kiboko yao.Mungu akubariki
@judithmelvinealuchio8968
@judithmelvinealuchio8968 3 года назад
this story is soo touching 💋❤️
@zulfahismail9373
@zulfahismail9373 3 года назад
Nakupenda dadageya
@Da_Gee
@Da_Gee 3 года назад
Nimesoma na Mwanahamisi J4 form 5&6 Zanaki High school, ni mpole , mtaratibu, ana upendo wa kweli, hana makuu, ni mnyenyekevu na Mcha Mungu Pia. Alikuwa mtulivu shuleni,. Hana makundi , alikuwa na bidii ya masomo sana, sishangai MUNGU kumfikisha hapo. Yaani alifuata ushauri wa Baba yake mdogo kabisaa, hakuwa na Mambo ya wanaume shuleni kabisaa. Hongera rafiki yangu kumpata Mama yako, ni furaha ya ajabu! Mungu yu mwema. Mpokee mama yako,mfurahie kuwa nae na wakati wa furaha, cherish your time with her.... Ni Neema MUNGU amekupa. Mtunze Mzee TAJI na mkewe , zidisha upendo kwao pia, yaani hao wazee ni baraka yako.
@shitamct6984
@shitamct6984 Год назад
😊
@khdigahk4246
@khdigahk4246 3 года назад
Uyo mama angekua wanae wanamaisha magum angeumia Zaid yakuumia lkn kafarijika kwa maisha ya wanae Mazur alhamdulillah
@bahatisunga1642
@bahatisunga1642 3 года назад
Kweli kabisa
@neemachriss2605
@neemachriss2605 3 года назад
kweli maana angewaza yeye ndio chanzo
@pettywilliam4492
@pettywilliam4492 3 года назад
Duu ni jambo la kumshukuru mungu kwa kweli
@aaa64sa13
@aaa64sa13 3 года назад
Alhamdulillah 🙏
@judithmelvinealuchio8968
@judithmelvinealuchio8968 3 года назад
kama kweli wa tz muna upendo au ni dunia nzima kuna watu wazuri kama huyo baba mdogo mungu awabariki sana nyinyi wote much love from me 🇰🇪🇪🇺🙏🙏🙏
@ruqayaruqaya4283
@ruqayaruqaya4283 3 года назад
Love 2😍🤩😘🥰❤💘💖💋
@judithmelvinealuchio8968
@judithmelvinealuchio8968 3 года назад
@@ruqayaruqaya4283 🙏🙏🙏💞
@liliankessy1255
@liliankessy1255 3 года назад
Watz tuko na roho nzuri Sana hta wakenya Kuna wazuri ila cjawahi kukutana nao..nakutanaga na marafiki wakenya afu mwisho wasiku wananitenda vbya...roho mbaya sana
@judithmelvinealuchio8968
@judithmelvinealuchio8968 3 года назад
@@liliankessy1255 pole sana dear hata mimi napenda marafiki sana special wa tz niliishi na mu tz alukuwa anatumia makaratasi zangu kutuma hela na tuliishi vizuri sana hadi nikafika kwao mara mingi sana kabla hata yeye arudi kule newala mauta ukunda
@saumsalim9966
@saumsalim9966 3 года назад
@@liliankessy1255 Ata waTz wapo wengi tu wenye roho mbaya
@ruwaidaal-ismaily9099
@ruwaidaal-ismaily9099 3 года назад
Baba mdogo Mashaallah lakin ndyo mtu alyomuwa hanywi pombe ndyo maana lakin engekuwa anakunywa engekuwa kashawatimuwa lakin mzee aliwalea vizur Tena ana anawapenda😍
@khamisshee5131
@khamisshee5131 3 года назад
kazi na roho kuuma na kwa yule mama yao alowatelekeza na kuwakana akiona hii clap nyumbani kwa mwanahamisi najuwa huko aliko roho yamuuma sana kwa mafanikio ya mwanahamisi shukran sote ni kwako ww dada Geah 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 🇸🇦🇸🇦🇸🇦 aka bachuchu mombasa
@sadakhamis1261
@sadakhamis1261 3 года назад
Nikweli khamis
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 3 года назад
Mzee Taji Mungu akubariki kwa moyo uo na mama Taji ubarikiwe.
@glorykarim1570
@glorykarim1570 3 года назад
Hakuna radio nzuri Kama ya clouds fm jamani maana mabo wanayofanya ni mazuri sanaa yanampendeza mungu💞💞💞❤️ wanapenda geah habibu MTT mzuri
@wardamunguakuzidishew9399
@wardamunguakuzidishew9399 2 года назад
Kabisa lakini iyo radio ya wasafi kazi kusema watu kila kukicha
@abdullahalkindi9673
@abdullahalkindi9673 3 года назад
Mashaallah watoto wa kike wanakuwa na huruma sana kwa wazazi wao hata kama wanawatesa.
@fatumakingi9753
@fatumakingi9753 Год назад
Na mnafanana mwenyezi mungu ampe umri mzee taji na akimtwaa basi amjalie pepo🙏🙏🙏
@spreadlove2119
@spreadlove2119 3 года назад
Gea nakupenda unafanya mambo mazuri na ya heri. Halafu umependeza sana darling 😍😍
@liliankemuma9475
@liliankemuma9475 3 года назад
Geah Habibu hongera Kwa kazi mzuri unayoifanya nakupenda Tu saana watching from Kenya
@mussaulaya3926
@mussaulaya3926 3 года назад
Wangapi tunatamani kujua kazi ya dada
@allenstian3719
@allenstian3719 3 года назад
hahahaha maana mshua eeh😅
@msabahamwendapole5005
@msabahamwendapole5005 3 года назад
mwanahamisi kitengo, maana huo mjengo na samani si za nchi hii😃
@enterenter1921
@enterenter1921 3 года назад
Umbea utawaua nyie viumbe hahahahaaaa
@olivamarunda8318
@olivamarunda8318 3 года назад
Huyo BB mdogo Mungu ambariki Sana naye Mungu Ampe heritage
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 3 года назад
Kumbe Baba mzeentaji. Muislam. Maashalah basijitahidi kuwaongoza na wanao warudi. Kwa Allah. Mavazi wabadilike ww ndiyomumewalea. Utajua na maswari. Kwa Allah naunaonekana unarohonzuri sana Allah akulipe heri lnshallah
@nancyg8664
@nancyg8664 3 месяца назад
😂mnajikutaga kina nan nyie
@leahemmanuel9029
@leahemmanuel9029 3 года назад
Mzee Taji atavikwa Taji kwa kazi nzuri ya malezi
@zaydelabay9776
@zaydelabay9776 3 года назад
Tumuwekee Sanamu yake pale posta
@florakalinga1269
@florakalinga1269 3 года назад
@@zaydelabay9776 Amina mungu ambariki
@vailethanod1522
@vailethanod1522 3 года назад
Mzee taji mungu akupe maisha marefu we mzee nakuombea sana
@enockmaige8936
@enockmaige8936 3 месяца назад
Ila Geah we mrembo sura nzur hadi roho nzuri ❤❤ Mungu akutunze
@happinessmwissemwissw1719
@happinessmwissemwissw1719 3 года назад
Daaaah hii story imenikumbusha mbali sana siku wazazi wetu walipo kufa duuuuuh ndugu walitugawana kama mboga maisha haya
@bahatikyeje766
@bahatikyeje766 3 года назад
Pole sana huwaga naumia sana siku nikifa wanangu,,, hii story daa, asante geah kwa hili
@antelmakilumile717
@antelmakilumile717 3 года назад
Jamani Happiness Umeni tia uchungu Sana ! Pole Sana. Yote yanapita tuu ingawa Yana umiza
@dignakanje4508
@dignakanje4508 3 года назад
Mungu niwarehema sana.Namnafanana sana namama yko.Mpka machozi yamitoka.
@memochep9637
@memochep9637 3 года назад
Nilipoteleana na ndugu yangu 1990 kutoka kenya naomba Mungu siku mmoja tutaonana 😭
@alfredmbyopyo3126
@alfredmbyopyo3126 3 года назад
Very touching story,sijui ipo kwenye kundi gani la huzuni au furaha,ki ukweli hii story imeniliza na hapohapo imenifurahisha, hongera 👏👏 wanakipindi cha leo tena kwa kulifanikisha hili jambo mungu awabariki
@palokuthereza2555
@palokuthereza2555 3 года назад
Mwanahamisi mstaarabu sana ni mtu Mzuri
@janslinjanslin9889
@janslinjanslin9889 3 года назад
Mungu ni mwema kila siku ukimtegemea hawezi kukutupa 🙏
@Maryam-yt8lw
@Maryam-yt8lw 3 года назад
Huyu mjukuu kafanana na bibi yake maahaallah
@gracengonyani7006
@gracengonyani7006 3 года назад
Sterling mzee Taji
@mwanamisiramadhan4773
@mwanamisiramadhan4773 3 года назад
Masha allah hongera sana somo yangu mwanamisi kwa kumpata mamako kina mwana wapole jamani halafu somo yangu pia anavaa miwani pole mwaya #geah sisi kina mwanamisi hatutaki kuuitwa mwanahamisi 🏃‍♀️🙏
@rukiakhamsin9220
@rukiakhamsin9220 3 года назад
Masha Allah,bint wa mwanamisi ana fanana na bibi yake
@azamajid9530
@azamajid9530 3 года назад
Mashallah mama kakuta mambo meupe kwa mwanae mungu akupe nguvu afya geah
@betidevispora5248
@betidevispora5248 3 года назад
Ameen
@sayisimiyu991
@sayisimiyu991 3 года назад
Hongera sana
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 3 года назад
🤣🤣🤣🤣💕💕💕
@xkingx8041
@xkingx8041 3 года назад
Mungu awabariki clouds FM. Na da geah wewe!! Inabidi nije nikuone
@bosslilyg4390
@bosslilyg4390 3 года назад
Mzee Taji una fungu lako kwa Mungu, Mungu akupe umri mrefu na afya tele.
@ashamwandu6572
@ashamwandu6572 3 года назад
Nguvuu za mungu hazina mipaka,
@sharifaabdullah6825
@sharifaabdullah6825 3 года назад
Masha allah mungu ambariki mzee Taji ni wazee wachache' wenye hekima' alhamdulilah
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 3 года назад
Geah nakupenda bure Mungu akubariki kwa moyo wako wakujitoa Mama abaki ata miezi 3 aongee na wanae ikiwezekana ajiandae arudi au watoto waende naye Kenya waone anapoishi ili iwe rahisi kwao kutembeleana.
@zuwenaalamini4158
@zuwenaalamini4158 3 года назад
Yaan .mpaka nasisimka Gea mungu akupe maisha narefu
@aishasalimaishasalim1323
@aishasalimaishasalim1323 3 года назад
Hii story iliniliza sana Aki mungu ni mwema😢😢 kazi nzuri gekha
@ablatuny5406
@ablatuny5406 3 года назад
Wanafana sana hasa huyo mjukuu wa kwanza ndio bibi yake mtu mie naona.
@lovenessgodson1075
@lovenessgodson1075 3 года назад
Mashaallah 😍
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 3 года назад
Subuhanallah jamani wanaume wanahatari kweli mungu ni mwema asante dageya mungu akusimamiye kwenye kazi zako akulinde nahasadi na husuda akupe afya
@naimarishedy1523
@naimarishedy1523 3 месяца назад
Yaani mnavyofanana mtu haulizi. Mungu awalinde clouds muendelee na kwa wengine wapare familia zao❤❤🎉🎉🎉
@Amina-bq2xe
@Amina-bq2xe 3 года назад
Mjukuu photocopy ya bibi mashaa Allaah
@happysanga3909
@happysanga3909 3 года назад
Daah mungu nimwema imenitoa machozi daah pumzika kwa amani Mama angu mungu akupe maisha ya furaha uko
@gililwise
@gililwise 3 года назад
Yaani huyo mzee Taji na mkewe Mungu awabariki sana kwa upendo wa kukaa na hao watoto
@pendomangalili7501
@pendomangalili7501 3 года назад
Hongera Clouds Redio, Clouds TV hongera mama kuwapata wanao hongera watoto kumpata Mama yenu, Mungu Ni mkubwa sana
@fatumaally3266
@fatumaally3266 3 года назад
Machoz yamenimwagika😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@faridajackson819
@faridajackson819 Год назад
Jamani wadau naomben mniunganishe na clouds wahusika wahiki kipindi namimi natafuta ndugu zangu watoto wamzee david leonard maunda ambae alikuwa askari wa jwtz na alifanya kazi katika mikoa ya kagera musoma morogoro na dsm huko kote aliacha watoto kabila lababaetu nimmakonde
@nadhraabdulaziz9193
@nadhraabdulaziz9193 3 года назад
Shujaa taji ma shaa Allah
@dorothtobias8053
@dorothtobias8053 2 года назад
Gea mbarikiwe Sana mmekuwa faraja Sana kwa familia NYINGI.
@meebee2586
@meebee2586 3 года назад
God bless you Mzee Taji ,you are the hero
@julieeliah5511
@julieeliah5511 3 года назад
Mungu ambariki sana Mzee Taji
@everlynekenedy1545
@everlynekenedy1545 3 года назад
Mungu akubariki san dada Geah
@jubilateshao2061
@jubilateshao2061 3 года назад
Hongereni sana Mungu ni mwema sana!
@thesimzfamily7961
@thesimzfamily7961 3 года назад
Beautiful story
@aiyamhassan1321
@aiyamhassan1321 3 года назад
MashaAllah mzee mtaji Allah akulipe
@khadijazayumba8473
@khadijazayumba8473 3 года назад
duuuh!!!! Wanaume wangejua kinacho wakuta wanawake leba wasingefanya ukatili wa kuwatenganisha wamama na watoto wao
@trifoniambilo2400
@trifoniambilo2400 3 года назад
Kweli best Ila hawajui tu
@coolwaveac7659
@coolwaveac7659 3 года назад
Yaani wee Acha tuu inauma Sana
@katayaloveness5529
@katayaloveness5529 3 года назад
Masha Allah ❤️❤️❤️
@kuruthumusaidi1645
@kuruthumusaidi1645 3 года назад
Mungu ni mwema
@munirahlytuu123
@munirahlytuu123 3 года назад
Waifanyie hii kitu movie
@yusrasalum
@yusrasalum 3 года назад
Gea umehakikisha mpaka mjengoni yani natamani km uwepo tujue vingi ila mama kakaa kiuwoga sana mana mwanahamisi anataka kujua vitu vingi
@lovenessgodson1075
@lovenessgodson1075 3 года назад
Shujaa Taji
@minnaaibrahim8994
@minnaaibrahim8994 3 года назад
Mmepata mama msimsahau mzee taji na demu wake
@youngbilioners4631
@youngbilioners4631 3 года назад
Watakuwa na laana
@zinabotnzani1492
@zinabotnzani1492 3 года назад
Mashallah MASHALLAH mashallah
@vickymgaya9337
@vickymgaya9337 3 года назад
Mungu mwema sana na hata hivyo wana miili mizuri mama hajazeeka sana wala watoto wake wanalingana na watoto wao
@zainaabdallah809
@zainaabdallah809 3 года назад
Alhamdulillah nami najipa moyo ipo siku nitamuona baba 😭Allah akurehemu mama yangu nilitamani nawe nikutafute kumbe ndio mungu amekuchukuwa pumzika pahala pema🤲
@happypa2027
@happypa2027 3 года назад
Pole sana ila nimipango yamungu
@qrrrqtqt9976
@qrrrqtqt9976 3 года назад
Pole😭
@chrisskucha6108
@chrisskucha6108 3 года назад
Pole zaina mungu azidi kuku tia nguvu
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 3 года назад
Ooooh pole sana
@hamidamnyika5866
@hamidamnyika5866 3 года назад
Pole dear..
@janemburu4112
@janemburu4112 3 года назад
Mzee mungu akupe maisha malefu kwa kulea hao watoto na akubaliki sana
@samsungoman5626
@samsungoman5626 3 года назад
Maashallah mungu mwema hamtupi mjawake nawatakia maisha mema
@zakyahya4645
@zakyahya4645 3 года назад
Mashallah clouds ni redio mzuri sana mungu atawalip
@isaacm1852
@isaacm1852 3 года назад
Haya mambo nilikua naona ulaya tu sikufiria Africa yapo I'm speechless aisee
@meryhassan5272
@meryhassan5272 3 года назад
Dada geah hongera sana uko vizuri
@nahishakiyeassuman5541
@nahishakiyeassuman5541 3 года назад
Love mama kwakwel ani wamefanana Sana kwakweli
@bahatisunga1642
@bahatisunga1642 3 года назад
Hongera sana Hasani pia snafanana na Baba mdogo wake
@sabraabdilnasir8826
@sabraabdilnasir8826 3 года назад
Nikweli hassan kafanana na baba ake mdogo kama ndio aliomzaa
@mahamudali1453
@mahamudali1453 3 года назад
Hogera mzee tagi kwa kujitoleya kuwalisha watoto howo viziri tuna kuombeya mungu akuzidisheye inshalah from Toronto canada
@priscajohn6090
@priscajohn6090 3 года назад
Taji hongera kwa moyo mzuri
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 3 года назад
Eeeee jamani hakuna kama mama mungu amrehemu huyo Baba yaarabi NA msamehe 🙏🙏🙏
@owinookello9358
@owinookello9358 3 года назад
gear uko juuu sana dada huyo mzee aliewakutanisha hao watoto ana roho nzuri ni owino nipo kenya
@lorraineatieno6544
@lorraineatieno6544 3 года назад
Haki ama kweli wanafanana na mama yao. Baa mdogo ubarikiwe. Nisisi wazazi hukosea watoto...bt Mungu awaunganishe.
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 года назад
Zulfa mashallah 🤗
@mariambakari996
@mariambakari996 3 года назад
Masikini jamani hongereni sana nimejikuta machozi yananitoka kama mimi ndio niko kwa hiyo familia jamani mama amefanana na mwanae dah! Hadi raha kwa kweli
@ireneassey753
@ireneassey753 3 года назад
Mimi nilikaa nikawaz mzee Taj angekua ayupo inamana wasingemjua mama yako ...dah kila kitu mungu ana makusudi nacho mzee Taj mungu akuekee miaka bukuuu
@radhialdarusi6963
@radhialdarusi6963 3 года назад
mzee taji ana moyo mzuri sana kaona bora azaa mtt mmoja tu ile awalea vizuri wtt wakaka yake agali baba hawatak kisa mke mola atakulipa mzee taji inshaallah
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 3 года назад
Kwa kweli ni agharabu
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 3 года назад
Geah Habib Geah......kipindi chako kizuriii looooh.Mungu akuongoze ukutanishe watu wengi zaidi na zaidi.
@valenakomba7686
@valenakomba7686 3 года назад
wanafanana sanaa, yaani hao ni watoto wake kabisaa. hata huyo mjukuu wake anafanana na bibi mpaka maumbile . Mungu awabariki sanaa
@sweetbertrwiza5982
@sweetbertrwiza5982 3 года назад
Mzee Taji na mke wake wana moyo wa tofauti
@prettynayally2177
@prettynayally2177 3 года назад
Mashaalllah mtot yuko vizur
@salmaathuman9156
@salmaathuman9156 3 года назад
Watanzania tunaupendo sana mungu awabariki sana clouds kwa kazi mzuri munafanya kazi kubwa sana kwa jamii hongera da geah pia
@eshasozy69
@eshasozy69 3 года назад
Dada geah unafanyakazi vzr sana Hongera sana
@mwanamisiramadhan4773
@mwanamisiramadhan4773 3 года назад
Masha allah mzee taji tabasamu lake latoka moyoni ana roho nzr sana kwa kumuangalia tu tabasamu lake allah akupe upendo huo huo
@fatmaabeid9668
@fatmaabeid9668 3 года назад
Mashallah hongera saanaa bint habib mungu atakupa fungu lako
@sharinv8864
@sharinv8864 3 года назад
Very painful jamani kwakweli wakati wa mungu ni bora sana sasa familia ina furaha jamani.
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 3 года назад
Mashallha Munich awaweke lnshallha raha sana nimefurahi kama ndo mm
@allyhamadi678
@allyhamadi678 3 года назад
uyo mama anaitaji sifa katika Kenya kuja kuwatafuta watoto wake na wakati mm nimesusiwa mtoto na mama na mbaka leo ata kumjurie Hari mwanae ataki
@allyhussein4625
@allyhussein4625 6 месяцев назад
l love radio cloud is the best
@kisalaTV
@kisalaTV 3 года назад
Ukipata baba mdogo kana hawa raha sana
@latifachilala2015
@latifachilala2015 3 года назад
Uyo mzee anaonekana swala tano ndio hicho kilichompa ujasili bila nguvu za mungu uwezi
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 3 года назад
MZee Taji na mkeo mnaroho nzr
@agasarobeyonce
@agasarobeyonce 3 года назад
Kazi nzuli sana umefanya mungu atakulipa
@aishahemedi7869
@aishahemedi7869 3 года назад
Mashaallah 🙏 dada hongera sana Dada 🙏😘
@salhamrisho8138
@salhamrisho8138 3 года назад
Watoto wamefanikiwa mashallah 😍😍🤗🥰
@glorylimo8695
@glorylimo8695 3 года назад
Jaman wababa acheni Basi ushetani haya Sasa watoto unawatenga nsa mama bado una waonea alaf hao hao ndio wanakuja kukusaidia jaman wababa wengine jifunzeni hapa achen Mambo ya dunia hayatakupeleka mahali..
@stellahmsigwa8146
@stellahmsigwa8146 3 года назад
Adi nimelia kwa fraha ongera da geah mungu awabariki
@zaydelabay9776
@zaydelabay9776 3 года назад
I am happy
@enterenter1921
@enterenter1921 3 года назад
Alhamndulilah 😭😭mpk mwili wangu umesisimka asee daa jmn miaka mingi
Далее
HUYU MAMA KAOGA MAPEMA LEO/WATU WA HUKU HAWAULIZI
9:47