Tukio hili lilitokea Kigogo jijini Dar es salaam ambapo mawifi waliamua kuharibu shughuli ya wifi yao yani Mke wa kaka yao kwa kuandaa shughuli yao ya kigoma cha urugwai na kumchamba wifi siku hiyohiyo ya Kitchenparty ya wifi yao.Sababu ya yote hayo inadaiwa wifi huyo aliwachamba wifi zake kupitia status za whatsapp.Lakini hilo pia halikuzuia wifoi huyo kufanya shughuli yake ya Kitchenparty.Tizama hapa kisa kizima
#Hekaheka #Geahhabibu #GeahTv
16 май 2019