Тёмный

"WALINIITA OFISINI WAKANISHIKA SHIKA" MAMA AWACHOMESHA MAAFISA ARDHI KWA MAKONDA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 202 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 366   
@fatumamilimo7336
@fatumamilimo7336 7 месяцев назад
mb zangu zinaishi kwa ajili ya makonda kila hatua dua kwako hongera sana
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 7 месяцев назад
Mpk Mimi dea
@oscarkomba7258
@oscarkomba7258 7 месяцев назад
Anafanya sana kaz dah
@oscarkomba7258
@oscarkomba7258 7 месяцев назад
​@matridamwalyoyo1735😅
@awadhally1052
@awadhally1052 7 месяцев назад
Kwel ata mm
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 7 месяцев назад
Hata mie hata usk wa manage usingizi ukikata nasikiliza
@mohamedwwnurumasagcom8171
@mohamedwwnurumasagcom8171 7 месяцев назад
Ahsante rais Samia kwa kumleta Paul makonda hakika ni mtetezi wa wanyonge mwenezi wetu ni mchapakazi
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 7 месяцев назад
Makonda Mungu akulinde🙏🙏❤️❤️
@charleskuyeko4400
@charleskuyeko4400 7 месяцев назад
Haleluyaaaaa. Mungu akubariki sana Mheshimiwa Makonda.
@prepaframark8097
@prepaframark8097 4 месяца назад
Mungu muumbaji wa mbingu na nchi akubariki Mh. Makonda. Akutunze, dumu kumtukuza ktk nafasi aliyokupa. Amina 🙏
@Hometradersforex
@Hometradersforex 7 месяцев назад
I don't know Swahili but this guy ambition is 🔥his politics are intact , he carries late magufuli leadership ideologies, rule by fear & religion , these ideologies are masterpiece in ruling people , build trust as well as motivate people to do full fill their responsibility as they fear of superior power
@Robust78
@Robust78 7 месяцев назад
It is true but what you need to understand is what he is advocating for is the failure of their administration system. He belongs to causers of the existing problems. We need complete reforms in our country not dealing with problems by addressing public gathering. Otherwise there's no need of having government machinery or system.
@merinahassan4157
@merinahassan4157 7 месяцев назад
😂😂😂
@danieljoseph4912
@danieljoseph4912 6 месяцев назад
Very true 👍
@roviykamage5423
@roviykamage5423 7 месяцев назад
Inaumiza sna , tenzi ya rohoni imenitoa machozi sna . Makondo makonda baba Mungu akuinue sna
@nebartmuyagala9545
@nebartmuyagala9545 7 месяцев назад
Mh. Mimi binafsi nilianza kukufatilia tangia ukiwa mkuu wa mkoa dar ww unakitu ndani yako Mungu amekuwekea 💪
@jamesraphaelmdima4729
@jamesraphaelmdima4729 7 месяцев назад
Huyu jamaa siku tatu kabla huyu jamaa hajateuliwa,Roho wa Mungu alinionyesha maono niliona mambo ambayo siwezi kuyaeleza hapa!
@misembe
@misembe 7 месяцев назад
Kweli kabisa
@Daniseck
@Daniseck 7 месяцев назад
Atasoma akif😂🎉
@mwemamella1483
@mwemamella1483 7 месяцев назад
​​​@@jamesraphaelmdima4729Na kabla hajapigwa Lissu Risasi hukuonyeshwa aliyewatuma wampige Risasi?? Tuache unafiki Mungu ni wa wote hana ubaguzi. Mtu mwenye mikono yenye damu za watu, mtekaji, muuaji anawezaje kuwa Malaika mbele ya Mungu? Nijibu
@aliciamwalimu582
@aliciamwalimu582 7 месяцев назад
@@jamesraphaelmdima4729 sasa umeulizwa?
@StewartUkason
@StewartUkason 6 месяцев назад
This is very serious...Mh Makonda endelea kupiga kazi. Mungu azidi kukutetea maana kazi hii si rahisi.
@ngugimundia6306
@ngugimundia6306 7 месяцев назад
Mimi mfuasi wa mh paul makonda tangia akiwa mkuu wa mkoa dar...hapa kenya 🇰🇪 tunatamani kua na mtu au cheo hiki...cha kuzikiza kero za wananchi...hongera tanzania 🇹🇿...
@mwarabumbarak4342
@mwarabumbarak4342 7 месяцев назад
Sonko
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 3 месяца назад
Huwezi apply hii system kenya. Kenya ni capitalist na Tanzania ni socialist ujamaa village.
@anorderick7162
@anorderick7162 3 месяца назад
KAKA kazi unayo ....! Ila Nguvu za Mungu wa kweli zitakulinda... Kaka ❤🎉
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 7 месяцев назад
Nawadhangaa watumishi wengine badala ya kujifunza na kupoga kazi wanajaribu kujisafishakwa kuponda kazi ya makonda bila hata aibu. Kama hawanaa ubavu wakes pembeni wamwache kuja a wa mungu achape kazi ya kimungu
@JoJo-xh7ph
@JoJo-xh7ph 7 месяцев назад
Samia aliona mbali sana kutuletea makonda
@asingizibwejacobkalokola7351
@asingizibwejacobkalokola7351 7 месяцев назад
Makonda Mungu akulinde maana Watendaji wa Serikari wamegeuka Mungu Watu. Tunakusubili Dar.
@KassimHanga-xr7rb
@KassimHanga-xr7rb 7 месяцев назад
Allah akbar hata tuwe na akina Makonda 1000 hatutatatua matatizo ya dhulma katika nchi hii ikiwa wale wanaofanya dhulma hawatachukuliwa hatua yoyote
@emmanuelmwatujobe8450
@emmanuelmwatujobe8450 7 месяцев назад
Umeona ehee
@adilimbuba7044
@adilimbuba7044 6 месяцев назад
Ni kweli kabisa
@DavidMuikia-l7w
@DavidMuikia-l7w 7 месяцев назад
Very impressive. Dr. Suluhu vision is excellent and beyond examples. A bulldozer layed the path, The finishing touches on that path are beyond redemption. Dr. Suluhu, watutoleya albu sisi wafrica. Your next mission is Africa Union president.
@Bombomaa
@Bombomaa 7 месяцев назад
w
@Worldunite
@Worldunite 7 месяцев назад
Angekuwa Gaddafi african Union president, but there's no such position
@nurdinkassim
@nurdinkassim 7 месяцев назад
Makonda viatu ulivyo Vaavinakutosha mungu akubariki saaaana simama na wanyonge mungu atakulipa
@willydugilo3258
@willydugilo3258 7 месяцев назад
Kaka mungu akupiganie!! Unajitahidi
@mkombozifreshoil
@mkombozifreshoil 7 месяцев назад
Laaah kumbe ahsante Mungu kumbe watetezi wa wanyonge bado wapo.
@juliusjoseph4889
@juliusjoseph4889 7 месяцев назад
Kwa staili hiii nchi imeozaaaaaa kabsa......watu wananyimwa haki zao huku taasisi za serikali zikizidi kuwalaghai watu kwa rushwaaaaa........MAKONDA ana kazi kubwa sana daaaaah
@josephwilliammnyune5464
@josephwilliammnyune5464 7 месяцев назад
Makonda upo peke yako. Unaona uozo huo. Je na viongozi wenzako wanauona?
@alexmatt9504
@alexmatt9504 7 месяцев назад
Big up Makonda,kazi tunaiona.Sasa cha muhimu hao wotendaji wote wa Serikali uliowashika na hayo makosa ya kutotimiza wajibu,kudhulumu wananchi,kutesa wananchi inabidi wapate adhabu kali ikiwa ni pamoja na kulipa fidia na ikiwezekana walipokosea kisheria wafunguliwe mashtaka na kufukuzwa kazi.Msiwaache hivi hivi kirahisi vinginevyo wengine baki wataigiza kwa sababu wataona hakuna hatua zinazochukuliwa kwa wakosaji.
@hemedmwipopo780
@hemedmwipopo780 7 месяцев назад
Mhe. Makonda manyanyaso yamezidi kwa wananchi iwe kazini hasa katika sekta binafsi huku ni mbaya mheshimiwa.
@adkajisi4536
@adkajisi4536 6 месяцев назад
Duh Pole ndugu
@ShanayaLeah2023
@ShanayaLeah2023 7 месяцев назад
Shirima amenyea kambi ya jeshi😂😂😂😂
@sabojanvierjaja2007
@sabojanvierjaja2007 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂😢🎉🎉😂😂😂
@MzunguNike
@MzunguNike 6 месяцев назад
Atachekechwa Mwaka huu😂😂😂
@MzunguNike
@MzunguNike 6 месяцев назад
Atachekechwa Shirima Mwaka huu😅😅😅
@charlesmillinga992
@charlesmillinga992 7 месяцев назад
Tunakuombea sana Mhe. Makonda. Mama kapata Chuma haswaaa. Piga kazi kaka. Watumishi tusiojipanga kwemye maeneo yetu, 😂😂😂 Moto Mwingine huooooo.
@kingelieshabani7235
@kingelieshabani7235 2 месяца назад
mweshimiwa MAKONDA unani bariki sanaaaa kwa hekima yako Mungu azidi kuku bariki naku ku lindaaaaaaaa
@ramadhanisalehe9681
@ramadhanisalehe9681 4 месяца назад
Katapila makonda huyu asee nakosa laha sana Pele ninapo muona naulizia mchache akae jukwaa lake na walizi wake hao watu viongozi wenzie asiwaamini ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@duncannjau1223
@duncannjau1223 3 месяца назад
Enchi Wa TZ, mshukuruni Mungu sana kwa sababu ya kazi njema ya Bw Makonda.
@Dorka12-n7b
@Dorka12-n7b 4 месяца назад
God fearing leader be blessed
@michaelmwalimu6057
@michaelmwalimu6057 7 месяцев назад
Mimi binafsi nampenda sana makonda, alipotoka kuwa mkuu wa mkoa na kuwa nje ya mfumo niliwaambia atarudi kwa nguvu kubwa Na mwaka 2024 niliwaambia watu kuwa mwaka huu kuna fagio litapita nchi nzima
@SaviorAfrica
@SaviorAfrica 7 месяцев назад
WEWE SIO NI goli kipa hujui kitu
@kuhaniPetroCn
@kuhaniPetroCn 7 месяцев назад
Hiyo Bwana Yesu asifiwe nimeipenda sana😄🙌🙏 makonda akaamua apige na Tenzi🙌
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 7 месяцев назад
Makonda iongezewe mda wa kazi.
@josephnjellah280
@josephnjellah280 7 месяцев назад
Mbona mabangoalisema,asiyaone wahusika wrote wamechukuliwa hatua gani?
@lizzyCoyi9307
@lizzyCoyi9307 7 месяцев назад
Makonda pole kaka hii kazi ningumu saa
@RobertMsaula
@RobertMsaula 7 месяцев назад
Ila li MAKONDAAA hili jamaaaa nomaaa lina ushawishi.. linapiga mpk nyimbo za dini😂😂😂
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 7 месяцев назад
Mama afanye mabadiliko haraka sana na mabadiliko yajayo yasiangalie mavyeti yao waangaliwe vijana Wazalendo wenye uchungu na Taifa letu TIS ilisadie Taifa letu uteuzi wa vimemo waachana navyo aisee
@josephjozack4635
@josephjozack4635 7 месяцев назад
Hongera sana Makonda MUNGU akubariki sana mtetezi wa wanyonge .2030 🤴
@monicagabriel4388
@monicagabriel4388 4 месяца назад
Heri wenye huruma kwa maana nao watahurumiwa.Hongera Mheshimiwa Mungu akujaze na Akutunze
@ZuberivijeruVijeru
@ZuberivijeruVijeru 7 месяцев назад
Mheshimiwa makonda pambana sana kazi unaweza tena sana mungu akutangulie
@AleiHadji-js3ed
@AleiHadji-js3ed 7 месяцев назад
Sidhani kama. Mwanasheria Mkuu atabakia Salama
@LEHALEI-w8f
@LEHALEI-w8f 7 месяцев назад
Mweshimwa mim natokea manyara wilaya ya kiteto natamani sana sana ufike kule kijijini kwetu kuona mambo yanayo tokea millard ayo mufikishe komenti hii kwa mwwnesi wa ccm watu wanaumia sana
@mwinshehenassib4853
@mwinshehenassib4853 6 месяцев назад
Miongoni mwa mafisadi wakubwa wa nchi hii ni watu wa wizara ya ardhi.
@wilbroadgrarcian1259
@wilbroadgrarcian1259 7 месяцев назад
Kazi ipooo watumishi waseme kama wanaonewaa
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 7 месяцев назад
Wasiopenda kazi za amonda walie tu kwa wivu. Kuja a Snapchat’s kazi si mchezo
@israelimarco6465
@israelimarco6465 7 месяцев назад
my God protect kiongozi wetu makonda Kuna mahali anaenda
@happypiusi3801
@happypiusi3801 7 месяцев назад
Makondaaaaaa upo na Mungu nakuombea kila siku natamani Hadi kulia 🙏
@MweriJoseph
@MweriJoseph 2 месяца назад
Ahsante sana RPC Paul makonda MUNGU aendelee kukubariki, kukulinda na kukupa afya njema utetee haki za wanyonge wewe hakika ndio roulmodel wa Rais John pombe magufuli because of their self sacrifice
@Worldunite
@Worldunite 7 месяцев назад
Makonda ukigombea urais, mi nitakuwa wakwanza kukupigia kura
@musa-v3f
@musa-v3f 7 месяцев назад
hamna haya ni maigizo tu hana uwezo wa kumsaidia mtu zaidi ya familia yake
@selemanindege9933
@selemanindege9933 7 месяцев назад
Matako yako​@@musa-v3f
@nuruurio8319
@nuruurio8319 7 месяцев назад
Snaweza ujesahau akiwa mkuu wa mkoa wa daresalam alivyokua anafanya vizur​@@musa-v3f
@WilliamDaniel-hm4cr
@WilliamDaniel-hm4cr 7 месяцев назад
Urais unafikiri matako
@Worldunite
@Worldunite 7 месяцев назад
@@WilliamDaniel-hm4cr hata wewe ukitia nia unaweza kugombea urais
@parkerheritier8179
@parkerheritier8179 3 месяца назад
kama ingewezekana Mkatuazima makonda akaja kwetu Congo aisee angeinyosha kikamilifu Mungu akubariki kweli wew nimtetezi wawanyonge natamani hatakulia kwakweli wananchii wanateseka sana
@NtinanirwaEgide
@NtinanirwaEgide Месяц назад
John pombe magufuli and paul makonda is the best ❤❤
@mengiiblahim4215
@mengiiblahim4215 7 месяцев назад
Makonda nakuombea kwamungu wewe mkombozi wawanyonge ❤❤
@danieljoseph4912
@danieljoseph4912 6 месяцев назад
Bless you my brother,nice dhuluma kila Konami,Mungo akutunze
@PeterDanson-ps9iq
@PeterDanson-ps9iq 3 месяца назад
Congo🇨🇩 tumebarikiwa kila kitu ila bado atuna kama makonda wa Tanzania
@bakaromar8865
@bakaromar8865 7 месяцев назад
Mm mwenyewe mb zangu zinaisha kila nikiweka kwa sababu ya kumfuatilia makonda huyu jamaa ni hatari sana
@fathimadaid3429
@fathimadaid3429 7 месяцев назад
Kwauongozi Tz sitaki uongozi Daa
@salimmalaka256
@salimmalaka256 7 месяцев назад
HAYA MAJITU YALIOWEKWA KUSAIDIA KUJENGA NCHI WAO WANAIBOMOWA NCHI UTADHANI YANAOMBWA PEPO NA WAO NDIO WAMILIKI WA HIYO PEPO KUMBE YANALIPWA MISHAHARA.SHENZI KABISA.
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 7 месяцев назад
Ukipewa nafasi yakusimamia watu tusiwe chanzo cha watu kufeli bali tuwe daraja
@HajiAliKhamis
@HajiAliKhamis 7 месяцев назад
mungu akupe maisha marefu makonda uishi uzeeke
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 3 месяца назад
Makonda Tz Mungu awainue wengine wengi wengi wakina makonda Mungu awasaidie na wakuu wa mikoa wengine
@christinamwakitwile5707
@christinamwakitwile5707 7 месяцев назад
Baba yetu makonda mungu akubariki sanaaaa
@Robust78
@Robust78 7 месяцев назад
Kweli upo gizani
@lawmaina78
@lawmaina78 7 месяцев назад
Mtu mmoja utazunguka nchi yote mpaka lini, muhimu sana kuboresha mifumo. Hebu angalia huko kwenye kandamnasi watu wamenyanyua mabango na makaratasi ya kero zao, Makonda hataweza kuongea na wote.
@SaviorAfrica
@SaviorAfrica 7 месяцев назад
HAITUSAIDII SISI TUNATAKA MAISHA BORA YATOKANAYO NA KATIBA SIYO MTU AKIONDOKA ANAONDOKA NAYO
@adkajisi4536
@adkajisi4536 6 месяцев назад
Ndugu umeongea point mnapiga hatua baadaye zinakuwa kama za mlevi.
@golebenson4597
@golebenson4597 4 месяца назад
Katiba ni maandishi tuu kama watu wenyewe ndio Hawa iyo katiba itafanya kazi yenyewe
@fezafataki5311
@fezafataki5311 3 месяца назад
Mungu akuweka Baba Maconda
@gfydfdf8869
@gfydfdf8869 7 месяцев назад
Da pole sana mama ,😮😮😮 huku urabuni,hakuna mambo kama hayo...
@AlbertThadeo
@AlbertThadeo 7 месяцев назад
Hivi Hawa watumishi mbona wanajisahau kiasi hicho hawajui kama Kuna kufa
@Robust78
@Robust78 7 месяцев назад
Siyo kwamba watumishi wanajisahau ila wao ndiyo wanasababisha watumishi WA umma wasiwatumikie wananchi kwakuwa huwapa maelekezo ya kuwaonea na kuwakandamiza wananchi.
@SylvesterMbago
@SylvesterMbago 7 месяцев назад
Hizi ni comedy kwenye maisha ya binadam mtwambie ni lini serikali itapunguza mfumuko wa bei kwenye bidhaa
@teachingtruthmission2140
@teachingtruthmission2140 7 месяцев назад
Lichi Lina mijitu ya hovyo sana .Yani Naomba Mungu ampe Nguvu Raisi atimue mijitu maofisini
@frederickmaringo8014
@frederickmaringo8014 7 месяцев назад
Very heartening. Mama poleni saana. God is Good.
@Yohana-b1b
@Yohana-b1b 7 месяцев назад
Pongezi mweshimiwa kwa kazi nzur
@feelNice-vi3lo
@feelNice-vi3lo 7 месяцев назад
Siasa haya endeleeni kwa hiyo 25 ni nyie tena kuumiza maisha magumu kikokotoo umeme maji yamejaa mno ya pasua umeme nguzo zimeoza wastafu mnawatunzia hela zao mungu bariki kazi za mikono yangu mwenye baya na mm anza na familia yake na mwisho malizana na yy mwenyewe
@JoslienShaban
@JoslienShaban 3 месяца назад
Nakupend Sana mweshimiwa na guswa Sana jaman
@Shukurukoll
@Shukurukoll 7 месяцев назад
Baadhi ya Maafisa wa Ardhi wasumbufu sana.
@felisterjoshuamollel3930
@felisterjoshuamollel3930 6 месяцев назад
My. Muhenezi Mungu akulinde Sanaaa ❤
@JacquilineNoah
@JacquilineNoah 7 месяцев назад
Mama mpaka kapata preshaaa 😂😂😂
@CatherineMbatta
@CatherineMbatta 4 месяца назад
Hapo Ardh kazi ipo ila katika mlima wa Bwana haki ya mtu itapatikana
@salmahanai
@salmahanai 4 месяца назад
Muheshimiwa makondo Mungu akupandishe darajà
@FRANCISRAHHI
@FRANCISRAHHI 2 месяца назад
Hongera makonda ubarikiwe baba
@gladnessboniventure5773
@gladnessboniventure5773 7 месяцев назад
Makonda upo kwenye dua zangu mungu akulinde akupiganie Kk
@josephwilliam4727
@josephwilliam4727 7 месяцев назад
Daah! Hatali sana kweli makonda kazi unayo
@buberwakemibaro6060
@buberwakemibaro6060 7 месяцев назад
Safi Sana Hawa wanfanyakazi serikalini wanawatesa watu Sana🙂👍👏
@RashidMichael-w1c
@RashidMichael-w1c 3 месяца назад
Good job.mkenya hapa tunahitaji kiongozi kama wwe Makonda
@GraceMhoja-zc7yg
@GraceMhoja-zc7yg 7 месяцев назад
Mungu mlinde makonda
@jacobnorbertchenga9465
@jacobnorbertchenga9465 7 месяцев назад
Makonda anawapatia anavyo waingizia hizi nyimbo za kikatoriki
@josephmusagasa
@josephmusagasa 7 месяцев назад
Hiyo ndiyo ccm imeleta shida Kila mahali hapa Tanzania. Hao wote Kila mtu ana shida na malalamiko,Nchi gani hii?
@daudimchileg307
@daudimchileg307 7 месяцев назад
Hii nchi bana kazi saana, CCM chama kimeisha kabisa, but kimebaki na watu wachache kama makonda.
@SalapionMujungu
@SalapionMujungu 7 месяцев назад
Mungu ni mwema
@sayuni123-kl6xk
@sayuni123-kl6xk 4 месяца назад
Hakika Magufuli amefufuka ,bado Mungu yupo pamoja na Tanzania Hakika Mungu anatupenda Tanzania
@JamilhaSelemani
@JamilhaSelemani 7 месяцев назад
God bless you Makonda mungu akutunze
@georgebundala1915
@georgebundala1915 7 месяцев назад
A lot of blessings to you Makonda.
@dorcasPhyuza
@dorcasPhyuza 4 месяца назад
Mungu anisadie ila wachnga siwapend.............
@KhalfanSalim-v1x
@KhalfanSalim-v1x 3 месяца назад
mueshimiwa makonda ukisha jua watu wanaoiba watie ndani miaka kumi kila anae dhurum jela
@003Watch
@003Watch 7 месяцев назад
Kwani Kenya hatuna kina makonda
@alexsimon5576
@alexsimon5576 7 месяцев назад
Mbona uyu mama ameniliza mimi??m3 mtu anakula??
@sadikidaudi460
@sadikidaudi460 7 месяцев назад
Saafi saana Mama umekua jasili haowatendaji walitaka kukukwepesha usiongee nauongozi wajuu pia Saafi saana Makonda pambania haki zawanyonge
@AlkhaAlkha-d4s
@AlkhaAlkha-d4s 7 месяцев назад
Baba tunakuomba mlinde huyu kiongozi wetu makonda ee mungu twakuomba utusikie
@JuliusMlengeswa
@JuliusMlengeswa 3 месяца назад
Hawa wamethubutu kuongea. Hakika kuna wengi wanaoonewa lakini wanaogopa kuongea kama huyu mama. Wakuu wa Mikoa mingine fuatilieni, msisubiri kuletewa taarifa na na ha watendaji waliowekwa
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 7 месяцев назад
Tamaa mbaya sana viongozi wa Serikali lizikeni na mnacho kipata ni Aibu sana wanatia aibu kwani mkitenda haki mkapewa Hasante kuna Shida gani???
@thomasjohn2554
@thomasjohn2554 7 месяцев назад
Ndo apo sasa waga nashangaa saaana
@adkajisi4536
@adkajisi4536 6 месяцев назад
@@thomasjohn2554 shida mtu posho na mshahara wake ni wakununua VTIZ lakini anataka apande PRADO ,harafu anasimamia mamilioni hapo kuiba lazima.
@talentshow2024
@talentshow2024 4 месяца назад
Miaka 4 kweli alafu kitu kinaweza kifanyika siku mmoja jamani
@happinesslema7264
@happinesslema7264 4 месяца назад
Mungu akutunze mkuu wa mkoa
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 7 месяцев назад
Hivi najiukiza watumishi wengine nao wangejituma Kama makonda hii nacho so ingekuwa paradiso? Hata mungu angetubariki sana
Далее
У КОТЕНКА ПРОБЛЕМА?#cat
00:18
Просмотров 745 тыс.
Лучше одной, чем с такими
00:54
Сколько стоит ПП?
00:57
Просмотров 217 тыс.
MADUDU YALIYOMNG'OA MAKONDA HAYA HAPA
8:27
Просмотров 84 тыс.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /45/ #love
20:10
Просмотров 157 тыс.
У КОТЕНКА ПРОБЛЕМА?#cat
00:18
Просмотров 745 тыс.