I don't know Swahili but this guy ambition is 🔥his politics are intact , he carries late magufuli leadership ideologies, rule by fear & religion , these ideologies are masterpiece in ruling people , build trust as well as motivate people to do full fill their responsibility as they fear of superior power
It is true but what you need to understand is what he is advocating for is the failure of their administration system. He belongs to causers of the existing problems. We need complete reforms in our country not dealing with problems by addressing public gathering. Otherwise there's no need of having government machinery or system.
@@jamesraphaelmdima4729Na kabla hajapigwa Lissu Risasi hukuonyeshwa aliyewatuma wampige Risasi?? Tuache unafiki Mungu ni wa wote hana ubaguzi. Mtu mwenye mikono yenye damu za watu, mtekaji, muuaji anawezaje kuwa Malaika mbele ya Mungu? Nijibu
Mimi mfuasi wa mh paul makonda tangia akiwa mkuu wa mkoa dar...hapa kenya 🇰🇪 tunatamani kua na mtu au cheo hiki...cha kuzikiza kero za wananchi...hongera tanzania 🇹🇿...
Nawadhangaa watumishi wengine badala ya kujifunza na kupoga kazi wanajaribu kujisafishakwa kuponda kazi ya makonda bila hata aibu. Kama hawanaa ubavu wakes pembeni wamwache kuja a wa mungu achape kazi ya kimungu
Very impressive. Dr. Suluhu vision is excellent and beyond examples. A bulldozer layed the path, The finishing touches on that path are beyond redemption. Dr. Suluhu, watutoleya albu sisi wafrica. Your next mission is Africa Union president.
Kwa staili hiii nchi imeozaaaaaa kabsa......watu wananyimwa haki zao huku taasisi za serikali zikizidi kuwalaghai watu kwa rushwaaaaa........MAKONDA ana kazi kubwa sana daaaaah
Big up Makonda,kazi tunaiona.Sasa cha muhimu hao wotendaji wote wa Serikali uliowashika na hayo makosa ya kutotimiza wajibu,kudhulumu wananchi,kutesa wananchi inabidi wapate adhabu kali ikiwa ni pamoja na kulipa fidia na ikiwezekana walipokosea kisheria wafunguliwe mashtaka na kufukuzwa kazi.Msiwaache hivi hivi kirahisi vinginevyo wengine baki wataigiza kwa sababu wataona hakuna hatua zinazochukuliwa kwa wakosaji.
Katapila makonda huyu asee nakosa laha sana Pele ninapo muona naulizia mchache akae jukwaa lake na walizi wake hao watu viongozi wenzie asiwaamini ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mimi binafsi nampenda sana makonda, alipotoka kuwa mkuu wa mkoa na kuwa nje ya mfumo niliwaambia atarudi kwa nguvu kubwa Na mwaka 2024 niliwaambia watu kuwa mwaka huu kuna fagio litapita nchi nzima
Mama afanye mabadiliko haraka sana na mabadiliko yajayo yasiangalie mavyeti yao waangaliwe vijana Wazalendo wenye uchungu na Taifa letu TIS ilisadie Taifa letu uteuzi wa vimemo waachana navyo aisee
Mweshimwa mim natokea manyara wilaya ya kiteto natamani sana sana ufike kule kijijini kwetu kuona mambo yanayo tokea millard ayo mufikishe komenti hii kwa mwwnesi wa ccm watu wanaumia sana
Ahsante sana RPC Paul makonda MUNGU aendelee kukubariki, kukulinda na kukupa afya njema utetee haki za wanyonge wewe hakika ndio roulmodel wa Rais John pombe magufuli because of their self sacrifice
HAYA MAJITU YALIOWEKWA KUSAIDIA KUJENGA NCHI WAO WANAIBOMOWA NCHI UTADHANI YANAOMBWA PEPO NA WAO NDIO WAMILIKI WA HIYO PEPO KUMBE YANALIPWA MISHAHARA.SHENZI KABISA.
Mtu mmoja utazunguka nchi yote mpaka lini, muhimu sana kuboresha mifumo. Hebu angalia huko kwenye kandamnasi watu wamenyanyua mabango na makaratasi ya kero zao, Makonda hataweza kuongea na wote.
Siyo kwamba watumishi wanajisahau ila wao ndiyo wanasababisha watumishi WA umma wasiwatumikie wananchi kwakuwa huwapa maelekezo ya kuwaonea na kuwakandamiza wananchi.
Siasa haya endeleeni kwa hiyo 25 ni nyie tena kuumiza maisha magumu kikokotoo umeme maji yamejaa mno ya pasua umeme nguzo zimeoza wastafu mnawatunzia hela zao mungu bariki kazi za mikono yangu mwenye baya na mm anza na familia yake na mwisho malizana na yy mwenyewe
Hawa wamethubutu kuongea. Hakika kuna wengi wanaoonewa lakini wanaogopa kuongea kama huyu mama. Wakuu wa Mikoa mingine fuatilieni, msisubiri kuletewa taarifa na na ha watendaji waliowekwa