Тёмный

MAONGEZI YA ANA KWA ANA KATI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN NA TIDO MHANDO 

Azam TV
Подписаться 2,7 млн
Просмотров 741 тыс.
50% 1

Maongezi ya ana kwa ana kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na Mkurugenzi Mkuu wa Azam Media, Tido Mhando.
#AzamTVUpdates #RaisSamiaNaTidoMhando #RaisSamia #TidoMhando #TidoMhandoIkulu

Опубликовано:

 

3 май 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1 тыс.   
@evaristmrope
@evaristmrope 2 года назад
Maongezi yamekuwa mazuri sana hongera sana ndugu Tido Mhando kwa kuendelea kuweka historia nzuri ya kufanya mahojiano mazuri na viongozi wakuu wa nchi
@boniphacewambura1427
@boniphacewambura1427 2 года назад
Evarist mrope Umeongea point sana ndugu 💪
@evaristmrope
@evaristmrope 2 года назад
@@boniphacewambura1427 asante sana kaka
@johnsonndegwa5945
@johnsonndegwa5945 4 месяца назад
Quite good kwa president Samia suluhu president Tanzania you're fearfully beautifully and wonderfully made by God's favor and grace
@SWAHILINATION
@SWAHILINATION 2 года назад
We need more journalists like you Tido, people who can ask difficult questions fearlessly. Well done Azam TV Hongera mama yetu! Well done with the Russia-Ukraine war that was a smart move indeed. Tunakuombea Mungu akutie nguvu uiongoze nchi yetu kwa uweledi mkubwa. May God protect you always. Hurray Tanzania 🇹🇿
@moa4122
@moa4122 2 года назад
Ameen Allahuma Ameen
@werun.1674
@werun.1674 2 года назад
That Mama Samia is granting this kind of interview without pre-determined questions, going by the kind of questions asked is exemplary. Tanzania is in good hands.
@nyandwiomar7683
@nyandwiomar7683 2 года назад
. X;c,,
@philojia2744
@philojia2744 2 года назад
Hongera mama samia kwa kazi nzuri mungu akujalie kuongoza nchi hii
@juliuskavumo1937
@juliuskavumo1937 2 года назад
@mansouraltamim
@mansouraltamim 2 года назад
Hongera sana Mama Samia Suluhu Hassan umefanya interview nzuri na umejibu masuali yote vizuri na kwa hekima kubwa sanaa. Mungu akulinde sana mama kila la kheir katika kujenga nchi yetu. Hongera snaa Mr. Tido Muhando kwa interview nzuri.
@prospermagali
@prospermagali 2 года назад
Mahojiano bora kabisa. Asante Azam, Asante Tido kwa kuuliza maswali yote muhimu...
@ziadiibrahim4665
@ziadiibrahim4665 2 года назад
Mungu ibariki Tanzania nchi yetu watanzania.wabariki viongozi wetu, wabariki pia Azam TV
@rizikally7594
@rizikally7594 2 года назад
Kila la kheri mama yetu Allah akupe afya njema na akuzidishie hekma na imani, tunakuamini sana
@user-gj2il6fo4t
@user-gj2il6fo4t 4 месяца назад
Mama endelea kuchapa kazi zaidi❤❤❤❤Tunakipenda,kujali na kuthamini. Juhudi unaifanya kwa kla sekta ili wananchi wanufaike . M.Mungu skype afya na umri mrefu pia kukuengezea hekima,ubunifu upole na huruma kwa wananchi wake.❤❤❤❤ Chapa kazi Kuheshimiwa Rais Samia.
@salumali9312
@salumali9312 2 года назад
Hongera Azam lakini hongera zaidi Mama yetu mpenzi. Wazanzibari tunajiproud sana. Kwa hakika unatuwakilisha vizuri sana. Allah akupe kheri na baraka nyingi.
@madukaj.j.6999
@madukaj.j.6999 2 года назад
Hongera Mhe. Rais niseme kwa mara ya kwanza na mm unaupiga mwingi. Tido Muhando wewe ni bonge la journalist na wengine waige kwako. Wewe ni mfano wa kuigwa
@mwanahawamohammed8540
@mwanahawamohammed8540 2 года назад
MashaAllah MashaAllah, Mwenyezi Mungu akupe nguvu InshaAllah Amina Thumma Amina
@rosebudkurwijila1092
@rosebudkurwijila1092 2 года назад
Well done Madame President. Very informative. Hongera Tido, maongezi mazuri sana
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 2 года назад
Du! Excellent Mr. Tido Muhando, Hawa ndio wabobezi wa Habari. Nimependa jinsi alivyoonza haya mahojiano. Jamaa lonajua.
@venantrugabela6798
@venantrugabela6798 2 года назад
Zamani Tiddo hakuwa hivi. Enzi akiwa BBC. Mtu angetoka jasho kila mahali
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 2 года назад
Ninakubaliana na wewe kuhusu hili. Ila kwa nini mama alivyo compare Tanzania na United States of America Tido hakumuambia mama kuwa do not compare United States of America na Tanzania. Hapo ndipo Tido alipokosea. Tanzania yetu 99% ni maskini. Mama huyu anatukosea sana! Watanzania.
@victormahimbo
@victormahimbo 2 года назад
Brother Tido umeupiga mwingi. Classic interview. Bado nakumbuka kazi yako nzuri RTD miaka ya 1970s ukiwa na fundi wako wa mitambo James Mhilu.
@waihura2039
@waihura2039 2 года назад
Good interview right there Tido. Me like that Mama. Kazi mzuri
@mbekurelaon8820
@mbekurelaon8820 2 года назад
Hongera Azam tv kwa mahojiano haya ya moja kwa moja na Rais Mmechagua gwiji wa habari hongera Mheshimiwa Tido Mhando Lakini kuna kazi inafanywa na watu wanao mwakilisha Rais Ngorongoro na Loliondo hatuamini Kama ni mama ndio amewagiza waje kutuonea Tunalia kwa sababu damu zilizomwagwa tukinyang'wa ardhi yetu Watumishi wanachonganisha wananchi na serikali ya Mama Samia
@mbwanakassim418
@mbwanakassim418 2 года назад
I am proud of my president,anajibu maswali kiufasaha,nikiongozi mwenye taarifa ya kila sekta ya uchumi,anatoa majibu sahihi kwa swali sahihi,anaeleza ukweli bila kupepesa ,ni jambo zuri sana wananchi tunapopata taarifa sahihi kutoka kwa kiongozi mkuu wa nchi,bravo mama Samia. Tido you are the best interviewer,relaxed and asking the right questions with discipline and integrity.
@raboymziki336
@raboymziki336 2 года назад
Kama unamuelewa Tido gonga like!!
@salimamoshi619
@salimamoshi619 2 года назад
Hongera sana kaka yangu Tido Mhando Kweli wewe ni gwiji Sijachoka naomba uwahoji viongozi wote from USA
@abuumatingasi1332
@abuumatingasi1332 2 года назад
Mama samia unatisha unaridhisha kwa majibu yako mm nimeshiba
@asilasaidsalim6138
@asilasaidsalim6138 3 месяца назад
Jaman mama kasha choka kuongea mpumzishe kwanza yuko taaban
@doramalisa2061
@doramalisa2061 2 года назад
Hongera sana mama, Kuna tatizo kwenye viwango vya ajali, ni changamoto kubwa Kuna vile kama miaka miwili imepita Hali ilikua shwari,
@charleshaule4008
@charleshaule4008 2 года назад
This is one among best production ever in Tanzania. Tido Mhando composed himself so well. Mama Samia's scope of knowledge and response skills towards challenging questions has been so high. I rate the whole thing GOLD medal as far as my journalism experience is concern.
@martinsntonyo8537
@martinsntonyo8537 2 года назад
It was a nice conversation between our president mama Samia suluhu Hassan and Tido mhando great responses indeed bravo madam president
@elizalutiga6287
@elizalutiga6287 2 года назад
Tido the Best Journalist 👍👍👍
@mitchellyt4649
@mitchellyt4649 2 года назад
Good interview atasijutii kumaliza bundle langu.. Mungu tulindie amani yetu
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 2 года назад
Mama Maneno machache kazi kubwa.ingefaa huo msemo utumike maana kwa aliemgundua mama anachapa kazi kubwa sana ila kimyakimya.welldone mama❤❤
@deogratiasmacha7646
@deogratiasmacha7646 2 года назад
Mzee Tido na kukubali sana Tokea Radio Tanzania hadi Leo,nimependa sana haya Maojiano yako na Rais Samia ni yaubunifu wa hali ya juu,Unaviwango vya hali ya juu kimataifa zaidi.
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 года назад
Kwa kweli haya mahojiano ni ya standard ya hali ya juu sana. Mazingira, hadhira mpaka ujumbe wenyewe. Waandishi wa habari wengine wajitahidi kuiga kwa Mh Tido Mhando, Mama Samia tunakushukuru kwa jitihada zako za kukuza nchi yetu, tunakuombea sana
@revocatuspaschael7177
@revocatuspaschael7177 2 года назад
Hongera sana mama tunaimani sana nawe
@magandajumanne8493
@magandajumanne8493 7 месяцев назад
😊😊
@mercynadia3140
@mercynadia3140 2 года назад
Waandishi wa habari kwa mtini jifunzeni, hongera sana Tido Mhando aisee this is the powerful interview ,
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 2 года назад
Hongera sana Mama kwa majibu mazuri kwa mwandishi m'bobezi Tido Mhando. Tanzania tunakuhitaji sana. Hakika nchi inahitaji katiba ibadilishwe ili Rais Mama Samia atawale kama alivyotutawala Rais wa kwanza hayati Maalim Julias Nyeyere.
@marianmartin7483
@marianmartin7483 2 года назад
Mzee Tido wewe ni gwiji wa habari. Hongera sana, mawali yako yanamsingi sana.
@shamimhayat7637
@shamimhayat7637 5 месяцев назад
Mnimeipenda sana hii interview mashaalah mama Samia hodari kujibu maswali
@philiposimioni2854
@philiposimioni2854 2 года назад
Asante sana mweshimiwa raisi kwa kuwaelezea uma kwa mahojiano mazuri na ndg tido
@binurusm8886
@binurusm8886 2 года назад
Mama, Binafsi Nakupongeza sana, Mwenyezi Mungu atakuinua na Kukulinda daima, URaisi wako Ni Mpango wa Mungu, Hukujaza fomu Kuomba URais, Mungu Ibariki Tanzania Yetu, Aamina.
@ismailally7212
@ismailally7212 2 года назад
Thank u mamaa
@driftdumper8927
@driftdumper8927 2 года назад
Very humble mama! I hate ccm with all my heart but this Woman give me hope! Lets Go we trust you!! Tuongoze kwa haki sisi kazi tutafanya!!
@harrietmalesi4222
@harrietmalesi4222 2 года назад
We thank God Mrs president You work is promising be blessed so much we are proud of you mother Care
@ruispeter7706
@ruispeter7706 2 года назад
Interview nzuri imetulia hongera sana Azam hongera Mzee Tido I get more
@doriteliapendoglorious1843
@doriteliapendoglorious1843 2 года назад
Delighted that such conversations are held. Well done Hon. SSH, Well done Azam TV!
@mwalimuseraphinokeywerah3871
@mwalimuseraphinokeywerah3871 2 года назад
Namwomba Mama Samia awe anaita mikutano mbalimbali kila baada ya miezi mitatu awe anaelezea haya aliyomweleza Tido hapa. Watanzania wote wasikie. Mawazo yake ni MAZURI SANA. Asipohutubia Watanzania watakuwepo watu wengi tu wanamsema bila kujua haya mawazo aliyonayo
@paterinomlowe8317
@paterinomlowe8317 2 года назад
Mama mungu akulinde upo vzr ukweli unaishi you answer is philosophical
@doricemalisa5712
@doricemalisa5712 2 года назад
Mungu atakusaidia tu Rais wetu ,utafanikiwa kwa kila jambo ninakuombea sana kila siku
@user-tp8fq9mb8e
@user-tp8fq9mb8e 2 месяца назад
Dear Mrs Samia Suluhu Hassan and as a politician, men and women from Africa especially East Africa where I come from, we ask us as young men and women.us and the next generation and the present generation not to just look away. I thank you very much and look forward to our positive unity East Africa from Somali capital Mogadishu Thank you family and friends we are one family and we must stay together work and help one another we Love africa ❤
@upendowakwelinaamani1060
@upendowakwelinaamani1060 2 года назад
Mungu baba mrehemu hayati John Joseph Magufuri kwa mzuri aliyotufanyia katika Taifa letu Tanzania kuhakikisha zoezi zima la kuhamia Ikulu ya Dodoma zoezi lililokua linapigwa danadana kwa miaka mingi lkn kimbe wako alihakikisha linatimia km alivyotangaza baba wa Taifa JK Nyerere. Tazama mandhali ya Ikulu Dodoma inavyopendeza Tanzania nchi yangu🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@mbimbikabanyanga6161
@mbimbikabanyanga6161 2 года назад
Kila nyumba /Kila familia inalia hali wanatamani mama samia ajiuzuru.Lakini hapa live wanamsifia mama kaupiga mwingi.Hii ndo tanzania yetu tunasifia kitu ukiludi nyumbani unasema hali ngum kila kitu kimepanda bei.
@pulikisia7963
@pulikisia7963 2 года назад
Dah!! Nilijua atamtaja na ku appreciate kazi aliyoifanya katika hili.😭😭
@yusufhemedyusuf3021
@yusufhemedyusuf3021 2 года назад
@@mbimbikabanyanga6161 wasukuma mnalia sasa coz sukuma gang limepigwa chini. Walio wengi waliteseka na huyo dikteta mwendazake. Nchi imepoa sasa.
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 года назад
@@pulikisia7963 Hiyo sio ya Magufuli ni ya Nyerere... CHAMWINO ni Nyerere na si Magufuli!
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 года назад
Haijajengwa na Magufuli hiyo. CHAMWINO ni Nyerere ndiye mjenzi wake! Ilijengwa tangu miaka ya 70.
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 2 года назад
Tido Mhando unamuuliza maswali mazuri,rushwa,madawa kulevya,anachenga sana
@annarathanthony5801
@annarathanthony5801 Год назад
Asante sana mama kwa kutuelewesha kama hivi nasi tunakuwa na Imani nawe pamoja na Uongozi wako kwa wananchi unaotuongoza mungu akupe moyo huo ukweli umeweka mtu huru kwa kimaadili
@SalasyaCK
@SalasyaCK 2 года назад
Kutoka Nairobi Kenya, nimeipenda haya mahojiano. Halafu pia Rais Samia hongera kwa uwazi wako Na kazi nzuri kwa Wanamuungano Wa Tanzania. Mungu akuzidishie.
@honomaria7279
@honomaria7279 2 года назад
Thank you our dear president. You are realy a visionary woman and I think this is the kind of a woman or a President we need for more other five years. Also your capacity of answering such great questions from such great man Tido Mhando.. what I m surprising is your knowledge of our country. Congratulation mama kaza mwendo. But the keen point is those you entrust responsibilities. Pay attention to those people
@victormahimbo
@victormahimbo 2 года назад
I support
@kadogojohn7643
@kadogojohn7643 2 года назад
Kwanza kabisa nawashukuru Azam Media kwa kuleta mahojiano haya muhimu naamini viongozi hawawezi kufanana katika kutengeneza mipango binafsi nina amini mh Rais anaweza kuyarekebisha mengi kulingana na namna anavyojibu maswali ya mwandishi anaonesha nia anayo ya kutufikisha pahala mwenyezi mungu akufanyie wepesi.
@hamisiramadhani3538
@hamisiramadhani3538 Год назад
Hongera sana mama mama analea tunashukuru sana mama Mimi mwananchi wa kaliua ninafurahia sana uongozi wako leo ninaona kila unachokisema unamwaga pesa kila kona ya Tanzania kwetu tumeona mradi wa barabara za mitaa mama nakuomba utuangalie na kwenye huduma ya maji kwetu maji tatizo
@bashirjabir6351
@bashirjabir6351 2 года назад
Mama samia suruhu hassan mimi binafsi nakushuru sana kwa majb mazuri kwa Tido umeotoa majibu mazuri mama yetu.
@joachimmbosha5796
@joachimmbosha5796 2 года назад
Hongera mh rais wetu, Mungu akujalie nguvu kutimiza majukumu ya Ujenzi wa. Taifa letu,,unandoto njema kwa watanzania.
@kasaisatv9765
@kasaisatv9765 2 года назад
Mahojiano bora kabisa. Hongera mama! Hii ndio maana ya uhuru wa vyombo vya habari. Hongera Tido kwa umahiri katika kazi yako.
@jeremiahmaina1764
@jeremiahmaina1764 Год назад
Rushwa imeongezeka maradufu has polisi
@nazraseiban1082
@nazraseiban1082 2 года назад
An exceptional interview...congrats to Mama samia and not forgetting Bw. Tido ! Keep it up mama Samia u make us proud🥰
@danmtuli9484
@danmtuli9484 2 года назад
Dunstan Tido mhando, one of my best Swahili speakers, used to like one of your shows in Kenya 🇰🇪 “ ulimwengu wa bwana reddy kilowatts “ baadaye akiwa mkuu wa idhaa ya BBC, great interview with mama Samia🇹🇿
@maigajohn5828
@maigajohn5828 7 месяцев назад
Mzee Tido hongera sana kwa interview huko vizuri sana hongera sana mtani
@Fefetubes
@Fefetubes 2 года назад
Mama we love you KUMBE WALIKUWA WANATUPOTOSHA HAWA KENGE
@dibamohamed6885
@dibamohamed6885 2 года назад
This is brilliant. Hard hitting questions and Mama answeres were impeccable and vivid. When our neighbours prosper we prosper..Wish her all the best inshaAllah
@godfreyvedastus4329
@godfreyvedastus4329 2 года назад
Huyu Mama ni Rais.... For sure mm nimepata elimu sana hapa.
@kabirigisaidi8253
@kabirigisaidi8253 2 года назад
Hongera sana Mama Samia, nakupenda, Unatia faraja sana. Mwanga unaonekana, Mungu akusimamie akuongoze vyema kwa hekima na utulivu usivimbe kichwa ukawa papa kwa kiburi. Nakupenda Rais wangu.
@trevisrodriguez7484
@trevisrodriguez7484 2 года назад
Sector ya madini kumbe inachangia 7% za pato la TAIFA serikali inapaswa kuongeza kuwatoza kodi hawa jamaa hii 7% bado wanatunyonya
@ephremmalley153
@ephremmalley153 2 года назад
One of the best interviews in our country which has rightly taken into account most areas of tanzanians' lives indiscriminately. I think this is due to a compitent journalist on one side and indisputably due to a good President who who is really determined to take our country a higher and better level. May God bless you Tido and mama Samia!
@SimbaM2kufu
@SimbaM2kufu 2 года назад
She’s a clown.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 года назад
Our lady was prepared as a leader. Shez has all the details of many sectors in our country. Great information which are on point and briefly insightful. She needs contest for this seat by the Will of God. Congrats mama Samia bindi yake Suluhu wa Hassan.
@catherinechifebe5800
@catherinechifebe5800 2 года назад
Asante Magufuli wetu kwa Kujenga ikulu hiyo......Mungu akulipe mema huko....Mama Yetu Kamilisha kazi mliyoianza na Mtangulizi wako
@mage5371
@mage5371 2 года назад
Mama Samia SHIKAMOO KUBWA, nakufurahia, nakupenda najivunia mno uwepo wako toka ndani ya moyo wangu. Mama u mkarimu una dini, una lugha laini na safi yakutoa nyoka pangoni👏🏼👏🏼
@shafiiabdallah1347
@shafiiabdallah1347 2 года назад
AMEKUA mkweli sana raisi amekua wazi kwa kila kitu hongera sana kwakutuambia kila kitu mungu akulinde na akupe nguvu
@safhe-mpungi6075
@safhe-mpungi6075 2 года назад
"Mguu wa kwenda Mtume kauombea"
@user-hp1le5wd6l
@user-hp1le5wd6l 3 месяца назад
Thanks your excellence for thy standard elaboration on our development
@jennywenu5506
@jennywenu5506 2 года назад
I wish to reach your confidence level Mr. Tido, hupepesi na hung'ang'anii majibu. Nice interview
@joezeno8
@joezeno8 2 года назад
Yuko vizuri journalist
@habibndyeshobora6848
@habibndyeshobora6848 2 года назад
Mama uko vizuri sana,na umenikosha zaidi kwa kuonyesha kiwango cha halo ya juu ,ya kujiamini na kuonyesha kiwango cha juu cha akili,kuchuja ,tafakuri, response of abrupt questions !!!!!! Congratulations Madame President !!!!!!!!!!!!
@harunamaboyi8937
@harunamaboyi8937 2 года назад
Honge raisi wetu wa afrika hongera sana
@sweetbertmaghali309
@sweetbertmaghali309 2 года назад
Mama uko vizuri tunazidi kukuombea.kwa Mola azidi kukulinda.Waangalie kwa jicho la huruma wastaafu.
@OnlyRuky
@OnlyRuky 2 года назад
Shikamoo mama Samia👌👌hujaniangusha na majibu ya Sintofahamu umejibu kwa uwazi this is my Eid present 2022💃
@petronchalangi1033
@petronchalangi1033 2 года назад
Interviews nzuri Sana ......tumejua mengi kuhusiana na uongozi wa Mama. Ila kwenye suala la mafuta ya kula nimesikia Mama umekiri Kuna changamoto ya Kodi tu mliingiza na ndicho kikapelekea kupanda kwa mafuta. Kama issue ni hiyo kwa nini msiondoe hiyo Kodi au kushusha mapema iwezekanavyo Ili kunusuru hii hali? Kuna vitu si vya kuchelewesha .....hali ni mbaya sana kwa wananchi huku. Na kingine kuwa makini Sana na watendaji wako wapo wanakulaghai Sana.
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 2 года назад
Binadamu mgumu hili la watendaji,ni watanzania kuwa wazalendo na uwaminifu na kupendana
@sunnysalim879
@sunnysalim879 2 года назад
ni kweli Anko Petro, hali si hali. Huruma ya Mungu na Mama inatakiwa ipite sasa
@mwanaimaali8151
@mwanaimaali8151 2 года назад
Asante mama, umeelezea vizuri, big up
@baraqbenny6040
@baraqbenny6040 2 года назад
Uncle Tido ASANTE SANA....Mungu akubariki. Nje na ujasiri wako,lakini pia umenisaidia sana kimtazamo kulingana na maswali yako ambayo yalikuwa ni maswali yangu na Taifa pia...acha tusubiri utekelezaji wa hayo majibu pia....ishi sana mjomba.
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 года назад
Hii iterview imekuwa nzuri sana. Tido kauliza maswali kiufundi na kitaalamu, na maswali yote ndiyo ambayo wananchi wengi tunajiuliza. Na Mpendwa Mama yetu Samia kayajibu vizuri. Mungu aendelee kumtunuku hekima, maarifa, utashi na afya njema ya mwilini na rohoni ili aendelee kutuongoza vyema. Tunatamani Tanzania ipae kiuchumi, kijamii na kimshikamano. Iwe nchi ya mfano barana afrika na dunia nzima
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 года назад
True
@doricemalisa5712
@doricemalisa5712 2 года назад
Mama hongera sana umeielezea vizuri halihalisi ya nchi yetu, unajua Mama mm nakupenda sana kwa kuwa unatueleza ukweli ili tusibweteke tufanye kazi
@ramsdenjames9782
@ramsdenjames9782 2 года назад
Ww ni mtumishi wa umma
@husseinyusuph5458
@husseinyusuph5458 2 года назад
@@ramsdenjames9782 Huyo ni chawa
@ramsdenjames9782
@ramsdenjames9782 2 года назад
@@husseinyusuph5458 inawezekana
@abuukamugisha5994
@abuukamugisha5994 2 года назад
Mama uwezo wake kujieleza kwa mambo makubwa umeongezeka sana,💪👏
@dannypeter4951
@dannypeter4951 Год назад
Hongera sana mama raisi wetu haya ni kati ya mahojiano Bora Bora zaidi,wewe ni kiongozi Bora umebarikiwa mungu akupe maisha marefu zaidi
@theresakabego3085
@theresakabego3085 2 года назад
Hongera Sana mama yet kwa kupigania maendeleo ya watanzania Mwenyezi mungu akupe maisha marrfu
@johnmagwila3002
@johnmagwila3002 2 года назад
Hongera saana Raisi wangu kipenzi mama Samia, ufafanuzi huu ni wa hali ya juu,ama kweli wewe ni kiongozi shupavu.Wewe ni kiongozi na kiongozi hupangwa na mungu,hivyo mungu amekuteua wewe ili uiongoze Tanazania kwa maarifa makubwa na weledi uliotukuka.Mimi kama mtanzania sijutii kukuona upo madarakani kwa wadhifa wa mwisho wa uraisi,maana unachapa kazi na hulali kwa kuona Watanzania wanapata maendeleo makubwa na maisha nafuu.Viva mama Samia,kidumu chama cha Mapinduzi.Ombi langu raisi wangu mahojiano haya na uzuri wa ikulu ya Dodoma yaingie kwenye filamu yetu pendwa ya TANZANIA THE ROYAL TOUR.
@tumsifudavid5887
@tumsifudavid5887 2 года назад
Hongera sana Mama Samia Raisi wetu. Mazigira mazuri. Hekima ya Mungu iendelee kukuhekemisha kwa Taifa letu..
@magigechambiri9562
@magigechambiri9562 2 года назад
Mama juuu ! Kidumu chama tawala.ufafanuzi ulioenda shule.
@MrMwebesa
@MrMwebesa 2 года назад
Brilliant Interview..
@nguvuyafikramedia1202
@nguvuyafikramedia1202 2 года назад
Masha allah interview iko vizr kwa kiwango cha kimataifa
@komboabduhaji5047
@komboabduhaji5047 4 месяца назад
Dah..! Yani mama nakuombea kwa Mungu akubarik sana katika uongezi wako kweli una nia safi kwa Watanzania
@willewairaqwillewairaq2353
@willewairaqwillewairaq2353 2 года назад
Mama yupo vizur🇹🇿 tanzania lazima isonge👏👏👏👏👏
@peterswai391
@peterswai391 2 года назад
Hongera Mhe Raisi Samia Suluhu hassan , God bless more,
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 Год назад
Hongera sana Mama kwa naongezi yako ya mafupi n Wazi
@ndeshukurwakaaya4385
@ndeshukurwakaaya4385 2 года назад
Mweshimiwa.Rais Samia Suluhu hakika ni mwarubaini kwa maswala ya nchi. HAKIKA MAMA TUNAYE. MWENYEZI MU GU AKUTUMIE UTUMIKIE WATU WA TAIFA TEULE TANZANIA. UZOEFU WAKO UNATIKISA NA KUSAWAZISHA HAKIKA. 👍
@paulmshana735
@paulmshana735 2 года назад
Mh.Rais kuusu Rushwa ipo wazi kila mahali😭
@allinmelele1536
@allinmelele1536 2 года назад
Brilliant mother
@abdoolmerlicqeid304
@abdoolmerlicqeid304 2 года назад
Excellent interview.I learned alot from it.
@salomeivorant3266
@salomeivorant3266 2 года назад
Appreciate your work Tido good interview 🙏🙏🙏
@henrymyinga9295
@henrymyinga9295 2 года назад
hongera Sana tido hongera Sana mama kwa kuelezea vizuri na mapokezi mazuri kwa mwandishi huyu mkongwe nimefurahishwa sana
@kadirdanfodio9359
@kadirdanfodio9359 2 года назад
Ni Mahojiano yakina na Mazur Asante Uncle TIDO
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 2 года назад
Our president is very intelligent, we are proud of her, she knows what she is exactly doing, she will lift our nation somewhere higher than here.Congratulations madam president we are behind you.
@TheFire_Gamer
@TheFire_Gamer 2 года назад
Mafuta na chakula vikipanda bei na mishahara izidi
@haroldtarimo3115
@haroldtarimo3115 2 года назад
Naiona future bora Kwa nchi yetu katika miaka ijayo tumpe Mama muda tuone matokeo Big up sana Mama yetu
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 2 года назад
Akae mpaka achoke mwenyewe ah ah ah
@rafikiwildlife4263
@rafikiwildlife4263 2 года назад
Tupo pamoja na Serikali, nimekuelewa sana Mama. Hongera sana.
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 2 года назад
yani nimenogewa kusikiliza mpaka mwisho interviw nzuri sana.Tido safi, Mama Safi.
@bonosaugustine6545
@bonosaugustine6545 2 года назад
I love you mom ,Mungu akulinde Mama tunaimani na wewe
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 2 года назад
Please love tozo pia , na bei ya mafuta ya kula, mafuta ya taa , petrol ⛽ 😘
@annaluganha7021
@annaluganha7021 2 года назад
Mnaimani na nani? Jisemee Nafsi yako wewe mwenyewe.
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 года назад
Changamoto ni maisha, hazikosekani,,, Tuna imani na Ww SSH... Mungu aendelee kukusaidia, uongoze Nchi kwa hekima yake!
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 2 года назад
Kwa mara ya kwanza nimepata ufafanuzi juu ya nchi yangu, siku zote kelele zinakuwa nyingi nasi tunafuata tu, ila leo nitakuwa mtulivu kusubir matokeo ya aliyo yasema
@stevenmaketa8051
@stevenmaketa8051 2 года назад
Kweli kabisa
@issakawaya8315
@issakawaya8315 2 года назад
Allah akulinde mama yetu tuna kiongozi mkweli inshaallah Allah akuzidishishe afya
@sunnysalim879
@sunnysalim879 2 года назад
na mm mwenyewe nimejifunza kitu habib
@petroemanuel4755
@petroemanuel4755 2 года назад
Mimi napeda Sana kumusikiliza mama maana huwa anatutia guvu kiutafutachi
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri 2 месяца назад
Hongera sana Mhe Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu jamani mpenzi wangu jamani samahani kama nakosea mwenyewe umejitolea kutubeba na kutuhangaikia iktaifa na kimataifa kiasi cha kupata digree 4 za Udaktari jamani jamani Madamu Rais hakika hongera sana tunakukubali
@Ba63828
@Ba63828 2 года назад
Ndg Tido ameuliza swali zuri sana juu ya safari za Mama ambapo know much wanampiga madongo lakini Mama akalijibu vizuri sana afterall riziki ipo miguuni. Pamoja sana Mama wacha waseme hata ukikaa tuli Ikulu watakuzulia lingine.
@melkisedekkaijage2777
@melkisedekkaijage2777 2 года назад
A very brilliant interview ever from one of the most experienced journalist. Great Tido. Congole our beloved mom
@edsonmbilinyi8551
@edsonmbilinyi8551 2 года назад
Well done Tido! I appreciate AZAM media
@salminahmad1540
@salminahmad1540 4 месяца назад
Safi Sana mama yangu rais una majibu ya busara Sana Allah akulinde
@nassorshaaban7295
@nassorshaaban7295 2 года назад
Allah akuhifadhi Mamaetu Hakika najivunia Sana kuwa na Daisi mkweli km Samia Suluhu
@hamadfaki7625
@hamadfaki7625 2 года назад
Ndio mana na kupenda mama nakuamin sana Allah akubariki ufanikishe malengo yako
@kiloposimba2012
@kiloposimba2012 2 года назад
Great interview u cover all the things that people want to know Mama Samia ur great leader with a lot of wisdom I’m very proud of you Blessings b upon u
@sikuchachekazikubwa5603
@sikuchachekazikubwa5603 2 года назад
Safi sana. Kiongozi ana siri nyingi
@jelasnkoma4240
@jelasnkoma4240 2 года назад
The best interview ever..! Bigup Rais wangu kwa hili umeupiga mwingi sana ndio tunachotaka Watanzania majawabu ya mambo magumu...mitano tena
@alielweston7696
@alielweston7696 2 года назад
Unguruma mama mambo ni mazuri, hizi kelele za chura zisitutishe
Далее
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Просмотров 11 млн
Back to the Moon - Part 2
55:34
Просмотров 2,7 тыс.