Maongezi ya ana kwa ana kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na Mkurugenzi Mkuu wa Azam Media, Tido Mhando. #AzamTVUpdates #RaisSamiaNaTidoMhando #RaisSamia #TidoMhando #TidoMhandoIkulu
We need more journalists like you Tido, people who can ask difficult questions fearlessly. Well done Azam TV Hongera mama yetu! Well done with the Russia-Ukraine war that was a smart move indeed. Tunakuombea Mungu akutie nguvu uiongoze nchi yetu kwa uweledi mkubwa. May God protect you always. Hurray Tanzania 🇹🇿
That Mama Samia is granting this kind of interview without pre-determined questions, going by the kind of questions asked is exemplary. Tanzania is in good hands.
Hongera sana Mama Samia Suluhu Hassan umefanya interview nzuri na umejibu masuali yote vizuri na kwa hekima kubwa sanaa. Mungu akulinde sana mama kila la kheir katika kujenga nchi yetu. Hongera snaa Mr. Tido Muhando kwa interview nzuri.
Mama endelea kuchapa kazi zaidi❤❤❤❤Tunakipenda,kujali na kuthamini. Juhudi unaifanya kwa kla sekta ili wananchi wanufaike . M.Mungu skype afya na umri mrefu pia kukuengezea hekima,ubunifu upole na huruma kwa wananchi wake.❤❤❤❤ Chapa kazi Kuheshimiwa Rais Samia.
Hongera Azam lakini hongera zaidi Mama yetu mpenzi. Wazanzibari tunajiproud sana. Kwa hakika unatuwakilisha vizuri sana. Allah akupe kheri na baraka nyingi.
Hongera Mhe. Rais niseme kwa mara ya kwanza na mm unaupiga mwingi. Tido Muhando wewe ni bonge la journalist na wengine waige kwako. Wewe ni mfano wa kuigwa
Ninakubaliana na wewe kuhusu hili. Ila kwa nini mama alivyo compare Tanzania na United States of America Tido hakumuambia mama kuwa do not compare United States of America na Tanzania. Hapo ndipo Tido alipokosea. Tanzania yetu 99% ni maskini. Mama huyu anatukosea sana! Watanzania.
Hongera Azam tv kwa mahojiano haya ya moja kwa moja na Rais Mmechagua gwiji wa habari hongera Mheshimiwa Tido Mhando Lakini kuna kazi inafanywa na watu wanao mwakilisha Rais Ngorongoro na Loliondo hatuamini Kama ni mama ndio amewagiza waje kutuonea Tunalia kwa sababu damu zilizomwagwa tukinyang'wa ardhi yetu Watumishi wanachonganisha wananchi na serikali ya Mama Samia
I am proud of my president,anajibu maswali kiufasaha,nikiongozi mwenye taarifa ya kila sekta ya uchumi,anatoa majibu sahihi kwa swali sahihi,anaeleza ukweli bila kupepesa ,ni jambo zuri sana wananchi tunapopata taarifa sahihi kutoka kwa kiongozi mkuu wa nchi,bravo mama Samia. Tido you are the best interviewer,relaxed and asking the right questions with discipline and integrity.
This is one among best production ever in Tanzania. Tido Mhando composed himself so well. Mama Samia's scope of knowledge and response skills towards challenging questions has been so high. I rate the whole thing GOLD medal as far as my journalism experience is concern.
Mzee Tido na kukubali sana Tokea Radio Tanzania hadi Leo,nimependa sana haya Maojiano yako na Rais Samia ni yaubunifu wa hali ya juu,Unaviwango vya hali ya juu kimataifa zaidi.
Kwa kweli haya mahojiano ni ya standard ya hali ya juu sana. Mazingira, hadhira mpaka ujumbe wenyewe. Waandishi wa habari wengine wajitahidi kuiga kwa Mh Tido Mhando, Mama Samia tunakushukuru kwa jitihada zako za kukuza nchi yetu, tunakuombea sana
Hongera sana Mama kwa majibu mazuri kwa mwandishi m'bobezi Tido Mhando. Tanzania tunakuhitaji sana. Hakika nchi inahitaji katiba ibadilishwe ili Rais Mama Samia atawale kama alivyotutawala Rais wa kwanza hayati Maalim Julias Nyeyere.
Mama, Binafsi Nakupongeza sana, Mwenyezi Mungu atakuinua na Kukulinda daima, URaisi wako Ni Mpango wa Mungu, Hukujaza fomu Kuomba URais, Mungu Ibariki Tanzania Yetu, Aamina.
Namwomba Mama Samia awe anaita mikutano mbalimbali kila baada ya miezi mitatu awe anaelezea haya aliyomweleza Tido hapa. Watanzania wote wasikie. Mawazo yake ni MAZURI SANA. Asipohutubia Watanzania watakuwepo watu wengi tu wanamsema bila kujua haya mawazo aliyonayo
Dear Mrs Samia Suluhu Hassan and as a politician, men and women from Africa especially East Africa where I come from, we ask us as young men and women.us and the next generation and the present generation not to just look away. I thank you very much and look forward to our positive unity East Africa from Somali capital Mogadishu Thank you family and friends we are one family and we must stay together work and help one another we Love africa ❤
Mungu baba mrehemu hayati John Joseph Magufuri kwa mzuri aliyotufanyia katika Taifa letu Tanzania kuhakikisha zoezi zima la kuhamia Ikulu ya Dodoma zoezi lililokua linapigwa danadana kwa miaka mingi lkn kimbe wako alihakikisha linatimia km alivyotangaza baba wa Taifa JK Nyerere. Tazama mandhali ya Ikulu Dodoma inavyopendeza Tanzania nchi yangu🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kila nyumba /Kila familia inalia hali wanatamani mama samia ajiuzuru.Lakini hapa live wanamsifia mama kaupiga mwingi.Hii ndo tanzania yetu tunasifia kitu ukiludi nyumbani unasema hali ngum kila kitu kimepanda bei.
Asante sana mama kwa kutuelewesha kama hivi nasi tunakuwa na Imani nawe pamoja na Uongozi wako kwa wananchi unaotuongoza mungu akupe moyo huo ukweli umeweka mtu huru kwa kimaadili
Kutoka Nairobi Kenya, nimeipenda haya mahojiano. Halafu pia Rais Samia hongera kwa uwazi wako Na kazi nzuri kwa Wanamuungano Wa Tanzania. Mungu akuzidishie.
Thank you our dear president. You are realy a visionary woman and I think this is the kind of a woman or a President we need for more other five years. Also your capacity of answering such great questions from such great man Tido Mhando.. what I m surprising is your knowledge of our country. Congratulation mama kaza mwendo. But the keen point is those you entrust responsibilities. Pay attention to those people
Kwanza kabisa nawashukuru Azam Media kwa kuleta mahojiano haya muhimu naamini viongozi hawawezi kufanana katika kutengeneza mipango binafsi nina amini mh Rais anaweza kuyarekebisha mengi kulingana na namna anavyojibu maswali ya mwandishi anaonesha nia anayo ya kutufikisha pahala mwenyezi mungu akufanyie wepesi.
Hongera sana mama mama analea tunashukuru sana mama Mimi mwananchi wa kaliua ninafurahia sana uongozi wako leo ninaona kila unachokisema unamwaga pesa kila kona ya Tanzania kwetu tumeona mradi wa barabara za mitaa mama nakuomba utuangalie na kwenye huduma ya maji kwetu maji tatizo
Dunstan Tido mhando, one of my best Swahili speakers, used to like one of your shows in Kenya 🇰🇪 “ ulimwengu wa bwana reddy kilowatts “ baadaye akiwa mkuu wa idhaa ya BBC, great interview with mama Samia🇹🇿
This is brilliant. Hard hitting questions and Mama answeres were impeccable and vivid. When our neighbours prosper we prosper..Wish her all the best inshaAllah
Hongera sana Mama Samia, nakupenda, Unatia faraja sana. Mwanga unaonekana, Mungu akusimamie akuongoze vyema kwa hekima na utulivu usivimbe kichwa ukawa papa kwa kiburi. Nakupenda Rais wangu.
One of the best interviews in our country which has rightly taken into account most areas of tanzanians' lives indiscriminately. I think this is due to a compitent journalist on one side and indisputably due to a good President who who is really determined to take our country a higher and better level. May God bless you Tido and mama Samia!
Our lady was prepared as a leader. Shez has all the details of many sectors in our country. Great information which are on point and briefly insightful. She needs contest for this seat by the Will of God. Congrats mama Samia bindi yake Suluhu wa Hassan.
Mama Samia SHIKAMOO KUBWA, nakufurahia, nakupenda najivunia mno uwepo wako toka ndani ya moyo wangu. Mama u mkarimu una dini, una lugha laini na safi yakutoa nyoka pangoni👏🏼👏🏼
Mama uko vizuri sana,na umenikosha zaidi kwa kuonyesha kiwango cha halo ya juu ,ya kujiamini na kuonyesha kiwango cha juu cha akili,kuchuja ,tafakuri, response of abrupt questions !!!!!! Congratulations Madame President !!!!!!!!!!!!
Interviews nzuri Sana ......tumejua mengi kuhusiana na uongozi wa Mama. Ila kwenye suala la mafuta ya kula nimesikia Mama umekiri Kuna changamoto ya Kodi tu mliingiza na ndicho kikapelekea kupanda kwa mafuta. Kama issue ni hiyo kwa nini msiondoe hiyo Kodi au kushusha mapema iwezekanavyo Ili kunusuru hii hali? Kuna vitu si vya kuchelewesha .....hali ni mbaya sana kwa wananchi huku. Na kingine kuwa makini Sana na watendaji wako wapo wanakulaghai Sana.
Uncle Tido ASANTE SANA....Mungu akubariki. Nje na ujasiri wako,lakini pia umenisaidia sana kimtazamo kulingana na maswali yako ambayo yalikuwa ni maswali yangu na Taifa pia...acha tusubiri utekelezaji wa hayo majibu pia....ishi sana mjomba.
Hii iterview imekuwa nzuri sana. Tido kauliza maswali kiufundi na kitaalamu, na maswali yote ndiyo ambayo wananchi wengi tunajiuliza. Na Mpendwa Mama yetu Samia kayajibu vizuri. Mungu aendelee kumtunuku hekima, maarifa, utashi na afya njema ya mwilini na rohoni ili aendelee kutuongoza vyema. Tunatamani Tanzania ipae kiuchumi, kijamii na kimshikamano. Iwe nchi ya mfano barana afrika na dunia nzima
Hongera saana Raisi wangu kipenzi mama Samia, ufafanuzi huu ni wa hali ya juu,ama kweli wewe ni kiongozi shupavu.Wewe ni kiongozi na kiongozi hupangwa na mungu,hivyo mungu amekuteua wewe ili uiongoze Tanazania kwa maarifa makubwa na weledi uliotukuka.Mimi kama mtanzania sijutii kukuona upo madarakani kwa wadhifa wa mwisho wa uraisi,maana unachapa kazi na hulali kwa kuona Watanzania wanapata maendeleo makubwa na maisha nafuu.Viva mama Samia,kidumu chama cha Mapinduzi.Ombi langu raisi wangu mahojiano haya na uzuri wa ikulu ya Dodoma yaingie kwenye filamu yetu pendwa ya TANZANIA THE ROYAL TOUR.
Mweshimiwa.Rais Samia Suluhu hakika ni mwarubaini kwa maswala ya nchi. HAKIKA MAMA TUNAYE. MWENYEZI MU GU AKUTUMIE UTUMIKIE WATU WA TAIFA TEULE TANZANIA. UZOEFU WAKO UNATIKISA NA KUSAWAZISHA HAKIKA. 👍
Our president is very intelligent, we are proud of her, she knows what she is exactly doing, she will lift our nation somewhere higher than here.Congratulations madam president we are behind you.
Kwa mara ya kwanza nimepata ufafanuzi juu ya nchi yangu, siku zote kelele zinakuwa nyingi nasi tunafuata tu, ila leo nitakuwa mtulivu kusubir matokeo ya aliyo yasema
Hongera sana Mhe Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu jamani mpenzi wangu jamani samahani kama nakosea mwenyewe umejitolea kutubeba na kutuhangaikia iktaifa na kimataifa kiasi cha kupata digree 4 za Udaktari jamani jamani Madamu Rais hakika hongera sana tunakukubali
Ndg Tido ameuliza swali zuri sana juu ya safari za Mama ambapo know much wanampiga madongo lakini Mama akalijibu vizuri sana afterall riziki ipo miguuni. Pamoja sana Mama wacha waseme hata ukikaa tuli Ikulu watakuzulia lingine.
Great interview u cover all the things that people want to know Mama Samia ur great leader with a lot of wisdom I’m very proud of you Blessings b upon u