Тёмный
No video :(

MAPYA YAIBUKA KIFO CHA MEMBE: USALAMA WA TAIFA WATAJWA/ ALITAMANI MAKUBWA/ NI HATARI TUNAKOKWENDA! 

Dar24 Media
Подписаться 730 тыс.
Просмотров 81 тыс.
50% 1

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#nyerere #membe #tanzania

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 37   
@Tango696
@Tango696 Год назад
Uko vizuri kaka.
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 Год назад
Zamani Ujasusi ulifanyika kisiri sana,wala haukuwahi kuwaletea hofu watanzania Bali usalama ulikua mkubwa kwasababu uovu ulithibitiwa kabla ya kutekelezwa waivu walitiwa nguvuni. Kila idara na mkusanyiko,makazini, palikua na jasusi. Leo hii ujasusi umekua tishio,uko kisiasa zaidi, unatumika kukomoa watu kwa itikadi zao,au mawazo mbadala badala ya kuzuia biashara haramu,ugeni haramu,na kulinda usalama wa ndani ya nchi!
@miye2215
@miye2215 Год назад
Sio kweli, basi utakuwa haujui kuhusu ujasusi. Kama ujasusi ungekuwa umepoteza dira yake basi hata nchi isingekuwepo tena. Hakuna nchi inaweza kuendelea kuwepo na kutawalika kama hakuna ujasusi au umepoteza, hakuna mtu anajua kuhusu ujasusi wa nchi hata jasusi mwenyewe hakuna anachojua nje ya kile anachoagizwa kufanya na kazi yake.
@andrewlimbe-vo8tg
@andrewlimbe-vo8tg Год назад
Ck hz vijana weng usalama wa taifa hupenda sifa,,hii n shida sana
@khajiussi6588
@khajiussi6588 Год назад
So kweli.
@jkifutu7936
@jkifutu7936 Год назад
Nakukubali sana bullaza
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 8 месяцев назад
Bullaza 😅😅😅
@Baso1968
@Baso1968 Год назад
Ndugu zangu tupeane vyeo kindugu kila sehemu ila Usalama wa taifa tuogope sana ila kulinda sera za chama tawala na wananchi. 😢
@lujobilz7482
@lujobilz7482 Год назад
💪
@sjosephmashany-eu6rf
@sjosephmashany-eu6rf Год назад
Maswala ya kiusalama si vema kuyaweka wazi kwa sababu mtu anapokufahamu siyo rahisi kukupa tarifa za kihalifu au kiuhatalishi katika nchi pia watu hawatakuwa marafiki na hawatakupa taarifa pia kujiweka wazi kunahatarisha usalama wa mtoa taarifa na mpokea taarifa .pia combo cha usalama nibora kiwajibike kisiri na uwazi
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Год назад
Upo sahihi kabisaaa. It's confidential
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 Год назад
Mbona huyu anafanana na Hayati Nyerere?
@wakwetu2444
@wakwetu2444 4 месяца назад
Ni kweli wa Hindi ni wabinifu wa Biashara.
@BetreceTimoth-dd7lw
@BetreceTimoth-dd7lw Год назад
Mmmmh
@amenmushi5945
@amenmushi5945 Год назад
Poleni
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Год назад
huyu jamaa muongo muongo snaa😅😅😅
@saidyussuf2291
@saidyussuf2291 Год назад
Hhhhh kwann
@dicksonwanyama1689
@dicksonwanyama1689 Год назад
Sana
@flova7022
@flova7022 Год назад
Hahahahahaha
@bizmangwimo5823
@bizmangwimo5823 Год назад
Aende2
@machoguhamery3731
@machoguhamery3731 Год назад
Damu ni nzito kuliko maji; hujui hilo?
@ramlaibrahimu-zw5hr
@ramlaibrahimu-zw5hr Год назад
Jaman me nataman Chama pizani wachukuwe nchi jamaniiiiiiiiii
@anytime5685
@anytime5685 Год назад
Imeisha hiyo vijana wa sasa wanasema Muda ni shahidi mwaminifu
@zamberimturi5593
@zamberimturi5593 Год назад
Haka kajamaa kako vizuri kwa kuelezea
@nestor384
@nestor384 Год назад
Hii umaajabu wa membe uko wapi jamani
@meshackbinde1944
@meshackbinde1944 Год назад
Huyu jamaa kweli anafahamu sana masuala ya kijasusi, anafafanua hasa Kwa wasiojua masuala haya!
@bethkatunx7677
@bethkatunx7677 Год назад
Du wanadamu wanadamu tu subili histolia itaongea hata kama hatutakuwepo sote kwa hili mungu yu juu ya yote mweza Wa yote
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 Год назад
Yaani Kwanza Nicheke tu..😅😅yaani Intelligent kujianika..hivi hivi..? Maadili ya wapi haya labda huko dunia ya 30...
@honestlebisa1373
@honestlebisa1373 Год назад
Umesau krimu inayo aminika GPM
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 Год назад
Kweli alikua mtaalamu hasa mazungumzo ya kijasusi
@wakwetu2444
@wakwetu2444 4 месяца назад
Hatuwezi kuepuka mageuzi.
@jumaamartin7929
@jumaamartin7929 Год назад
wanazengo huyu jamaa ni mjukuu wa hayat mwalimu nyerere?au ndio hivo tena binadam tuna kufanana.
@machoguhamery3731
@machoguhamery3731 Год назад
Hana uhusiano wowote na Mwalimu kindugu
@mamachacha6478
@mamachacha6478 Год назад
Mtangazaji huulizi maswali Bali unapiga soga maneno meeengi.
@denismugisha2
@denismugisha2 Год назад
Sasa unataka kutuambia wewe una elimu hiyo ya usalama??
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Год назад
RIP MEMBE MTAALAM WA MIKAKATI. AKA JASUSI
@yazidusaidi8843
@yazidusaidi8843 Год назад
Yericko Mbinguni na Ahera unapajua wewe?😀😃😄, acha basi kusimulia kama wale matranslator wa video za vibanda umiza🤣😂, hatahivyo, nafurahia masimulizi na uchambuzi wako👋
Далее
Throwing Swords From My Blue Cybertruck
00:32
Просмотров 11 млн
🫢 #tiktok #elsarca
00:11
Просмотров 4,1 млн
3d printed demon core vs real
00:24
Просмотров 6 млн