Tatizo mtasajili sana ila shida itabaki pale pale....kutokaa na makocha muda mrefu...mnafukuza sana makocha uvyo wachezaji kila mara maelekezo mapya angalieni mnazidiwa na azam kocha wao kakaa muda mrefu ndiposa Azam inakua ni team nzuri maana kicha Double amekaa na team kwa muda akaweza kuwaelewa wa Chezaji sasa simba inasajilibila maelekezo ya kocha ila niusajili wakuwatuliza mashabiki haya tuone nini kitajili
Sema utani wa jadi mtamu acha nisubiri baada ya dakika 90' ndio niongee. Sijui msimu utaanza lini nione hii team inayosifiwa na Madunduka ikoje. Nitafurahi kuona ball ikitembea huku team zote mbili zikiwa sawa.