@@rayisadesigns2646 nisawa wewe utafute pesa ukajenge nyumba alafu fundi aandike jina lake kwasababu yeye ndio amejenga. Hizo si ni dharau. They have to acknowledge walipakodi wote.
Nasisitiza kila mmoja ahakikishe tunavitunza vizuri sana sana sana vifaa vyote na tuache hujumaaaa na mambo ya kipumbavu kuharibu treni hii. Hongera sana Serikali na wananchi wooooooteeeee.
Safi sana. Kwakweli mmekuwa wazalendo na mmefanya ubunifu wa hali ya juu. Nashauri zijazo ziitwe: Kikwete Express, Mwinyi Express, Mwananchi Express, Mlipakodi Express, Mpango Express, Majaliwa Express, Sokoine Express. NB: Mwinyi Express ni kwa ajili ya kumuenzi Mzee wetu Ruksa pamojanna kuthamini mchango wa mwanaye ambaye ni Raisi wa Zanzibar kwa sasa. Naipenda sana Tanzania yangu. Mama Samia tunakuombea sana. Piga kazi, tuko nyuma yako.
Congratulations 255 🇹🇿🇹🇿.nilitumia hii treni kwenda morogoro na kwa ukweli safari ni nyororo sana 🔥✅✅ I hope in the future hii reli itafika Arusha. Mimi kama jirani nawapongeza sana 🙌🏾🇰🇪
WAKATI WATZ WANAPIGA HATUA MOJA MBELE, NDUGU ZAO WAKENYA WANAICHOMA NAIROBI YAO ILI WAANZE TENA HATUA MOJA NYUMA... HUZUNI SANA, AFRIKA INASIKITISHA SANA!!
Congrats...tunaomba mtupe siku moja a full interior tour ya moja ya EMU's ..nadhani kuna ambazo zina premium classses, comfort flani, comfortable seats, Rest Rooms zikoje, nadhani kuna vending machines pia, Madaraja pia yakoje... nakadhalika. Ni prid ya watanzania wote hii.
Ingependeza zaidi kuwaenzi Mahayati Rais wetu waliotangulia mbele za haki kwa kufuata mtiriko wa namba, kama namba moja ni Nyerere Express, basi namba mbili ingekua Mwinyi Express, namba tatu Mkapa Express Afu hao wengine wanafuata kutokana mtiririko waliokaa madarakani. Ni maoni yangu tu.
@@godlistenmnkeni2454 naamini yanahitajika ndio maana yalinunuliwa.. au unaposema yatakapohitajika unaanisha hayahitajiki kwa sasa? Kwanini yalinunuliwa kama hayahitajiki? Vichwa vikowapi?
Hivi vile vipua hapo mbele vitakuja baadae au vipo tayari. Maana kwenye clip ya yesting kule korea vilionekana. ila hizi zikija huku hatuvioni yani panakuwa wazi. Nadhani watanzania wenzangu ndo wanapo paangalia kwa maana ya mchongoko (aero dynamics)
Kwa niwapongeze kwa kazi nzuri. Pili, TRC kwa nini hamfuniki pua za treni ya mchongoko(EMU)? Ina maana muliuziwa bila mfuniko wa pua za hizo treni mchongoko?
@@elinamilyatuu7337 unakumbuka jmp ameondoka mladi wa SGR ulikuwa asilinia ngapi? na ulitakiwa kukamilika lini?,. Kama huyo uliyesema anaweza amalize kipande Cha Tabora kigoma miaka 3 amemaliza na anamiwili mingine,.akimaliza tumpe nayeye mauwa yake.
Kenya yakwao wanaita madaraka express kuenzi siku waliyopata uhuru kujitawala, uwanja wao mpya wa mpira utaitwa talanta stadium, kwanini sisi miradi yote ya nchi iwe na majina ya Rais
Hapana ipewe jina la mashujaa au mwananchi express kama ishara yakuunganisha watz nasio Samia express please tunaomba muache mzaha kwenye mambo ya msingi, Kila mradi upewe jina la Rais, kuanzia ikulu majengo ni Samia complex, uwanja wa mpira Arusha ni Samia Suluhu stadium, shule kubwa ya science wanawake Samia high school na Leo tena Samia express, kiukweli hakuna kiongozi aliyelazimisha kuacha alama kwenye miradi ya nchi kama mama yetu yaani sio poa kabisa, kina Sokoine, kawawa, Nyerere na mashujaa wengi wa nchi hii hawakutaka sifa hizi kabisa
Mi nitafurahi nikiona zilizobaki zin akuja na rangi tofauti mchanganyiko wa rangi za bluu,kijani,na nyingine lakin katika michoro hiyo hiyo ya trc,muonekano mmoja ktk seti 10 inachosha akili vinginevyo nipongeze kwa kila aliehusika ktk kazi hii nzuri