Тёмный

JIONEE STESHENI YA TRENI YA KISASA ILIYOPO MOROGORO 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 90 тыс.
50% 1

Stesheni ya Reli ya Kisasa (SGR) Morogoro imekamilika kwa asilimia 98 na itakuwa na uwezo kuhudumua zaidi ya watu 400 kwa wakati mmoja, migahawa minne na ina uwezo wa kuegesha magari180 madogo, mabasi 6 na malori matano.

Опубликовано:

 

13 мар 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 200   
@ababuumwanazanzibar4908
@ababuumwanazanzibar4908 3 года назад
Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1
@user-bf3hc6we7j
@user-bf3hc6we7j 3 года назад
nikwel iyo yote juundi yak nampenda san magu
@aishajuma18
@aishajuma18 3 года назад
Hayupo tena😭😭😭😭
@user-bf3hc6we7j
@user-bf3hc6we7j 3 года назад
@@aishajuma18 😭😭😭😭
@emmapaul1766
@emmapaul1766 3 года назад
Shoga LA jpm wewe
@aishajuma18
@aishajuma18 3 года назад
@@emmapaul1766 wewe shoga la shogaako tundulisu
@tronadc7
@tronadc7 3 года назад
Hongera nyingi kwa Rais Magufuli 👏👏👏
@user-bf3hc6we7j
@user-bf3hc6we7j 3 года назад
asante mungu kwa kutetea magu
@rahmaramadhan9773
@rahmaramadhan9773 3 года назад
Mashallah hakika kwetu kumenoga jamani hongera Rais wetu 👏👏👏👏👏
@MsAggie5
@MsAggie5 3 года назад
Kama nje wallah! Halafu ndo kaenda wala hajavitia machoni duh! Inauma kweli Naomba Mungu, isitokee mijizi ikaanza wizi oooh tubinafsishe ili wakatiwe kitu kidogo.
@marconzilankoma7581
@marconzilankoma7581 3 года назад
Vip ndo nitakuwa naingia mie Mungu ibaraki Tanzania na watu wake 🇹🇿 Mungu mbariki Rais wetu JPM 🇹🇿
@raymondmboyi8459
@raymondmboyi8459 3 года назад
Kongole kwa Raisi Dr. John Magufuli! Hii ni kubwa kuliko 🙌🏽💪🏽
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 года назад
Woooow mashaAllah nzuri sana. Mola ibariki Tanzania,Mola mbariki raisi wetu mh.john pombe Magufuli Mola tubariki watanzania tuendele kushikana katika maendeleo. AMIN
@ahmedzahor2975
@ahmedzahor2975 3 года назад
Tanzania ya Magufuli achana nayo inakuja kwa kasi ya 4B nakaribia kusema ndio Taifa la Africa linalokuja juu kwa kasi sn ya kutisha ndio maana majirani zetu kila siku hutafuta sababu za chokochoko kabla tuliaminishwa kua sie masikini wa kutupwa ukweli wa Mambo tumeona black and wait kua sie ni matajiri magu katwambia kwa vitendo na kauli big up sana Mzee Bagu
@maujanjatv24h41
@maujanjatv24h41 3 года назад
@@ahmedzahor2975 nikikwambia huu ni mkopo yani misaada ya wahisani cjui utajiskiaje na maelezo yako yote uliyotoa
@aminasittusaid3830
@aminasittusaid3830 3 года назад
@@maujanjatv24h41 masikini husaidiwa hakopeshwi kwa kuwa hana uwezo wa kulipa hivyo ukiona mtu anakopeshwa basi huyo ni tajiri ana uwezo wa kulipa kwa hiyo Tz ni tajiri huwezi kupinga hilo 🇹🇿💪🙏
@maujanjatv24h41
@maujanjatv24h41 3 года назад
@@aminasittusaid3830 hivi unajua tz inadaiwa shing ngapi mpaka sasa? Waulize kenya kilichotokea hakuna nchi tajiri inapokea mikopo acha akili mbovu 🥱mikopo inakuja na terms na condition zake we unajua kwnn mpaka leo tanzania haijawai pinga ushoga? Naona unalopokwa tu ata nchi yako huijui
@aminasittusaid3830
@aminasittusaid3830 3 года назад
@@maujanjatv24h41 sasa kumbe umeona naropokwa kwa nini usinipotezee basi ili udeal na wenye akili wenzio. Akili nyingi mbele kiza mmhh
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 года назад
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿💙💚🖤
@abubakarmalinza9339
@abubakarmalinza9339 3 года назад
Maendeleo makubwa kwa mkoa wetu wa Morogoro. Viva JPM
@cosmasdaud9088
@cosmasdaud9088 3 года назад
Tukubali au tupinge yote tunayo yaona ni maono ya jpm kazi nzuri mm sikutegemea kwa miaka hii ya karibuni Tz tungekuwa na Reli nzuri kiasi hiki ata mradi ulivyoanza bado wengi walikuwa awaamini Kama kweli tutaweza kujenga tukumbuke ss tulikuwa nchi masikinia alafu Rais anasema tutajenga reli ya kisasa kidogo dunia ilituona Kama tuna tania ila Sasa tunaeleweka
@ivaniavianarodrigo7201
@ivaniavianarodrigo7201 3 года назад
kifo cha huyu mzee jpm nimeumia sana, ningekua na nauli ningekuja kuzika
@djrichsingelifreva8245
@djrichsingelifreva8245 3 года назад
Raisi wetu alisema sisi Ni matajiri ila utajiri wetu ulikaliwa na Watu wachache kwa manufaa yao Magufuli Mungu akulaze mahala pema peponi
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 года назад
Na alisema pia Tanzania sisi sio masikini ila awamu zilizopita ukitoa ya NYERERE walikuwa wana tudanganya sisi wananchi ya kwamba Tanzania ni masikini na ni taifa changa kumbe ni uongo wa mchana kweupee na ndio maana wamemuuwa mzee baba wetu Magufuli kwa kuwa mkweli na kuwaamsha watanzania kwenye usingizi wa samaki pono RIP mzee baba 🙏Magufuli 😭😭😭😭😭🏃🏃🏃🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
@nicksonpius6128
@nicksonpius6128 3 года назад
Jpm namba moja Tanzania na duniani
@barakanestory7366
@barakanestory7366 3 года назад
#ayoo unapambana hongera na hongera kwa #JPM kwa uchapaji kazi wako
@josephkauki6094
@josephkauki6094 3 года назад
The first one to watch this ...from Egypt
@johnmlay4759
@johnmlay4759 3 года назад
Pamoja
@estermichael1322
@estermichael1322 3 года назад
Mungu tunakuomba mlinde Rais wetu
@pelesmwaipopo4382
@pelesmwaipopo4382 3 года назад
inauma sana ametutoka
@gabrieldenicc4502
@gabrieldenicc4502 3 года назад
Ahsante ayo ,mnatuonyesha kwa uzuri kabisa mim napenda mweshimiwa jpm anavyo pambana kwaajili ya vizazi na vizazi lkn tumebakia na kigugumizi upande wa. Nssf hatutendewi haki yaani
@dn.n4983
@dn.n4983 3 года назад
Kazi nzuri sana kwrli tanzania inekuwa kama ulaya kabisa tumewazidi mno tuweke kifua mbele jamani Rais kafanya kazi tuzidi kumuombea Rais awe afya njema ajenge taifa mbarikiwe wote
@joasitz9559
@joasitz9559 3 года назад
Wow, this is amazing. You can't imagine this is Tanzania. Hongera sana watanzania Acha majirani wawaonee wivu. Pigeni kazi
@bugaboympemba730
@bugaboympemba730 3 года назад
Kumbe maendeleo yanawezekana kabsa duuh
@nurulugongo4324
@nurulugongo4324 3 года назад
Naipongeza sana Serikali yetu cheni ya Rais wetu mpendwa kwa miradi mikubwa ya kimkakati ya kuwakomboa wananchi kuondokana na umasikini
@fredricjames774
@fredricjames774 3 года назад
Yaani pamoja na jitihada zote zinazofanywa na serikali hii ya awamu ya tano lkn bado kuna watu wanabeza haya mnayoyaona, kweli nimeamini kwenye msafara wa mamba kenge pia wamo
@highvoltages4169
@highvoltages4169 3 года назад
Sio kenge tu Bali na mijuisi wapo, mijusi wengine ndo wanapiga mdomo kule ubelgiji
@ibrahimngurungu5607
@ibrahimngurungu5607 3 года назад
@@highvoltages4169 mwenyezi mungu amtie nia na amuongezee uzalendo zaidi rais wetu na watendaji wake pamoja na afya njema
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 3 года назад
Wasikupe shida ni wachache saana sio wengi kabisa ndio maana wanasikika usisahau mabaya huwa yanavuma saana kuliko wema ndio sawa na hilo kundi la watu wa chache
@mohamnedsalum2150
@mohamnedsalum2150 3 года назад
Ni chuki tu zinasumbia
@claudiangowi9585
@claudiangowi9585 3 года назад
@@highvoltages4169 yule wa ubelgiji safari hii risasi haitamkosa kichwani. Watanzania tumpende Rais wetu jamani
@johnmbugani6532
@johnmbugani6532 3 года назад
Mafunzo kwa wafanyakazi wote wa SGR ni muhimu, yaani polisi, watu wa usafi, kila anayehusika. Itakuwa dhambi sana Treni ikapendeza miezi sita, baadaye kila kitu kikawa km takataka
@errydeo8865
@errydeo8865 3 года назад
hilo alo neno,utakuta watu wanata kusafiri hata na mbuzi,lol
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 года назад
@@errydeo8865 🤣🤣
@isayasway6867
@isayasway6867 3 года назад
Magufuli mitano 5 tena jumla iwe 15
@luisojr3480
@luisojr3480 3 года назад
Daaaa ndo hatunae tena aisee😭
@kondoatown8765
@kondoatown8765 2 года назад
Aisee
@johnmkude9911
@johnmkude9911 3 года назад
Magufuri Huyu. Ananipa Furaha. Anavyochapa. Kazi Nakupenda Tanzania🇹🇿
@lazaroambrose6235
@lazaroambrose6235 3 года назад
Kazi ya langi nimefanya Mimi Lazaro ambrosi
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 3 месяца назад
Hongera sana Samia na mtangulizi wako JPM.
@TheBestPhone7918
@TheBestPhone7918 3 года назад
Ayo, Asante sana na Muendelee na Kutuonyesha mazr kama haya tunaamin kodi zetu zinatendewa Haki Mbele ya Mwamba JPM Baba Muongoza Njia, Sasa hv natuma Kwetu Urambo Hadi Dar es Salama kwenye rami.
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 года назад
Sasa mshajua kwanini majirani wanaombea mabaya kwa Magu, maana Sio kwa speed hii ya Maendeleo
@hitlerpardon9308
@hitlerpardon9308 3 года назад
kazi zake JPM RIP Rais wetu pendwa mungu akubariki uko uliko
@tulibakomwafula9079
@tulibakomwafula9079 3 года назад
Mungu utukuzwe kwa mambo mazuri yanayofanyika Nchini Tanzania 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@onetwoem1808
@onetwoem1808 7 месяцев назад
Dah kweli jamani kazi nzuri sana pamependeza sana. Hongera sana kwa wote waliohusika na mafanikio haya. Namuomba mwenyezi mungu amlaze mahali pema peponi raisi wangu JPM AMIN.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 года назад
asante Magufuli na wasaidizi wako kwa kazi nzuri. shukrani zetu kutoka kwa Mungu wetu Alietupa John Magufuli
@beautycaren7257
@beautycaren7257 2 года назад
Hongera kwa kazi ulizoacha Rais John Joseph Magufuri MUNGU akupunguzie adhabu ya kaburi.
@michaelsiweya6500
@michaelsiweya6500 3 года назад
Aiseee....Acha bwana...kituo ni kizuuuri kinavutia ile mbaya..kwa kweli nchi yetu inaweza kufanya mambo ya ajabu ya kuushangaza ulimwengu....Ahsante JPM...tulitamani tufurahie wote haya maono yako...umetangulia mbele za haki..vijana wako tutaendelea kukukumbuka na kushuhudia matamanio yako uliyoyaanzisha
@luciakimambo7085
@luciakimambo7085 3 года назад
Goood job
@estherpaul9550
@estherpaul9550 3 года назад
Naamin mradi uu utaajiri watu wngi sana...... Big up uncle magufuli
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 3 года назад
waooh my country nimetamani mpaka kurudi home maana kumenoga kira kona arafu kana watu awayaoni haya Mungu azidi kukupa afya njema rais wetu uzidi kutuongoza lnshallha
@oman7710
@oman7710 3 года назад
Mungu akuhifadhi Rais wetu
@pelesmwaipopo4382
@pelesmwaipopo4382 3 года назад
Inauma sana Raisi wetu umetufanyia mengi mazur lakina Umetutoka, R.I. tutakukumbuka daima
@ZainaNampanga-zt7ex
@ZainaNampanga-zt7ex 2 месяца назад
Kazi ni nzuri
@abdallahnamtuka4634
@abdallahnamtuka4634 2 года назад
safi Sana engineer
@kamwagamwanjale1575
@kamwagamwanjale1575 3 года назад
Furniture Luna haja Magereza kuchukua tender kuuzia vifaa ambavyo vinatokana mazao ya nchini kwetu tuna mbao nyingi na nzuri na Magerexa wameonyesha uwezo mzuri wa kutengeneza vitu vya kiwango vizuri ( high quality)
@paschazianestorymatunda6490
@paschazianestorymatunda6490 3 года назад
Mpaka matofali na kujenga pia nadhani pia hata magereza wanaweza tumika tena at cheap price
@salimumohammedsalimu1720
@salimumohammedsalimu1720 3 года назад
Ningependa hospital zetu ziwena kituo cha police hongera viongozi wetu wa tz mungu ibariki Africa
@princepiusmutaihwa9606
@princepiusmutaihwa9606 3 года назад
Ubarikiwe sana JPM
@samwelimaliseli4216
@samwelimaliseli4216 3 года назад
Vibaraka wa mataifa yasiyoipenda Tanzania, huchukia sana wanapoona maendeleo haya bora kwa ustawi wa taifa la Tanzania. Watanzania tuwe wazalendo kwa kulinda maslahi ya taifa letu. Mungu mbariki Rais John Pombe Magufuli,Mungu ibariki Tanzania
@salimliemba3458
@salimliemba3458 3 года назад
Dah😢😢 kweli kizuri hakidumu mazuri mengi umetuachia jpm utakumbukwa daima
@neydenyo6786
@neydenyo6786 3 года назад
Tutamkumbuka daima milele
@user-lr1vg6dk6f
@user-lr1vg6dk6f 3 года назад
Hakika my dear
@salmaathuman9156
@salmaathuman9156 3 года назад
Chuki zidi ya rais wetu ni mambo Kama hayo mungu azidi kukulinda magufuli wetu wakakuombea mabaya lakini kwa mungu never
@selemankishema5780
@selemankishema5780 3 года назад
Mambo kama haya ndio yanafanya watuonee wivu saana watu wabaya kwahiyo tuwe makini vwatanzania uzalendo kwanza mengine baadae magufuli we kaa ikulu kaka fanya kazi
@mwajumaabeidy8137
@mwajumaabeidy8137 3 года назад
Mungu ailaze roho yake mahala pema.
@gregorychogelo2013
@gregorychogelo2013 3 года назад
Safi Sana!!
@giftkyando602
@giftkyando602 3 года назад
Tunao fahamu vizur notification ya Samsung imesikaka apaaa tujuwaneee😂😂😂
@mjuba
@mjuba 3 года назад
Shkamoo Magufuli
@alhajchakema8592
@alhajchakema8592 3 года назад
Mashaallah
@kamanda007
@kamanda007 3 года назад
Magufuli ametuonyesha tunaweza... RIP mwamba 🙏
@boaz9248
@boaz9248 3 года назад
Jengeni Tanzania wa afrika watoke south Africa, ninyi sio ma xenophobic, mungu bariki Tanzania
@AzizKhan-si8cc
@AzizKhan-si8cc 3 года назад
Umesema kweli ndugu
@boaz9248
@boaz9248 3 года назад
asante
@rahmaoman5122
@rahmaoman5122 3 года назад
Masha Allah mwenyezi mungu ni mkubwa maana vi2 kamahivi tulizoea kuviona kwawenzetu weupe hatimae vinapatkana tz yetu Allah ampe afya njema na umli mrefu rais wetu
@issahamis9393
@issahamis9393 3 года назад
Kazi yake insha'Allah kishaikamilisha.
@omaringulangwa3085
@omaringulangwa3085 3 года назад
Alafu kuna mjinga mmoja anasema magufuri ajafanya kitu ivi kweli unazo akili kweli au unamavi kuchwani sio akili
@teychriss3248
@teychriss3248 3 года назад
👏👏👏
@estermathias8354
@estermathias8354 3 года назад
Afu utasikia ma mbwa baadhi afe afe.sijui yatafanya menyewe😏😏😏 ilove my prsdaa MUNGU akulinde Tz bado inakujitaji mitano tena
@emilyibraimo5032
@emilyibraimo5032 3 года назад
Asante magufuli
@albertbunyinyiga7581
@albertbunyinyiga7581 3 года назад
Hizi wapinzani waga awaongelei
@josephmgeni208
@josephmgeni208 3 года назад
Sasa hiyo stand Mzee katujengea kwa wema tu lkn msipagawe itakapo funguliwa mkachukulia ni kitu flani kikubwa kiasi cha kushinda thamani ya Mtu sababu kitu kipya kinahitaji maelekezo mpaka waelewe msifunge Magari minyororo na kutaka faini kama tabia iliyokuwepo Mlimani city
@hamuayubu4231
@hamuayubu4231 3 года назад
Nampongeza jpm sna mchapakazi mungu akulinde popote ulipo japo atukuoni raisi wetu tunakuombe raisi. Wetu
@hoseastephen4508
@hoseastephen4508 3 года назад
Hongera kwetu kwa kuwa nchi ya tatu East Africa kuwa na SGR baada ya ETHIOPIA na KENYA.
@Abdul-ol5sm
@Abdul-ol5sm 2 месяца назад
Hyo ya Kenya sio sgr ni panda twende😂😂😂😂
@florencebudoya3814
@florencebudoya3814 3 года назад
Wow kama Gare du Nord Paris.
@um_185
@um_185 3 года назад
Kazi nzuri sana👏👏👏. Sasa, Watanzania tujitahidi kutunza hiyo miundombinu; Mungu Ibariki Tanzania, Mungu mbariki rais Magufuli na Watanzania wote, Amen!
@nicholasamosbakar6182
@nicholasamosbakar6182 3 года назад
mlioondoka kisa miundo mbinu rudin nyumban kumenoga.
@jicholafursa7058
@jicholafursa7058 3 года назад
Goo tz
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 3 года назад
Wow
@jameskyando178
@jameskyando178 3 года назад
Nice
@mbarikiwambarikiwa3988
@mbarikiwambarikiwa3988 3 года назад
Pumzika kwa amani Chuma 💔💔
@vero57
@vero57 3 года назад
MAGUFULI TUTAKUKUMBUKA SANA,RIP PAPA magufuli
@ismailyusuph740
@ismailyusuph740 3 года назад
Safi sana....!.....ila msiruhusu kuuza pombe ndani ya hizo Restaurant...!
@mamachris6811
@mamachris6811 3 года назад
Nafurahia kulipa kodi kwa sababu naiona imetumika vyema
@carolinerichard8254
@carolinerichard8254 3 года назад
Khaaaa jaman Mungu angenisaidia nipate hata kazi ya usafi kwenye treni iyo
@sahimiisshak4483
@sahimiisshak4483 2 года назад
OUAHHH MACHA ALLAH
@missangatv1368
@missangatv1368 3 года назад
Good, tunaweza ila kunawatz kama Tundu Lissu nagenge lake hawana uzalendo zaidi yakuwaza kutawaliwa nahao Mabeberu, Mungu mubariki Dr. JpJ.Magufuli!
@kamanda007
@kamanda007 3 года назад
Upinzani sio uadui tuache chuki zisizo na msingi.. Magufuli ametuonyesha tunaweza na sisi sio maskini kama wengi wanavyofikiria, let's keep a good work kama Magufuli, RIP mwamba 🙏
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 3 года назад
NEXT LEVEL 1🇹🇿✔✔
@mohamnedsalum2150
@mohamnedsalum2150 3 года назад
Tundu lisu wlcm hom
@anthonynetto4503
@anthonynetto4503 3 года назад
Aje lissu tujenge Tanzania yetu mkataa kwao mtumwa kumpongeza magufuri anaona vibya wakati akiludi Tanzania air port imejengwa na mage standard. Gani kama hiyo anabakia uvumi amsifie magu tu kwa ubunifu wa hali ya juu kujenga Tanzania
@joshuaandrew386
@joshuaandrew386 3 года назад
Kututoka huyu mzee ni pigo kubwa Sanaa hakika alidhamilia kulikomboa taifa
@johnmbugani6532
@johnmbugani6532 3 года назад
Watu wa Treni wajifunze kutoka kwa mwendokasi DSM kuhusu matumizi ya tiketi za mashine. Mwendokasi wamefeli 100%. Mashine hazifanyi kazi, Sasa walinunua za nini. Hivyo miradi mingine hatuhitaji mashine km hatuna uwezo wa kuzihudumia
@jamalmageser9390
@jamalmageser9390 3 года назад
Mashine zinashindwaje kufanya kazi aisee? Ni wizi wa mapato tu,ukiweka mashine hakuna wizi. Ukitoa mashine wizi ni mkubwa wa mapato
@biggestnasritv2601
@biggestnasritv2601 3 года назад
THE BIGGEST BOSS NASRI.
@giftjoseph9664
@giftjoseph9664 3 года назад
Bongo kama ulaya now, MUNGU ibaliki Tz.
@rajabuhondo4973
@rajabuhondo4973 3 года назад
R I p JPM kazi umeifanya kwa moyo kwani ulikuwa mzarendo wa nchi yako mungu akihi fadhi na mema ulio kuwa uki yafanya kwa wanyinge wengi Leo nasi tuna azwa kutizamwa Kuna nchi tz 🇹🇿 Ina kuja kwa upepo wa kimbunga Ni juhudi zako chuma
@tryphonraphael1646
@tryphonraphael1646 3 года назад
Tutamkumbuka daima raisi wetu kwa Mambo ambayo katutendea
@zuenanyutwa6043
@zuenanyutwa6043 3 года назад
Baba yetu magu umetuachia Mambo mazur
@aybkham5795
@aybkham5795 3 года назад
Safi kiongozi alikuwa na nia kubwa, VIP MSIKITI JAPO MDOGO MMEWEKA APO!? MUHIMU SANA
@daudmtange8005
@daudmtange8005 3 года назад
Msikiti ama kanisa hakuna au JPM asinge weza kubali bila kua na ivyo vituu
@Mr_Ben255
@Mr_Ben255 3 года назад
Mambo ni Moto nitasafiri hatakama Sina safari maalum Magufuli ichuma kikolyumoto
@hadijashabani890
@hadijashabani890 3 года назад
R I p baba tutakukumbuka daima😭😭
@fadhakkirfoundation
@fadhakkirfoundation 3 года назад
HUJAFA HUJAUMBIKA.VIDEO HII ITAWALIZA WALIO WENGI LAKINI TAFAKARI CHUKUA HATUA. 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Lmf7YbD72Uw.html
@fatinajames5274
@fatinajames5274 3 года назад
Rip magufuli umeitendea haki nafasi ya urais nakuombea kila siku mungu akufungulie mlango wa peponi
@makusaro2289
@makusaro2289 3 года назад
Ubunifu wa Magufuli usichezee.Akiufungua Mh.Samia utapewa Jima lake Ccm hoyeeeeee.
@AsiaSelemani-bj3nd
@AsiaSelemani-bj3nd 28 дней назад
Hii stend ipo mororgoro sehemu gani?
@geofreychambua2560
@geofreychambua2560 3 года назад
Itasaidia pia abiria kushukia mjini badala ya mbezi ..hapo na mwendo kasi pia wajipange maana ikimwaga usafiri uwepo
@rumb5876
@rumb5876 3 года назад
Wow! Kazi nzuri
@joshuakisanga9614
@joshuakisanga9614 3 года назад
Ayo tv siku nyingine mtuoneshe picha za juu pia
@neydenyo6786
@neydenyo6786 3 года назад
Niseme nini basi kwa mpendwa wetu😖😭😭
@jrsingham
@jrsingham 3 года назад
Msikiti wapi
@maryntukula8988
@maryntukula8988 3 года назад
Nawaombeni watanzania wote na viongozi tuweke utaratibu wa kutunza mandhari ya jengo hili la station na maeneo mengine aliiyotujalia kama zawadi ili tumuenzi mpendwa wetu hayati JPM.
@jacobstephanonaziadi4724
@jacobstephanonaziadi4724 3 года назад
Daaa kudadeki watanzania tunamsema vibaya tuu magu ila kazi anafanya kwakweli mambo hayaa mazuri MUNGU mwema ampe nguvu afanye makubwa zaidi.
@sleifikhajjir262
@sleifikhajjir262 3 года назад
Mukiongelea TanZania.ila mumeiyacha mkono sana zanzibar cjui kwanini
@noelamtesigwa6819
@noelamtesigwa6819 3 года назад
Utunzaji sasa😢😢😢 stend ya mbezi tu pale ni majangaa hata mwez hujaishaa
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 года назад
Hapo ndo shida kubwa
@mamachris6811
@mamachris6811 3 года назад
Halafu kuna mtu anajifanya kipofu,haoni haya Hana tofauti na mchawi Haridhiki na chochote kinachofanyika
Далее
Tanzania’s SGR to be operationalized in July
2:16
Просмотров 16 тыс.