Stesheni ya Reli ya Kisasa (SGR) Morogoro imekamilika kwa asilimia 98 na itakuwa na uwezo kuhudumua zaidi ya watu 400 kwa wakati mmoja, migahawa minne na ina uwezo wa kuegesha magari180 madogo, mabasi 6 na malori matano.
Kama nje wallah! Halafu ndo kaenda wala hajavitia machoni duh! Inauma kweli Naomba Mungu, isitokee mijizi ikaanza wizi oooh tubinafsishe ili wakatiwe kitu kidogo.
Tanzania ya Magufuli achana nayo inakuja kwa kasi ya 4B nakaribia kusema ndio Taifa la Africa linalokuja juu kwa kasi sn ya kutisha ndio maana majirani zetu kila siku hutafuta sababu za chokochoko kabla tuliaminishwa kua sie masikini wa kutupwa ukweli wa Mambo tumeona black and wait kua sie ni matajiri magu katwambia kwa vitendo na kauli big up sana Mzee Bagu
@@maujanjatv24h41 masikini husaidiwa hakopeshwi kwa kuwa hana uwezo wa kulipa hivyo ukiona mtu anakopeshwa basi huyo ni tajiri ana uwezo wa kulipa kwa hiyo Tz ni tajiri huwezi kupinga hilo 🇹🇿💪🙏
@@aminasittusaid3830 hivi unajua tz inadaiwa shing ngapi mpaka sasa? Waulize kenya kilichotokea hakuna nchi tajiri inapokea mikopo acha akili mbovu 🥱mikopo inakuja na terms na condition zake we unajua kwnn mpaka leo tanzania haijawai pinga ushoga? Naona unalopokwa tu ata nchi yako huijui
Tukubali au tupinge yote tunayo yaona ni maono ya jpm kazi nzuri mm sikutegemea kwa miaka hii ya karibuni Tz tungekuwa na Reli nzuri kiasi hiki ata mradi ulivyoanza bado wengi walikuwa awaamini Kama kweli tutaweza kujenga tukumbuke ss tulikuwa nchi masikinia alafu Rais anasema tutajenga reli ya kisasa kidogo dunia ilituona Kama tuna tania ila Sasa tunaeleweka
Na alisema pia Tanzania sisi sio masikini ila awamu zilizopita ukitoa ya NYERERE walikuwa wana tudanganya sisi wananchi ya kwamba Tanzania ni masikini na ni taifa changa kumbe ni uongo wa mchana kweupee na ndio maana wamemuuwa mzee baba wetu Magufuli kwa kuwa mkweli na kuwaamsha watanzania kwenye usingizi wa samaki pono RIP mzee baba 🙏Magufuli 😭😭😭😭😭🏃🏃🏃🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Ahsante ayo ,mnatuonyesha kwa uzuri kabisa mim napenda mweshimiwa jpm anavyo pambana kwaajili ya vizazi na vizazi lkn tumebakia na kigugumizi upande wa. Nssf hatutendewi haki yaani
Kazi nzuri sana kwrli tanzania inekuwa kama ulaya kabisa tumewazidi mno tuweke kifua mbele jamani Rais kafanya kazi tuzidi kumuombea Rais awe afya njema ajenge taifa mbarikiwe wote
Yaani pamoja na jitihada zote zinazofanywa na serikali hii ya awamu ya tano lkn bado kuna watu wanabeza haya mnayoyaona, kweli nimeamini kwenye msafara wa mamba kenge pia wamo
Wasikupe shida ni wachache saana sio wengi kabisa ndio maana wanasikika usisahau mabaya huwa yanavuma saana kuliko wema ndio sawa na hilo kundi la watu wa chache
Mafunzo kwa wafanyakazi wote wa SGR ni muhimu, yaani polisi, watu wa usafi, kila anayehusika. Itakuwa dhambi sana Treni ikapendeza miezi sita, baadaye kila kitu kikawa km takataka
Ayo, Asante sana na Muendelee na Kutuonyesha mazr kama haya tunaamin kodi zetu zinatendewa Haki Mbele ya Mwamba JPM Baba Muongoza Njia, Sasa hv natuma Kwetu Urambo Hadi Dar es Salama kwenye rami.
Dah kweli jamani kazi nzuri sana pamependeza sana. Hongera sana kwa wote waliohusika na mafanikio haya. Namuomba mwenyezi mungu amlaze mahali pema peponi raisi wangu JPM AMIN.
Aiseee....Acha bwana...kituo ni kizuuuri kinavutia ile mbaya..kwa kweli nchi yetu inaweza kufanya mambo ya ajabu ya kuushangaza ulimwengu....Ahsante JPM...tulitamani tufurahie wote haya maono yako...umetangulia mbele za haki..vijana wako tutaendelea kukukumbuka na kushuhudia matamanio yako uliyoyaanzisha
waooh my country nimetamani mpaka kurudi home maana kumenoga kira kona arafu kana watu awayaoni haya Mungu azidi kukupa afya njema rais wetu uzidi kutuongoza lnshallha
Furniture Luna haja Magereza kuchukua tender kuuzia vifaa ambavyo vinatokana mazao ya nchini kwetu tuna mbao nyingi na nzuri na Magerexa wameonyesha uwezo mzuri wa kutengeneza vitu vya kiwango vizuri ( high quality)
Vibaraka wa mataifa yasiyoipenda Tanzania, huchukia sana wanapoona maendeleo haya bora kwa ustawi wa taifa la Tanzania. Watanzania tuwe wazalendo kwa kulinda maslahi ya taifa letu. Mungu mbariki Rais John Pombe Magufuli,Mungu ibariki Tanzania
Mambo kama haya ndio yanafanya watuonee wivu saana watu wabaya kwahiyo tuwe makini vwatanzania uzalendo kwanza mengine baadae magufuli we kaa ikulu kaka fanya kazi
Masha Allah mwenyezi mungu ni mkubwa maana vi2 kamahivi tulizoea kuviona kwawenzetu weupe hatimae vinapatkana tz yetu Allah ampe afya njema na umli mrefu rais wetu
Sasa hiyo stand Mzee katujengea kwa wema tu lkn msipagawe itakapo funguliwa mkachukulia ni kitu flani kikubwa kiasi cha kushinda thamani ya Mtu sababu kitu kipya kinahitaji maelekezo mpaka waelewe msifunge Magari minyororo na kutaka faini kama tabia iliyokuwepo Mlimani city
Kazi nzuri sana👏👏👏. Sasa, Watanzania tujitahidi kutunza hiyo miundombinu; Mungu Ibariki Tanzania, Mungu mbariki rais Magufuli na Watanzania wote, Amen!
Upinzani sio uadui tuache chuki zisizo na msingi.. Magufuli ametuonyesha tunaweza na sisi sio maskini kama wengi wanavyofikiria, let's keep a good work kama Magufuli, RIP mwamba 🙏
Aje lissu tujenge Tanzania yetu mkataa kwao mtumwa kumpongeza magufuri anaona vibya wakati akiludi Tanzania air port imejengwa na mage standard. Gani kama hiyo anabakia uvumi amsifie magu tu kwa ubunifu wa hali ya juu kujenga Tanzania
Watu wa Treni wajifunze kutoka kwa mwendokasi DSM kuhusu matumizi ya tiketi za mashine. Mwendokasi wamefeli 100%. Mashine hazifanyi kazi, Sasa walinunua za nini. Hivyo miradi mingine hatuhitaji mashine km hatuna uwezo wa kuzihudumia
R I p JPM kazi umeifanya kwa moyo kwani ulikuwa mzarendo wa nchi yako mungu akihi fadhi na mema ulio kuwa uki yafanya kwa wanyinge wengi Leo nasi tuna azwa kutizamwa Kuna nchi tz 🇹🇿 Ina kuja kwa upepo wa kimbunga Ni juhudi zako chuma
HUJAFA HUJAUMBIKA.VIDEO HII ITAWALIZA WALIO WENGI LAKINI TAFAKARI CHUKUA HATUA. 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Lmf7YbD72Uw.html
Nawaombeni watanzania wote na viongozi tuweke utaratibu wa kutunza mandhari ya jengo hili la station na maeneo mengine aliiyotujalia kama zawadi ili tumuenzi mpendwa wetu hayati JPM.