Hongera sana Mheshimiwa kwa umakini wa kutenda haki. Hivi watu mabubu wameonewaje nchi hii? Manake kama huwezi kuongea, unageuziwa kibao hadi unashangaa. Huyu mtumishi anathubutu kusema kuwa jamaa hajafuatilia kwa mara 60 walizogawa viwanja!!😅😅😅😅 😂
Mh Waziri Silaa Mungu akuongoze katika kazi zako, unaweza jiuliza swali kwamba huko hakuna watendaji?? Unajikuta unajijibu kuwa wapo lakini hawatendi haki sambamba na utovu wa maadiri kwa baadhi ya watendaji ndo maana Mh Waziri Silaa anaingia front na team yake.