Тёмный

MBUNGE KHATIB AICHANACHANA BAKWATA, AULIZA MASWALI MATATU MAZITO 

Mwananchi Digital
Подписаться 1 млн
Просмотров 168 тыс.
50% 1

Maswali mazito aliyouliza Mbunge wa Konde, Khatib Said Haji alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya waziri mkuu kwa mwaka wa fedha 2018/2019, mjini Dodoma.

Опубликовано:

 

11 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 203   
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 3 года назад
Allah azidi kukurehem na kukuweka ktk daraja la waja wema katika pepo ya firdaus INSHA ALLAH.
@AbdulAbdul-pr9qe
@AbdulAbdul-pr9qe 3 года назад
Allah akulipe pepo maalimu wangu na alifanye kaburi lako kuwa ni viwanja miongoni mwa viwanja vya pepo
@istambuliahmedi8203
@istambuliahmedi8203 3 года назад
اللهم ثبته بالقول الثابت في الحياة الدنيا وفي الآخرة
@othmanalnabhany3208
@othmanalnabhany3208 3 года назад
Allahumma ghfirlahu warhamhu waskannahu filjannah ... Mola akupe pepo ya juu kabisa marhum kiongozi wetu maalim khatib umefanya jihadi wallahi hiyo ni miongoni mwa jihadi Umeitetea sana nchi yako na wananchi na umewatetea sana masheikh wetu na ndugu zetu wa uwamsho ni jihad hata kutetea au kuchukia uwovu,, Mola akulipe kheri huko uliko
@bilalikambo7202
@bilalikambo7202 6 лет назад
big up Khatib, khasidi kweli mtu mbaya, wa2ache na dini yetu
@abuubakalmtangenange4389
@abuubakalmtangenange4389 3 года назад
Allah akulipe kheri kwa mcmamo wako wadhati kwa kuitetea dini yako na nchi yako ya Zanzibar kwa dhulma mnayofanyiwa
@khamisdaima1455
@khamisdaima1455 6 лет назад
Mh, khatibu big up wape kweli hao ving'ang'anizi.
@mozamansour7912
@mozamansour7912 6 лет назад
Asante sana umeongea point 👏👏
@ashamwandu6572
@ashamwandu6572 3 года назад
Nakupenda bule Mungu akupokee katika jaanat,fidaus
@ashamasoud122
@ashamasoud122 3 года назад
Mungu akuhufadhi ulipo shujaa wetu
@abdallahmsham-eb7jz
@abdallahmsham-eb7jz Месяц назад
alhamdulilah mungu atakulipa wema wako kamanda heshima kubwaa kwako mpambanaji safi sana duuuu
@rajabngai5150
@rajabngai5150 3 года назад
ALLAH AKUHIFADH NA AKUSAMEHE MADHAMBI YAKO PIA AKUPE KAULU THAABITI
@anjunurdin2392
@anjunurdin2392 3 года назад
Hongera khaatibu .umeongea kweli
@Rastamuslim
@Rastamuslim 3 года назад
Innal llai khatib allah akuepushe moto
@hamadmasoud3919
@hamadmasoud3919 6 лет назад
Dah kiongozi umetisha........... Big up , five stars to u 👍
@madiyaahmad2749
@madiyaahmad2749 6 лет назад
In sha Allah Mungu atawalaani hao laanatullahi inauma kwelu watakufa vinywa wazi wametuganda tu Mungu atawafarikisha wafe huku wakinya hasbiyallahu waniimalwakil Mungu awalani laaana hao
@dullatanga7811
@dullatanga7811 6 лет назад
Yuko sahihi sana mh Khatib
@Hassan-vn6nn
@Hassan-vn6nn 6 лет назад
They know what they are doing....they don't want to see Zanzibar and it's people exist... We are rising up and no will stop us...Time is due ...
@jumachilundajr4853
@jumachilundajr4853 3 года назад
Kweli wema hawadumu innallillahi wainnallahi rajiuni
@bilaliomary7616
@bilaliomary7616 3 года назад
nazan uyo mbung ajiherew mung amsamee
@machinjashabani5331
@machinjashabani5331 3 года назад
ALLAH akuzidishie kila jema huko uliko
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 3 года назад
Allah atakulipa kwayalemema ulioyafanya napia kuombea Allah akusemehe kwayaleuliokosea Akuhifafadhi maharapema peponi amen🙏
@istambuliahmedi8203
@istambuliahmedi8203 3 года назад
اللهم اجعل قبره روضة من رياض الجنه
@khadijahilal3016
@khadijahilal3016 3 года назад
Mashallah allah akulinde muheshimiwa
@eddysaid9611
@eddysaid9611 3 года назад
Hakuna marefu yasiyo na ncha inshaallah allah atawateketeza wote wanayoifanyia ubaya nchi yetu ya zanzibar allah humma aamin
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 6 лет назад
yan she Khatib unanifrahisha kweli si wanasema kama kuna muungano wa Tanzania Na Zanzibar kwa nn wasiwe pamoja ktk biashara ili tusaidiane wao hawaitaj tuendelee kbs lkn wapo wanatukandamiza.
@nassirnassor8603
@nassirnassor8603 3 года назад
Inna lillah wainna ilyh rajiuun Mungu akulaze mahala pema pepon amin
@kishingokishingo1840
@kishingokishingo1840 3 года назад
Hii hutuba iliwauma Sana baadhi ya watanyika na ni ukweli mtupu tunamuomba Allah akupe nuru kubwa ktk kabri lako inshaalah
@bakarhamad4751
@bakarhamad4751 3 года назад
Mwenyezi mungu akurehemu na akupe mwangaza kwenye kaburi lako
@allymusira2153
@allymusira2153 3 года назад
Allah alitie nuru kaburi lako na akusamehe makosa yako na akupe kauli thabit
@shebbybongo567
@shebbybongo567 5 лет назад
Mwenyezi mungu azidi kukulinda shekhe, siku zote ukweli utakuweka huru mbele ya Allah
@mohamedishabani717
@mohamedishabani717 6 лет назад
inatiya sana uchungu kwa kweli sioni faida ya muungano hapo.
@abdallahhemed3527
@abdallahhemed3527 6 лет назад
Mungu atakulipa kwa kusema hakhi .uko sawa kabisa
@jaafarwibonela7402
@jaafarwibonela7402 3 года назад
Ndugu yetu leo 20/05/2021 ametangulia mbele ya haki. Mungu ampe makazi mema peponi aammyn
@amanichanzi1824
@amanichanzi1824 3 года назад
Daah!! Aise mashaallah ni ukweli mtupu
@zahorsalum663
@zahorsalum663 3 года назад
Allah akupe kauli dhabiti.
@AdijaSelemani
@AdijaSelemani Месяц назад
Allah akurehem
@oscarjohn5039
@oscarjohn5039 6 лет назад
nice point
@adamkatet274
@adamkatet274 6 лет назад
Jamaaa ameongea point Sana
@joshuasamson4174
@joshuasamson4174 6 лет назад
bakwata si ya waisilamu bakwata ni taasisi iliyoundwa na serekali bakwata ibaki Kama bakwata waisilamu wabaki na uisilamu mzuri
@hechechacha4032
@hechechacha4032 6 лет назад
Joshua Samson sahihi
@destiny4life439
@destiny4life439 6 лет назад
kak unaakili sana muislam wa kweli anaamin allahu na kufany yatakayomsaidia baada ya kufa suo bakwata
@dinhomdullah2965
@dinhomdullah2965 3 года назад
mashaallah wewe ndio mbuge wakwanza kuongea pwenty na kuongea ukweli
@hechechacha4032
@hechechacha4032 6 лет назад
Safi kabisa kamanda
@MasudiAli-o8q
@MasudiAli-o8q 5 месяцев назад
Swali lako ni zuri sana
@nainasmash6966
@nainasmash6966 6 лет назад
mh hongera sana wallah umenifurahisha sana
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada 3 года назад
innaa lillah wainnaa ilaih rajiuun
@juniordilema1097
@juniordilema1097 5 лет назад
Hakuna haki nje ya qur-ani rudini ktk sheria ya Allah
@mohdabdi4157
@mohdabdi4157 5 лет назад
mh ALLAH akuzidishie uzidi kutetea haki na akufanyie wepesi
@salmasalim6055
@salmasalim6055 6 лет назад
Hongera muheshimiwa Allah akusimamie
@wardajoseph6909
@wardajoseph6909 3 года назад
Chema hakidumu Tanzania nchi ya ajabu sana mtu akiwa mzuri na msema kweli anafariki
@ismailabbas4197
@ismailabbas4197 6 месяцев назад
Hivi huyu kumbe ashafiriki
@AdijaSelemani
@AdijaSelemani Месяц назад
Mashaalah
@chagulaniadams3965
@chagulaniadams3965 6 лет назад
BAKWATA ni jukwaa kuu la waganga wa kienyeji Tanzania maana lipo kurudisha nyuma maendeleo ya waislamu.
@wardajoseph6909
@wardajoseph6909 3 года назад
Hahahaha
@masoudsaid5488
@masoudsaid5488 3 года назад
Innalillahi wainnailaihi rajiun .. kesha ifanya kazi keshaondoka Allah kaiyona kazi yake..
@aboudmsonde2890
@aboudmsonde2890 6 лет назад
Mh umeuliza swali zuri kuhusu bakwata oac big up
@hadijamagufuli2661
@hadijamagufuli2661 3 года назад
Doh nasikia naye kaondoka 😭😭
@mengicacoconut8144
@mengicacoconut8144 6 лет назад
Uko sahihii@khatibu
@omarynassor6313
@omarynassor6313 3 года назад
Inatiashaka
@kibelaame5178
@kibelaame5178 6 лет назад
Hongera sana allah atakulipa
@allypharahani2168
@allypharahani2168 3 года назад
Innalillah wainnailayhi raajiun
@kulthumhaji6928
@kulthumhaji6928 3 года назад
Bora umeliona hili jambo ni kero.
@yasinmgen2072
@yasinmgen2072 6 лет назад
good speech
@slemansaid7213
@slemansaid7213 3 года назад
Mh.... kwel jmn
@istambuliahmedi8203
@istambuliahmedi8203 3 года назад
اللهم غفر له ورحمه واسكنه فى الجنة
@mumybhay4984
@mumybhay4984 5 лет назад
kweli kabisa
@swaiseif2989
@swaiseif2989 6 лет назад
Dah ameongea kwauchungu sana nchi yetu inapoelekea sasa nipabaya...
@kibelaame5178
@kibelaame5178 6 лет назад
Swai Seif hujambo
@shemelaruhinda6113
@shemelaruhinda6113 6 лет назад
Asante Mh umeongea ukweli.
@abdalahsuleiman8989
@abdalahsuleiman8989 6 лет назад
Flavian
@abdalahsuleiman8989
@abdalahsuleiman8989 6 лет назад
Haifai kitu gani kujiunga oic?
@harunakony2012
@harunakony2012 3 года назад
Kwakweli maswali haya sijui Kama watakuwa namajibu mamb meng yaakiislam yanahusishwa sana naserekali serekali na wiislam inahusika vp yani
@chachamadini9372
@chachamadini9372 6 лет назад
Duh huyu mmbunge kaongea pwent sana yaani sina neno hapo umemaliza,waruhusu bidhaa ziingie huku tununue maflat kwa bei poa banaaaaaa
@abdukherykhamis73
@abdukherykhamis73 5 лет назад
mh hatibu wallahi m/mingu akupe umri mrefu sana, kwahili nikopamoja na weyee
@issahalfan1827
@issahalfan1827 3 года назад
Allah aalam.
@AliHussein-lk2gw
@AliHussein-lk2gw 3 года назад
R.I..P. 😭
@alfaarouqjongo4980
@alfaarouqjongo4980 6 лет назад
JAZAKA LLAHU KHAYRA
@ibrahimisack1765
@ibrahimisack1765 6 лет назад
M.mungu akusimamie ppte ulipo , na km mtu hana comment bora akae kimya maana ana commentless
@madiyaahmad2749
@madiyaahmad2749 6 лет назад
Tatizo kuwa choyo kimewatawala na dhulma lkn iko siku yote yatakwisha hayo generation itakayokuja itakuwa si ya mapunguwani au mahasidi au mibichwa vifuu wasomi ndio watakaokuwa wengi ln sha Allah mambo yatabadilika
@tztanzania2262
@tztanzania2262 3 года назад
اللهم غفرله ورحمه واكرم منزله ووسع مدخله وغسله بالماء وثلج والبرد.....nililia nilipo sikia amefariki maana ok ilikuwa taarifa ngumu mno kwangu na kwa familia yangu na tulimfaham kupitia clip yake ya ramadhani ya 2021 akizungumza kuhusu hukumu ya masheikh
@ibrahimmagambi61
@ibrahimmagambi61 6 лет назад
mm binafsi siijui bakwata
@jumakessy7560
@jumakessy7560 6 лет назад
hilo swala la hija serikali imeona ni fursa ya biashara kwahiyo kuachia ni ngumu Na ndio maana wanatumia BAKWATA kama idara ya serikali
@salehlofy4251
@salehlofy4251 6 лет назад
Udugu mwisho tunawapenda wao lakn wao hawatupendi muungano hatuutaki
@ashooraashoora5415
@ashooraashoora5415 6 лет назад
Mungu anawaonaa
@mrishojumaamrisho3212
@mrishojumaamrisho3212 3 года назад
Allah amrehem
@husenially8649
@husenially8649 6 лет назад
umesema kweri mh
@achiliadinan430
@achiliadinan430 3 года назад
Mheshimiwa Khatibu kwa hili nakunga mkono kwa nn mtu wa bara akiwa Zanzibar hata kununua Tv kuja nayo bara ni isue sukari hata kg moja ni shida kwa hili lazima liwekwe sawa tuwe huru kununua chochote ndani ya muunganano hiyo ndo utakua muungano wa kweli
@likandapahasani3139
@likandapahasani3139 6 лет назад
Ukweli kabisa mheshimiwa
@ulfarashid9876
@ulfarashid9876 5 лет назад
Safii sana
@hamisidd2805
@hamisidd2805 6 лет назад
BAKWATA si chombo cha waislam kama wanabisha serikali ipigwe kura ya maoni kuhusu BAKWATA hii ilianzishwa na mkatoliki hakiwezi kuwa chombo cha kiislam
@sharkbinaally3381
@sharkbinaally3381 5 лет назад
Mimi muungano siupendi hata kuusikiya ungekufa hasa uwo muungano
@twilindeissa4505
@twilindeissa4505 5 лет назад
Bakwata vibaraka waserekali ni mashehe wanafiki wapendaela
@rashidsuleiman2663
@rashidsuleiman2663 6 лет назад
tema cheche kaka majeneza tunashare maumivu ndugu zetu kibao wa jwtz wamekufa congo lkn biashara ambayo itainufaisha zanzibar inaekewa kikwazo alafu tunaambiwa znz hatuutaki muugano lohhhhhhh.
@victorygadiel5084
@victorygadiel5084 6 лет назад
rashid suleiman Mh Khatibu hao ni waongo wafanyao magendo ni watu wao na kama wanabisha wamuulize mkuu wa mkoa Tanga au mkuu wa wilaya ya Pangani wanauza mafuta ya kula ni wanzanzibari ? toka wawatafunishe pweza wabichi kama siwatanzania kwakweli wanzanzibar wameacha shughuli zote ziusiazo bara wachilia mbali magendo , hivi nikwanini mnawaonea sana Wazanzibar hasa wewe mzee Aly Kessy mimi ningekua na uwezo nikutafuta ili unijibu maswali yangu ila pindi mwakani
@omalliddy212
@omalliddy212 6 лет назад
rashid suleiman ... ....
@husseinmwalim6406
@husseinmwalim6406 3 года назад
😭😭😭r.i.p
@allyhasani8447
@allyhasani8447 6 лет назад
Inatia uchunqu na inaliza wallah
@daudihamisi5789
@daudihamisi5789 3 года назад
Allah akubaric akusahilishie ulipokosea aijaalie pepo kua makaz yako
@changchuma9256
@changchuma9256 5 лет назад
Faidayanyama yangamia maalim Yusuf
@machinjashabani5331
@machinjashabani5331 6 лет назад
Mm naona Bakwata ni chombo cha serikali, c chombo cha waislam
@SumaLTD
@SumaLTD 6 лет назад
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 keshokutwa utaskiya keshatekwa shauri zake langu jicho
@saidaliy1567
@saidaliy1567 5 лет назад
Suma Spain hahahah wacha zako
@ismailabbas4197
@ismailabbas4197 6 месяцев назад
Kishafariki tayari,, aisee wanaadam ni viumbe hatari sana
@jjnjau
@jjnjau 6 лет назад
Hasidi ana husda mbaya.
@musamusahshafi1496
@musamusahshafi1496 3 года назад
Nakuunga mkono sema baba sema maana bakwata wanajiona wao ndio viongoziwetu
@ahmadikitwana7027
@ahmadikitwana7027 6 лет назад
Kweli sisi ni ndugu wa damu na 2020 apelekwe paulo makonda akagombee urais wa zanzibar badala ya Dk shein atakapomaliza muda wake, hapo nitaamini sasa kwamba sisi ni ndugu wa damu, lakini hii ya changu chetu chako chako huo wa damu unatokea wapi. Kuna unafiki kotekote hapo ni kwa kila mwamba ngoma huvutia kwake.
@abdillaahirichardkasisi8691
@abdillaahirichardkasisi8691 6 лет назад
Naaam Wambie uwo serikali aina dini
@elenestjackson129
@elenestjackson129 6 лет назад
Mashehe wrote wabakwat ninawanafiki wote
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 3 года назад
Mbunge khatibu haujawahi kuniangusha
@mrishojumaamrisho3212
@mrishojumaamrisho3212 3 года назад
Allah amrehem
@jumaomar1454
@jumaomar1454 6 лет назад
hawana nia njema na Zanzibar
@sudidoto9759
@sudidoto9759 3 года назад
Rais niwenu kwassa Zanzibar itakuwa tuuh
@saulimmbaga.safisana9556
@saulimmbaga.safisana9556 3 года назад
R.i.p
@narlonabuu4665
@narlonabuu4665 6 лет назад
Sisi waislam a2itaki bakwata lkn serikal inaing'ang'ania bakwata 2 kwann?
@dizodi_vituko
@dizodi_vituko 6 лет назад
Kweli umeongea ukweli
@jumamomba9502
@jumamomba9502 6 лет назад
MUHESHIMIWA KHATIB UMEZUNGUMZA HAKI
@kadhyazaid7000
@kadhyazaid7000 6 лет назад
Kweli
Далее
Bro think he the MC.. 😂👊🔥
00:20
Просмотров 13 млн
Авто уровни Happy Glass level 604 - 606
00:49
Huyu Ndiye Chalamila aliyetumbuliwa na Rais
5:25
Просмотров 124 тыс.
Mbunge alizwa na wanavyotendewa Uamsho
10:46
Просмотров 24 тыс.
Bro think he the MC.. 😂👊🔥
00:20
Просмотров 13 млн