Maswali mazito aliyouliza Mbunge wa Konde, Khatib Said Haji alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya waziri mkuu kwa mwaka wa fedha 2018/2019, mjini Dodoma.
Allahumma ghfirlahu warhamhu waskannahu filjannah ... Mola akupe pepo ya juu kabisa marhum kiongozi wetu maalim khatib umefanya jihadi wallahi hiyo ni miongoni mwa jihadi Umeitetea sana nchi yako na wananchi na umewatetea sana masheikh wetu na ndugu zetu wa uwamsho ni jihad hata kutetea au kuchukia uwovu,, Mola akulipe kheri huko uliko
In sha Allah Mungu atawalaani hao laanatullahi inauma kwelu watakufa vinywa wazi wametuganda tu Mungu atawafarikisha wafe huku wakinya hasbiyallahu waniimalwakil Mungu awalani laaana hao
yan she Khatib unanifrahisha kweli si wanasema kama kuna muungano wa Tanzania Na Zanzibar kwa nn wasiwe pamoja ktk biashara ili tusaidiane wao hawaitaj tuendelee kbs lkn wapo wanatukandamiza.
Tatizo kuwa choyo kimewatawala na dhulma lkn iko siku yote yatakwisha hayo generation itakayokuja itakuwa si ya mapunguwani au mahasidi au mibichwa vifuu wasomi ndio watakaokuwa wengi ln sha Allah mambo yatabadilika
اللهم غفرله ورحمه واكرم منزله ووسع مدخله وغسله بالماء وثلج والبرد.....nililia nilipo sikia amefariki maana ok ilikuwa taarifa ngumu mno kwangu na kwa familia yangu na tulimfaham kupitia clip yake ya ramadhani ya 2021 akizungumza kuhusu hukumu ya masheikh
Mheshimiwa Khatibu kwa hili nakunga mkono kwa nn mtu wa bara akiwa Zanzibar hata kununua Tv kuja nayo bara ni isue sukari hata kg moja ni shida kwa hili lazima liwekwe sawa tuwe huru kununua chochote ndani ya muunganano hiyo ndo utakua muungano wa kweli
BAKWATA si chombo cha waislam kama wanabisha serikali ipigwe kura ya maoni kuhusu BAKWATA hii ilianzishwa na mkatoliki hakiwezi kuwa chombo cha kiislam
rashid suleiman Mh Khatibu hao ni waongo wafanyao magendo ni watu wao na kama wanabisha wamuulize mkuu wa mkoa Tanga au mkuu wa wilaya ya Pangani wanauza mafuta ya kula ni wanzanzibari ? toka wawatafunishe pweza wabichi kama siwatanzania kwakweli wanzanzibar wameacha shughuli zote ziusiazo bara wachilia mbali magendo , hivi nikwanini mnawaonea sana Wazanzibar hasa wewe mzee Aly Kessy mimi ningekua na uwezo nikutafuta ili unijibu maswali yangu ila pindi mwakani
Kweli sisi ni ndugu wa damu na 2020 apelekwe paulo makonda akagombee urais wa zanzibar badala ya Dk shein atakapomaliza muda wake, hapo nitaamini sasa kwamba sisi ni ndugu wa damu, lakini hii ya changu chetu chako chako huo wa damu unatokea wapi. Kuna unafiki kotekote hapo ni kwa kila mwamba ngoma huvutia kwake.