Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Ijumaa Juni 11, 2021 amefanya mabadiliko madogo ya wakuu wa mikoa na kuteua baadhi ya viongozi wengine.
Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu inaeleza kuwa kiongozi mkuu huyo wa nchi amemhamisha mkuu wa Mkoa wa Mara, Robert Gabriel kuwa mkuu wa Mkoa wa Mwanza kuchukua nafasi ya Albert Chalamila ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
Lakini embu tujikumbushe baadhi ya video fupi fupi zilizowai kutrend kwenye mitandao ya kijamii za Albert Chalamila akiwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya na hata Mwanza
11 окт 2024