Shabib nakukubali mmanga wa Moro. Uko vema baba unasema kweli baba. Pasua jipu la sukari acha woga. Ww, Mpina, Kigwangala, Msukuma na mchungaji Gwajima. Ni wamongoli wa ccm. Walioungana na wanyonge. Mungu awalinde sana.
Kama hamjui mjue sasa kuwa kati ya mabunge ambavyo yamepitwa na soko na hayasikilizwi na wananchi ni bunge hili la bajeti maana hamzungumzii kutatua kero zetu bali ni kutuongezea shida wananchi kifupi mmepitwa na soko nasi wananchi sasa tumeamka tumechoka na viongozi wanaojali matumbo yao kuliko wananchi wake.
Magufuri alikuwa mkali tulimchukia hasa watumishi kwenye wizara na idara na watendaji mbalimbali serikali,,,mkaleta ujuaji na kubembereza watumishi wezi ,,mmeikumbuka awamu ya tano
Brother Millard , siku hizi kama sikuelewi mkuu. Taarifa unachelewa kupost. Mfano hii ni taarifa ya jana. What's up mkuu? Huoni pia views zako kama zinashuka. Kuna shida gani kwenye uploading department yako? Au umejipata tayari?
@@evarimdecoration4256 kweli tz Kuna viazi Tena vile ziazi vikuu kule Moshi tuna chomaga tuna kula asubuhi mpaka jioni ww barabara itakusaidia nn ww maana hata mchele ununuliwe buku shinyaga ww utauziwa elfu5 au tatu msikilize anakwambia yeye hachangii kuhusu sukari Sasa ww mlala hoi unanini unachoweza kunywa asubuhi zaidi ya chai au uji au utakula barabara kweli elimu mzigo😏😏
@@karimkinwary4668 point gani huyu haja wahii kuongea point hata siku moja kitu asicho kuwa na faida nacho hachangiagi ana chagia alicho na masilahii nacho tu
Hyu shabibi atete mabas yake kwa lip wakat mtu anatetea watazania wote inamana ukisema anatetea mabas yake inamana miaka yote hyo mabas yake yalikua yanapita wap fyuuu
Acha ubaguzi usio na maana....kwani mtanzania akiwa na asili ya kiarabu ni dhambi? swala la kutetea barabara sio tatizo pia. Kwani we hupendi barabara zitengenezwe?