Тёмный

SHABIBY KUIGOMEA BAJETI YA SERIKALI“TUNASIFIANA NA VITU HAVIENDI,MIMI SIWEZI KUWA MTU WA KUSHANGILIA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 12 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

11 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 59   
@wemacs
@wemacs 3 месяца назад
Huyu na Mpina ndo wabunge pekee wa Ccm, wengine wengi tupa kule
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 3 месяца назад
CCM wengiwao wanapenda mtelemko wale vizuri wanye walalane bas😅😅😅😅
@user-gc8jc1sh4z
@user-gc8jc1sh4z 3 месяца назад
❤❤mungu akulinde mbunge shabibu❤❤wewe ni kiongozi usiesifia ujinga unaongea fact❤❤❤
@MariaKomba-se2hi
@MariaKomba-se2hi 3 месяца назад
Kumbe mnayajua mnayoyafanya sisi wananchi tunajua nandomana sasa hivi hatuna mpango wakumsikiliza kiongoz yeyote!!!!tunapambana na Hali zetu ,
@richardmuyango9157
@richardmuyango9157 3 месяца назад
Kabsaaaa ndugu acha wafanye tu
@shadyaomary
@shadyaomary 3 месяца назад
Shabiby big up dady umeongea ukweri mtupu maji na mafuta vitajitenga round hii
@YustaMfugale
@YustaMfugale 3 месяца назад
Anaroho nzuri huyu baba
@CharlesElias-zh5hz
@CharlesElias-zh5hz 3 месяца назад
Shabib nakukubali mmanga wa Moro. Uko vema baba unasema kweli baba. Pasua jipu la sukari acha woga. Ww, Mpina, Kigwangala, Msukuma na mchungaji Gwajima. Ni wamongoli wa ccm. Walioungana na wanyonge. Mungu awalinde sana.
@khadi-z4o
@khadi-z4o 3 месяца назад
NCHI INAVITUKOHII ,LINACHOSHA.MIJIZITU INAIBA. NAKUKOPA😢
@jeremiahmsemwa8323
@jeremiahmsemwa8323 3 месяца назад
Smart sana huyu jamaa
@starjay3052
@starjay3052 3 месяца назад
bongo sio nchi ya kuishi
@iam_sami
@iam_sami 3 месяца назад
Yani ili bunge kila cku mwigulu analalamikiwa ila bdo ypo madarakani khaaa hii nchi vp
@gregory6165
@gregory6165 3 месяца назад
Yule jamaa wanajuwana na mama tangu kwenye chama alipokuwa naibu katibu
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 3 месяца назад
Madeni madeni madeni kwani jaman hizi hela zinaenda kwa nani deni la taifa tilion 90 mmh
@JackobKyaro-zi7uj
@JackobKyaro-zi7uj 3 месяца назад
Watafika 100
@nicken3250
@nicken3250 3 месяца назад
Mwamba kanyooshaa...
@jumakilinja6341
@jumakilinja6341 3 месяца назад
Hongera mbunge wa wanamorogoro wewe unajielewa sana,usimuachie mpina mzigo unaotaka kumuangukia
@daudpius130
@daudpius130 3 месяца назад
Uko vzr shabibi
@hemedshalua2002
@hemedshalua2002 3 месяца назад
Mseme tu ukweli sisi ni Taifa moja tuijenge nchi yetu.
@feliciankabasa8995
@feliciankabasa8995 3 месяца назад
Mbona anasem ni ccm tu wakati Kuna wabunge kama 20 wa chadema...au hawawahesabu kwa kuwa ni Jimbo 1 na viti maalumu
@mselimsuya6952
@mselimsuya6952 3 месяца назад
Huyu mwamba tupo pqmoja
@ericmoramagige3407
@ericmoramagige3407 3 месяца назад
Safi sanaaaa
@domymerinyo8165
@domymerinyo8165 3 месяца назад
Taasisi zinatakiwa kusimamia sheria na kutoza faini kwa waliokiuka sheria. Watu walipe kodi TRA basi mnatengeneza wizi
@SalumuJaibu-i7y
@SalumuJaibu-i7y 3 месяца назад
🙏🙏🇹🇿
@mabulajoel1967
@mabulajoel1967 3 месяца назад
Kama hamjui mjue sasa kuwa kati ya mabunge ambavyo yamepitwa na soko na hayasikilizwi na wananchi ni bunge hili la bajeti maana hamzungumzii kutatua kero zetu bali ni kutuongezea shida wananchi kifupi mmepitwa na soko nasi wananchi sasa tumeamka tumechoka na viongozi wanaojali matumbo yao kuliko wananchi wake.
@nathanpangjanda2734
@nathanpangjanda2734 3 месяца назад
Huyo hanasira na selikari sgr hinakwenda kuuwa biashara yake ya mabasi😂😂
@gasperelasto8842
@gasperelasto8842 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila watu mnafikir mbali aiseeeee
@MedsonUlendo
@MedsonUlendo 3 месяца назад
Maua yako Mh Shabby
@barakamanga5502
@barakamanga5502 3 месяца назад
Wabunge kama Hawa wadumu saana
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 3 месяца назад
Kwakutetea maslahi yakee siyo
@barakamanga5502
@barakamanga5502 3 месяца назад
@@deogratiusyudatadei5658 no hoja Yake ipoh sawa
@gervasonvenansi9204
@gervasonvenansi9204 3 месяца назад
Haya mabunge kama mehu hayaelewi kitu
@barakakevela245
@barakakevela245 3 месяца назад
MH SHABIBY TUNAKUELEWA UKO VIZURI
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 месяца назад
Hivi train ya Sgr Dar hadi Dodoma inaanza lini? Hawezi ona kinachofanyika mana kwenye sekta ya usafiri nae yumo, nakuelewa saaana Mhe Shabiby
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 3 месяца назад
Magufuri alikuwa mkali tulimchukia hasa watumishi kwenye wizara na idara na watendaji mbalimbali serikali,,,mkaleta ujuaji na kubembereza watumishi wezi ,,mmeikumbuka awamu ya tano
@elidiustudoy2640
@elidiustudoy2640 3 месяца назад
Tatizo kuvaa nguo moja nayo shida kubwa kweny nchi hii kati ya watu. Wangu mm ninao enda nao ni Majaliwa MPina Na msukuma au kuna mwingine
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 3 месяца назад
Kwan rais unasita nn kumuondoa mwigulu kwenye bkiti hicho????? Tunaumia wanyonge
@neemansasu9761
@neemansasu9761 3 месяца назад
Anamuondoaje? Kwa mfano Tulieee tu
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 3 месяца назад
Mkuu wa mkoa dar ime kua chafu kila sem kina zibuka mitalo ya chooni2 sasa sijui ana fanya kazi ganii mkuu wakoa amna ki2 shida2
@Moresa196
@Moresa196 3 месяца назад
Brother Millard , siku hizi kama sikuelewi mkuu. Taarifa unachelewa kupost. Mfano hii ni taarifa ya jana. What's up mkuu? Huoni pia views zako kama zinashuka. Kuna shida gani kwenye uploading department yako? Au umejipata tayari?
@MasoudSultan-ks6kc
@MasoudSultan-ks6kc 3 месяца назад
PASA ZINALIWA NA HAWAKAMATANI KODI JUU MLIPA KODI ANAONEKANA NDIO WA KUWAFIDIA WEZI MIKOPO MADENI KILA KUKICHA BADILIKENIII MLIPA KODI TUMECHOKA
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 3 месяца назад
Daima nakukubali saaana, huwa najiuliza kwanini huwa hauwi waziri
@gregory6165
@gregory6165 3 месяца назад
Wanaogopa kumkabidhi rungu
@DeusJackson
@DeusJackson 3 месяца назад
Huyu nimwamba
@israelmkaka2807
@israelmkaka2807 3 месяца назад
Ndo Maana SHABIBY NI TAJIRI..ANAJUA PESA IPO,ANAKWAMBIA HAYA MATAAASISI YANAKUSANYA NUSU YA HELA YA TRA
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 3 месяца назад
Ccm amna selikali kuna jeli silay na makonda2 ccm mzm amna chamana
@directorimmah_vfx3043
@directorimmah_vfx3043 3 месяца назад
😂
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 3 месяца назад
Huna lolote ww unafki tu unatetea barabara kwa sababu ya mabasi yako tu hunakingine
@evarimdecoration4256
@evarimdecoration4256 3 месяца назад
Acha hizo bana Shabby yupo sahihi sana kwani anashida huyu mpaka useme anatetea mabasi yake! Huyu anatetea watanzania wote hana njaa kwanza!!
@karimkinwary4668
@karimkinwary4668 3 месяца назад
Si Bora hyu anasema point we Kiongozi wako kasema nn ??
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 3 месяца назад
@@evarimdecoration4256 kweli tz Kuna viazi Tena vile ziazi vikuu kule Moshi tuna chomaga tuna kula asubuhi mpaka jioni ww barabara itakusaidia nn ww maana hata mchele ununuliwe buku shinyaga ww utauziwa elfu5 au tatu msikilize anakwambia yeye hachangii kuhusu sukari Sasa ww mlala hoi unanini unachoweza kunywa asubuhi zaidi ya chai au uji au utakula barabara kweli elimu mzigo😏😏
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 3 месяца назад
@@karimkinwary4668 point gani huyu haja wahii kuongea point hata siku moja kitu asicho kuwa na faida nacho hachangiagi ana chagia alicho na masilahii nacho tu
@hopejohnson7352
@hopejohnson7352 3 месяца назад
Hyu shabibi atete mabas yake kwa lip wakat mtu anatetea watazania wote inamana ukisema anatetea mabas yake inamana miaka yote hyo mabas yake yalikua yanapita wap fyuuu
@EliasJohn-lc8nu
@EliasJohn-lc8nu 3 месяца назад
Huyu kiongozi Amna kitu mwarabu toka lini na mtu mweusi unatetea Barabara sababu ya mabasi yako
@planethakunamatata5254
@planethakunamatata5254 3 месяца назад
Acha ubaguzi usio na maana....kwani mtanzania akiwa na asili ya kiarabu ni dhambi? swala la kutetea barabara sio tatizo pia. Kwani we hupendi barabara zitengenezwe?
@JonathanNelson-l8h
@JonathanNelson-l8h 3 месяца назад
Achana nae hajielewi😂😂​@@planethakunamatata5254
@abdulmalickkarume1472
@abdulmalickkarume1472 3 месяца назад
Maskini siku zote humchukia aliyeendelea bila sababu ambapo alipaswa kutulia na kujifunza kutoka kwake
@JonathanNelson-l8h
@JonathanNelson-l8h 3 месяца назад
@@abdulmalickkarume1472 ni kweli kabisaaaaa😂😂
@starjay3052
@starjay3052 3 месяца назад
bongo sio nchi ya kuishi
Далее
BRUTAL STREET FIGHT KNOCK OUT
00:20
Просмотров 1,3 млн
Свинья неудачник ( Liar's Bar )
24:01
Просмотров 378 тыс.
MWAMBIGIJA AMPA ONYO TULIA KUJIITA RAIS WA MBEYA
15:04
BRUTAL STREET FIGHT KNOCK OUT
00:20
Просмотров 1,3 млн