🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dr. Msukuma kichwa sana aseeeee mheshimiwa umanifurahisha.ahahaha. umeonge point nyingi sana japo mwisho umenichekesha ila kwa point akili nyingi
Safiiiiiiiii Daktari Msukuma wewe mwenye udaktari usione wivu endelea kujiamini wewe ni Daktari tu Msukuma Daktari Mbunge hakuzuii wewe mwenye kuitwa daktari wa aina uliyonayo kuitwa daktari tupige kazi kinachomata taaluma yako ilete maendeleo na mafanikio usifurahie kuitwa daktari tuwe km wabeligiji
Dah msukuma ni mtu mwenye uezo mkubwa wa kujirleza na kudadavua na anapendaza kuendelea kumsikiliza muda wote,yan ana uezo wakujenga hoja na kui i defend vizur sana sana!!
Mtaka katika viongoz wote wa mikoa Tanzania Hana mpinzani kwani Mungu anamsimamia mno katika kufanya kaz yake akizingatia utu na kujua kuwa hao anaofanyia NAO wanafamilia....na watu wanaomtegemea....Mungu akutangulie mtumishi
Nlitamani msukuma angekua ndo m bunge wetu arusha magharibi.tungekua mbali sana.namuona noah lembris yuko bze kusoma vitabu bungeni kuliko kitoka hoja na kero za wananch wa Ar Magharib..😮😮
Nida nitatizo ! Habari ya kuendelea kubaki namba hakutusaidie kwa 100% .Vitambulisho vyetu vitolewe halisia .ex nilijiandikisha ktk usajili ktk zoezi la awali lakini sijapata kitambukisho naishia kutumia namba za nida na wàkati mwingine makosa huduma kikamilifu kwa kutokuwa na kitambulisho halisi cha Taifa sio namba ya nida tu!
Hicho kitambulisho kimebakia kwaajili ya kubadili kadi ya benk tu hakuna lolote ufala tu Kenya na Uganda wanatumia Kama passport lakini hapo kwenu hajui nn maana ya kitambulisho Cha taifa mama mwenyew anahangaika kujipendekeza na mataifa ya ulaya ninge muona mjanja Kama kitambulusho kitakuwa Kama passport Kenya Uganda wakifika boda wanatoa kitambulisho Cha taifa tu mchezo umeisha
MSukuma unaongea vizr ila usipindixhe pointi ila wanaohusika ni wote yaan serikali na mkuu wa nchi, unajua utendaji ukiwa mbovu anayelaumiwa sio wazr ila ni rais
Hao tatizo linalowasumbua wanafikiri wakifanya kinyuma na alivyofanya jpm eti wanamkomoa kwa sababu walikuwa hawampendi kwa kuwa alikuwa anawafavour Wat wenye kipato cha chini. Wao Sasa Sera yao ata Kama hujaenda shule utagundua ni kuwafavour watu wenye kipato cha juu matajiri na kuwakandamiza watu wenye vipato vidogo ndo mkakati wao. Yaani wanapambana na mtu aliyekufa sijui ni uongoz wa namna gani. Yaani unawaongezea Kodi watu wenye kipato kidogo halafu unajinadi unataka kukuza uchumi. Halafu mnaogopa kusema kweli mnazunguka