Тёмный

Mbunge Musukuma Noma aliamsha bungeni atoa pochi yake mfukoni "Hamna hata buku humu" 

EastAfricaTV
Подписаться 1,2 млн
Просмотров 163 тыс.
50% 1

Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Опубликовано:

 

8 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 90   
@raphaelmwamakimbula9642
@raphaelmwamakimbula9642 Год назад
Huyu Jamaa asilimia kubwa ya haja zake zinalenga haswa kumsaidia mtu wa chin kabisa Tena habagui.Hongera sana kwake👏
@erodeshayo123
@erodeshayo123 Год назад
Unanidham sana msukuma Mungu akusimamie na ukafike mbali zaid Nimekupenda gafla msukuma
@patientlazaro6930
@patientlazaro6930 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dr. Msukuma kichwa sana aseeeee mheshimiwa umanifurahisha.ahahaha. umeonge point nyingi sana japo mwisho umenichekesha ila kwa point akili nyingi
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 2 года назад
Safiiiiiiiii Daktari Msukuma wewe mwenye udaktari usione wivu endelea kujiamini wewe ni Daktari tu Msukuma Daktari Mbunge hakuzuii wewe mwenye kuitwa daktari wa aina uliyonayo kuitwa daktari tupige kazi kinachomata taaluma yako ilete maendeleo na mafanikio usifurahie kuitwa daktari tuwe km wabeligiji
@edimundrevelian1246
@edimundrevelian1246 2 года назад
Shikamoo Dr. Msukuma 💫
@focuserick6162
@focuserick6162 2 года назад
Dah msukuma ni mtu mwenye uezo mkubwa wa kujirleza na kudadavua na anapendaza kuendelea kumsikiliza muda wote,yan ana uezo wakujenga hoja na kui i defend vizur sana sana!!
@phiniasmugini9037
@phiniasmugini9037 2 года назад
Mtaka katika viongoz wote wa mikoa Tanzania Hana mpinzani kwani Mungu anamsimamia mno katika kufanya kaz yake akizingatia utu na kujua kuwa hao anaofanyia NAO wanafamilia....na watu wanaomtegemea....Mungu akutangulie mtumishi
@anosiata8242
@anosiata8242 2 года назад
Msukuma nakuaminia Uko vizuri
@thetwen2167
@thetwen2167 2 года назад
Hahahaha msukuma nakukubali sanaa
@paulmkhoi8144
@paulmkhoi8144 2 года назад
Hata mimi nimesoma lkn nashangaa kuona mbuge msomi anavyomchelewesha Mh Msukuma kushusha nondo zenye maslahi mapana ya nchi kwa taarifa ya kipuuzi.
@joowzeyboyjoowzee4474
@joowzeyboyjoowzee4474 Год назад
Hongera Sana msukuma
@chikubundala2305
@chikubundala2305 Год назад
Msukuma Mungu akulinde
@eliassirocha3988
@eliassirocha3988 2 года назад
Mh msukuma pongeziii kwako kiongoziii mahiliii sana
@eliaswambura861
@eliaswambura861 2 года назад
Mheshimiwa uko sawa, mawazo hayo nilazima tupate mavuno yake 🤝🤝🤝🤝
@mollelstephano1364
@mollelstephano1364 Год назад
Msukuma upo vizuri sana
@AffectionateMarineShark-sv4tj
@AffectionateMarineShark-sv4tj 3 месяца назад
This man is genius in nature
@kiluwaselemani4246
@kiluwaselemani4246 2 года назад
Hongela mh Msukukuma ww una faa sana unasema kweli kabosa
@mgongolwajoseph6901
@mgongolwajoseph6901 2 года назад
Huyuu jamaaa Yuko vyemaa Sana msukuma
@enologamapaloga8778
@enologamapaloga8778 2 года назад
Logaloga, hongera sana King hailiwi uko sawa
@robbymoy1702
@robbymoy1702 4 месяца назад
Nlitamani msukuma angekua ndo m bunge wetu arusha magharibi.tungekua mbali sana.namuona noah lembris yuko bze kusoma vitabu bungeni kuliko kitoka hoja na kero za wananch wa Ar Magharib..😮😮
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w 5 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤chadema naipenda msukuma nakupa kura ila kumsifia samia niunafik
@hawahawa6132
@hawahawa6132 Год назад
Kbs
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 2 года назад
Antony Mtaka oyeeeeeeeee wakondya brother upo juu km piereee
@alphoncekagezi4950
@alphoncekagezi4950 2 года назад
Nida nitatizo ! Habari ya kuendelea kubaki namba hakutusaidie kwa 100% .Vitambulisho vyetu vitolewe halisia .ex nilijiandikisha ktk usajili ktk zoezi la awali lakini sijapata kitambukisho naishia kutumia namba za nida na wàkati mwingine makosa huduma kikamilifu kwa kutokuwa na kitambulisho halisi cha Taifa sio namba ya nida tu!
@user-ze4vz9vr9f
@user-ze4vz9vr9f 6 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤ ukovizur
@user-ib6ik3wt2c
@user-ib6ik3wt2c 3 месяца назад
Hongera yako msukum
@user-kr7wf1yg1c
@user-kr7wf1yg1c 7 месяцев назад
Hongera sana mh musukuma
@tumaintarra9960
@tumaintarra9960 2 года назад
Msukuma up vzur
@focuserick6162
@focuserick6162 2 года назад
Mbunge wa segerea bona karua anaenda kuuza sura tu jimboni ,hebu mskilize msukuma yan analeta raha kurndelea kusikiliza .
@emanuelsamson-hq2jv
@emanuelsamson-hq2jv Год назад
Ukosawa nduguyetuu musukumaa 😅😅
@adelphinusbikonya8534
@adelphinusbikonya8534 2 года назад
Yaani mbunge akijalibu tu kuongelea mambo ya muhimu taarifa za kumharibia mudi zinaanza nyamb .......HONGERA MUSUKUMA
@boniventuresonda
@boniventuresonda 2 года назад
Spika wivu🤣🤣🤣#kataa wahuni🇹🇿🇲🇼
@anthonysulula766
@anthonysulula766 2 года назад
Msukuma,wewe ni Dr.
@sharifally3481
@sharifally3481 2 года назад
Huuyu jamaa ninoma kwelii
@kauyegeorge3335
@kauyegeorge3335 2 года назад
Yan huyu jamaa anafaa kuw wazir
@doktamathew
@doktamathew 2 года назад
hahahahahahahahahahahaahahahahahahahahaah
@saimonsaid7385
@saimonsaid7385 2 года назад
Daah huyu msukuma jamn daaah
@robertphilip385
@robertphilip385 2 года назад
Msukuma chakutudanganya hela umezificha kwenye soks
@BarakerZeonlist
@BarakerZeonlist 2 года назад
so smart
@phiniasmugini9037
@phiniasmugini9037 2 года назад
Msukuma Unaongea ukweli mno.
@maulidjulius
@maulidjulius 3 месяца назад
Wewe ni kiongozi zaidi ya viongozi
@otianasanga9106
@otianasanga9106 2 года назад
Zipo mpesa
@lekumolukumay6832
@lekumolukumay6832 2 года назад
Msukuma unaeleweka sana
@mathiasvicent9955
@mathiasvicent9955 2 года назад
Akili mingi mingi
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 2 года назад
Safiiiiiiiii skulimet
@alphoncekagezi4950
@alphoncekagezi4950 2 года назад
Huko nikutucheka wenzio mzee mwenzangu!
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 2 года назад
Mpina uko sahihi wapumbavu wakubwa hawajui
@zabronjmanyama4274
@zabronjmanyama4274 2 года назад
Mifano ipo Poa Sana doctor
@abrahamkibona7038
@abrahamkibona7038 2 года назад
Msukuma hapo kwenye bwawa sijakuelewa au umepiga hela
@aleluyathobias9847
@aleluyathobias9847 2 года назад
Hi
@mariethaodilo-mp3hi
@mariethaodilo-mp3hi Год назад
Msukuma nakubal sana waambie
@jamessimba749
@jamessimba749 2 года назад
Hutu jamaa kwenye NIDA hapo angekazia
@shharifamirandou211
@shharifamirandou211 Год назад
Yaah
@nyambegamatoro6817
@nyambegamatoro6817 2 года назад
Mh mbunge, siku hizi unaupiga mwingi mno. Habari za maendeleo ya bwawa la JNHP na sgr hayaridhishi .
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 2 года назад
Hicho kitambulisho kimebakia kwaajili ya kubadili kadi ya benk tu hakuna lolote ufala tu Kenya na Uganda wanatumia Kama passport lakini hapo kwenu hajui nn maana ya kitambulisho Cha taifa mama mwenyew anahangaika kujipendekeza na mataifa ya ulaya ninge muona mjanja Kama kitambulusho kitakuwa Kama passport Kenya Uganda wakifika boda wanatoa kitambulisho Cha taifa tu mchezo umeisha
@jeshilamtu863
@jeshilamtu863 2 года назад
R I P JPM 😭😭😭🇹🇿🙏
@UfunuoMsuva-yh2et
@UfunuoMsuva-yh2et Год назад
Msukuma yupo mzuli
@patrick-qm7xo
@patrick-qm7xo 2 года назад
Vizuli Sana Msukuma una tafuta cheo kwa mama
@timboxlee919
@timboxlee919 Год назад
Hili li king ni bonge la zuzu,lina watetea wanzibari wakati kwake hakuna lami,Rip JPM
@AizackosicarLukonde
@AizackosicarLukonde День назад
Binge Ra Aida kenani
@sambulugu9988
@sambulugu9988 2 года назад
Wewe Msukuma mjinga tu! Wewe mvuvi haramu!
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 2 года назад
🤣🤣🤣
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w 5 месяцев назад
Bogas wewe
@deogratiusjoseph1758
@deogratiusjoseph1758 2 года назад
Saf sana
@mrsjerome9981
@mrsjerome9981 Год назад
✋✋
@edwardmalila5230
@edwardmalila5230 2 года назад
MSukuma unaongea vizr ila usipindixhe pointi ila wanaohusika ni wote yaan serikali na mkuu wa nchi, unajua utendaji ukiwa mbovu anayelaumiwa sio wazr ila ni rais
@SamsungGalaxy-kx2zj
@SamsungGalaxy-kx2zj 2 года назад
Dada huna akili yy kasema ukweli kunanchi gani yenye vitambulisho Mia
@zuberimkuba2324
@zuberimkuba2324 Год назад
Msukuma nakukubar saana ubunge wako unaufanyia kaz ipasavyo
@davidjohn8276
@davidjohn8276 Год назад
Umemaliza kwa mkwara mzito
@monicawasuha8650
@monicawasuha8650 Год назад
Uwamz wa Tanapa mbarali
@user-ze4vz9vr9f
@user-ze4vz9vr9f 6 месяцев назад
😂😂😂
@user-dx7hb3de9e
@user-dx7hb3de9e Год назад
Dah natamni nifike hapo
@enologamapaloga8778
@enologamapaloga8778 2 года назад
Mh logaloga nakuamini King King MSUKUMAAAAAAAAAAAA
@hizamwaimu3918
@hizamwaimu3918 2 года назад
😳😳😳😳😳😳
@saderaodupoi4333
@saderaodupoi4333 2 года назад
Huduma number card loading in Tanzania.
@omansinaw7538
@omansinaw7538 2 года назад
Musukuma umpewe urizi pesa warudishiwe pesa zao
@RamadhanNapinda
@RamadhanNapinda 12 дней назад
huyundio mbunge
@godfreybikukana2079
@godfreybikukana2079 2 года назад
Upewa Rushes ndio maana unajipendekeza
@mrsjerome9981
@mrsjerome9981 Год назад
Ukovinzr kaka
@paulinanzunda
@paulinanzunda 4 месяца назад
Karibulupachunyamsukumajimbolalupatunambungehewa
@omansinaw7538
@omansinaw7538 2 года назад
Ninakuerewa kabisa msukuma
@kingkendrickk
@kingkendrickk 2 года назад
Bunge la mazwazwa
@ahz6907
@ahz6907 2 года назад
Samia mitano tena 2025
@kikongajoel5172
@kikongajoel5172 2 года назад
Msukuma?????????????
@saidybhokey5744
@saidybhokey5744 2 года назад
nikweli msukuma
@puyaka1849
@puyaka1849 2 года назад
Msukuma kwenye issue ya bwawa la Nyerere unaleta uchawa! Unaongea upuuzi wewe
@rashidngwawile9062
@rashidngwawile9062 2 года назад
Kumbe nawe umeona. Kushukuru kwa kurijuwa hilo
@jonhjoseph
@jonhjoseph Год назад
Hong era kasheku
@onesmojustice2348
@onesmojustice2348 2 года назад
Hao tatizo linalowasumbua wanafikiri wakifanya kinyuma na alivyofanya jpm eti wanamkomoa kwa sababu walikuwa hawampendi kwa kuwa alikuwa anawafavour Wat wenye kipato cha chini. Wao Sasa Sera yao ata Kama hujaenda shule utagundua ni kuwafavour watu wenye kipato cha juu matajiri na kuwakandamiza watu wenye vipato vidogo ndo mkakati wao. Yaani wanapambana na mtu aliyekufa sijui ni uongoz wa namna gani. Yaani unawaongezea Kodi watu wenye kipato kidogo halafu unajinadi unataka kukuza uchumi. Halafu mnaogopa kusema kweli mnazunguka
@maluhismadila9593
@maluhismadila9593 Год назад
Msukuma nimeikubali hiyo
Далее
The Most Elite Chefs Ever!
00:35
Просмотров 3,4 млн
Mark Rober vs Dude Perfect- Ultimate Robot Battle
19:00
DR SLAA AFUNGUKA A-Z UTEKWAJI WA ALLY MOHAMMED KIBAO
15:08
The Most Elite Chefs Ever!
00:35
Просмотров 3,4 млн