Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.... Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Asante Sana mh msukuma ukweli serikali haimthamin huyu mfugaji masikini swala la kuwafunga ng'ombe heleni ni hasara kwa serikali bajeti hiyo bora ipelekwe zahanati au waongeze majosho na dawa
Mwenyezi Mungu hampi mtu kila kitu. Wasukuma ni washamba lakini wana IQ ya hatari sana. They're natural gifted na mifano ni mingi, eg. President JPM, MP msukuma, Jenerali Silas Mayunga, Rev. Josephat Gwajima, this is just a few to mention. Much respect to them, I real appreciate this tribe they always think in extra mile.