ujuwe shekhan bado ni kinda tuseme lakini anakipaji sasahivi huwezi kumjaji kwanza yupo kwenye timu kubwa anamengi ya kujifunza na madamu ana walimu waliobobea atabadilika hao wenye uzowefu wanapiga mashuti nnje kwahiyo huwezi kumlaumu lazima tumpe mada kwa wale wanaoujuwa mpira wanaelewa akikomaa tutafurahi