Тёмный
No video :(

MCHUNGAJI MSIGWA AMVAA MBOWE kwa MARA ya KWANZA MKUTANONI kwa CCM - AFICHUA MADUDU YOTE ya CHADEMA.. 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 30 тыс.
50% 1

MCHUNGAJI MSIGWA AMVAA MBOWE kwa MARA ya KWANZA MKUTANONI kwa CCM - AFICHUA MADUDU YOTE ya CHADEMA..
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

24 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 405   
@globaltv_online
@globaltv_online Месяц назад
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@jdanny497
@jdanny497 Месяц назад
Pimbavu hakuna mchungaji kama wewe tapeli
@YangaNews
@YangaNews Месяц назад
Tanzania tuamke huu upuuzi wakna msigwa usituteke ccm imeharibu nchi yetu
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
@yahyamajidyahyahilalal-har8762 Месяц назад
Kwani kalazimishwa msigwa😂😂😂
@user-lw3tg3yg5b
@user-lw3tg3yg5b Месяц назад
Loo hakika siasa ni mchezo mchafu hivi msigwa unaikashifu chadma iliyokupa umaarufu namengine kweli? Ccm kuweni makini mtu huyu hana maana kabisa . Mimi si mwanasiasa na sina chama ila hapa msigwa hufai kabisa.Unajitambulisha ati mchungaji mchungaji gani mnafiki wa kiwango hiki? Mwogope Mungu wewe.
@philliminusmugereza5699
@philliminusmugereza5699 Месяц назад
Peter Msigwa Kawaombeladhi Wanachama Na Viongozi Wa Chama Kikuu Cha Upinzani CHADEMA. Kinacho Tetea Mwananchi Wa Tanzania. Kabla Haujaokota Makopo, Umewakosea Sana Watanzania. Hasa Wanachadema. Siamini Kama Kweli Ni Mchungaji. Unayejua Miiko Na Maadili Ya Uchungaji. Naomba Nikupe Pole Sana. Kwa Hicho Ulichokifanya Cha Kusaliti Chama Kilichokutoa Tongotongo Machoni Na Kwenye Ubongo Wako.
@AizackKalenge-ro5rc
@AizackKalenge-ro5rc Месяц назад
Nasikia ulichukua pesa,Ili ukishinda uenyekiti wa Kanda uibomoe Chadema,Mbowe Hana njaaa amesemwa mengi,Lakini mwamba Yuko imara sana,Utabomoka mwenyewe
@omarinyahegs4539
@omarinyahegs4539 Месяц назад
Hii njaa Msigwa juzi tu unaiponda Ccm unatuchanganya ndg Msigwa kweli tusiwaamini wanasiasa
@chamimdesa148
@chamimdesa148 Месяц назад
Njaa mbaya sana, Esau akiuza haki yake ya ukubwa wa familia Kwa CHAKULA tu, Hana tofauti na huyu nyumbu
@user-kg8dn6qr8o
@user-kg8dn6qr8o Месяц назад
Wa Na siasa Malaya Malaya kama huyu kibaka msigwa mwalimu Nyerere Alisama ni hatali Sana Kwa nchi yetu Hatakiwi kuaminiwa Na mtu mwenye Akili timamu
@japhetisraelsmafie997
@japhetisraelsmafie997 Месяц назад
Ila nja nimbaya sana mwanadamu hata anamkana mungu
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
@yahyamajidyahyahilalal-har8762 Месяц назад
Kwani chama chake 😂😂chadomooo
@MelkizedekUrio-xl1jp
@MelkizedekUrio-xl1jp Месяц назад
jamani njaaa inatesa huyu ni msigwa kweli
@SolomonKaay-gq3gl
@SolomonKaay-gq3gl Месяц назад
CCM ulikuwa unaitukana kila ulipo fika,leo unaisema chadema haukuwa mtoto useme ukuijua ccm,waombe radhi watanzania wewe CYO mtu wa kuaminika milele.
@mkude
@mkude Месяц назад
Kama hujui siasa hiyo ndo siasa,siasa hakuna adui wa kudumu Wala rafili wa kudumu,kwahiyo usishangae msigwa kwenda ccm.labda kama utakuwa hujui siasa
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Месяц назад
Solomon yamemfika huyo acha ayamwage hiyo ndiyo Siasa mchezo mchafu
@polokotomwalusamba1132
@polokotomwalusamba1132 Месяц назад
Hafai hata kumpa dakika kumskiliza
@oswadrdaniel819
@oswadrdaniel819 Месяц назад
Njaa inakuua we lipa fazira
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 Месяц назад
Mtu mzima lakini unaongea Utoporoo tu puuzi kabisa kwa hiyo unatuona watanzania hatuna akili, puuzi kabisa msigwa
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd Месяц назад
Nawahumia sana Watoto wako kuwa .na baba wa namna hii!!! Ingekusaidia kidogo kama NDOA yako na MAFISADI HAO WANGEKUOA kabla hujashindwa uwe nyekiti kanda angalau Wapumbavu wangekupa heshima kidogo,lakini hata wapumbavu hawawezi kukuheshimu kwa sasa!!! HAKUNA ANAYE KUELEWA KABISA KWANZA USO WAKO UMETAHAYARI(AIBU).
@user-jg2dy4kb6j
@user-jg2dy4kb6j Месяц назад
njaa na kukosa uongozi imemfanya afike apo wakimtema ccm hana pa kwenda ndo mwisho wake
@reginaruta3249
@reginaruta3249 Месяц назад
Wachungaji hawatakiwi kuwa wanafiki. Futa ilo jina kabisa.
@ibrahimomari2458
@ibrahimomari2458 Месяц назад
Yaani wamekupa ubunge miaka 10...mwenyekiti wa kanda miaka 5... Leo heti chama hakikufai... Kama waliuawa ndugu za watu wa chadema ina maana wauaji ndio hao uliojiunga nao? Msigwa mtu mpumbavu sana...
@Anithawilielemi-uh3ww
@Anithawilielemi-uh3ww Месяц назад
Msigwa anatabia kama ya jamaa moja kwenye Biblia Kwa jina SANBALATI aliyenunuliwa kwa chumvi ya jero akasahau damokrasia aliyowahi kuhapia.
@jonathanakhabuhaya1693
@jonathanakhabuhaya1693 Месяц назад
Baada ya kuitukana CCM na kuwadhalilisha viongozi wa CCM, wakiwemo Marais, kwa miaka mingi, wananchi wengi na CCM hawakuamini. Huko utatumiwa kama toilet paper na meisho kutupwa chooni.
@user-ou1ls6oj2f
@user-ou1ls6oj2f Месяц назад
Unajitambulisha mchungaji huna haya hubiri kilichokuhamisha utafutaji pesa huna haya kabisa
@FadhiliMwaitete-ls2li
@FadhiliMwaitete-ls2li Месяц назад
Ata watu huna kitu wewe aibu sana angalia watu hao ndiyo watao kumpigia kura wapo 7 tu msigwa umeisha kabisa
@DahHodges777
@DahHodges777 Месяц назад
Bora ungestaafu siasa tu. angalau hiyo ingekuletea heshima na utu..ila kwasasa hata namna kuongea umebadilika kwa kifupi unaitesa nafsi..
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd Месяц назад
Hakika anateseka Sana!!!
@ChristerKoku
@ChristerKoku Месяц назад
Kwani,mkutano huo inanihusu chadema.eleza utakayoliganyis taifa.
@user-jr3mg3ko6m
@user-jr3mg3ko6m Месяц назад
Huoni aibu kenge wewe Malaya wewe njaa inakusumbua
@AbeliIrikaeli
@AbeliIrikaeli Месяц назад
Madakitari.wa afia.ya.akli.waongezwe jamani Apa tunapo elekea wagonjwa wata ongezeka Kwa kasi
@user-bn4br7qm7r
@user-bn4br7qm7r Месяц назад
Yani hili tahira kweli,kwa hiyo umeona ni bora uungane na wauaji
@user-bn4br7qm7r
@user-bn4br7qm7r Месяц назад
Tahira hili yani ukishakula hela ya ccm unakuwa boya
@HulumaKisakali
@HulumaKisakali Месяц назад
Huna maajabu mchungaji mzima ovyo mmbea wewe
@ericksimon3899
@ericksimon3899 Месяц назад
Huyu sijui ni mchungaji wawap
@mgungulem3187
@mgungulem3187 Месяц назад
Huyu ni mchunga njaa
@MajutoElliasi
@MajutoElliasi Месяц назад
Simwami mutu kwenye maisha yangu
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 Месяц назад
lakini msigwa umesahsu mlivyofanya vigisu kwa zuberi zitto kawe?hizo ndizo sera zao
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd Месяц назад
ZITO HANA LOLOTE ZAIDI YA UDINI NA KUPENDA UKUBWA!!! ANGEPEWA UWENYEKITI TAIFA CHADEMA, ANGEUZA CHADEMA YETU!!! MH. MBOWE SI MALAYA WA KISIASA NI MWAMBA WA SIASA SAFI NCHINI NDIYO MAANA CHADEMA NI IMARA SANA AMEIJENGA KWA HALI NA MALI KWA GHARAMA KUBWA!!!
@duniakidogo8516
@duniakidogo8516 Месяц назад
Wewe ni mchumia tumbo kweli. Lakini pia IQ yako ni chini ya kiwango. Imekuchukua miaka 20 kutambua kuwa ulipotea? Ama kweli hufai, hufai. Ongea sera na si chama kingine. Au Huna sera? Hayo ni machungu ya kukosa kura. Pole kaka
@LesiJama
@LesiJama Месяц назад
Acha njaaaa msigwa hakuna mtanzania atakaye kuelewa
@renatuswilson1577
@renatuswilson1577 Месяц назад
Kwa uchungaji huo, hakika hukawii Kula Kondoo. Mzee unatamaa. Aminia ulikotoka wamekushepu. Usiache kuwashukuru.
@user-hb8er6dq2q
@user-hb8er6dq2q Месяц назад
MaFara katka nchi hiibado wapooo eti ili nalo ni lichungaji
@user-cw2nj4io3v
@user-cw2nj4io3v Месяц назад
Njaa itawamaliza wanasiasa wa nchi hii.
@tumainieverest9928
@tumainieverest9928 Месяц назад
mSIGWA NJAAA ITAKUUA MAPEMA
@LucyVenant
@LucyVenant Месяц назад
Msigwa unajipya umechoka ,upati ata ujumbe wa nyumba kumi
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 Месяц назад
Tamaa mbele mauti nyuma shezi kabisa
@lutembekarodi
@lutembekarodi Месяц назад
Pole Msigwa nakuona unavyoshindana kuulazimisha moyo wako useme usiyoyaamini. UTATESEKA HIVI MPAKA LINI Msigwa? Kwa vyovyote vile huwezi kupata amani.
@MarkoFabiano-s5u
@MarkoFabiano-s5u Месяц назад
Njaa nimbaya
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn Месяц назад
Kwa kweli siamini masikio yangu mpaka nalia yaani umefikia hatua mpaka unamwita mbowe nkurunzinza? Kweli Dunia mayowe
@illomowerner7690
@illomowerner7690 Месяц назад
Kumbuka pia huyu alikuwa mjumbe kamati kuu, hiyo huyo anayemsema Nkurunziza ndiye alikuwa akisimamia vikao vya kumpitisha kwenye UONGOZI wa Kanda na Ubunge, Watu hatuna shukrani aiseee
@BatazalNdifwa-nk2hl
@BatazalNdifwa-nk2hl Месяц назад
Huyo njaaaaaaa. Msipompa cheo huyo shauri Yenu. Ok
@harunamtiko117
@harunamtiko117 Месяц назад
Mchungaji, mh we mjinga kwel kuna mchungaji malaya wa siasa km wewe.
@denisnjaila2182
@denisnjaila2182 Месяц назад
Hasiraaaaaaaaaaa usipopata muda wa kutafakari zitakufanya uwe...........
@user-lx2lo2lp8m
@user-lx2lo2lp8m Месяц назад
We kima,nilikushauri mapema shirikiana na chama,ila dhambi itakayokumliza ni kumsakama mbowe,huna muda mrefu,amini!...
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Месяц назад
Hahahahaa njaa kweli ni mbaya sana
@mosesnyelo1380
@mosesnyelo1380 Месяц назад
Punguza stress kijana wanasiasa sio wenzako, tafta pesa
@kaguripenina63
@kaguripenina63 Месяц назад
Mm sio mwanasiasa lakin mpaka sasa naona mwisho kwako nmbaya,pia hauna mvuto tena hata huko ccm
@illomowerner7690
@illomowerner7690 Месяц назад
Kabisaaa @kagu
@user-fx6zr6ij5y
@user-fx6zr6ij5y Месяц назад
Huyu mtu naona amechanganyikiwa ata anachoongea akijulikani mpelekeni kwa mwamposa 😂😂
@robertphilip385
@robertphilip385 Месяц назад
Au mirembe kabisa
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 Месяц назад
😂😂😂😂😂
@davidmpiluka5224
@davidmpiluka5224 Месяц назад
Kati ya watu niliowadharau sana tena sana ni wewe Mch. Msigwa. Wewe ulikuwa mpinzani mkubwa sana wa CCM. Leo CCM kuna nini cha pekee kilichofanyika kilichokushawishi kuhamia CCM. Mara mia zaidi ungeachana na CHADEMA halafu ukabaki bila chama chochote cha siasa au ungeanzisha chama kipya, na si kujiunga na chama kile kile ulichokinga kwa nguvu zote miaka yote. Ni aibu kubwa sana.
@StephenMpallange
@StephenMpallange Месяц назад
Unakijenga CCM kwani kina hali gani,je kiko dhoofu hali?Hapo umesema kweli CCM imechoka,jaribu kukijenga,kwani kimechokwa na hakipendwi.
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 Месяц назад
Usiusemee moyo wa mwingine😅😅
@AizackKalenge-ro5rc
@AizackKalenge-ro5rc Месяц назад
Miaka kumi Ulikuwa Mbunge kupitia Chadema,Hapo je?Leo hii unataka kuidhibu Chadema yote?Umekufa kisiasa wewe ni Yuda iskariote,
@HatibuSozi
@HatibuSozi Месяц назад
Usinge shindwa na sugu tungekuamin ila kwa hili ni njaa tuuuuuumchungaji mzima
@jescalutahoire8125
@jescalutahoire8125 Месяц назад
Tunahitaji Siasa za kistaarabu siyo kusemana, haitusaidii wa Tanzania. Tunataka maendeleo siyo maneno
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 Месяц назад
Huyu ni mchungaji aliasi kazi ya Mungu akaja kwenye siasa. Sasa kakosa chadema kakimbilia ccm kutafuta chakula.wa hovyo tuu
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 Месяц назад
Loooo, msigwa kwa heri umesha kufa kisiasa hutosikia tena kwakweli kama usemi wako akiri ndogo haiwezi kutawala akiri kubwa kwahiyo msigwa unatawaliwa na akiri ndogo ya CCM hakika njaa haijawahi kumuacha mtu salama halafu angaria msigwa hata hotuba unapangiwa ya kusema
@IkoUwasi-it6qy
@IkoUwasi-it6qy Месяц назад
Kazi mnayo chadema yaani mtu akitoka chadema kwenda ccm eti njaa akili huna ana njaa gani mtu Kawa mbunge miaka 10
@halimamasai2234
@halimamasai2234 Месяц назад
@@IkoUwasi-it6qyNdo nashanga Msigwa amewauma sana chadema Msigwa kwenda CCM 🤣🤣🤣 Msigwa ni mtu makini msomi hana haja na pesa amefata ukweli . Sasa chadema badala mjitafakari kwanini amehama mnasema njaa pole sana ufahamu wenu ndo umekwamia hapo
@sebastianmakassy8083
@sebastianmakassy8083 Месяц назад
Mbona umelamba matapishi yako?
@LaurentMpilu-qe6lq
@LaurentMpilu-qe6lq Месяц назад
Ogopa sana kupingana na moyo wako, yaani unasema Leo ni jumapili mdomoni, lakini akilini inakwambia Leo ni jumanne
@SolomonKaay-gq3gl
@SolomonKaay-gq3gl Месяц назад
Hauna point kabisaaa.
@philipongenzatv
@philipongenzatv Месяц назад
Mzeee wa kununuliwa bei cheeeee
@rugemalilalucas4533
@rugemalilalucas4533 Месяц назад
Mavi kiraka unajipya zaidi ya njaa ya asubuhi chooni.
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 Месяц назад
,😂😂😂😂 Hiii nchi inachekesha . kwa kweli
@ephrahimkivuyo4275
@ephrahimkivuyo4275 Месяц назад
Ila msigwa ni mpumbavu sana tena sana we ni mpumbavu mnoooooooo
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 Месяц назад
Nani alimpeleka SA kusoma?
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x Месяц назад
Kuna mafataki wakiona mke amefiwa na mume wao kazi ya nikuvizia kuwatongoza wajane Huyu mjane alishindwa kuvumilia hisia Kila la kheri ww mjane upate mapenzi moto
@illomowerner7690
@illomowerner7690 Месяц назад
Great comment @mwita
@EuniceMadaha
@EuniceMadaha Месяц назад
Njaa mbaya sana
@mamafaiza1720
@mamafaiza1720 Месяц назад
Njaaa mbayaaa
@kelvinmgaya-gp8jk
@kelvinmgaya-gp8jk Месяц назад
Njaaaa haijawahi mwacha mtu salama
@neemanziku5403
@neemanziku5403 Месяц назад
Kwenda zako msaliti ww hii ni baada ya kukosa uongozi, tuache na chadema yetu,njaa tuu huna jpya
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 Месяц назад
njaa ya madaraka inakusumbua umekula vya sisisem lazima ulipe kwa kuongea utumbo
@KaburuKimath-eu5nf
@KaburuKimath-eu5nf Месяц назад
Pole mchungaji Imani yetu Kwa wachungaji inaanza kupunguwa
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Месяц назад
Punguza makasiriko
@hafidhhemed1514
@hafidhhemed1514 Месяц назад
Shikamoo siasa
@tunumigila8995
@tunumigila8995 Месяц назад
Wamemwaga mboga, amemwaga ugali.😅😂😂😂😂
@polokotomwalusamba1132
@polokotomwalusamba1132 Месяц назад
Huyu alitoka ccm akaja nccr mageuzi akaenda tlp akaja chadema sasa amerudi kwenye jeneza lake ili aendelee na safari yake ya kutibu njaa huyu sio mwanasiasa wa kumuamini anaangalia upepo wa kupata pesa hana lolote alichokimbia chadema kaenda kukitafuta ccm njaa ni mbaya sana uenyekiti wa kanda alioshinda sugu ndio ulipelekea yote hana hoja zaidi ya unafiki huyu mtu sio strong kabisa ni dhaifu hakubali matokeo huko alikoenda anasubiri V8 apeperushe bendera ya ukuu wa mkoa wowote atakao pewa watanganyika tusidanganyike na wahuni wa aina hii.
@xxxl-jf2ji
@xxxl-jf2ji Месяц назад
Jaman khaaa
@richardjafu7404
@richardjafu7404 Месяц назад
Unajidhalilisha sana, na Kwa kweli hata uchungaji wako una mashaka sana. Njaa imekuzidi.
@eliaspeter4017
@eliaspeter4017 Месяц назад
Mh Msigwa umepoteza ubora wako, hakika Mwanasiasa akikutakia usiku mwema, hakuna namna Toka nje ukajiridhishe kuwa ni usiku au la!! CCM ndo baba lao,
@-hm8mn637
@-hm8mn637 Месяц назад
Huyu Msigwa fala sana, Hana mpya anatoa ushuzi tu mdomoni mwake. Kuna haja gani ya kumwita mwenzake majina ya kijnga jinga
@user-od2mc4mj4e
@user-od2mc4mj4e Месяц назад
Nindugu yangu lakin kwa Hilo amefeli baada ya uchaguzi hatapewa cheo atalud chadema kwa kutambaa
@davidmachumu3150
@davidmachumu3150 Месяц назад
Mchungaji haya maneno unayaongea kwa wananchi wa Dar ,vema. Ungeongea huko mikoani kuliko wa Dar waelewa sana, unaonekana hoppless😅
@jumannemussa8281
@jumannemussa8281 Месяц назад
Kakudangany nan kama wanaich wa dar waelevu
@ndemabhwila
@ndemabhwila Месяц назад
Umekubali kuongozwa na akili ndogo,?
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 Месяц назад
Hata SISI CCM TUNAKUSHANGAA mchungungaji.
@shedrackpallangyo4004
@shedrackpallangyo4004 Месяц назад
Kama chama hakufai ilikuawaje utumikie miaka 10 ya ubunge na miaka5 ya m/kiti je ungepata nafasi m/kiti ungetoka kwenye chama weka akiba ya maneno
@emanuelmsangi6686
@emanuelmsangi6686 Месяц назад
MTU anasema watu waliuwawa kwwnye uchaguzi badala ya kuhoji ni nani aliwauwa anaishia kutukana upinzani..sasa apo hoja yake ni IPI?
@frankminga9307
@frankminga9307 Месяц назад
Inasikitisha hata ccm wenyewe hawajamchangamkia kwasababu wanajua anachoongea hapo sio yeye ni njaa tu
@hashimsalum7025
@hashimsalum7025 Месяц назад
Umefisilika msigwa tafuta kazi nyingine, hamna cha maana unachoongea, hizo ni chuki binafsi
@illomowerner7690
@illomowerner7690 Месяц назад
Ila kawahi mno kufirisika, amesahau KUWA amewaacha kondoo porini
@JofuAmuko
@JofuAmuko Месяц назад
YAANI KUKOSA CHEO TU !!!!!! UNAHAMA CHADEMA !!!!! NA HUKO WASIPOKUPA CHEO ITAKUWAJE ???? TAMAA ZIMEKUPONZA, UMEMSHINDWA KWA POINT CHACHE TU,, ETI UMEHAMA, UMEKWISHA HABARI YAKO !!!!!
@user-vl5xv2xd6e
@user-vl5xv2xd6e Месяц назад
Msigwa huna tofauti na Nyoka wewe kushindwa ndiyo unazungumza upumbavu uliokuja kichwani Umelelewa na Chadema shukururani ndiyo hiyo mwache Mh.Mbowe wewe ni mnafiki nyoka Cobra shika Adabu
@isackphilipo9870
@isackphilipo9870 Месяц назад
Hivi wewe si ndio ulikuwa unatutukana sana leo unawatukana viongozi waliokulelea mpka umefika hapo uwe na akiba ya maneno mheshimu Kiongozi wa CHADEMA aliyekulea usiruhusu hela ulizopewa uonekane bwege maana hata hapa ndani ya chama hatukuamini
@RBMBAKARI-bv6wn
@RBMBAKARI-bv6wn Месяц назад
Huyo ndio msigwa bwana niliwaambia chadema wamejimalize wenyewe.acheni matusi msigwa amefuata demokrasia alipoiona inafaa
@neemanziku5403
@neemanziku5403 Месяц назад
Hasira zina kusumbua huna lolote
@charlessolomon5928
@charlessolomon5928 Месяц назад
Hakukanusha alipoambiwa na msukuma kuw Hela anazo zitumia ni Hela za ccm
@piusrweyemamu3900
@piusrweyemamu3900 Месяц назад
Mbona bado ongea yake ni kana ya Mh. Mbowe hata sauti pia!!!
@korogwemandari
@korogwemandari Месяц назад
Hicho ndicho kimesababisha ukaukosa mwenyekiti wa Kanda?
@Flaviosafari
@Flaviosafari Месяц назад
Chadema makini
@hassankilongo8061
@hassankilongo8061 Месяц назад
Huyu Jamaa ni mbaya kuliko shetani. Yaani nimemsikiliza mpaka mwili unanisisimka. Ni Mchungaji wa kanisa gani huko Iringa, na ana wafuasi kwelii?
@planetbrand
@planetbrand Месяц назад
Hata unavyo ongea sera huna!!Hayo ndo umeyaona leo baada ya kukaa miaka 20?😂
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 Месяц назад
Njaa mbaya
@BenardZephaniah
@BenardZephaniah Месяц назад
Pia si vizuri kutumia la Nkurunziza kwa nini asitumie jina la mhusika? Warundi laiti wangekusikia wangekushtaki maana huyo kwao japo alishatangulia ni mtu wa kuheshimika saana eloo
@AishaNdinadyo
@AishaNdinadyo Месяц назад
Na ww ulikuwa ulikuwa kiongozi ulifanya nini ww
@IddyWahabu
@IddyWahabu Месяц назад
Hivi angepata kuwa mwenyekiti wa Kanda angeyasema hayo au kama ni mzalendo kwanini asiyaseme hayo kabla ya kushindwa
@user-ex1zm6fd4f
@user-ex1zm6fd4f Месяц назад
Chizi uyo alipanga kukiacha chama hakiwa mwenyekiti wa kanda watu wamestuka mapema
@IsmailKidongo
@IsmailKidongo Месяц назад
Kwisha abari yako boraungeamia act wazalendo
@EliaHiluka
@EliaHiluka Месяц назад
Ni aibu yupi kwako kwahiyo mabaya unayoyataja yalikuwa yanafanywa na ccm na ccm UKo wapi
@sallyeliya5213
@sallyeliya5213 Месяц назад
Kama tunasukumwa na mihemko ya uchama,akili haziwezi kufunguka na kutafakari vizuri,tuamke maendeleo ya nchi yetu yatachagizwa na akili iliyo pevuka.
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Месяц назад
MCHAWI MKUBWA WEWE UNAYETAKA KUFANYA WATANZANIA TUENDELEE KUWA MASKINI KWAAJILI YA CCM WAONGO KABISA.
Далее
C’est qui le plus fort 😂
00:18
Просмотров 1,2 млн
MSIGWA AZUNGUMZA WATU WASICHOKIJUA NDANI YA CHADEMA
32:54
C’est qui le plus fort 😂
00:18
Просмотров 1,2 млн