Mimi kwenye hata sisi ambao sio wana siasa, tumejifunza kuwa tumezungukwa na maadui wengi sana , wakina yuda wako wengi mnoooo , we need to be moore careful some people are so jealous 😢😅😅
Huyu jamaa hata km angepewa nafasi yeyote ndani ya serikali halafu akafukuzwa anaweza kutoa Siri za serikali.Wewe unafikiri ccm ndiyo iko salama Sana unavyonifikiria,
@@user-fr7jj1bo7y sio tatizo la msigwa ni tatizo la alikotoka!!! Walizunguka nchi nzima kumchafua lowasa kua ni fisadi kisha kumpokea na kumsimamisha agombee urais...hiyo ni tabia yao😐😐!!!
Ww ccm walikua wanakupa pesa Hadi msukuma akasema kama unabisha wakate mnyororo Tena akasema mwaka 2024 kuelekea serikali za mitaa msigwa atahamia ccm kweli yametokea
Msigwa ungekuwa unapenda haki ungeanzisha Chama chako kama zitto kabwe lakini kitendo cha kwenda Chama cha mafisadi ccm moja kwa moja unaonekana umenunuliwa na huna legality yoyote zaidi ya kuonekana ni mroho wa madaraka
Msigwa ni muhuni tu. Uroho wa madaraka ndio kuanguka kwake kumepelekea yeye aende ccm nakuapia leo hii akigombea akapika mungu wangu ayupi hai uyu c mchungaji ila ni tapeli tu.
Mmmh huyu jamaa nadhani anakila dalili za kununiliwa na ccm...hivi wote hao watatoka na kwenda CCM Kwa kosa la Mbowe TU ..Mashinji , Kabouru, Na wengine why waende Ccm.
siri imefichuka Msigwa alitaka kumpindua Mbowe wakati ule alipokamatwa na kuwekwa ndani na kwa bahati nzuri Mbowe alifahamu huo mpango toka hapo Msigwa alikatiwa mawasiliano Huyu mjamaa ni kirusi hatari sana
Alivyokuwa chadema alikuwa anajuwa kujenga hoja ona sasa hivi anavyopata tabu kujenga hoja , sikuzote ukweli nauwongo haviwezi kukaa pamoja wala mwanga na giza kamwe haviwezi kuwa sawa, ndugu mchungaji jitafakali
Ukimsikiliza anaonekana kama unamsikiliza kichaa. Wanaotoka CCM wala huwasikii wakisema chocolate cha CCM lakini watu wakitoka CDM kama huyu MWEHU anayetos maneno ya shombo kuhusu MBOWE. Alikuwa kama TEJA lakini Kishasahau alikotoka. MANENO MENGI KAMA MVUTA BANGI.. KWELI MBOWE Hana bahati anawalea mwisho wanamgeuka.
HATA UMSEMEJE MBOWE HUTAFANIKIWA HIKI NI CHAMA TIMAMU NAVIONGOZ MAKINI SANA HARAFU WE MSIGWA USISAHAU KUSOMA KOMENT JINGA USIE JITAMBUA UKISHA TOKA KWENYE HAKI HABARI YAKO NDO IMEISHA
Sijaona mpumbavu na mjinga kama huyu, kwa kawaida mbilikimo ni waongo sana. ccm ni lichama lililojengwa na watanzania wote. Mbona Nyerere alikuwa mwenyekiti wa ccm na Tanu kwa miaka mingi? upinzani lazima ujengwe kwa gharama yoyote ile kwa manufaa ya wananchi. Hata Tanu ikiwa changa wapumbavu kama wewe (wachumia tumbo) walikimbia na kutoa kashifa nyingi kwa Nyerere. Mtoto akikua, anaoa na kujenga nyumba yake na huishi humo akitatua changamoto mbalimbali, ikiwemo nyumba kuvuja nakadhalika. Lakini toto zezeta hurudi kubanana kwenye nyumba ya wazazi wake. unatuabisha mkoa wa akina Mkwawa, kamuulize mama yako baba yako halisi ni nani? Msigwa ni ukoo wa kupachikwa. 15:10