Ukijiungamanisha na familia ya Kajala lazima utagombana na watu wako wa karibu au familia. Family ya P Funky Majani iliyumbishwa Familia ya Abby Cham iliyumbishwa Familia ya Wema Sepetu ikayumbishwa Familia ya yule mumewe ikayumbishwa hadi mahakamani Familia ya Konde Gang ikayumbishwa Familia ya Mario bad nation imeyumbishwa tusubirie next family kuvurugwa
Hahahaha Huyu divano simkubali ila nimeamini huwa anasemaga ukweli japo anaweza egemea upande Kweli Marioo club bangers zake zote sound as if Chino created the idea behind the scenes Chino na Marioo are like ying and yang ☯️ Sema Abbah na Jaivah ni blood relatives Abbah nae kamtoa Marioo na kusimamia kazi zake zote So pamoto hapo
Din'gano sasa unaenda wapi Unataka kupata matatizo? Unaingia wapi pambano kati ya Chino na Marioo? Ipo siku utaumia ukifikiri sana. Wanajitambua wenyewe, wewe ni nani kuingia kwenye. mazungumzo ambayo si yako?
Marioo msenge tu hapendi maendeleo ya chino kisa chino kamjengea mamaake na kupanga gorofa na kununua magari ndo kinachomuuma marioo paura hataki Sasa siku paura atatembea na chino
Tatizo la Din’gano anataka kuonekana kwenye mitandao ya kijamii akiongea vibaya kuhusu watu ambao hata hawakumsumbua. Unaingia wapi pambano kati ya Chino na Marioo? Ikiwa huna la kusema, nenda kamsaidie kijana wako wa konde.