Тёмный
No video :(

MFANYABIASHARA MKUBWA ARUSHA ATOFAUTIANA NA GAVANA MKUTANONI "HAWATAKI KUONA DOLA YAKO" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 266 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 788   
@raphaelbadili5578
@raphaelbadili5578 5 месяцев назад
Huyu mtu anaakili sana.kama umemuelewa gonga like👍
@user-gy5en6cy8o
@user-gy5en6cy8o 5 месяцев назад
Nimemuelewa vinzur mno
@MauFundiElectronics
@MauFundiElectronics 5 месяцев назад
Genius huyu jamaa.
@mimisalama7473
@mimisalama7473 5 месяцев назад
Nyiye mkienda nje mtakubali kufanyiwa hivyo
@humphreybilly7437
@humphreybilly7437 5 месяцев назад
MFANO MZURI KWA WASOMI WASIO JITAMBUA KILA JAMBO MAWAZO OVYO.
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 5 месяцев назад
Hamna kitu wezi tu hao
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 5 месяцев назад
Mr Wilbard lectured the BOT governor on how to run the bank. What an amazing fact.
@Ars-t2k
@Ars-t2k 5 месяцев назад
😂😂😂
@daniellaizer1
@daniellaizer1 5 месяцев назад
Assholes wearing suits and ties and only thing they know kupata hela za haraka haraka usizovujia jasho lame ppl
@zanzibarsnorkeling5766
@zanzibarsnorkeling5766 5 месяцев назад
All facts are reality that we cannot ignore, the government itself wants dollar, if they want people to use Tshs, then they the government must stop taking dollars to make things fair
@africangirls482
@africangirls482 5 месяцев назад
Hawa ndio wanafaa kuwa viongozi governor hajui kitu yani achukue madini hayo
@joshuamacha8751
@joshuamacha8751 5 месяцев назад
He lectured him in a very simple language with vivid examples. .......asipoelewa tena apo basi
@katematv7529
@katematv7529 5 месяцев назад
Genius Chambulo, Nimefanya biashara na huyu jamaa muda mfupi sana.. lakini kwake Confident is game Changer...
@JimTv001
@JimTv001 5 месяцев назад
I used to think I know something about Business until I listened to this man.
@hijazhija316
@hijazhija316 4 месяца назад
😅
@angeliqueangelique9279
@angeliqueangelique9279 3 месяца назад
😂😂
@martinamahenge4476
@martinamahenge4476 5 месяцев назад
Tatizo mifumo ya Tanzania inaendeshwa na siasa sio professionalism imagine mtu kama huyu anaingia kwenye mfumo na anaakili kubwa ivi 👏 he reminds me of my dad
@issalesson8292
@issalesson8292 5 месяцев назад
Best comment ever
@user-cx7uz3ri6v
@user-cx7uz3ri6v 5 месяцев назад
Glad to see someone acknowledging her dad!
@Sylvester1993
@Sylvester1993 5 месяцев назад
Is your dad still alive?
@judicalosika7642
@judicalosika7642 4 месяца назад
Hakika
@paspgroup
@paspgroup 5 месяцев назад
Jamaa yupo smart sana anastahili kuwa mwenyekiti👏👏
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 5 месяцев назад
Hamna kitu hapo anachokiongea ni bla bla haiwezekani anachokisema
@zuheorsalim7759
@zuheorsalim7759 5 месяцев назад
we boya kweli eti mwenyekiti 😅😅
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 5 месяцев назад
Huyu ni mwenyekiti wa TATO. Chama Cha WAMILIKI WA kampuni za utalii. Na anachokiongea kina mantiki. Ulienda nchi nyingine hawapokei dollar kwenye mauzi yoyote, badilisha dollar zako lipa in local currency​@@zuheorsalim7759
@lightnessmarwa1755
@lightnessmarwa1755 5 месяцев назад
Kweli nafasi yake ya Mwenyekiti anaitumia vizuri....Mungu amjalie Afya njema!!
@wariobamussa2462
@wariobamussa2462 5 месяцев назад
This man is very smart kiukweli serikali yetu inapaswa kubadilisha mfumo.... Big Up Mr Man
@BLUBEENICE
@BLUBEENICE 5 месяцев назад
Huyu bwana ameongea point,tumpe maua yake
@koskeyella-ww6bd
@koskeyella-ww6bd 5 месяцев назад
huyo ndo mwenye KIBO SAFARI
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 5 месяцев назад
Kila kitu uchawa tu, wewe una maoni gani?
@BLUBEENICE
@BLUBEENICE 5 месяцев назад
@@ezekieljacob5795 kwani unataka kua chawa wangu ama
@AminaRamadhan-mg9lj
@AminaRamadhan-mg9lj 3 месяца назад
​@@BLUBEENICEetii chawa wanguu😂😂😂😂🤔
@silverman6930
@silverman6930 5 месяцев назад
That dude should be the governor… very intelligent man 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
@koskeyella-ww6bd
@koskeyella-ww6bd 5 месяцев назад
This man is Owner of KIBO SAFARI in tanzania Arusha
@JamesChrizestome
@JamesChrizestome 5 месяцев назад
Mama Samia hao ndiyo wakuwatumia maarifa yao yanaweza tufikisha mbali
@archbordygodfrey2614
@archbordygodfrey2614 5 месяцев назад
Kweli but unfortunately huyo huwezi mpa kazi serikalini ni mjasiriamali mkubwa.... ana hotel zaidi ya 30 Arusha mjini,ngorongoro,Serengeti ,tarangire na anazo land cruiser siyo chini ya 500,yaani ni BOSS.
@anwaryabdallah7782
@anwaryabdallah7782 5 месяцев назад
​@@archbordygodfrey2614Awe hata mshauri waserekali ktk sekta yautalii
@abdangembe4339
@abdangembe4339 5 месяцев назад
​@@archbordygodfrey2614 siyo lazima amwajiri anaweza mtumia kama mshauri kwenye mambo ya utalii
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 5 месяцев назад
​@@archbordygodfrey2614Nani huyu kwa jina mbona Mali nyingi
@seemanishekiao
@seemanishekiao 5 месяцев назад
Ushauri wake mzuri, Serikali ikiamua yaweza utumia
@ukweli255
@ukweli255 5 месяцев назад
Bora huu mkutano alienda GAVANA...angeenda yule Wazir Mvaa Skafu ya 🇹🇿🇹🇿 sijui kama angeruhusu hata recoding ya haya na kuelewa pia
@nancyg8664
@nancyg8664 5 месяцев назад
😂😂😂
@dilludillu2747
@dilludillu2747 5 месяцев назад
😂😅
@barakakusa7606
@barakakusa7606 5 месяцев назад
Bila shakq ni Mwigulu huyo unaemzungumzia😂😂😂
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 5 месяцев назад
​@barakakusa7606kuna mwingine 😅😅😅😅😅
@musicheals1545
@musicheals1545 5 месяцев назад
hamna kitu mulee😂
@fallykitwara1192
@fallykitwara1192 5 месяцев назад
Smart guy,Smart points 👌
@sugashTv
@sugashTv 5 месяцев назад
Governor amefunzwa kwamba politicians are only trusted with power by people but wisdom is inborn. Governor kageuzwa kuwa maembe kabisa
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 5 месяцев назад
nyanya bhn
@paulpsyche6381
@paulpsyche6381 5 месяцев назад
Wisdom is learnt not inborn
@zanzibarsnorkeling5766
@zanzibarsnorkeling5766 5 месяцев назад
Samahani niache nicheke 🤣🤣🤣
@sugashTv
@sugashTv 5 месяцев назад
@@DavalsonMarlony no knowledge is a acquired (learned) but not in born but wisdom is inborn. Unless if u are responding as a Tanzanian^^😂😂😂
@davidf.j.m6284
@davidf.j.m6284 5 месяцев назад
you don't have to say governor kageuzwa maembe. badala yake unapaswa kumpongeza kwa kutenga muda wakupokea maoni kutoka kwa hao wafanya biashara...this thing is very rare kwa office bearers wengi, na nijambo lenye werevu na busara ndani yake...otherwise mzungumzaji kanena vyema.
@norahmaxwell6853
@norahmaxwell6853 5 месяцев назад
Akili kubwa ndio hizi sasa 👏well said 👌
@Onlyfacts0224
@Onlyfacts0224 5 месяцев назад
YES
@piuskira7124
@piuskira7124 5 месяцев назад
Mchaga uyu c bure tulinyimwa nchi😅😅
@betricemainoya4176
@betricemainoya4176 3 месяца назад
Huyu sii masai kweli
@barakapaschal2530
@barakapaschal2530 5 месяцев назад
Hawa ndio wanatakiwa kukabidhiwa wizara ya utalii👏👏👏
@daniellaizer1
@daniellaizer1 5 месяцев назад
Yep ana knowledge na uzoefu from the field
@liboriusbabile1197
@liboriusbabile1197 5 месяцев назад
Hakuna hata siku moja serikali ikakubali kufanya Kazi na watu wenye akili kama hawa , itashindwa kuwaburuza, serikali huwa inawapa cheo ma mburura na machawa tuu. Huyu mtu anajua anacho ongea na confidence yake inamuelezea vizuri.
@nickmoshi8243
@nickmoshi8243 5 месяцев назад
Kweli kabisa
@sigorijoseph4977
@sigorijoseph4977 5 месяцев назад
Kweli kabisa
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 5 месяцев назад
Huyu kaishia la Saba tu. Tizama alivyo na akili. Ndo ujue akili sio lazima uende shule. Huyu la Saba ana akili kuliko PhD holders
@liboriusbabile1197
@liboriusbabile1197 5 месяцев назад
@@Josephineexsuper na watu kama hawa tunao wengi Sana wangeweza kusaidia mambo kibao, tatizo huo mfumooo😄😄😄😄
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 5 месяцев назад
Umeongea fact kabisa. Ofisi za serikali maboss hawataki kabisa mfanyakazi mwenye akili maana anajua hawezi kukuburuza...na wakati wao hawataki kufanya kazi kwa kufata utaratibu so wanataka wachukue wajinga tu wawe machawa...Watu wenye akili hata kwenye vikao maboss huwa hawataki uongee kabisa na wanasema eti ni wabishi. Bongo ukiwa na akili tu watu wanakutungia jina la MBISHI/ MCHOCHEZI/ MGOMVI. Ili wakufanye ukubaliane na upuuzi wao wakati deep down wanajua kabisa huna baya ila wanakutungia hayo majina kukumanipulate usiwachallenge. Na kamwe hatutaendelea kwa sababu watu wenye akili kama hawa hawatakiwi kuongea....
@thedeo472
@thedeo472 5 месяцев назад
Serikali imeshindwa ku control na hawataweza ku control. Rushwa na ubadhirifu umezidi. Very sad🙁🙁
@Reginaldpeter2
@Reginaldpeter2 5 месяцев назад
Hapo ndo shida kuna watu wananufaika na mfumo
@JELSONMAUKI
@JELSONMAUKI 5 месяцев назад
Kweli kaskazini hakunaga fala . 🔥🔥🔥🔥
@user-kk7re2jl8y
@user-kk7re2jl8y 5 месяцев назад
😂😂😂😂
@shinipapaya846
@shinipapaya846 5 месяцев назад
Wengi wao ni mapunga 😊😊
@RafikimediaTZ
@RafikimediaTZ 5 месяцев назад
True watu wa kaskazini wametutangulia wapo Bright sana.
@shinipapaya846
@shinipapaya846 5 месяцев назад
@@RafikimediaTZ umetanguliwa ww na wazazi wako wasio jitambua na huenda ni mapunga chele 🤣🤣
@RafikimediaTZ
@RafikimediaTZ 5 месяцев назад
@@shinipapaya846 asante kwa kunitukana ndugu yangu.. sasa kama jirani yako anafanya vizuri zaidi yako kwani ni mbaya kumpa pongezi zake. Wewe unatoka mkoa gani? Kilimanjaro ni mkoa unaoongoza kwa kuwa mbele kimaendelea na hata kwa kuwa na shule nyingi za secondary pia. Niambie wewe unatoka mkoa gani?
@pabliz_
@pabliz_ 5 месяцев назад
Jamaa yuko vizuri... sijui kama anaeleweka.
@csato9415
@csato9415 5 месяцев назад
Ni kweli gavana kama amemwelewa aanze kusafisha ndani kwanza halafu aje kwa wafanyabiasha, ubaya wanakurupuka bila kufanya utafiti.
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 5 месяцев назад
😂
@igwe21
@igwe21 5 месяцев назад
I am so impressed! well done Mr. Chambulo. Genius explanation!
@josephmatemu4278
@josephmatemu4278 5 месяцев назад
Chambulo excellent clarification. Serikali ione huu ni mfano mzuri na wachukue.wizara zote ziwe na wazoefu walioko kwenye field kwa ushauri.nchi itasonga siasa ikae pembeni.
@BJMKANGALA1
@BJMKANGALA1 4 месяца назад
Mzee Baba unafaa kuwa Mwenyekiti wa maisha. Unaongea kiukweli na uhakika tena kwa kujiamini. Shukran asante endeleza mapambano ya kujenga taifa letu Tanzania! Mungu akupe nguvu na afya njema!
@lmdos4382
@lmdos4382 5 месяцев назад
Safi sana, Serikali imefaili moja kwa moja kwenye masaula mazima ya utalii
@nuruurio8319
@nuruurio8319 5 месяцев назад
Si vile wengi hawaju watu wanaona cruises zimepangana barabarani wanasema e nchi ina ela sasa watu biashara zetu zizunguke kumbe tunaliwa
@jumakessy7560
@jumakessy7560 5 месяцев назад
Tanzania ukiacha kwamba tuna vivutio vingi vya asili, wanyama, mlima kilimanjaro fukwe nzuri za bahari lakini mwaka 2023 wameingia watalii milioni 1.2 tu wakti misri wameingiza watalii milioni 13, halafu unaanza kusikia wanaleta sheria za namna hii
@lmdos4382
@lmdos4382 5 месяцев назад
@@jumakessy7560 Hii nchi ni ya ovyo sana
@vero57
@vero57 5 месяцев назад
Very smart uncle 👍👌🔥🇹🇿
@rashidally7285
@rashidally7285 5 месяцев назад
Soo smart Hawa ndio wanaojielewa
@Worldunite
@Worldunite 5 месяцев назад
Huyu anazungumxia uzoefu alio nao, lkn walioko banki kuu wanaanzisha mifumo,ambapo labda mingine haiendani na hali halisi
@Onlyfacts0224
@Onlyfacts0224 5 месяцев назад
Amen
@user-ie2sr4fi4k
@user-ie2sr4fi4k 5 месяцев назад
👍👍
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 5 месяцев назад
Mbona comment Kali sana hii.Ukweli ndo huo uliopo.
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 5 месяцев назад
Less cash kwenye mzunguko ndio inatakiwa. Unadhani Dealers wa Utalii hawana Dollar Acct benki? Wanazo. Anachosema Industry ipate credit card.. hata mgeni akija Kama mfumo wetu hausomi zao wapate za hapa ili watumie dollars zao kupitia credit card zetu badala ya kuanzisha bureau de change kila hoteli. Badala yake hoteli ziwe na epayment machine tu. Wananzengo wao walipe cash Kama kawaida. Hapo hata wananzengo siku hz tunawekewa Lipa Namba... Lakini hela yetu tunayo mkononi zaidi. Hufuma zetu nyingi hamna Lipa Namba. Ana exposure na Industry
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 5 месяцев назад
Huwezi endesha dolla kwa uzoefu au kwa maneno😂
@MUSK_HARMONY
@MUSK_HARMONY 5 месяцев назад
Huyo Governersi ndye aliyesema maisha hayjawahi kuwa mepesi ... No wonder he is outsmarted by this man
@rlmtok6629
@rlmtok6629 5 месяцев назад
The only governor in Tanzania without a high education : Doctorate(PhD). Mwepesi sana kuongea compared na waliopita kabla yake kwakuwa Hana credentials
@ulimbombonaulindi5088
@ulimbombonaulindi5088 4 месяца назад
Very smart, narudia Tena VERY SMART. Maskini wa Mungu Governor imebidi atulie tubaskize. Tatizo lipo serikalini, kama ana mawazo maana ameelewa.
@nathanpallangyo5244
@nathanpallangyo5244 5 месяцев назад
HEBU NCHI YETU IFUKE MAHALI SERIKALI IFANYE KAZI KWA WELEDI ZAIDI HAPA INAONESHA MFABIASHARA ANAVYOPATA SHIDA BILA SERIKALI KULIONA HILO. UPGRADE YOUR SYSTEM MY COUNTRY.
@makongorowassira6593
@makongorowassira6593 5 месяцев назад
Serikali inajua inachokifanya, wana create confusion ili wao wanufaike. Hawataki kuweka mfumo unaoeleweka maake watakosa rushwa zao. Shh 😊
@fauzibinzoo6563
@fauzibinzoo6563 5 месяцев назад
Hii nchi mfanyabiashara mzawa ananyanyasika Sana tofauti akienda nchi zingine
@jamesriwatuvana9561
@jamesriwatuvana9561 5 месяцев назад
Lets wait and see
@daniellaizer1
@daniellaizer1 5 месяцев назад
Pure failure ndio maana hatukui sekta ya utalii pamoja na potential tuliyo nayo
@barbarasara4033
@barbarasara4033 5 месяцев назад
Tulia Dawa ikuingie......
@richardmbasha1411
@richardmbasha1411 5 месяцев назад
Well done KABURU,... wafanyie kazi basi
@abdulymaeda2697
@abdulymaeda2697 5 месяцев назад
Mchaga uyu kaburu wap
@user-pr7wj1nm1g
@user-pr7wj1nm1g 5 месяцев назад
KABuRu @ a k a Hilo jina ndio anajikana zaid​@@abdulymaeda2697
@juliusngowi952
@juliusngowi952 5 месяцев назад
Very interesting to listen to this Man
@davidsillo916
@davidsillo916 5 месяцев назад
Kaburu very Smart lecture
@ismailmuna1604
@ismailmuna1604 5 месяцев назад
Watu Wafunguke Kama Hivi Afanyavyo Huyu Jamaa Hiyo Haliinatupa Taabu Sana Inchi Nzima Asante Sana Kwa Kazi Nzuri Kama Hiyo👍👍👍
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 5 месяцев назад
This man is very bright 🎉
@isaacjosephjoseph2733
@isaacjosephjoseph2733 5 месяцев назад
Yaani watu kama hawa tunawahitaji mno kwa mafanikio ya taifa letu la TANZANIA 🇹🇿 aisee daa anaakili balaa!!❤❤❤
@domymerinyo8165
@domymerinyo8165 5 месяцев назад
Huyu jamaa alianza biashara kwa shida sana mwanzoni. Usimwone hapo anaongea ni mpambanaji kwelix2. Usikate tamaa kwenye kila unachofanya,ongeza juhudi na maarifa zaidi
@user-ek3rm1gz4b
@user-ek3rm1gz4b 4 месяца назад
Mwarim wangu Babu hongera
@winniemakundi6279
@winniemakundi6279 5 месяцев назад
Real fact💯 akili kubwaa hii
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 4 месяца назад
Mr wilbard lectured the BOTgovanor on how torun the bank what is amazing fact this country.
@kundaelikilewo7176
@kundaelikilewo7176 5 месяцев назад
jamaa ana akili kuliko Gavana,huyu mtu mama anatakiwa kumpa uwaziri wa utaliii ,very smart Man
@mussamhando22
@mussamhando22 5 месяцев назад
Aliyekwambia Serikali yetu Inawahitaji watu kama hawa nani?
@milley7185
@milley7185 5 месяцев назад
Unaffiliated wote serikalini ni smart vilaza tu ..Pampa na maphd ..jiulize mganga anaonaje siri zao za ndani na yuko kwa nyasi ..
@ElieshiMaphie-tw7rl
@ElieshiMaphie-tw7rl 4 месяца назад
Abaki hapohapo ndo vizuri ajue madudu yaliyopo.Akitoka hatakuwepo wa kuongelea hayo maana hatayajua
@mammukaratu2084
@mammukaratu2084 5 месяцев назад
Hakuna Mchaga mjinga...The man is very smart
@user-yz3zi6ht3j
@user-yz3zi6ht3j 5 месяцев назад
Wapo wapumbavu but this man is very smart (bravo)
@kiulajoseph9194
@kiulajoseph9194 5 месяцев назад
Mbona wapo mamangulo wengi tu vilaza😅😅😅😅😅
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 месяцев назад
​@@kiulajoseph9194😂😂😂😂😂😂
@jimmychengs1338
@jimmychengs1338 5 месяцев назад
Absolutely genius 🎉
@neemabright3635
@neemabright3635 5 месяцев назад
Very very logic and smart congrats bro chambulo.....
@AbdalaBlackford
@AbdalaBlackford 5 месяцев назад
Genius kabisa 💯
@minboytz3575
@minboytz3575 5 месяцев назад
Ata kama ujaenda shule Kwa uyu mzee lazma utamuelewa
@kichuu981
@kichuu981 5 месяцев назад
Wamebaki wameduwaa jinsi jamaa anavyotema nondo😂😂😂
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl 5 месяцев назад
Kakutana na nondo ya funga kinywa kimiaaa
@jasonwatz7457
@jasonwatz7457 5 месяцев назад
Kuna tofauti ya mtu alieko field na alieko ofisini, hapa ndio inaonekana
@alexikim7005
@alexikim7005 5 месяцев назад
Knowledge and wisdom kwa mpigo moja
@abuumohamed7090
@abuumohamed7090 5 месяцев назад
very smart guy
@natgeowildafrika7328
@natgeowildafrika7328 5 месяцев назад
Huyo ndo kaka yetu
@estermndeme1255
@estermndeme1255 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂 my people wa kaskazini . Akili zetu zinafanyaga kazi vizuri sana.
@idanysedrc1200
@idanysedrc1200 5 месяцев назад
Jamaa genius kuliko waliopo kwny Hy sctr
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 5 месяцев назад
Tz wasomi wanasuti kubwa kichwani weupe wamejaa nadharia theorist tu hao wafanyabiashara wako field wanafanya huwezi wafananisha na hao wavivu.
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m 5 месяцев назад
Yupo saiti
@archbordygodfrey2614
@archbordygodfrey2614 5 месяцев назад
Hao ndo wanajua dollars kuliko hata benki kuu,since 1990s jamaa ni Boss mkubwa kwenye sector ya utalii nchini
@festohaule9716
@festohaule9716 5 месяцев назад
haaaaaaa haaaaaaa kweli ni wasomi kichwani kweupe kama theruji..​@@FahadAbubakari
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 5 месяцев назад
@@festohaule9716 tz usomi hauna maana tena watu wanaelimu ya umiliki wa mahudhurio ya darasani ni wasomi wachache mnoo labda unaweza waelewa wengi machawa na wavaa suti ila kichwani hamna jambo watu wakushangilia na kushabikia ila si watu wenye mawazo ya maana
@jamesngowi675
@jamesngowi675 5 месяцев назад
Uyo anaitwa Kaburu, he is smart
@abanraumi8234
@abanraumi8234 4 месяца назад
Jamaa yuko vizuri sana 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
@denssimon5585
@denssimon5585 5 месяцев назад
Hizi brain zipo nyingi sana hii nchi tukiamua zitumia tutasogea mbali sana👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 5 месяцев назад
Imagine, wanatumia kigezi Cha elimu na wasomi wao ni tia maji tia maji😊😊.
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 5 месяцев назад
Nyie serikali litumie hili jamaa lina akili sana sijawahi kuona.
@simonrusigwa3024
@simonrusigwa3024 5 месяцев назад
Wao wanamtukia bashite
@golebenson4597
@golebenson4597 5 месяцев назад
Wanaogopa watu Wenye akili mingi
@user-jh4hg2ev9s
@user-jh4hg2ev9s 5 месяцев назад
Serikali ikishauriwa mara nyingi inafanya the opposite. Hii inadumaza biashara.
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 5 месяцев назад
Wanajifanya wajuaji
@neemamwanga5447
@neemamwanga5447 5 месяцев назад
😢wafundishe hso wanafanya kazi certificate hawajui kitu hao wanakaa tu ndani hawana uzoefu hawamiliki hata kibanda cha mboga na matunda wafundisheni hawajui jaman wanajua kushusha hesabu bila kujua inaanzia wapi
@user-ie2sr4fi4k
@user-ie2sr4fi4k 5 месяцев назад
😂😂😂😂
@Wami-Sababisho
@Wami-Sababisho 4 месяца назад
Mzee anaongea point sana,hao hawajui kama hela zinazotembea mkononi (Cash) nyingi hawalipii hata kodi na kama nchi hawawezi hata kujua mzunguko wa hela. Kikubwa hela itumike huko kwenye mabenki ( mzunguko uwe wa bank).
@user-qv8qo3ff3q
@user-qv8qo3ff3q 5 месяцев назад
Umeangea kwa akili huko ndani safisheni kwanza ndo mje kwa wapiga kura, kumaanisha nyumba ni chafu inaitaji usafi, safi sana kaka Akili yako imekqmilika.
@vanytag1413
@vanytag1413 5 месяцев назад
Msengee anamwaga madini2, wauni wanatoa toa macho2😂😂
@CANIVATZ
@CANIVATZ 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂we msee sanaa
@warrenkilimber4013
@warrenkilimber4013 4 месяца назад
Very professional
@bsmonline8482
@bsmonline8482 5 месяцев назад
Jamaa kaongea mpaka Gavana kapiga na Makofi. Huyu ni Big Brain Business Man
@jasonwatz7457
@jasonwatz7457 5 месяцев назад
Hawa ndio watu gavana awaweke karibu sio wana siasa
@jacksonkendavis8689
@jacksonkendavis8689 5 месяцев назад
Mr. Chambulo yuko sahihi sana..huwa anamawazo mazuri sana kwenye mikutano makini kama hii. Nmewahi kuhudhuria mkutano naye wa wawekezaji he's a help in different aspects for real
@didasmswete678
@didasmswete678 5 месяцев назад
KUNA WATU WAPO NJE YA MFUMO WANA KITU KULIKO WALIOKO KWENYE MFUMO
@stevenmabungi3245
@stevenmabungi3245 5 месяцев назад
Exactly 💯
@Bensonfrank25
@Bensonfrank25 5 месяцев назад
Sure
@mariamikoa
@mariamikoa 5 месяцев назад
True
@user-hy3en6vk5f
@user-hy3en6vk5f 4 месяца назад
Chambulo you are so bright 👍👍👍
@bornkilla6173
@bornkilla6173 5 месяцев назад
Genius 🔥
@mathewdyzymaleyafrica9128
@mathewdyzymaleyafrica9128 5 месяцев назад
Ndio mana hamtaki warusha kubwa viongozi akili nyingi mnooo kwenye pesaa mazee
@farijala1
@farijala1 5 месяцев назад
Hili suala limeshazungumzwa miaka nenda Rudi. Kuna Pahala Ukiuliza bei unaletewa Dola. Mahoteli hivyo.. unajiuliza kwani Marekani ukiuliza Bei wanakwambia Bei kwa Currency ya Wapi?
@NelsonMangaleJrII
@NelsonMangaleJrII 4 месяца назад
Very Smart
@demicratia4071
@demicratia4071 5 месяцев назад
Anaongea thru Experience sio vyeti fubafu
@ayoubbenta4499
@ayoubbenta4499 5 месяцев назад
Mh wiliam chambulo,maarufu(kaburu) kaka upo vizuri sana you have got highest knowledge!! Hebu Toa somo kwa serekali,that’s true story’mama nadhani unasikia😂gavana sasa umepata mwanga
@boniphace1
@boniphace1 5 месяцев назад
Pale serikali inapopewa darasa.
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 5 месяцев назад
Nimecheka😂😂😂
@golebenson4597
@golebenson4597 5 месяцев назад
Wameyakanyaga 😂😂
@Hajer-be2kh
@Hajer-be2kh 5 месяцев назад
😂😂😂yani wanapewa somo na mwanachi 😂nimependa
@janethpallangyo3855
@janethpallangyo3855 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y 5 месяцев назад
MiMi mfanya biashala south nikitoka nje ya South nimeuza mzigo nikienda na dola Hakuna anaenipokea Hawataki kuiona dollar wanataka Rand Tuu ivyo nabalianae kabisa mkuu
@russia1253
@russia1253 5 месяцев назад
Bongo mfanya biashara unapata tabu 😢 tatizo uongozi unatamka vitu wasivyovijua
@ahz6907
@ahz6907 5 месяцев назад
Na wanatumia nguvu kuweka sheria zisizo endana na hali halisi
@aloycesamba998
@aloycesamba998 5 месяцев назад
Umeongea point sana mzee wangu pokea🌹💐🥀
@josiacharles2778
@josiacharles2778 4 месяца назад
Ahaa😂 mimi naisi Kuna shida kwenye mfumo wa nchi hii, uyu mzee anaelewa anachokiongea.
@agreyminja9412
@agreyminja9412 5 месяцев назад
Jamaa anaongea point sana nadhani Bank kuu iwashirikishe wadau wa sekta mbalimbali kama hawa kabla ya Kutunga sera
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 5 месяцев назад
Jamahaaa anaakili sana
@njemamehuna9821
@njemamehuna9821 5 месяцев назад
Huyu jamaa anajua sana
@melkiorikalele7534
@melkiorikalele7534 4 месяца назад
❤ Hongera kwa ukweli
@joelirunde2823
@joelirunde2823 5 месяцев назад
Uko vizuri Chairman
@gabapentin8070
@gabapentin8070 5 месяцев назад
Brain hazina ndo hizi sasa🔥
@samwelmatemu8873
@samwelmatemu8873 5 месяцев назад
Tunaongozwa kijinga sana
@dullahaziz1227
@dullahaziz1227 5 месяцев назад
perfect explanation 💯
@fatumaadam4271
@fatumaadam4271 4 месяца назад
Very intelligent
@godfreyshao3914
@godfreyshao3914 5 месяцев назад
Big brain👊
@francisfreddy6599
@francisfreddy6599 5 месяцев назад
Mwenyekiti WA UTALII unafaa kuwa Gavana WA BOT
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 5 месяцев назад
Jamaa ana confidence sana anajua anachokisema. Safi sana Bro.
@AhmedHassan-vl5zf
@AhmedHassan-vl5zf 5 месяцев назад
Hii nchi ya bangi ndio maana Tanzania pamoja na sehemu muhimu za utali na haina nusu milion ya watali Morocco hakuna urasimu watali wanao kwennda Morocco NI milion 30
@kikalarashid9003
@kikalarashid9003 5 месяцев назад
Tatizo ni hao hao wanaongoza kwa money laundering! Ndo maana wanajifanya wehu! Hawataki kufunga mifereji yao ya kuiba.
@rajabkahindi3389
@rajabkahindi3389 5 месяцев назад
Very genius 👏
@franklinekakiko8893
@franklinekakiko8893 5 месяцев назад
Hivi wewe unajua maana ya genius?
@rajabkahindi3389
@rajabkahindi3389 5 месяцев назад
@@franklinekakiko8893 ndyo
@EdwinDunda-bu3lv
@EdwinDunda-bu3lv 5 месяцев назад
fact 100%
@jpmugishapps
@jpmugishapps 5 месяцев назад
Facts
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 5 месяцев назад
Knowledge is power
@salminwamu2297
@salminwamu2297 5 месяцев назад
Very smart and intelligent
@nyandagapi3364
@nyandagapi3364 5 месяцев назад
😢😢kumbe huwa najitamkia dollar tuu sijui ata maana ake.. many thanks man kidogo nimepata pakuanzia
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 5 месяцев назад
Huyu jamaa anaakili mno
@sundaymushi9640
@sundaymushi9640 5 месяцев назад
Genius genius genius 🔥🔥🔥
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s 5 месяцев назад
Huyu gavana wa Tanzania ni ufisadi tu,wanaendeleza,ni ufisadi tu nchi hii kila siku, RIP JPM
@kathrynmfm4801
@kathrynmfm4801 5 месяцев назад
Hao wazee wa suti nyeusi ndio black market yenyewe ndio maana they are acting stupid hapa wanajua sana kinachoendelea ndani ya nchi kifupi pale kwenye towers mbili pamejaaa uozooo
@Sangaadam
@Sangaadam 5 месяцев назад
Ilitakiwa Gavana afanye research yake ya kina before ya ku- implement hizo sheria zake....Ninacho kiona hapo Gavana inaonekana amekurupuka....... This is money game haipaswi kwenda kwa Mihemko........
@Freedom_fighters898
@Freedom_fighters898 5 месяцев назад
Tanzania ni nchi ya hivyo sanaa. Hatuna competent leadership
Далее
MADUDU YALIYOMNG'OA MAKONDA HAYA HAPA
8:27
Просмотров 84 тыс.