Hapo umecheza mkubwa fella,I salute you coz nyumba Ndio mpango mzima hongereni sana Ya moto band na mumshukuru sana mkubwa Fella kwa bidii yake na fikra nzuri kwenu
MashaaAllah ama kweli kitu ni utu...mfano mkubwa wa kuigwa watanzania ila kwa hao vijana waishi kukuheshimu daima dawama , ujenzi msingi daima sio magari , warembo na kiki kila kukicha. I salute u bro ,Mola akuongezee milele +254
Huwa nakuwaza sana mkubwa fella ukijiangalia hapa huwa unawaambia mini hao watoto(ya moto band kweli mmekuwa wanangu na kama wanawake ndio wagombanishi basi kweli walipata wanawake haswa)
hongera mkubwa fella kwa yote ambayo umetenda mola akubariki kwawema unaowatendea yamoto band na ao wenzao may the almighty god guide you on the right path .and respect fella the way you respect your dad ,God be with you ,LOVE YOU GUYS kutoka kwangu kestine
Mkubwa Fella Mungu akujaalie akuzidishie kila lenye Kheri katkamaisha yako Wallah unajitahidi kuwafanya vijana wako wawe bora, nibinadam wadogo sana wenye Moyo kama huo.🙏
Ss yule Mboso alivyosema ana mshukuru Mungu ss kapata mahal pake pa kulala nilijua alikuwa analala magetoni kumbe ana mjumba wake wa maana....au wakihama band na nyumba wananyang'anywa?celewi ni zao kabisa kabisaa walijengewa na hati zao walikabidhia au nyumba za band?