Тёмный

NIVA ,AICHAMBUA NYUMBA YA MWIJAKU,AKATAA SIO YAKE "NAMJUA MWENYENYUMBA . 

BONGO 24
Подписаться 127 тыс.
Просмотров 9 тыс.
50% 1

#bongo24 #mwijaku #niva

Опубликовано:

 

15 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 23   
@sinomiles
@sinomiles 9 месяцев назад
MWIJAKU big up to you , 2024 uta trend sana , acha waongee ni baraka kwako, Niva mpongeze kakaako bro
@nataemsuya
@nataemsuya 3 месяца назад
Jamen ni ameni INSPIRE na Sio EXPIRE😮Ungesema tu amekushawishi tungekuelewa zaid
@sinomiles
@sinomiles 9 месяцев назад
BONGO 24 BIG UP TO YOU , MNAJUA
@hizamawa6046
@hizamawa6046 9 месяцев назад
Kama ka left hivi
@lamekkauka9056
@lamekkauka9056 7 месяцев назад
Ukweli unauma kaongea aukwel acheni uongo wasani wengi niwaongo
@JosefuSwai
@JosefuSwai 3 месяца назад
Mwenye akili lazima.akatae siyo kweli Iko wazo kaka
@JosefuSwai
@JosefuSwai 3 месяца назад
Sio wivu yeyemwenyewe kulileta kwenye media lazima ajadiliwe kataka mwenyewe mwijaku
@josefojustinsabini7625
@josefojustinsabini7625 9 месяцев назад
Eti vigizo basi umeamia uchawa
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 9 месяцев назад
Wajuaji wa gharama za vifaa vya ujenzi wanajua kwamba hapo hakuna vifaa vya kufika. Bilioni moja vilivyotumika. Gorofa moja halafu si pana ndani iko ya kawaida sana tena vyumba vidogo vidogo
@omarimziya390
@omarimziya390 9 месяцев назад
Huyo aumizwa na kisokorokwinyo, tafuta pesa wacha chuki mwisho utakuwa mchawi
@kamalbashir5127
@kamalbashir5127 9 месяцев назад
Mario Wacha wivu,utaendelea kuishi vichochoroni
@saimongilala8938
@saimongilala8938 9 месяцев назад
Huo ni unafiki2 mpongeze mtu kafanya vizuli2
@funnuelmwalukasa4506
@funnuelmwalukasa4506 9 месяцев назад
Niva pooz zako unafikili unakula cha Arusha
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا 9 месяцев назад
Ali kina nyumba yake tangu unanza kujenga naiyona na mama yake ndio alikuwa msimamizi tunashindwa nae na alikuwa anakaa saloon kwetu mafundi wanjenga mingi mpka linaisha mama yule ndio msimamizi
@nellymtambo8432
@nellymtambo8432 9 месяцев назад
Niva c kwa sugu hizo 😂😂😂
@ashaali7154
@ashaali7154 9 месяцев назад
Mchawi maskini huyo atabaki hivyohivyo na wivu wake atabaki kuishi vichochoroni mwenzie yuko mbali awaonyeshe hati ili iweje. Kila mtu ana matumizi yake mwacheni wivu utawauwa.
@aliisaid854
@aliisaid854 9 месяцев назад
Kutoka Mombasa,wewe niva huna hata kibanda
@Makakulaya
@Makakulaya 9 месяцев назад
Kiba ananyumba bili
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 9 месяцев назад
Ghara ya gorofa inatokana na wingi wa ghorofa kwani nondo nyingi kokoto zege na milunda hutumika. Hiyo ghorofa moja halafu si pana hizo gharama kufika bilioni kwa vifaa gani vya ujenzi ,? Hapo kwa waliojenga na kujua gharama za vifaa vya ujenzi hata milioni mia tatu au mia NNE haifiki. Adanganye tu wasiojua na ndani haina thamani za masinki ya dhahabiu na vinginevyo. Hiyo nyumba ni ndogo tu
@williammwalusamba7551
@williammwalusamba7551 9 месяцев назад
Wivu unakusumbumbua kijana nivà wewe shoga
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 9 месяцев назад
Vijana tafuteni pesa sio blabla tu vijana wengi wamepanga
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 9 месяцев назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Далее
NYUMBA YA BABALEVO YAPIGWA MNADA
4:30
Просмотров 83 тыс.
Salama Na JOTI Ep 47 | SIMPLY SPECIAL PART 1
35:15
Просмотров 473 тыс.
MPOKI WAZIRI / WAKUVANGA MGONJWA
20:47
Просмотров 152