Wajuaji wa gharama za vifaa vya ujenzi wanajua kwamba hapo hakuna vifaa vya kufika. Bilioni moja vilivyotumika. Gorofa moja halafu si pana ndani iko ya kawaida sana tena vyumba vidogo vidogo
Ali kina nyumba yake tangu unanza kujenga naiyona na mama yake ndio alikuwa msimamizi tunashindwa nae na alikuwa anakaa saloon kwetu mafundi wanjenga mingi mpka linaisha mama yule ndio msimamizi
Mchawi maskini huyo atabaki hivyohivyo na wivu wake atabaki kuishi vichochoroni mwenzie yuko mbali awaonyeshe hati ili iweje. Kila mtu ana matumizi yake mwacheni wivu utawauwa.
Ghara ya gorofa inatokana na wingi wa ghorofa kwani nondo nyingi kokoto zege na milunda hutumika. Hiyo ghorofa moja halafu si pana hizo gharama kufika bilioni kwa vifaa gani vya ujenzi ,? Hapo kwa waliojenga na kujua gharama za vifaa vya ujenzi hata milioni mia tatu au mia NNE haifiki. Adanganye tu wasiojua na ndani haina thamani za masinki ya dhahabiu na vinginevyo. Hiyo nyumba ni ndogo tu