Mbunge wa Jimbo la Kisesa (CCM), Luhaga Mpina akimjibu Waziri wa fedha pamoja na kumalizia hoja zake wakati alipokuwa akichangia kwenye Kamati za Bunge Jumatano, Februari 1, 2023 ambapo alisema kuwa sababu kubwa ya mfumuko wa bei ni usimamizi mbovu wa Sheria pamoja na Sera za Fedha huku akiibua malipo ya Sh350 Bilioni zilizolipwa nnje ya bajeti ya Serikali.
20 окт 2024