Ukweli Mpina hakutendewa haki, Spika alikurupuka kwani Bashe sikiongozi mwadirifu ila analindwa lakini nimpigaji tu huyo nasisi huyu mbunge wetu tunamuunga mkono sana, japo wanampania kuja kumkata jina lake kwenye vikao vya Chama wakati wa uchaguzi, nasi tunamuombea Mungu tu kwani Ccm niyakwetu wote.
Siasa TU, lkn unatafuta kuingia kwenye mfumo TU huna lolote mpina kwanza hawakujui umewadhulum wavuvi mali zao na mafaini ya ajabu , ungekuwa hujawa kiongoz sawa
Yani tungekuwa na wabunge 100 kama mpina hii nchi ingenyooka ila kwa stail ninayoiona sasa hv nchi inavyoongozwa duu kama.kina job ndugai wanashangaa ambao washakuwa ndani ya mifumo ina mana nchi imeoza ni basi tu hatuambiw mara chadema wanawekwa ndan anapigwa huku tunadangangwa kuna R nne za rais jaman sis so wajinga bana tuna akil ila iko siku si mmeona kenya anzeni kutia maji
Watanzania wengi hawajui kabisa unyeti na ukubwa wa sugar scandal. Afrika Mashariki yote bei ya sukari Tshs 1,500/= Watanzania tunauziwa Tshs 4,000/= kwanini? Itaagizwaje sukari toka nje wakati ipo ya kutosha hapa nchini? Matokeo miwa ya wakulima hainunuliwi wananchi wameingiwa na umasikini. Kodi ya sukali iliyoagizwa haikulipwa/imesamehewa, iweje wananchi wauziwe shs 4,000/= kwa kila? Hii ni hujuma mbaya sana kwa Watanzania hakika.
Mpina unacho fanya ni kufeli kwako kwa maisha unacho kipambania ni swa lakini mlango ulio fungua sio kwa sababu ni nyingi .kwanza ni kanakwamba wewe huna madili ya chama chako chengine wewe waonyesha uko na chuki na uwongozi ulio kuepo najua tunao umia.ni sisi watu wa ali yaachini tena tuna teseka sana lakini mpina wewe ni kiongozi wa siku nyingi kwaiyo hiyo ndio njia ulio amua kupita