Тёмный

MPINA AMNG'ANG'ANIA TENA BASHE/AMTAJA MWABUKUSI KUMUONGEZEA NGUVU MAHAKAMANI 

MwanaHALISI TV
Подписаться 321 тыс.
Просмотров 16 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 65   
@janethpallangyo3855
@janethpallangyo3855 2 месяца назад
Mungu akulinde Mpina ❤❤
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 2 месяца назад
MPINA MTAM JAMANI MPINAAA WE LOVE Y MAN OF GOD.❤❤❤
@hornpesa
@hornpesa 2 месяца назад
Unafaa kuwa Rais kiongozi wetu!
@masambullajamessamson2546
@masambullajamessamson2546 2 месяца назад
Mpina mungu akutagulie utafka mbali mungu akusimamie tk1
@OwenShoo
@OwenShoo 2 месяца назад
MUNGU akubariki broo ww ndyo pekee mwenye akili huko
@yahayaramadhani6418
@yahayaramadhani6418 2 месяца назад
Ukweli Mpina hakutendewa haki, Spika alikurupuka kwani Bashe sikiongozi mwadirifu ila analindwa lakini nimpigaji tu huyo nasisi huyu mbunge wetu tunamuunga mkono sana, japo wanampania kuja kumkata jina lake kwenye vikao vya Chama wakati wa uchaguzi, nasi tunamuombea Mungu tu kwani Ccm niyakwetu wote.
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 2 месяца назад
Sina uhakika kama mahakama itasimama na haki wananchi, ama chama cha CCM Tunangoja kujionea
@TitoRufizi-xb2ub
@TitoRufizi-xb2ub 2 месяца назад
Safi sana Mpina Mzalendo wa kweli sema ma CCM men zako majizi yaani aibu kubwa kwa serikali ya ccm hadi Bunge lilitetea huu ufisadi ccm😢
@winstonmwalukasa831
@winstonmwalukasa831 2 месяца назад
Huyu mpina ndo moja ya mfano wa anavotakiwa kuwa mbunge ndani ya bunge,watz wana imani na Mpina
@abrahamsamweli-wg8ck
@abrahamsamweli-wg8ck 2 месяца назад
Nakuelewa sana
@selemsigala4771
@selemsigala4771 2 месяца назад
Mpina Mungu akutangilie na kukulinda dhidi ya majizi na mafisadi wazalendo tuko nyumayako naamini Mungu atasimama nawe 🙏
@sultanNassor-c3v
@sultanNassor-c3v 2 месяца назад
hongera mwana halisi
@barakakafurike2011
@barakakafurike2011 2 месяца назад
Mhuu
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 2 месяца назад
Mahakamani ya tz hakuna haki maana siasa imeingia ndani
@bakaribakari167
@bakaribakari167 2 месяца назад
Siasa TU, lkn unatafuta kuingia kwenye mfumo TU huna lolote mpina kwanza hawakujui umewadhulum wavuvi mali zao na mafaini ya ajabu , ungekuwa hujawa kiongoz sawa
@SilahMasima-pi7bn
@SilahMasima-pi7bn 2 месяца назад
Pamoja sana luhaga tumechoka na wanafiki
@EmanueliWildausoni
@EmanueliWildausoni 2 месяца назад
Yani tungekuwa na wabunge 100 kama mpina hii nchi ingenyooka ila kwa stail ninayoiona sasa hv nchi inavyoongozwa duu kama.kina job ndugai wanashangaa ambao washakuwa ndani ya mifumo ina mana nchi imeoza ni basi tu hatuambiw mara chadema wanawekwa ndan anapigwa huku tunadangangwa kuna R nne za rais jaman sis so wajinga bana tuna akil ila iko siku si mmeona kenya anzeni kutia maji
@AbdMohamedi
@AbdMohamedi 2 месяца назад
Bashe Hana huruma na watanzania
@GeofreyKalo-ot3we
@GeofreyKalo-ot3we 2 месяца назад
Mi namwelewa mpina TU!
@gerevasliyunga9831
@gerevasliyunga9831 2 месяца назад
❤❤❤❤❤
@FedyKafyulilo-iz2nw
@FedyKafyulilo-iz2nw 2 месяца назад
Mpina ni mbunge mzuri sana
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 2 месяца назад
Tanzania tunambunge mmoja tu Luhaga mpina
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 2 месяца назад
Mpina hama Ccm huko kumeoza hat bungeni si umeona
@josemalley1691
@josemalley1691 2 месяца назад
Wewe na mwabukusi nawaelewa saaaana
@ernestamani4568
@ernestamani4568 2 месяца назад
mpina anatafuta umasikini ulipo kana kwamba hawajui ccm michezo yao
@aloycesamba998
@aloycesamba998 2 месяца назад
Mh.mpina huwa nakuelewa sana maana huwa huyumbishi maneno pokea 🥀🥀 yako mapema
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 2 месяца назад
Syo bashe tu na mwigulu
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 месяца назад
Kweli
@barakakevela245
@barakakevela245 2 месяца назад
MPINA HONGERA SANA HUYO BASHE NI MWIZI TUU
@edwardmizambwa237
@edwardmizambwa237 2 месяца назад
Watanzania wengi hawajui kabisa unyeti na ukubwa wa sugar scandal. Afrika Mashariki yote bei ya sukari Tshs 1,500/= Watanzania tunauziwa Tshs 4,000/= kwanini? Itaagizwaje sukari toka nje wakati ipo ya kutosha hapa nchini? Matokeo miwa ya wakulima hainunuliwi wananchi wameingiwa na umasikini. Kodi ya sukali iliyoagizwa haikulipwa/imesamehewa, iweje wananchi wauziwe shs 4,000/= kwa kila? Hii ni hujuma mbaya sana kwa Watanzania hakika.
@DAVIDJOSEPH-u8r
@DAVIDJOSEPH-u8r 2 месяца назад
Ndugu hizo wanapiga wakuu wanch
@YassinRajabu
@YassinRajabu 2 месяца назад
ukitaka kilimo mpe msomali 😂😂😂😂
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 месяца назад
Yassin rajabu wee😂😂😂😂
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 2 месяца назад
Ooh allah angalia mola wangu kila pente haki itendeke
@AllyFaraji-r4y
@AllyFaraji-r4y 2 месяца назад
Umeshinda kesi yupo mwabukusi uyo mtu siyo mtu mzuli ktk kudahi aki
@PauloAlfayo-qi1gn
@PauloAlfayo-qi1gn 2 месяца назад
Mzalendo tz mkweli
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 2 месяца назад
Kwani kuna kiongozi alie juu ya sheria? Wacha Wenye haki walindwe na Mungu
@rejobu9723
@rejobu9723 2 месяца назад
Mpina kwa ccm inatosha maana ni chama ambacho kimechoka kwa sasa tunahitaji nguvu mpya
@EmmanuelStephano-xz6zh
@EmmanuelStephano-xz6zh Месяц назад
Bashe usiwe MN afki
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 2 месяца назад
Mpima ukweli utkuweka huru kaka
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 2 месяца назад
Kaka Gombea uraisi mimi nakupa kura zangu wewe ni mtetezi wa wanyonge tena kama mwigulu chemba mshughulikiwe
@nyembobea7285
@nyembobea7285 2 месяца назад
Mawakili hata wangekuwa milion mia moja kinacho angaliwa huwa ni hoja tu mr mkiwa utashindwa tu
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 2 месяца назад
Hakuna nchi inaruhusu sukari kuingiza sukari hovyo hovyo. Matapeli Kenya waliingiza sukari hovyo hovyo,, sukari isiyo 😅kuwa na viwango.
@AbdMohamedi
@AbdMohamedi 2 месяца назад
Mpina na sisi wakulima wa mbaazi tunazulumiwa na Bashe tunaambiwa tukauze galani tusaidie baba
@NixonJohnson-r4m
@NixonJohnson-r4m 2 месяца назад
Apite bila kupingwa
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 2 месяца назад
Kwa nchi yenye viongozi wala rushwa utasikia tu
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 2 месяца назад
Ujue ni biashara ya viongozi kwa nini nitz bei ysukari
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 2 месяца назад
Sasa kweli eti kilimo kiendelee wizara anapewa msomali!ujinga mtupu,
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@jalaryababilasi1562
@jalaryababilasi1562 2 месяца назад
Kaka mpina sulut kaka
@froma3732
@froma3732 2 месяца назад
Sasa havai kijani tena
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 2 месяца назад
Mdogomdogo atahamia huku kwa wenye akili siyo wakijani,
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 месяца назад
​@@IsayaSosolo-nx8zk😂😂😂😂😂 umeonae
@dorismkongwe4140
@dorismkongwe4140 2 месяца назад
Hii sare yacheo gani
@umlaith5202
@umlaith5202 2 месяца назад
Huyu Mbaya sana., pia anachoyo sana., Mroho wa madaraka😂😂😂
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 2 месяца назад
Tunashuhudia anguko kubwa la mpina kisiasa insha allah mungu atamuangamiza
@majaliwabwitonde6900
@majaliwabwitonde6900 2 месяца назад
Utaangamia wewe na watu wenye akili kama zako. Amina
@sifamwakaniemba443
@sifamwakaniemba443 2 месяца назад
Unatumia akili za ny**a au basi maana nakuona akili zako hazina akili hata 1
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 месяца назад
Kwa kosa gani
@jumaomari3842
@jumaomari3842 2 месяца назад
Mpina unacho fanya ni kufeli kwako kwa maisha unacho kipambania ni swa lakini mlango ulio fungua sio kwa sababu ni nyingi .kwanza ni kanakwamba wewe huna madili ya chama chako chengine wewe waonyesha uko na chuki na uwongozi ulio kuepo najua tunao umia.ni sisi watu wa ali yaachini tena tuna teseka sana lakini mpina wewe ni kiongozi wa siku nyingi kwaiyo hiyo ndio njia ulio amua kupita
@HamzaHeri
@HamzaHeri 2 месяца назад
WEWE MPINA TUACHIE WAZIRI WETU KAMA UNASHUKHULI ZAKUFANYA NJOO HUKU CHUNYA TUCHIMBE MADINI CHOKO MKUBWA
@JafethTully-h2m
@JafethTully-h2m Месяц назад
Wewe ndo choko kbsaaa huna akili
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 2 месяца назад
Mpina akina mwabukusi anakudanganya hakuna kesi yoyote uhuni mtupu tu
@Justinamwakajumba
@Justinamwakajumba 2 месяца назад
Nilitaka kushaangaa usipinge ?wewe
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 месяца назад
​@@Justinamwakajumbaakili Yake no mbovu sana
Далее
На самом деле, все не просто 😂
00:45
На самом деле, все не просто 😂
00:45